JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Moyo, figo kunusuru maisha

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) iko katika maandalizi ya mapendekezo ya muswada kwa ajili ya kupeleka bungeni ili liridhie na kupitisha sheria itakayoweza kuruhusu mtu kuandika wosia ili viungo vyake kutumika baada ya kufariki. Viungo hivyo ni pamoja…

ECA ya vijana kuzaliwa Z’bar

Mwishoni mwa 2010 na mwanzoni mwa 2011, dunia ilishuhudi mfululizo wa maandamano na kuanguka kwa tawala kongwe katika ulimwengu wa Kiarabu. Maandamano hayo yanaitwa “Arabian Spring.”  Yalianza kwa Mapinduzi ya Tunisia ambayo yalifanyika kwa hisia binafsi ya Mohamad Bouazizi Desemba…

Mwisho wa kuibiwa madini waja

Huenda huu ukawa ndiyo mwisho wa Tanzania kuibwa rasilimali zake hususani madini, kutokana na Bunge kuingilia kati na kutaka kufahamu ni kwa namna gani nchi inanufaika na biashara ya madini. Mwisho huu unatokana na Spika wa Bunge, Job Ndugai, na…

Mwalimu aivuruga shule Geita

Mwalimu wa Shule ya Msingi Kasamwa, Magreth Magesa, anadaiwa kusababisha migogoro ya kiutendaji shuleni hapo, hali iliyosababisha kuhamishwa kwa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, James Magela. JAMHURI kupitia kwa vyanzo vyake, limebaini kuwa Mwalimu Magreth Magesa amekuwa ni mtovu wa…

Mbunge Mbeya aamriwa kujenga upya nyumba

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imemtaka Mbunge wa Rungwe Magharibi, Saul Henry Amon, kubomoa na kujenga upya nyumba ya Serikali namba 162, kiwanja namba 1103, kitalu ‘S’ eneo la Mafiati Jijini Mbeya, iliyokuwa ikimilikiwa na Simbonea Kileo. Akitoa hukumu hiyo…

Ridhiwani awashukia maafisa wa maji

Mbunge wa Chalinze, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete ameujia juu uongozi wa Mamlaka ya maji safi na Usafi wa mazingira Chalinze (CHALIWASA) kwa kushindwa kusambaza maji. Katika kikao cha Madiwani wa Halmashauri ya Chalinze kilichofanyika katika…