JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CRDB yawataka wananchi kuchanja kidigitali ili kushinda safari ya kungalia kombe la Dunia

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya CRDB imewataka wananchi kuchanja kidital ili kushinda safari ya kwenda kungalia kombe la Dunia Akizungumza na waandishi wa habari mkurugenzi wa wateja wadogo na wakati Boniventure Paul ,alipokuwa akizindua kampeni ya…

Mbarawa aipongeza TASAC

N Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limepongezwa kwa mafanikio na kuwaleta wadau mbalimbali pamoja na watoto yatima na kuwapatia Iftar . Akizungumza katika hafra ya Iftar na dua iliyoandaliwa na TASAC kwenye…

Wanawake watatu wapata fursa ya kupandikizwa mimba bure kituo cha Kairuki (KGIVF)

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAWAKE watatu wamebahatika kupata fursa ya kupandikiza mimba bure katika kituo cha kupandikiza mimba cha Kairuki Green IVF (KGIVF), Kilichoko Bunju A Mianzini jijini Dar es Salaam. Walipata fursa hiyo jana jioni wakati…

Dk Mataragio : Miradi sekta ya mafuta asilia ikamilike kwa wakati

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha kuwa miradi ya mafuta na gesi asilia inayoendelea nchini inatekelezwa na kukamilika kwa wakati ili…

Tanzania, Uganda zasaini makubaliano kuimarisha ushirikiano wa kimkakati reli ya SGR

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi kufuatia kusainiwa kwa Hati ya Makubaliano (MoU) wakati wa Mkutano wa Tano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu (JPC) uliotamatika…