Latest Posts
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kutekeleza Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria ya Jamhuri ya Muungano Tanzania imefanikiwa kutekeleza kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwa kuwafikisha huduma hiyo karibu na wananchi wa…
FCC, TCRA kufanya uchunguzi wa bando
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa, amesema taasisi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) hiyo inafanya uchunguzi wa vifurushi vya mtandao (internet) ili kubaini kama wananchi wanarubuniwa katika gharama na…
Waajiri wafurahishwa kuanzishwa mfumo wa Taifa wa kielektroniki wa soko la ajira
Na. OWM – KAM (Dar es salaam) Waajiri kutoka Sekta Binafsi wamefurahishwa na kuipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Wazifri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kuanzisha Mfumo wa Taifa wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko la Ajira (NLMIS) wakieleza…
Prof. Shemdoe aipongeza Manispaa ya Temeke kwa mpango mkakati wa miaka
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa kuandaa Mpango Mkakati wa Maendeleo wa miaka kumi ijayo, akisema ni hatua muhimu…
China yajitolea kupatanisha Mashariki ya Kati
China imejitolea kuwa mpatanishi kwenye mzozo wa sasa wa Mashariki ya Kati baada ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusababisha vita kusambaa kote kwenye eneo hilo. Wizara ya Mambo ya Kigeni ya China imesema kwenye taarifa yake…





