Category: Kimataifa
Somalia yajiandaa uchimbaji mafuta wa kwanza wa kihistoria baharini
Somalia inasema iko tayari kuanza shughuli zake za kwanza za kuchimba mafuta baharini, huku meli ya kuchimba mafuta inayomilikiwa na serikali ya Uturuki ikitarajiwa kuwasili pwani yake Ijumaa. Hatua hiyo inafuatia kukamilika kwa mafanikio kwa tafiti za matetemeko ya ardhi…
Ulaya: Sio halali kulenga miundombinu ya raia vitani
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Ulaya Antonio Costa, amesema shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya kiraia kama ile ya nishati sio halali na haikubaliki hata kidogo. Hii ni baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutoa muda wa…
Iran yatoa neno kuhusu pendekezo la usitishwaji mapigano
Iran imejibu pendekezo la usitishwaji mapigano na kufunguliwa Mlango Bahari wa Hormuz na kuelezea msimamo na matakwa yake na kusisitiza kuwa mazungumzo “hayaendani na masharti wala vitisho vya kutenda uhalifu wa kivita. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa…
Athari za vita Iran zaongeza bei ya petroli duniani
Tangu vita vilipoanza, bei ya pipa moja la mafuta ghafi imepanda kutoka dola 73 hadi takribani dola 117 kwa sasa. Kwa kawaida, kupanda kwa bei ya jumla ya nishati huonekana kwanza kwenye vituo vya mafuta, na hali hii inaonekana kote…
Iran: Uaminifu ni muhimu kumaliza mzozo na Marekani, Israel
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amezipongeza juhudi za Pakistan za usuluhishi kati ya nchi yake, Marekani na Israel. Licha ya pongezi hizo, amesema uaminifu unahitajika ili kuutatua mzozo huo. Ameyasema hayo katika mazungumzo yaliyofanyika kwa njia ya simu Jumamosi na…
Papa Leo atoa wito kwa watu wa Monaco kutenda mema
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amewataka wakaazi wa taifa tajiri la Monaco kutumia utajiri wao, ushawishi na imani yao ya Kikatoliki kutenda yaliyo mema. Ameyasema hayo akiwa katika ziara ya siku moja nchini humo. Akizungumza baada…





