JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

ACP Livingstone afungua mafunzo maalum kuimarisha usalama barabarani mikoa ya Nyanda za Juu Kusini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Nicholas Livingstone, Februari 26, 2026 amefungua rasmi mafunzo maalum ya siku tatu kwa askari wa usalama barabarani pamoja na madereva, yenye lengo la…

Leminatha Kabigumila; Mwanamke mchimbaji kutoka changamoto hadi tuzo Mining Indaba

Na Asteria Muhozya Tanzania ilishiriki kikamilifu kwenye Kongamano la Kimataifa la Mining Indaba lililofanyika Februari 8 -12, 2026 nchini Afrika Kusini huku ujumbe wake ukiongozwa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde na kuwakilishwa na vyama mbalimbali vya wachimbaji, taasisi…

Zanzibar kuanzisha mfumo wa biashara ya Kaboni

……………………………… OFISI ya Makamu wa Kwanza wa Rais na kampuni ya Tulive Private Equity Limited ya Namibia zimetiliana saini hati ya mashirikiano (MoU) katika kuanzisha utaratibu wa kusimamia biashara ya kaboni kwa sekta za usafiri wa anga na bahari katika…

Biashara ya Kaboni yanufaisha wananchi Karagwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Karagwe Wananchi zaidi ya 100,000 wameanza kunufaika na biashara ya kaboni kupitia mradi wa kilimo mseto unaotekelezwa katika Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera. Hayo yamebainishwa wakati wa ziara ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais…

Kiteto waahidiwa mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na nyumba la wilaya

Na Munir Shemweta, Kiteto Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Leonard Akwilapo ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la wilaya ya Kiteto mkoani Manyara. Dkt Akwilapo alitoa ahadi hiyo leo tarehe 26 Februari…

Kamati ya uongozi wa mradi wa JNHPP yakagua maendeleo ya Bwawa la Julius Nyerere

*Yasema mradi umesimamiwa na kutekelezwa kwa ufanisi *Yasisitiza ni kichocheo muhimu katika fursa za kiuchumi na kijamii Kamati ya Uongozi wa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), tarehe 26 Februari 2026, imekagua maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika bwawa…