Latest Posts
Nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria na sio madhehebu ya dini – Dk Samia
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amesema kwa namna moja au nyingine kuna baadhi ya taasisi za dini zimejiingiza kwenye mkumbo ambao unaendelea wenye nia ovu ndani…
NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya moyo ya watoto 250 katika kipindi cha miaka minne, hatua…
Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amehoji juu ya maoni ya baadhi ya watu kuwa nguvu zilizotumika kwenye kudhibiti vurugu zilizotokea Oktoba 29 (iliyokuwa siku ya uchaguzi…
Rais Samia : Walioandaa vurugu walidhamiria kuangusha dola ya nchi yetu
“Lililotokea (vurugu za Oktoba 29) ni tukio la kutengenezwa na walilolitengeneza walidhamiria makubwa, walidhamiria kuangusha dola ya nchi hii..” “Ukiangalia clip videos za nyuma zilizotokea, vijana wetu walifanywa makasuku na kuimbishwa kabisa yaliyotokea Madagascar yatokee na hapa, lakini ukimvuta kijana…
Desemba 9, tuepuke โKaliba kashaijaโฆโ
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia,Nairobi Makala hii naiandika leo Novemba 29, 2025 nikiwa hapa jijini Nairobi, Kenya. Naandika makala hii, kwanza kuwasihi ndugu zangu Watanzania, hasa vijana, kufikiria mara mbili na kufikia uamuzi wa kutoandamana hiyo Desemba 9, 2025. Nilipofika hapa…




