Ufisadi Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro unatisha
Pamoja na malengo mengine ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), lengo mojawapo ni kuboresha miundombinu ya utalii ili kuboresha huduma za kitalii (to provide high quality tourism services) kwa kutengeneza barabara kwenda kwenye vivutio kama Nasera Rock, Olkarian Gorge na aina mbalimbali za miundombinu ya utalii na si kufanya kazi za Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).