Latest Posts
Kamati ya Bunge Nishati na Madini yashangazwa na teknolojia ya kituo cha uchenjuaji dhahabu cha Katente
Bukombe , Geita Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wameonyesha kuridhishwa na kushangazwa na kasi ya teknolojia inayotumika katika Kituo cha Mfano cha Uchenjuaji Dhahabu cha Katente, kilichopo wilaya ya Bukombe, mkoani Geita. Hayo yamebainishwa…
Waziri Mkuu asisitiza amani, maadili na ushirikiano na taasisi za dini
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada…
Makamu wa Rais ashirii Misa Takatifu ya Jumapili ya nne ya Kwaresma Songea
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na Waumini mbalimbali katika Misa Takatifu ya Jumapili ya Nne ya Kwaresma, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Leo tarehe…
Marekani yazidisha mashambulizi, Iran yaapa kutosalimu amri
Marekani imesema imeyashambulia maeneo zaidi ya 90 ya kijeshi ya Iran katika kisiwa cha Kharg, huku Iran nayo ikijibu mashambulizi hayo kwa kufyetua makombora na droni kuelekea Israel na katika nchi jirani za Ghuba. Kamandi kuu ya jeshi la Marekani…
Serikali yaipongeza Bodi ya Mikopo kuendelea kuwafikia wanafunzi wengi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Denis Londo amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwekezaji katika elimu ya juu ili kuwajengea vijana uwezo wa kushindana katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Akizungumza…
TRC yaanza kuunda vichwa vya treni za MGR nchini
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, imelitolea wito Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuendelea kuwajengea uwezo vijana wa Kitanzania wanaounda na kukarabati vichwa vya treni za MGR, kwa kuwapa mafunzo thabiti ndani na nje ya nchi ili kuongeza maarifa,…





