Wachimbaji wadogo wa madini wamburuza mahakamani rais wa wachimbaji FEMATA

Na Suzy Butondo,JamhuriMedia, Shinyanga Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliokuwa wakiendesha shughuli zao za uchimbaji kwenye mgodi uliopo kijiji cha Imalamate Wilaya ya Busega mkoani Simiyu wameamua kumfungulia mashitaka rais wa Chama cha Wachimbaji wa madini Tanzania (FEMATA), John Bina kwa kushindwa kuwalipa fidia ya maduara yao baada ya kufukiwa kwenye mgodi anaoumiliki. Wakizungumza…

Read More

Ubomoaji nyumba bonde la Msimbazi kuanza Aprili 12, nyumba 2,155 kuathirika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ubomoaji nyumba zilizofidiwa katika Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Msimbazi unatarajiwa kuanza Aprili 12, 2024, na litawahusu waathirika 2,155 ambao tayari wamelipwa fidia. ambaye ni Mratibu wa Miradi ya Ushirikiano na Benki ya Dunia TARURA amesema kwa mujibu wa makubaliano ya utekelezaji wa zoezi hilo, waathirika wa…

Read More