JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yatoa wito wa ushirikiano wa kimataifa katika matumizi ya akili unde

Tanzania imezitaka Nchi Duniani kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika maendeleo na usimamizi wa Akili Unde (AI) ili kuhakikisha mataifa yote yananufaika kwa usawa na fursa zinazotokana na teknolojia hiyo. Wito huo umetolewa leo tarehe 6 Julai, 2026 na Waziri wa…

Viongozi wa vijiji waonywa kujihusisha na uuzaji wa ardhi kiholela

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Misungwi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amewatahadharisha viongozi wa vijiji nchini kuacha kujihusisha moja kwa moja na uuzaji wa ardhi bila kufuata taratibu za kisheria, akisema tabia hiyo imekuwa…

MMS atembelea wadau Maonesho ya SABASABA 2026

Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, akisaini kitabu cha wageni alipowasilikwemye viwanja vya maonyesho vya Mwalimu Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa Dar es Salaam Julai 6, 2026. Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia), akisalimiana na Dkt. Garvin…

Wizara ya Madini, taasisi za elimu zajadili uanzishwaji kituo cha umahiri wa madini mkakati Tanzania

-Taasisi ya BRIGHT yawasilisha mpango wa kuanzisha Kituo cha Umahiri wa Teknolojia ya Betri DODOMA – Wizara ya Madini imeanza hatua za mwanzo za kujadili uanzishwaji wa Kituo cha Umahiri wa Madini Mkakati kitakacholenga kutoa mafunzo ya teknolojia ya kuongeza…

Balozi Kaganda awasilisha hati za utambulidho kwa Rais wa Mauritius

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Mauritius, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, mwenye makazi yake ya kikazi Jijini Harare, Zimbabwe, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Mauritius, Mhe. Dharambeer Gokhool, katika hafla iliyofanyika Julai…

Mndolwa atangaza mkakati mpya wa kusafirisha mitambo ya visima virefu kunusuru mikoa yenye ukame

📍NIRC: DODOMA Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeanza kuweka mikakati ya jinsi ya kusafirisha mitambo yake mikubwa ya kuchimba visima virefu kwenda maeneo mbalimbali nchini, hususani yale yenye changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji chini ya ardhi, mara baada…