Category: MCHANGANYIKO
Serikali yashusha neema Mara, bil. 5.7 kutumika kwa ujenzi wa shule ya wasichana na amali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili mkoani Mara ambazo ni shule ya Sekondari ya Wasichana Mara…
Rais Samia amlilia Rais wa zamani Nigeria Muhammadu Bahari
Rais Samia amesikitishwa sana kusikia taarifa za kifo cha Rais wa zamani wa Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria, Mheshimiwa Muhammadu Buhari. Kwa mujibu wa tarifa iliyochapishwa kwenye ukurasa wake wa Instagram amesema kwa niaba ya Serikali na wananchi wa Jamhuri…
Nandy ahamasika kutangaza nembo ya Made in Tanzania Kimataifa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Faustina Mfinanga (Nandy), amesema elimu aliyoipata katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) imefungua macho yake kuhusu umuhimu wa kutumia nembo…
Rais Samia atoa bil. 3.2 ujenzi wa shule mbili wilayani Rombo kupitia mradi wa Sequip
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 3.2 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili za sekondari wilayani Rombo katika Mkoa wa Kilimanjaro. Fedha hizi…
Mwenge kukagua miradi 51 ya bilioni 71.3 Manyara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro Mwenge wa uhuru mwaka 2025 utakagua, kuzindua na kutembelea miradi 51 ya maendeleo yenye thamani ya Sh bilioni 71.3 katika Mkoa wa Manyara. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameyasema hayo mji mdogo wa…