Category: Kimataifa
HRW: Afrika iwakatae wahamiaji wa Marekani
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, limesema mpango wa Marekani kuwapeleka wahamiaji katika nchi za Afrika unakiuka sheria ya haki ya kimataifa, na lazima ukataliwe. Katika siku za hivi karibuni, Eswatini, Ghana, Rwanda na Sudan Kusini…
Iran yakataa mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani
Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amekataa mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani kuujadili mpango wa nyuklia wa Iran. Hatua hiyo huenda ikaondoa matumaini ya mwisho ya kuzuia kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran. Matamshi…
Trump alaani hatua za kulitambua taifa la Palestina
RAIS wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina, huku Marekani ikionekana kutengwa katika uungaji mkono wake mkubwa kwa mshirika wake Israel. Akihutubia Jumanne katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa…
Spika wa DRC Vital Kamerhe ajiuzulu
Vital Kamerhe, Spika wa Baraza la Chini la Bunge katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amewasilisha jana waraka wa kujiuzulu Jumanne baada ya kukabiliwa na shinikizo kutoka kwa ombi linaloungwa mkono na zaidi ya wengi katika bunge la taifa. Wakati…
Ufaransa kuitambua Palestina kama taifa huru
Ufaransa na Saudi Arabia zitaongoza mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi na serikali katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kujaribu kufufua matumaini ya suluhisho la mataifa mawili ambayo yalikuwa yamekwama kwa muda mrefu. Mkutano huo unafanyika mjini New…
Riek Machar afikishwa mahakamani Sudan Kusini
Kiongozi wa upinzani aliyewahi uwa makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amefikishwa mahakamani Jumatatu 22.09.2025. Machar anakabiliwa na mashtaka kadhaa yakiwemo uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhaini. Makamu huyo wa zamani wa Rais Anatuhumiwa pia kwa kuamuru mashambulizi…