Latest Posts
CRDB yashirikiana na Kids’ Holiday Festival kukuza elimu ya fedha kwa watoto
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imeingia makubaliano ya ushirikiano na Kids’ Holiday Festival kwa lengo la kuandaa matamasha ya watoto yatakayolenga kuwawezesha kukuza maarifa katika masuala ya fedha, uwekezaji na akiba, hatua inayolenga kujenga msingi…
Bandari Dar yavunja rekodi, yapokea meli ya makasha yenye urefu wa meta 304
Maboresho makubwa ya miundombinu yaliyotekelezwa na Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam kupitia Mradi wa Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP) yanaendelea kuzaa matunda, baada ya bandari hiyo kupokea meli kubwa na ndefu zaidi ya makasha kuwahi kutia…
Rais Samia ateta na mzee Joseph Sinde Warioba Ikulu Magogoni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada ya mazungumzo yao, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Desemba, 2025.
Indonesia yaahidi kumaliza msaada wa kukamilisha ukarabati kituo cha mafunzo ya wakulima
Serikali ya Indonesia imeahidi kutimiza ahadi yake ya kumalizia utoaji wa kiasi cha fedha za msaada kilichosalia kwa ajili ya kukamilisha ukarabati wa Kituo cha Mafunzo ya Wakulima Vijijini (FARTC) kilichopo Mikindo mkoani Morogoro. Ahadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa…
Makamu wa Rais amwakilisha Rais Samia mkutano wa dharura wa SADC
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa…





