Latest Posts
Mipango mbioni kuanzisha kituo cha Kimataifa cha huduma za kifedha hapa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara ( TNBC) imesema kuwa mipango ipo mbioni kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Kuduma za kifedha ( IFC) hapa nchini ili kuvutia uwekezaji wa fedha na mitaji…
Ardhi imekwisha umebaki, udongo wa kuzikia
Na Bituro Kazeri, JamhuriMedia, Dar es Salaam Biblia ni miongoni mwa vitabu vya kale zaidi vilivyowahi kusomwa na binadamu. Ndani yake kuna hazina kubwa ya maarifa yanayoweza kumsaidia mtu kuelewa maisha, uumbaji na wajibu wa binadamu kwa mazingira yanayomzunguka. Miongoni…
Vijana Muheza walivyotoa kicheko kwa kamati ya Bunge
*Waziri Nanauka apewa Maua yake *Mali Hai waiheshimisha Muheza Na Byarugaba Innocent,ORMV Ni takribani umbali wa kilometa 510 kwa mwendo wa gari Km 80 kwa saa unafikisha saa 11 njiani kutoka Dodoma Makao Makuu ya Serikali kufika Tanga.Ni safari iliyopambwa…
Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa nchi ya Msumbiji
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha Msaada huo umekabidhiwa Machi 24, 2026 na Waziri wa Mambo…





