JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndejembi : Bomba la gesi Ntorya Madimba likamilike ifikapo Septemba 2026

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kumsimamia kikamilifu mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asilia kutoka eneo la ugunduzi la Ntorya hadi Kiwanda cha Kuchakata Gesi Asilia cha Madimba…

Makamu wa Rais ashiriki mazishi ya Kardinali Pengo Pugu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili katika Kanisa la Hija ya Bikira Maria – Pugu Jijini Dar es Salaam, ambapo anaungana na waombolezaji kushiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Mazishi ya Askofu…

Tanzania yamwagiwa sifa kwa kulinda haki za binadamu

GENEVA – Wakati mwenendo wa hali ya haki za binadamu katika baadhi ya mataifa duniani ukitajwa kuwa mbaya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemwagiwa sifa kuwa na mwenendo mzuri wa kushughulikia haki za binadamu. Sifa hizo zilitolewa na Kamishna Mkuu…

Serikali yaunga mkono wawekezaji mifuko mbadala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Serikali imesema itaendelea kuwaunga mkono na kuwatia moyo wawekezaji wa viwanda vya kuzalisha mifuko mbadala na vifungashio vyenye viwango, hatua inayosaidia jamii kuachana na mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri…

Rock Block yachochea mapinduzi ya ujenzi Kilimanjaro

📍Rombo, Februari 28, 2026 MGODI wa Rock Block uliopo Wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, umeendelea kuwa kichocheo cha mageuzi katika Sekta ya Madini ya Ujenzi kwa kuzalisha ajira 122 na kuiingizia Serikali zaidi ya Shilingi milioni 400 katika kipindi cha miaka…