Category: MCHANGANYIKO
NBS wajadili kuboresha takwimu nchini
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imekutana kujadili utekelezaji pamoja na kupitisha Mpango Kazi wa Awamu ya Pili ya Mradi Kabambe wa Kuboresha Takwimu nchini (Tanzania Statistical Master Plan-TSMPT II). Kikao hicho cha kujadili mradi wa TSMPT II kimefanyika jijini…
Bilioni 12 za Rais Samia kukamilisha ujenzi shule za sekondari Rukwa na Katavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan imekamilisha ujenzi wa shule mbili za kisasa za Amali Wilayani Kibondo Mkoani Tabora na Wilaya ya Mlele mkoani Katavi zinazogharimu Shilingi Bilioni…
Rais Samia azindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, asisitiza utekelezaji wa vitendo na upimaji wa matokeo
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 17, 2025, ameizindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, akibainisha kuwa inalenga kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati wa juu, kwa…