JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuundwa kwa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano yenye wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo ni hatua muhimu katika kuendeleza mchakato wa maridhiano…

Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga

Chengdu,China Kampuni ya Shenghe Resources ya China imeanza ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kuchakata madini madini ya mchanga mzito wa baharini (𝙃𝙚𝙖𝙫𝙮 𝙈𝙞𝙣𝙚𝙧𝙖𝙡 𝙎𝙖𝙣𝙙𝙨) katika eneo la Tajiri,Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga ambapo kampuni hii inatekeleza mradi mkubwa wa uchimbaji…

UDSM kuwa mwenyeji wa mkutano wa AAP 2026

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Mwaka wa 2026 wa Alliance for African Partnership (AAP), utakaowakutanisha viongozi wa vyuo vikuu, wanazuoni, watunga sera, wabunifu, sekta binafsi na washirika wa maendeleo kutoka Afrika na…

CBE Yaanzisha Shahada za Double Degree, Uanagenzi

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha programu mbili mpya za shahada zinazolenga kuwaandaa vijana kuwa wataalamu wenye ujuzi wa kimataifa, teknolojia na uwezo wa kutatua changamoto za kiuchumi na kijamii. Programu hizo ni…

Salome ashiriki ufunguzi wa Gastech 2026 Bangkok

Bangkok, Thailand Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, leo ameshiriki katika ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati wa Gastech 2026, unaofanyika Bangkok, Thailand, ukiwakutanisha viongozi wa Serikali, wataalamu, wawekezaji na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati kutoka zaidi…