JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TRC yaanza rasmi usafirishaji mizigo kwa kutumia container carriers SGR

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza rasmi usafirishaji wa makasha kwa kutumia reli ya Standard Gauge, hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano wa mizigo bandarini na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwenda mikoa ya kati ya nchi. Akizungumza wakati…

Tume ya Uchunguzi yakutana na Waziri wa Mambo ya Nje

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 17, 2026 imekutana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo…

Polisi watinga Ofisi za CUF Buguruni, Sakaya apinga uamuzi wa msajili

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam POLISI wametia mguu katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) zilizopo Buguruni na kuweka ulinzi mkali kufuatia kundi la watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa chama hicho kuingia wakiwa na mabango na…

Wajasiriamali Jimbo la Mtumba kukopeshwa bilioni 2 za mtaji

▪️Ni kwa ushirikiano wa Ofisi ya Mbunge na CRDB FOUNDATION ▪️Zaidi ya Wananchi 3000 kunufaika na mpango huu ▪️Mbunge Mavunde awataka wanamtumbu kuchangamkia fursa ▪️Mradi mkubwa wa kilimo upo njiani Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtumba Mbunge wa Jimbo la Mtumba…

Dk Mwigulu : Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili kukidhi ushindani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili iweze kukidhi ushindani wa kibiashara uliopo katika bandari za mwambao wa Bahari ya Hindi. Akizungumza Februari 16, 2026 wakati wa ziara…

Serikali yazindua awamu ya kwanza ya mradi wa kupeleka nishati safi ya kupikia

📌Unahusisha Shule za Sekondari 52 na Chuo kimoja cha VETA 📌Ni sehemu ya mradi wa Shilingi bilioni 25.8 wa kupeleka nishati safi ya kupikia kwa taasisi 453 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua awamu ya kwanza ya mradi…