JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Gharama za kupasha joto Ujerumani kuongezeka

Katika msimu wa baridi kali, matumizi ya nishati huongezeka kwa sababu watu hutumia muda mwingi ndani ya nyumba na wanahitaji joto la kutosha ili kukabiliana na baridi kali – hali hii husababisha bili za nishati kupanda. Raia nchini Ujerumani wanatarajiwa…

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atatangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati kote nchini humo. Zelensky amesema hatua hiyo itawezesha kushughulikia operesheni za usambazaji wa umeme ziliovurugika kufuatia mashambulizi ya Urusi kwenye miundombinu ya nishati. Kauli ya Zelensky…

Urusi : Droni za Ukraine zimeua 24 Kherson

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilitaja tukio hilo kuwa “shambulio la kigaidi,” huku ikisema Rais Vladimir Putin amearifiwa. Mamlaka zilizowekwa na Urusi katika eneo la Kherson nchini Ukraine zimesema zaidi ya watu 24 wameuawa baada ya shambulio la…

Jengo la ghorofa 16 linaloendelea kujengwa laporomoka jijini Nairobi

Watu wawili wanahofiwa kukwama baada ya jengo la orofa 16 lililokuwa likijengwa kuporomoka katika eneo la South C jijini Nairobi. Operesheni ya uokoaji inayohusisha vitengo tofauti ikiwa ni pamoja na wanajeshi, polisi, huduma za dharura za kaunti ya Nairobi na…

Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafikia 1000

Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 nchini Indonesia. Haya yamesemwa leo na maafisa wa uokoaji nchini humo. Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na Maafa limesema maafa hayo, ambayo yamekumba kisiwa cha kaskazini-magharibi cha…

Papa Leo ahimiza mshikamano mpya Lebanon

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV alihimiza mshikamano na matumaini mapya katika Lebanon inayokabiliwa na migogoro akipongeza ‘ustahimilivu’ wa nchi hiyo licha ya miaka ya migogoro na misukosuko. Katika sehemu ya pili ya ziara yake ya kwanza ya…