Latest Posts
Serikali kuendelea kuboresha vituo vya maarifa nchini
Na Mwandishi Wetu, Pwani SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuboresha Vituo vya Maarifa nchini, hususan vile vinavyotoa huduma kwa madereva wa malori ya masafa marefu kuhusu masuala ya…
Mpina ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu Kivuli pamoja na Waziri wa Nishati na Madini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, ametangaza baraza jipya la mawaziri kivuli na kumteua Luhaga Mpina kuwa Naibu Waziri Mkuu Kivuli pamoja na Waziri wa Nishati na Madini. Uzinduzi wa baraza hilo umefanyika Mei 18,…
Ofisi ya Msajili wa Hazina yafanya mazungumzo na Balozi wa China
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina imekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, pamoja na ujumbe wake, katika kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, uwekezaji na mageuzi ya mashirika…
Dk Maghembe azindua kongamano la vijana, asisitiza nafasi ya vijana katika maendeleo endelevu
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe (Mb) amemwakilisha Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye uzinduzi wa Kongamano…





