JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Maafisa Usafirishaji wapewa elimu, vifaa kinga kukabiliana na ajali

KAMPENI maalum ya “Kuwa Makini Okoa Maisha” kwa madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda imeanza rasmi mkoani Dar es Salaam, ikiwa na lengo la kuwapatia elimu ya usalama barabarani pamoja na vifaa kinga ili kuchangia kupunguza ajali na vifo vinavyotokana…

Mawaziri Afrika wakubaliana kufanya mageuzi kiuchumi, viwanda kuondoa vikwazo vya biashara

Na Saidina Msangi, WF, Abidjan Nchi za Afrika zimekubaliana kuweka kipaumbele katika ufadhili wa viwanda vinavyotegemea rasilimali za ndani ikiwemo madini na kuhakikisha kuwa zinaongeza thamani ya bidhaa na kuimarisha biashara ya ndani ya bara ili kujenga maendeleo jumuishi, endelevu…

RC Makalla afanya mazungumzo na Balozi wa Japani nchini

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mhe. Balozi Mikami Yoichi, alipomtembelea ofisini kwake leo Alhamisi Julai 24, 2026. Mhe. Balozi na Mkuu wa mkoa wa Arusha, mazungmzo yamelenga kuendelea…

Serikali kuimarisha ubora wa huduma wagonjwa mahututi

Na Cletus Sanga, WAF – Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Clinton Health Access Initiative (CHAI) imeendelea kuimarisha ubora wa huduma za wagonjwa mahututi nchini kwa kukamilisha kuandaa miongozo ya huduma za wagonjwa mahututi na…

Polisi Ngara wawafikia watoto yatima kupitia vituo vya malezi

Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera, limeendelea kuwafikia wananchi na makundi mbalimbali yenye uhitaji katika jamii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na jamii, kutoa elimu pamoja na kuwajulia hali wananchi wanaolitegemea Jeshi hilo katika ulinzi wao na…

Madaktari bingwa wafanikisha kutoa uvimbe nyuma ya shingo ya mtoto wa miaka minne

Na Andrea Kadege, WAF-Arusha Kambi ya Madaktari bingwa wa upasuaji inayoendelea katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Arusha, Mount Meru, leo Julai 24, 2026 imefanikiwa kuondoa uvimbe kwa mtoto wa kiume mwenye miaka minne ambaye alizaliwa na tatizo hilo. Akizungumza…