Latest Posts
Zuhura Yunus : Wakulima kuweni mabalozi wa mafunzo ya kukuza ujuzi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Zuhura Yunus amewataka wakulima Wadogo na wasindikaji wa zao la Zabibu kuwa mabalozi wa mabadiliko chanya ili kukuza ujuzi wa kuongeza thamani ya…
Mgombea urais NLD Doyo aahidi kuanzisha mkoa mpya wa Kusini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Masasi Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, ameendelea na kampeni zake za lala salama wilayani Masasi, katika viwanja vya Soko la Mkuti, Masasi Mjini. Akiwahutubia mamia ya wakazi wa Masasi, Mhe. Doyo…
Rais Samia:Hakuna maandamano Oktoba 29, nendeni mkapige kura
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania hakutakuwa na maandamano Oktoba 29 na kuwataka wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura bila wasiwasi. Rais Samia ametoa kauli hiyo, wakati akihutubia maelfu ya wakazi wa Wilaya…
Samia: Kuanzia Januari mtaona mabadiliko makubwa mwendokasi
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam kuwa kuanzia Januari mwaka ujao wataanza kuona mageuzi makubwa ya uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi (BRT). Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati wa…
Ulega afunguka miradi Jiji la D’Salaam
Mgombea ubunge Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Sh bilioni 97 kwa ajili ya ujenzi wa daraja la juuu katika eneo la Jangwani, Dar es Salaaam. Ulega ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu…
Dk Mushi: Kufeli sio mwisho wa safari kielimu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZAZI na walezi nchini wametakiwa kutowanyima watoto wao fursa ya kuendelea na elimu nje ya mfumo rasmi pale wanapofeli au kupata ufaulu mdogo katika mitihani yao, kwani huo si mwisho wa safari ya…





