JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Dk. Mwakyembe karibu kwa wanahabari

Wiki iliyopita, Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri. Mabadiliko aliyofanya ni kumwondoa kwenye Baraza la Mawaziri, aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye na kumteua Dk. Harrison Mwakyembe kuziba pengo hilo. Dk. Mwakyembe…

La Lissu Wanasheria wamezungumza!

Wiki iliyopita Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameshinda urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika. Ushindi wa Lissu umetokea baada ya matukio kadhaa, ikiwamo kukamatwa na kufikishwa mahakamani saa 24 kabla ya uchaguzi. Si hiyo…

La Lissu Wanasheria wamezungumza!

Wiki iliyopita Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameshinda urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika. Ushindi wa Lissu umetokea baada ya matukio kadhaa, ikiwamo kukamatwa na kufikishwa mahakamani saa 24 kabla ya uchaguzi. Si hiyo…

Ni hatari kuua biashara

Leo nimeona niandike mada inayogusa maisha ya kila Mtanzania –  biashara. Naandika mada hii kutokana na mwenendo usioridhisha unaoonesha kuwa biashara nyingi hapa nchini zinakufa.  Kwa muda mrefu tumekuwa tukiambiwa kuwa Tanzania ni taifa la wakulima na wafanyakazi. Ni kwa…

Uzuiaji viroba sawa, mifuko ya plastiki nayo iunganishwe

Serikali imepiga marufuku utengenezaji na usambazaji pombe maarufu kwa jina la ‘viroba’ kuanzia Machi mosi, mwaka huu. Uamuzi huu umetokana na ukweli kuwa matumizi ya ‘viroba’ yalishavuka mipaka; na hivyo kuwa chanzo cha maovu na misiba nchini kote. Hatua hii,…

Mwakyembe hawezi kuifuta TLS

Wiki hii nchi imeingizwa katika mjadala mrefu usio na tija. Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe nadhani amehemka tu, akasema ikibidi atakifuta Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS). Kauli ya Dk. Mwakyembe imetoka muda mfupi baada…