Latest Posts
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei auawa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameuawa katika shambulio kubwa dhidi ya Iran lililofanywa na Israel na Marekani, imesema televisheni ya taifa. Maafisa kadhaa waandamizi pia wameuawa. Kifo hicho kimetilia shaka mustakabali wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu na kuongeza…
Prof. Janabi azindua wodi ya watoto njiti hospitali Wilaya Kwimba, Mwanza
Na George Binagi, Mwanza Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Prof. Mohamed Janabi amezindua wodi ya kwanza na ya kisasa nchini kwa ajili ya watoto njiti, iliyojengwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza. Prof. Janabi amefanya uzinduzi…
Jasi yatikisa Same
📍Same SHUGHULI za uchimbaji wa madini ya Jasi katika vijiji vya Ruvu Jiungeni na Makanya, wilayani Same mkoani Kilimanjaro, zimeendelea kushika kasi huku wachimbaji wadogo wenye leseni zaidi ya 200 wakiungana kuimarisha uzalishaji na usimamizi wa rasilimali hiyo muhimu kwa…
Chongolo asisitiza ulinzi wa mradi wa umwagiliaji Mkombozi kwa manufaa ya Watanzania
📍 NIRC Iringa Waziri wa Wizara ya Kilimo, Daniel Chongolo, amesisitiza ulazima wa kulindwa kwa Mradi wa Umwagiliaji Mkombozi uliopo Pawaga mkoani Iringa, akieleza kuwa uwekezaji huo wa serikali unalenga kuongeza uzalishaji wa mpunga, kuinua kipato cha wakulima na kuchangia…
Dk Nchimbi amwakilisha Rais Samia mazishi ya Kardinali Pengo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Marehemu Mwadhama…
Waziri Kabudi ataka wasomi waandike vitabu vya maisha yao
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Palamagamba Kabudi, amempongeza mwanazuoni mashuhuri wa Tanzania, Keto Mshigeni, kwa kutunga kitabu kinachoelezea maisha yake, akisema ni hazina muhimu kwa kizazi cha sasa na kijacho kujifunza historia…





