JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Simanjiro yapitisha bilioni 45/- mpango wa bajeti 2026/2027

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamepitisha kiasi cha 45,136,269,016.60 kwa ajili ya rasimu wa mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027.  Afisa mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Happy…

RITA yatoa mafunzo ya usimamizi wa mirathi, utatuzi wa migogoro kwa viongozi, wazee wa kimila

Na Mwandishi wetu, Katavi Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imeendelea kutoa mafunzo kwa Viongozi wa Serikali wakiwemo Wakuu wa Wilaya, Maafisa Tawala, Maafisa Tarafa, vitongoji pamoja na Wazee wa Kimila kutoka mikoa sita ili waweze kusimamia vizuri migogoro…

TRC yaokoa bilioni 12.9 kila mwaka, Bunge lapongeza

Bunge la Tanzania limeitaka Serikali kulinda na kuendeleza Mradi wa Reli ya Kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR) unaotekelezwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC). Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile Februari 14, 2026 , wakati wa…

Ofisi ya Msajili wa Hazina yahitimisha semina ya siku tano kwa kamati za bunge

Na Mwandishi wa OMH Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imehitimisha semina ya siku tano kwa Kamati za Kudumu za Bunge za Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), iliyofanyika kuanzia Februari 9 hadi…

Waandishi wa habari Afrika wajengewa uwezo kuripoti mabadiliko ya tabianchi

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia – Arusha. Katika kipindi ambacho Tanzania na nchi nyingine za Afrika zinaendelea kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika lisilo la kiserikali la Media for Environment, Science, Health and Agriculture (MESHA) limetoa mafunzo kwa njia…