JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bilioni 6.8/- zatumika katika usambazaji gesi asilia majumbani Lindi, Mtwara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mkuranga Jumla ya sh bilioni 6.8 zimetumika katika ufadhili wa mradi wa usambazaji wa gesi asilia majumbani katika mikoa ya Lindi na Pwani. Hayo yamebaiika leo Machi 8, 2026 wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya…

Atakayebainika kuuza pembejeo feki kufilisiwa – Dk Mwigulu

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali itachukua hatua kali ikiwemo kufilisiwa kwa yeyote anatakayebainika kuhujumu wakulima kwa kuwauzia pembejeo zisizokuwa na ubora zikiwemo mbegu. Ameyasema hayo leo Jumapili, Machi 08, 2026 alipozungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara…

Waziri Dk Kijaji akagua athari za mafuriko Hifadhi ya Serengeti

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), amewasili katika Hifadhi ya Taifa Serengeti, kukagua na kujionea athari na uharibifu wa miundombinu zilizosababshwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchin ili kuzipata ufumbuzi wa kudumu. Dkt. Kijaji ameambatana na…

Salome : Umeme wa gridi Kigoma umeokoa bilioni 58 za mafuta na matengenezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma na hivyo kuokoa takribani shilingi bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kila…

Mwigulu akagua ukarabati wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga uliopo mkoani Rukwa. ‎Mradi huo ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 60.1 na…

Benki ya Dunia kutoa bilioni 5 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Matavila, ameishukuru Benki ya Dunia kwa msaada wa kifedha na kitaaluma wa kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Akifungua kikao cha Kamati Kuu (National Steering Committee)…