Category: Kimataifa
Marekani yamwekea vikwazo Kabila
Marekani imemwekea vikwazo vikubwa Rais wa zamani wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila, ikimtuhumu kuyaunga mkono makundi ya waasi ya M23 na AFC. Washington inadai Kabila alitoa msaada wa kifedha kwa AFC, alihamasisha wanajeshi kuasi kutoka jeshi la…
Iran yatuma onyo kali Washington kuhusu vita
Iran imeonya jana kuwa itajibu kwa mashambulizi makali na ya muda mrefu dhidi ya majeshi ya Marekani iwapo Washington itaanzisha tena mashambulizi. Tehran pia imesisitiza kuwa inaendelea kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz, hali inayotia doa mipango ya Marekani ya kuunda muungano…
Trump : Vizuizi dhidi ya Iran huenda vikadumu kwa muda
RAIS wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vizuizi dhidi ya Iran vinaweza kudumu kwa miezi kadhaa, hatua iliyosababisha bei za mafuta kupanda kwa kiwango cha juu hapo jana katika kipindi cha miaka minne. Katika mkutano wake na wakuu wa sekta…
Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 mwaka uliopita. Shirika la OECD lenye makao yake makuu mjini Paris nchini Ufaransa lilisema data zake za awali zilionyesha misaada…
Bei ya mafuta yashuka duniani
Bei ya mafuta duniani imepungua kwa kiasi kikubwa baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kutangaza makubaliano ya kusitisha mapigano kwa wiki mbili. Mapema Jumanne, pipa moja la mafuta uliouzwa kwenye masoko ya kimataifa ulikuwa na thamani ya dola 103.42,…
Marekani na Iran zakubaliana kusitisha mapigano
Rais wa Marekani Donald Trump amesema amekubali kusitisha mashambulizi dhidi ya Iran kwa muda wa wiki mbili, kufuatia pendekezo la wapatanishi katika mgogoro huo. Trump alisema uamuzi huo umefikiwa baada ya mazungumzo na viongozi wa Pakistan, akiwemo Waziri Mkuu Shehbaz…





