Category: MCHANGANYIKO
GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imetoa wito kwa wananchi, wajasiriamali na wanafunzi kutembelea banda lao katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara (DITF – Sabasaba) ili kujifunza kuhusu…
DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetoa onyo dhidi ya watu wote wanaotangaza, kuhamasisha au kusifia matumizi ya dawa za kulevya kupitia nyimbo, mavazi na njia nyingine yoyote ya…