Latest Posts
Nyamka : Viongozi ngazi ya chini watakiwa kuwafikia na kuwahudumia wananchi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwalimu Mwajuma Nyamka, ametoa wito kwa viongozi wa Serikali za Mitaa na chama ngazi ya chini kuwafikia wananchi, kuwahudumia pamoja na kuwapa taarifa kuhusu mipango ya serikali…
Mwenyekiti CCM Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachokutana Jijini Dar Es Salaam leo Jumanne…
Serikali yamwaga mil.100/- yapunguza msongamano Hospitali ya Jiji Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imetoa Sh milioni 100 kwa ajili ya ununuzi wa bidhaa za afya ikiwemo dawa na vifaa tiba pamoja na vitendanishi kuhakikisha huduma zinatolewa kwa ufanisi Zaidi. Hayo yameelezwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya…
Mei Mosi 2026 kufanyika viwanja vya Dole
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar WAZIRI wa Kazi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kwa mwaka 2026 kitafanyika kitaifa katika Viwanja vya Dole, Mkoa wa Mjini Magharibi. Akitoa taarifa kwa waandishi…
Kagera kunufaika na mpango wa Mkoa wa Afya Moja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera KAIMU Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Bw. Salum Kimbau amesema maandalizi ya Mpango wa Afya Moja kwa mkoa wa Kagera utaunufaisha mkoa huo kwa kuzingatia malengo yake ya kuboresha uratibu na utekelezaji wa Dhana…
TCDC yashiriki zoezi la upandaji miti Njombe
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Njombe,Kamati ya Michezo ya Meimosi, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeshiriki zoezi la upandaji miti lililofanyika katika eneo la Ofisi ya Mkuu…





