Category: Michezo
Ummy Mwalimu azindua ligi ya Wilaya ya Tanga
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ummy Ally Mwalimu amezindua rasmi Ligi ya Mpira wa Miguu Wilaya ya Tanga ambayo inasimamiwa na Chama Cha Mpira wa Miguu Wilaya ya…
Rais Samia awapa stars milioni 700
Na Isri Mohamed Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwapa zawadi ya Tsh. milioni 700 Taifa Stars baada ya kufuzu AFCON 2025 ambayo michezo yake itachezwa nchini Morocco. Taarifa ya Rais Samia kutoa fedha hizo imetolewa na Waziri mwenye dhamana ya…
Tanzania yafuzu Afcon 2025
Na Isri Mohamed Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imefuzu kucheza mashindano ya mataifa ya Afrika (AFCON 2025) yatakayofanyika nchini Morocco. Stars imefuzu leo katika dimba la Mkapa dhidi ya Guinea kupitia bao moja lililofungwa na Simon Msuva kipindi…
Dk Biteko : Tujenge mazoea kutekeleza yale tuliyokubaliana
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Biteko amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Phillip Mpango kufungua mashindano ya Shirikisho la…
Tabora United yapewa mil. 25/- kwa kuifunga Yanga, RC aahidi kuwapa mil.50/- wakiifunga Simba
Na Benny Kingson, JamhuriMedia, Tabora Milioni 25,600,000 zimetolewa kwa timu ya Tabora United ‘Nyuki wa Tabora – Wana Unyanyembe’ baada ya kuichapa Yanga mabao 3-1 wiki iliyopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa kwenye uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini…
Moalin aikimbia KMC
Na Isri Mohamed Kocha Mkuu wa Klabu ya KMC, Abdihamid Moalin Amewaaga rasmi wachezaji wake baada ya mazoezi ya jana na kuwaweka wazi kuwa hatakuwa sehemu ya walimu wao tena. Moalin ambaye ameifundisha KMC kwa misimu miwili kwa mafanikio makubwa,…