Category: Kimataifa
Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na mafuriko Kenya yafikia 23
Polisi jijini Nairobi wamesema watu 23 wamefariki dunia kufikia sasa,huku uharibifu wa mali, kufungwa kwa baadhi ya barabara pamoja na wakazi wengi kulazimika kuhama makazi yao kutokana na hali hiyo. Aidha zoezi la uokoaji bado linaendelea kufuatia mvua kubwa iliyonyesha…
Israel yazishambulia Iran na Lebanon, Tehran yajibu mapigo
Ndege za kivita za Israel zimeishambulia miji ya Beirut na Tehran leo huku kukiwa hakuna dalili ya kumalizika kwa vita vinavyoelekea kutimiza wiki nzima kesho Jumamosi. Israel ilisema mapema asubuhi kuwa imefanya “mashambulizi makubwa” kwenye mji mkuu wa Iran na…
Jeshi la Kongo lakamata silaha za kijeshi Ituri
Jeshi la Jamhuri ya Kidemorkasia ya Kongo (FARDC) limetangaza kukamata shehena kubwa ya silaha zilizofichwa kwenye eneo moja la mgodi katika jimbo la Ituri mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Kongo kwenye jimbo hilo, Jules Ngongo amesema miongoni…
Trump: Iran isalimu amri, hakuna mazungumzo
Rais Donald Trump wa Marekani amesema hakutakuwa na mazungumzo wala makubaliano na utawala wa sasa wa Iran na ameitaka nchi hiyo “isalimu amri” kama sharti kwa Washington kusitisha vita vinavyoendelea. Trump ametoa ujumbe huo kupitia mtandao wake wa kijamii ambapo…
Marekani yasifu operesheni yake nchini Iran
Marekani imesifu operesheni yake nchini Iran na kusema inaelekea kumuangamiza adui hata kabla ya wakati huku ikisisitiza kuwa uwezo wa mashambulizi wa Iran umepungua maradufu ukilinganisha na siku ya kwanza ya vita. Kamanda mkuu wa Jeshi la Marekani Brad Cooper,…
China yajitolea kupatanisha Mashariki ya Kati
China imejitolea kuwa mpatanishi kwenye mzozo wa sasa wa Mashariki ya Kati baada ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusababisha vita kusambaa kote kwenye eneo hilo. Wizara ya Mambo ya Kigeni ya China imesema kwenye taarifa yake…





