Category: Kimataifa
Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi
Jesh la Madagascar limechukua madaraka baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia. Hatua hiyo inafuatia wiki kadhaa za maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana waliopinga umaskini, rushwa na ukosefu wa huduma za msingi. Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya…
Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kupunguzwa
Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25. Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25 kutokana na ukosefu wa fedha, unaohusishwa zaidi na…
Zelensky: Urusi inatumia droni kuleta machafuko Ulaya
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameituhumu Urusi kwa kutaka kuleta machafuko barani Ulaya kwa kutumia droni kwa ajili ya hujuma na kuvuruga hali ya usalama. Katika hotuba yake ya jioni ya Jumanne kwa njia ya video, Zelensky amesema serikali ya…
Maaskofu wa Katoliki DRC wapinga hukumu ya kifo dhidi ya Joseph Kabila
Baraza la Maaskofu wa Kitaifa wa Congo (CENCO) limelaani hukumu ya kifo iliyotolewa kwa Rais wa zamani Joseph Kabila na Mahakama Kuu ya Kijeshi ya Kinshasa. Wakielezea imani hiyo kuwa haipatani na maadili ya Injili, maaskofu wanadai kwamba mantiki ya…
UNHCR yapunguza ajira 5,000 duniani kote kutokana na ukata
KUTOKANA na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa ahadi za ufadhili, Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (UNHCR) limepunguza takriban wafanyakazi 5,000 duniani kote mwaka huu Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwashughulikia Wakimbizi, Filippo Grandi alisema mjini…
Marekani kuisaidia Ukraine kwa taarifa za kijasusi
Gazeti la The Wall Street Journal limeripoti kuwa Marekani inapanga kuipa Ukraine taarifa za kijasusi zitakazotumika kuratibu mashambulizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya miundombinu ya nishati ya Urusi. Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, maafisa…





