JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Punguzo la tozo TPA, waendesha bandari kavu wafichua fursa

Umoja wa Waendesha Bandari Kavu Tanzania (CIDAT) umebainisha kuwa uamuzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) wa kupunguza ada ya Uendelezaji wa Miundombinu Mipya ya Bandari (PID) kutoka asilimia 9 hadi asilimia 4.5 ya kodi ya forodha utakuwa…

Trump asitisha mashambulizi Iran

RAIS wa Marekani Donald Trump alisema alisitisha shambulio lililokuwa limepangwa dhidi ya Iran ili kutoa nafasi kwa mazungumzo mapya ya kidiplomasia, huku akieleza kuwa bado kuna uwezekano wa kufikiwa kwa makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran. Trump alisema viongozi…

Dk Mwigulu : Serikali kuangalia upya sheria za uhifadhi na mipaka na hifadhi

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Serikali inayowajibika kwa wananchi na ipo tayari kuyafanyia kazi maoni yote yaliyotolewa na Wabunge kuhusu Sekta ya Maliasili na Utalii. Waziri…

TMA, BRAC wajadili mikakati kuimarisha taarifa za hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na BRAC Maendeleo Tanzania walifanya kikao Makao Makuu ya TMA jijini Dodoma, wakijadili mikakati ya kuimarisha usambazaji na matumizi ya taarifa za hali ya hewa nchini. Kikao hicho…

DUCE, Global Education Link waungana kuwaandaa vijana kwa maisha ya baadaye

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) na Wakala wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) wamesaini ya kuwatafutia fursa mbalimbali za kilaaluma wanafunzi a chuo hicho. Makubaliano hayo…