JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

HESLB yatilia mkazo PPP kutanua wigo wa ufadhili wa wanafunzi

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Elimu ni gharama. Elimu ina mahitaji mengi ambayo yanahitaji fedha ili kuyakamilisha ili kupata utulivu wa kujifunza darasani. Serikali inasimamia na kutekeleza kikamilifu Sera ya Elimumsingi bila ada ambapo hutumia fedha nyingi kuwezesha upatikanaji…

UN: Mgogoro mashariki mwa DRC unaongezeka

Kaimu Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa mgogoro katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Kongo, unazidi kuongezeka. Vivian van de Perre amesema…

Trump aongeza muda kusitisha mashambulizi kwa siku 10

Rais Donald Trump wa Marekani amesema Iran ilimwomba asitishe mashambulizi kwa siku saba kwenye biwanda vya nishati, lakini ameipa siku kumi, na Tehran “ikamshukuru sana” kwa hatua hiyo. Awali, Trump alitangaza kwenye mtandao wa Truth Social kwamba ataongeza muda wa…

Serikali yahimiza matumizi ya vyakula vya asili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kujenga afya bora, kuzuia magonjwa, na kusaidia matibabu kwa njia salama na endelevu. Akizungumza jijini Dodoma katika…

Wasira : Chama kitaendelea kusimama imara na kuleta maendeleo

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kitaendelea kusimama imara kuwaletea maendeleo Watanzania kwa kuwa ndilo jukumu lake la msingi. Aidha, amewataka wana CCM kutambua kuwa uchaguzi una gharama na moja…

Wanafunzi sekondari Mnazi Mmoja washauriwa kuwa mabalozi wa haki za mlaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Ushindani (FCC) leo Machi 26, 2026 imetoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mnazi Mmoja iliyopo jijini Dar es Salaam kuhusu kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja…