JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Guterres alaani jeshi kuchukua madaraka nchini Madagascar

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini Madagascar baada ya wiki kadhaa za maandamano ya umma dhidi ya utawala wa Rais Andry Rajoelina. Guterres amekosoa mabadiliko ya uongozi yasiyozingatia katiba na ametoa mwito…

Papa Leo XIV: Kushindwa kuzuia njaa duniani ni dhambi

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ameikosoa dunia kwa kushindwa kuzuia mamilioni ya watu kufa kwa njaa. Papa amesema kuruhusu binaadamu wengine wafe kwa njaa ni kushindwa kwa pamoja kuchukua hatua stahiki, ni kupotoka kwa maadili na…

William Ruto: Taifa limempoteza mzalendo na mwanamageuzi wa kweli

Rais William Ruto aliongoza taifa kuomboleza, akimtaja Odinga kuwa “mzalendo wa taifa ambaye ujasiri na kujitolea kwake viliunda njia ya Kenya kuelekea demokrasia na umoja. ” Viongozi kutoka barani Afrika akiwemo Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Nana Akufo-Addo wa…

Mapokezi ya mwili Odinga, Polisi wazidiwa nguvu uwanja wa ndege wa JKIA

Wafuasi wa Raila Odinga wamevamia lango kuu la uwanja wa ndege wa JKIA baada ya kuwazidi nguvu polisi waliokuwa wakilinda eneo hilo. Hali ya taharuki imetanda, huku kukiwa na wasiwasi mkubwa juu ya kitakachotokea endapo watapenya na kuingia ndani ya…

‘Nizikwe ndani ya saa 72’: Wosia wa Raila Odinga

Mwili wa Raila Amollo Odinga unatarajiwa kuwasili saa tatu na nusu asubuhi ya leo kutoka India, ambako alikuwa anapata matibabu kabla ya kupatwa na mauti. Familia yake imefichua kwamba ndani ya wosia wake, aliandika kuwa azikwe ndani ya saa 72….

Raila Odinga afariki, atakumbukwa kwa kupigania uhuru wa kidemokrasia

Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga amefariki akiwa na umri wa miaka 80. Raila amefariki wakati akifanyiwa matibabu katika hospitali moja nchini India kulingana na duru za familia. Magazeti ya India Mathrubhumi na The Hindu yaliripoti habari hiyo kwa…