Archives for Makala - Page 417
KATIBA MPYA ITAKIMUDU KIZAZI CHA ‘FACEBOOK?’
“Nasema Katiba ya kweli ya Watanzania inapaswa kuandikwa katika mioyo na utashi wao, na wala si ya kuandikwa kama hii tunayoililia sasa”. Hayo si maneno yangu ya Manyerere Jackton aliyoyaandika kupitia gazeti hili katika makala yake iliyokuwa na kichwa cha…
Operesheni za al-Shabaab zadhoofishwa Kenya
Operesheni za usalama zinazofanywa kwa msaada na jamii zimedhoofisha uwezo wa kundi la wanamgambo la al-Shabaab kufanya mashumbulizi nchini Kenya. Tangu Februari 17, wakati wanachama wa al-Shabaab waliposhambulia kituo cha polisi katika eneo la Jarajila mjini Garissa, na kumuua polisi…
Hongera MCT, lakini namna ya kuwapata washindi itazamwe
Baraza la Habari Tanzania (MCT) limetoa tuzo kwa waandishi wa habari, wachora katuni na wapigapicha bora. Hili ni tukio jema. Linapaswa kuungwa mkono. Rais Jakaya Kikwete ameliona hilo, ameahidi kuwa Serikali itashiriki. Nawapongeza kwa dhati wote walioamua kukusanya kazi zao…