Yanga Vs Ihefu, mechi ya kisasi leo
Na Isri Mohamed Klabu ya wananchi Yanga leo jioni inatarajia kushuka dimbani dhidi ya Ihefu katika uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar, saa 1 jioni. Yanga wanaingia katika mchezo huo wakiwa na mioyo ya kisasi kufuatia matokeo ya mchezo wa awali uliochezwa Oktoba 4, 2023 katika dimba la Highland Estates, Mbarali, Mbeya, ambapo walipoteza…