JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia atoa bil. 19.6/- ujenzi wa miradi ya elimu (Sequip) Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari SEQUIP mkoani Njombe. Kati ya fedha hizo…

Dk Kimambo: Mipango na mikakati ya Muhimbili imefunganishwa na matarajio ya Dira ya Taifa 2050

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambayo pia ni Hospitali ya Ubingwa Bobezi nchini, Dkt. Delilah Kimambo amesema mipango na mikakati ya hospitali hiyo imefungamanishwa na matarajio ya Dira ya Taifa…

Balozi Hamad ajitambulisha kwa Balozi wa Uingereza nchininl Msumbiji

Hamad Khamis Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji alifanya ziara ya kujitambulisha kwa Balozi wa Uingereza nchini Msumbiji, Mhe Balozi Helen Lewis. Katika Mazungumzo yao, Viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya nchi hizi…

Afrika yajipanga kwa mapinduzi ya habari kwa njia ya teknolojia ya kisasa na ujumuishaji

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha. Baraza la Huru la Habari Afrika (NIMCA) limepitisha maazimio yatakayobadilisha sura ya uandishi wa habari katika bara hilo. Katika kilele cha Mkutano huo baraza limeweka msingi wa mageuzi kupitia matumizi sahihi ya teknolojia ya akili…

FDH :Dira ya 2050 ni Tumaini jipya kwa wenye ulemavu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi wa Shirika la Foundation for Disabilities and Hope (FDH), Michael Salali, amesema uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ni ushahidi thabiti kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imedhamiria kwa dhati kuwajumuisha watu wenye…