Yanga Vs Ihefu, mechi ya kisasi leo

Na Isri Mohamed Klabu ya wananchi Yanga leo jioni inatarajia kushuka dimbani dhidi ya Ihefu katika uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar, saa 1 jioni. Yanga wanaingia katika mchezo huo wakiwa na mioyo ya kisasi kufuatia matokeo ya mchezo wa awali uliochezwa Oktoba 4, 2023 katika dimba la Highland Estates, Mbarali, Mbeya, ambapo walipoteza…

Read More

Mnapompandisha Ayoub, msimshushe Manula

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia BAADA ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba vs Tanzania Prison uliomalizika kwa mnyama kufungwa mabao 2 kwa 1 akiwa nyumbani, mjadala mkubwa ulioibuka ni kiwango cha golikipa Aishi Manula ambaye alianza golini akibezwa kuwa ameshuka kiwango na hakustahili kuanza bora angeendelea kubaki Ayoub Lakred. Ni kweli mpira unauma…

Read More

Bruno na Singida FG ndio basi tena

Na Isri Mohamed Kiungo wa Brazil anayekipiga klabu ya Singida Fountain Gate, Bruno Barroso amethibitisha kuachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande zote mbili kuanzia leo Machi 4, 2024. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Bruno amepost barua yenye ujumbe wa kuwaaga mashabiki wa Singida bila kutaja sababu hasa Iliyomfanya aombe kuvunja mkataba au wapi…

Read More

Garden Michael aanza kuwasha moto Afrika Kusini

Isri Mohamed Mlinzi wa kushoto raia wa Tanzania, Gadiel Michael anayekipiga kwenye klabu ya Cape Town nchini Afrika Kusini ameanza kuwasha moto kwenye klabu yake hiyo kwa kutoa Assist ya bao la kwanza wakicheza dhidi ya Galaxy fc. Mchezo huo ulimalizika kwa Cape Town kuvuna alama tatu kwa ushindi wa mabao mawili yaliyofungwa na Cupido…

Read More

Kidunda, Wellem nani kuibuka mbabe leo usiku

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bondia Seleman Kidunda anatarajia kushuka dimbani leo usiku kupigana na Assemahle Wellem kutoka Afrika kusini. Baada ya kupima uzito Kidunda ametoa ahadi kwa watanzania ya kulipa kisasi kwa Wellem ambaye miezi michache iliyopita alipata ushindi katika ardhi ya Tanzania mkoani Mwanza akimchakaza Twaha Kiduku. “Namuheshimu bondia yeyote wa…

Read More

Yanga watinga robo fanali kibabe

Na isri Mohamed, JamhuriMedia Klabu ya Yanga imefuzu na kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwafunga CR Belouizdad mabao manne kwa Nunge. Mabao hayo manne yamefungwa na Mudathir Yahya, Kennedy Musonda, Aziz Ki na Joseph Guede. Hii ni mara ya kwanza kwa Yanga kutinga hatua hiyo baada ya miaka mingi. Yanga wamefuzu…

Read More