AZANIA BANK YAWAKUTANISHA WAFANYABIASHARA DAR ES SALAAM

Maofisa wa Benki ya Azania wakiwa wamepozi kwa picha kabla ya kuanza kwa mkutano uliondaliwa na TCCIA kwa ajili ya wafanyabiashara kuchangamkia fursa zilizopo katika uwekezaji.  Mkutano huo ulidhaminiwa na benki hiyo.
 Washiriki wa mkutano wakijadiliana jambo.
 Wadu wa sekta ya biashara wakiwa katika mkutano huo.
 Wadau.
 Mkurugenzi Mkuu wa EAG Group Ltd, Imani Kajula (kushoto), akimkaribisha Ali Mfuluki katika mkutano huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Itembe (kushoto), akibadilishana mawazo na  Mkurugenzi Mkuu wa EAG Group Ltd, Imani Kajula, kabla ya kunza kwa mkutano wa wafanyabiashara.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Infotech Investment Group Ltd, Ali Mfuruki (kushoto), akibadilishana mawazo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Itembe (kulia).
 Kutoka kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Infotech Investment Group Ltd, Ali Mfuruki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Itembe na Makamu wa Rais wa TCCIA, Octavian Mshiu.
 Washiriki wa mkutano huo.
Wadau mbalimbali wakiwa katika mkutano.
 Makamu wa Rais wa TCCIA, Octavian Mshiu, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Itembe ambaye alikuwa mgeni rasmi akifungua mkutano huo. 
 Meneja Mwandamizi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Azania, Jackson Lohay (kulia), akijiandaa kutoa mada wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Chama cha Wakulima, Wafanyabiashara na wenye Viwanda Tanzania (TCCIA), kwa ajili ya kuhamasisha wafanyabiashara kuchangamkia fursa za uwekezaji na kutumia taasisi za kibenki kupata mitaji, mkutano huo ulidhaminiwa na benki hiyo.

 Meneja Mwandamizi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Azania, Jackson Lohay, akitoa mada katika mkutano huo.
 Wadau.
 Kaimu Meneja Huduma na Uwezeshaji Brella, Bosco Gadi, akitoa mada katika mkutano huo.
Mwakilishi kutoka UWURA, Mr. Keneth akitoa mada.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Infotech Investment Group Ltd, Ali Mfuruki akizungumza katika mkutano huo.
 
 Rais wa TCCIA, Ndibalema Mayanja akizungumza katika mkutano huo. 
 Rais wa TCCIA, Ndibalema Mayanja, akizungumza katika mkutano huo.