JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mabanda ya NMB yavuta mawaziri na wananchi Maonesho ya Nane Nane

Mabanda ya Benki ya NMB yanaendelea kuwa miongoni mwa vivutio vikuu katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika kanda mbalimbali nchini, huku mawaziri, viongozi wa Serikali na maelfu ya wananchi wakitembelea kujionea suluhisho za kifedha zinazowezesha kilimo, mifugo, uvuvi na…

Mzumbe yatoa ushauri wa uchaguzi wa kozi Mlimani City

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM CHUO Kikuu Mzumbe kimewahimiza wanafunzi na wazazi kutumia fursa ya kambi maalumu ya udahili inayoendelea katika viwanja vya Mlimani City ili kupata ushauri wa kitaaluma na kufanya maamuzi sahihi kuhusu uchaguzi wa kozi za…

eGA yaibua mifumo ya kidigitali inayochochea mapinduzi ya kilimo

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Matumizi ya teknolojia ya kidijitali yanaendelea kubadilisha sekta ya kilimo nchini, huku Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) ikieleza kuwa imebuni na kuendeleza mifumo mbalimbali inayorahisisha huduma za Serikali, kuimarisha uwazi na kuongeza tija kwa wakulima na taasisi…

TFC yahamasisha matumizi ya mbolea kwa tija kwa kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahimiza wakulima nchini kuachana na dhana potofu kuhusu matumizi ya mbolea, ikisisitiza kuwa kilimo cha kisasa kinahitaji matumizi sahihi ya mbolea ili kuongeza uzalishaji na tija mashambani. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Uendeshaji Biashara…

TFC yawekeza kiwanda mbolea, yalenga kupunguza uagizaji nje

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imeanza utekelezaji wa mpango mkubwa wa kuongeza upatikanaji wa mbolea nchini kwa kuagiza tani 200,000 za mbolea kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, sambamba na uwekezaji katika viwanda vya kuchanganya mbolea…

Tanzania yatajwa kuwa nguzo ya thamani katika mnyororo SADC

DURBAN – AFRIKA KUSINI Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amezishauri nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuwekeza zaidi katika maendeleo ya viwanda na miundombinu ili kuwawezesha wanawake na vijana kushiriki…