JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TEA yawahimiza wadau wa maendeleo kuwekeza katika elimu ya amali

Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imezitaka taasisi za maendeleo, sekta binafsi na wananchi wenye uwezo kujitokeza kuchangia Mfuko wa Taifa wa Elimu ili kuongeza rasilimali zitakazowezesha kuboresha miundombinu ya elimu na kuimarisha uwekezaji katika…

Sheria ina thamani pale inapobadilisha maisha ya watu – Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S.Johari amesema kuwa, Sheria zinapaswa kutumika kama nyenzo ya kuharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa kufungua fursa, kuongeza uwajibikaji, kuvutia uwekezaji, kuongeza mapato ya Serikali, kuboresha elimu na afya. Mwanasheria Mkuu wa Serikali…

Tanzania Kinara wa Hifadhi ya Graphite Afrika, Mahitaji ya Lithium Yaendelea Kuongezeka Duniani

📍Dar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini muhimu ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth…

Mbunge Asha Moto aipongeza Serikali-uwekezaji gesi asilia

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mtwara, Mhe. Asha Moto, amepongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza katika sekta ya gesi asilia kupitia TPDC, alisema uwekezaji huo unachangia ukuaji…

Kikwete ateta na Ban Ki- Moon kuboresha elimu duniani

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari (Dkt) Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Ban Ki-moon, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu kukuza elimu ya awali na msingi duniani kupitia Taasisi ya Kimataifa…

WSIS 2026 yataitambua Tanzania kwa kuwafikishia watu mawasiliano

Na Prosper Makene Geneva, Uswisi, Julai 09, 2026 – Tanzania imepewa heshima ya kimataifa baada ya kutunukiwa Tuzo ya WSIS Prizes 2026 kutokana na mafanikio ya mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano. Mradi huo umefanikiwa kupeleka huduma za…