JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yataja mafanikio ya nishati safi ya kupikia katika Jukwaa la Kimataifa la Irena -Abu Dhabi

*Upatikanaji wa Nishati Safi ya Kupikia waongezeka zaidi ya mara tatu ndani ya kipindi cha miaka minne pekee *Yasema ipo tayari kushirikiana na Taasisi za Kimataifa zinazotoa ufadhili kwa nia ya kupunguza matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia hasa…

Bandari ya Pemba kufungua zaidi milango ya utalii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Pemba ina vivutio vingi vya utalii hivyo ujenzi wa Bandari ya Mkoani, Pemba itafungua zaidi milango katika sekta…

Wananchi Kahama wamshukuru Rais Samia kuwafikishia umeme wa REA

📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vitongoji vyote vilivyobakia vitafikiwa 📌Awasisitiza kutunza na kulinda miundombinu ya umeme 📍Kahama – Shinyanga Wananchi Kata za Wendele na Mwendakulima Wilaya ya…

Kairuki atoa miezi mitatu kwa taasisi zinazohusika na ukusanyaji na usambazaji taarifa binafsi

Na John Walter, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Angela Kairuki ametoa miezi mitatu kwa taasisi mbali mbali ambazo zinahusika na Uchakataji,Ukusanyaji na Usambazaji wa taarifa binafsi kukamilisha usajili wake mara moja. Kairuki amesema kuwa Sheria ya…