JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Siku 100 za Rais Samia zaleta neema Igunga

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SIKU 100 baada ya kuingia madarakani katika awamu ya pili ya uongozi wake, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameleta neema kwa wakazi wa Mji wa Igunga Mkoani hapa kwa kuwawezesha kupata huduma ya maji kwa…

Spika Zungu: ofisi ya spika haijatoa kibali chochote kwa wabunge kuhojiwa na TAKUKURU

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema hadi sasa Ofisi ya Spika haijapokea taarifa yoyote ya wito wala kutoa kibali cha mbunge yeyote kwenda kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia…

Serikali yaipunguzia sekta ya habari mzigo wa tozo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeanza kuchukua hatua za makusudi kupunguza mzigo wa tozo na ada katika sekta ya vyombo vya habari, kufuatia kilio cha wadau kuhusu mdororo mkubwa wa kiuchumi unaoendelea kuzikumba taasisi za utangazaji tangu janga la…

Dk Mwigulu ataka ushirikiano wa kikanda kwenye mapambano dhidi ya saratani

▪Asisitiza Tanzania itaendelea kuwa kituo bora cha ushirikiano wa kikanda na Afrika ▪Asema shilingi bilioni 18.5 zimetengwa kwa ajili ya uanzishaji wa huduma za PET-CT Scan na mashine ya Cyclotron ▪Asema Tanzania inalenga kupunguza vifo vitokanavyo na saratani kwa angalau…

TMA, wadau wajadili njia za kufikisha taarifa za hali ya hewa kwa wakati kwa wakulima

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa kushirikiana na Norges Vel na Mpango wa Chakula Duniani (WFP), imekutana na wadau mbalimbali kujadiliana namna ya kufikisha taarifa za hali ya hewa kwa wakati kwa wakulima. “TMA itaendelea kushirikiana na wadau…

TAMISA yashiriki Kongamano la madini Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu, Indaba, Afrika Kusini Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kinashiriki katika Kongamano la Kimataifa la Madini ( Mining Indaba 2026) linaloendelea jijini Cape Town, Afrika Kusini, kwa lengo la kuendeleza na kuimarisha sekta…