JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Ujerumani yatoa onyo kwa wapinzani katika kombe la dunia

Timu ya taifa ya Ujerumani imetoa onyo kali kwa wapinzani wao kwenye Kombe la Dunia baada ya kuanza kampeni yao kwa ushindi mnono wa 7–1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa ufunguzi. Licha ya kuanza kwa kusuasua na kuruhusu bao…

Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora

Ukraine imesema kwamba mashambulizi ya makombora ya Urusi yamewajeruhi watu kadhaa na kufanya uharibifu katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo huku Urusi nayo imeripoti vifo vya watatu katika mji wake wa kusini wa Tula. Ukraine na Urusi zimeendelea kushambuliana kwa…

Marekani na Iran zimekubaliana kusitisha vita

Makubaliano hayo yanatarajiwa kutiwa saini nchini Uswisi na yanaweza kuleta afueni kwa uchumi wa dunia uliotikiswa na vita, ingawa masuala ya nyuklia na vikwazo bado hayajapatiwa suluhisho ya kudumu. Pakistan imesema Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya amani yatakayositisha mara…

Marekani yaionya Iran

Marekani yaonya iko tayari kurejea vitani na Iran, huku Trump akisisitiza masharti makali ya makubaliano ya amani, wakati mazungumzo na mvutano Mashariki ya Kati ukiendelea kuongezeka. Marekani imesema iko tayari kurejea vitani na Iran ikiwa itahitajika, huku Rais wa Marekani,…

Trump: Hatuna haraka ya kufikia makubaliano na Iran

Rais wa Marekani amesema kuwa mazungumzo yanaendelea “kwa utaratibu na kwa njia yenye kujenga,” na kusisitiza kuwa hana haraka ya kufikia makubaliano ya kuvimaliza vita baina yake na Iran. Trump amesema siku ya Jumapili kupitia mtandao wa Truth Social kwamba…

Mlipuko wa Ebola Kongo, watu zaidi ya 200 wafariki

Serikali ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa Ebola katika eneo la Kaskazini mashariki mwa nchi hiyo inaendelea kuongezeka na kufikia 204 . Tangu kuanza kwa mlipuko huo, jumla ya visa 867 vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola…