Latest Posts
Dk Chang’a afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO)
Geneva, 27 Februari 2026 Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (World Meteorological Organization – WMO) Prof. Celeste Saulo ameahidi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) katika kuboresha huduma za hali ya hewa kwa…
Waziri Mkuu aagoza jedwali la utekelezaji wa utatuzi wa kero za wananchi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani,…
Rais Samia azungumza na ujumbe wa Taasisi ya Keep a Child Alive kuimarisha huduma za afya
Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza mazungumzo yake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa kukutana na ujumbe wa Taasisi ya Keep a Child Alive inayoongozwa na mwanamuziki wa Marekani Alicia…





