Category: Siasa
Samia: CCM imetumia fedha za ndani kwenye uchaguzi mkuu 2025
Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media- Manyara Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amehitimisha kampeni zake mkoani Manyara, ambapo amesisitiza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu unafanyika kwa fedha za ndani na siyo za wafadhili kutoka…
Mapokezi ya Othman Masoud Unguja na Pemba ishara ya Rais mpya ajae
Katika siku za hivi karibuni, Zanzibar imeshuhudia hamasa kubwa ya wananchi katika mikutano ya hadhara inayoongozwa na Othman Masoud. Kutoka mitaa ya Mjini Unguja hadi vijiji vya mbali kisiwani Pemba, maelfu ya wananchi wamejitokeza kwa wingi, wakijazana viwanjani kusikiliza ujumbe…
Fredrick Lowassa: Wana Arusha mchagueni Dk Samia anajua mahitaji yenu na ana uwezo wa kuyatatua
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Monduli, Fredrick Lowassa, amesema kuwa katika uchaguzi wa mwaka huu wananchi wanapaswa kuchagua mgombea anayejua mahitaji yao na mwenye uwezo wa kuyatatua. Ameyasema hayo Oktoba 3, 2025, katika muendelezo wa kampeni za Mgombea Urais wa…
Mgombea urais ACT-Wazalendo Othman Masoud aahidi neema kwa wavuvi Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud, ameahidi kuimarisha sekta ya uvuvi Zanzibar endapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza na wavuvi wa Shumba, Micheweni Pemba, Othman alisema Zanzibar imezungukwa na bahari yenye…
Dk Nchibi aingia Mtwara Vijijini kusaka kura za Samia
Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Oktoba 02, 2025 anaendelea kusaka kura za Ushindi wa Kishindo za Dkt Samia Suluhu Hassan, Wabunge kwa kufanya mikutano ya hadhara ya Kampeni…
Koka na Katele waahidi Pangani yenye neema na kupaa kiuchumi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, mkoani Pwani, Silvestry Koka, amesema kata ya Pangani inakwenda kuwa kitovu cha maendeleo, akiwataka wananchi kutokiangusha Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu oktoba 29,2025. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni…