Latest Posts
Rais Dk Mwinyi akutana na Rais Ndayishimiye Ikulu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye, aliyeambatana na Mkewe, Mhe. Angeline Ndayishimiye, pamoja na ujumbe wake, leo tarehe 09 Septemba 2026, Ikulu…
Dk Muyungi aitaka Afrika kutumia fursa ya madini
Na Mwandishi Wetu ADDIS ABABA, Ethiopia, Septemba 2026 — “Afrika inapaswa kutumia utajiri wake wa madini muhimu kujenga viwanda, kuongeza uzalishaji wa umeme na kuunda ajira ndani ya bara, badala ya kuendelea kusafirisha malighafi bila kuongeza thamani,” amesema Katibu Mkuu…
TEA yatenga Sh 1.3 bilioni kujenga hosteli IPA Pemba
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imetenga takribani Sh1.3 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa hosteli katika Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar (IPA) Kampasi ya Pujini Pemba, hatua inayolenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia chuoni hapo. Fedha hizo zitatumika…
Nyongo asisitiza ushirikiano kutatua migogoro ya ardhi, kuinua uwekezaji Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesisitiza ushirikiano na viongozi na watendaji katika kutatua changamoto mbalimbali, ikiwemo migogoro ya ardhi, kwa kuzingatia haki, taratibu, kanuni na sheria ili kupata suluhu za kudumu. Nyongo amesema…





