Category: Kimataifa
Mlipuko wa Ebola Kongo, watu zaidi ya 200 wafariki
Serikali ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa Ebola katika eneo la Kaskazini mashariki mwa nchi hiyo inaendelea kuongezeka na kufikia 204 . Tangu kuanza kwa mlipuko huo, jumla ya visa 867 vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola…
Trump asitisha mashambulizi Iran
RAIS wa Marekani Donald Trump alisema alisitisha shambulio lililokuwa limepangwa dhidi ya Iran ili kutoa nafasi kwa mazungumzo mapya ya kidiplomasia, huku akieleza kuwa bado kuna uwezekano wa kufikiwa kwa makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran. Trump alisema viongozi…
Marekani yatangaza vikwazo kwa wanaoisaidia Iran
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya watu watatu na makampuni tisa kwa kusaidia usafirishaji wa mafuta ya Iran kuelekea China. Kampuni nne zina makao yake Hong Kong na nne nyengine ziko katika Falme za Kiarabu kwa huku kampuni ya…
Marekani na Iran zakaribia makubaliano ya kumaliza vita
Marekani na Iran zinakaribia kufikia makubaliano ya kusitisha vita katika eneo la Ghuba. Haya ni kwa mujibu wa chanzo kutoka Pakistan kinachohusika na juhudi za upatanishi. Kwa mujibu wa taarifa hizo, makubaliano hayo yanaweza kujumuisha kusimamishwa kwa mpango wa nyuklia…
Marekani yamwekea vikwazo Kabila
Marekani imemwekea vikwazo vikubwa Rais wa zamani wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila, ikimtuhumu kuyaunga mkono makundi ya waasi ya M23 na AFC. Washington inadai Kabila alitoa msaada wa kifedha kwa AFC, alihamasisha wanajeshi kuasi kutoka jeshi la…
Iran yatuma onyo kali Washington kuhusu vita
Iran imeonya jana kuwa itajibu kwa mashambulizi makali na ya muda mrefu dhidi ya majeshi ya Marekani iwapo Washington itaanzisha tena mashambulizi. Tehran pia imesisitiza kuwa inaendelea kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz, hali inayotia doa mipango ya Marekani ya kuunda muungano…





