JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Mwinyi : SMZ kuendelea kujenga masoko ya kisasa katika kuimarisha biashara Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea na ujenzi wa masoko ya kisasa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar kwa lengo la kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora, salama na…

Kata za Kirua, Vunjo na Mindu kupiga kura kesho kuchagua madiwani

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mkoa wa…

Mavunde : Serikali imesaidia kuachiwa kwa dereva aliyekuwa amefungwa nchini Sudan Kusini

Waziri Wa Madini na Mbunge wa Mtumba, Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya nje imesaidia kwa kiasi kikubwa katika kuachiwa kwa dereva wa gari la mzigo, Juma Maganga, aliyekuwa amefungwa nchini Sudan Kusini baada…

Serikali kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na ufanyaji biashara nchini

Na Benny Mwaipaja, Mpanda Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), ameihakikishia jumuiya ya wafanya biashara na wajasiriamali nchini kwamba Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao. Mhe. Luswetula ametoa kauli hiyo…

Dk Kisenge : Wananchi 1000 wanufaika na tiba Mkoba Arusha

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge amesema kuwa zaidi ya wananchi 1,000 wa Jiji la Arusha na maeneo ya jirani wamenufaika kupitia Mpango wa Tiba Mkoba wa Dkt. Samia…