Latest Posts
Hospitali ya Shifaa yazindua idara ya kisasa ya mfumo wa upumuaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HOSPITALI ya Shifaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imezindua Idara ya mfumo wa upumuaji inayotumia teknolojia ya hali ya juu kwa magonjwa yanayohusu mfumo upumuaji ambayo ni ya kisasa zaidi kwa hapa…
Fursa mpya za madini zawafikia vijana
đźź Tume ya Madini yatangaza miradi, maeneo ya uchimbaji na mikopo ya uwekezaji kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Madini imetangaza mipango ya miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali kwa vijana katika mwaka wa fedha…
Mnyone ataka viongozi wa taasisi kuwa wabunifu kufanikisha Dira ya 2050
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MKURUGENZI wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ladslaus Mnyone, amewataka viongozi wa taasisi mbalimbali kuwa wabunifu na kuonesha uongozi bora katika kutekeleza majukumu yao ili kusaidia kufanikisha malengo ya…
Rais Samia atoa bilioni 5.2 kuboresha Chuo cha Uhamiaji TRITA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepeleka Kiasi cha Shilingi Bilioni 5.2 kwa Idara ya Uhamiaji ili kuboresha Chuo…
TARURA yakamilisha ujenzi barabara ya Eso – Longdon kwa kiwango cha lami Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imekamilisha ujenzi wa barabara ya Eso–Longdon yenye urefu wa kilomita 1.8 kwa kiwango cha lami katika Jiji la Arusha. Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea…
Kamati ya Bunge Nishati na Madini yashangazwa na teknolojia ya kituo cha uchenjuaji dhahabu cha Katente
Bukombe , Geita Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wameonyesha kuridhishwa na kushangazwa na kasi ya teknolojia inayotumika katika Kituo cha Mfano cha Uchenjuaji Dhahabu cha Katente, kilichopo wilaya ya Bukombe, mkoani Geita. Hayo yamebainishwa…





