KitaifaSiasaMAJALIWA AKUTANA NA RAIS WA MAKAMPUNI YA CCECC NA Jamhuri6 years ago6 years ago01 mins Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Makampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) , Bw. Zhao Dianlong wakati alipozungumza na ujumbe wa Makampuni hayo kutoka Tanzania, Afrika Mashariki na China, ofisini kwake mjini Dodoma Aprili 8, 2018. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na ujumbe kutoka Makampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) kutoka Tanzania, Afrika Mashariki na China, ofisini kwake mjini Dodoma Aprili 8, 2018. Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Rais wa Makampuni ya CCECC, Bw. Zhao Dianlong na kulia kwa Waziri Mkuu ni Katibu Mkuu wa Chama cha Urafiki kati ya Tanzania na China, Joseph Kahama. Post Views: 3 Post navigation Previous: Uwanja wa ndege za kivita wa Syria washambuliwa kwa makomboraNext: Padri mwengine auawa DRC
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India Jamhuri5 months ago5 months ago 0