JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TAMISA yashiriki Kongamano la madini Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu, Indaba, Afrika Kusini Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kinashiriki katika Kongamano la Kimataifa la Madini ( Mining Indaba 2026) linaloendelea jijini Cape Town, Afrika Kusini, kwa lengo la kuendeleza na kuimarisha sekta…

Nyumba 280 zaezuliwa na upepo ulioambatana na mvua Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema takriban nyumba 280 zimeezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa iliyonyesha mwanzoni mwa mwezi huu wilayani Rufiji mkoani humo. Kunenge aliyasema hayo alipokuwa akizungumza wilayani humo,…

Rais Samia aondoka nchini kushiriki mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi wa Umoja wa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameondoka nchini leo tarehe 12 Februari 2026 kuelekea Addis Ababa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Shirikisho la Ethiopia, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi…

Msichana wa miaka 18 aua watu sita akiwemo mama yake kwa shambulio Canada

Polisi nchini Canada imethibitisha kuwa msichana mwenye umri wa miaka 18 ndiye aliyefanya shambulio la risasi na kuua watu sita katika shule ya Tumbler Ridge, baada ya kumuua mamake mzazi na kaka yake wa kambo. Mshambuliaji huyo alijiua baadaye na…

Burkina faso kujifunza mageuzi ya usimamizi na uendeshaji sekta ya madini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma TANZANIA imeendelea kuimarisha na kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha maarifa na uzoefu katika usimamizi na uendeshaji wa Sekta ya Madini barani Afrika, baada ya kupokea Ujumbe wa kitaalamu kutoka Burkina Faso uliokuja kujifunza mifumo na…