Latest Posts
Uhamiaji Pwani yadhibiti mianya ya njia za panya, wahamiaji 1,479 wakamatwa mwaka 2025
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Uhamiaji Mkoa wa Pwani, imejidhatiti kuimarisha doria na misako, na kuweka maofisa wa uhamiaji katika ngazi ya kata ili kudhibiti raia wanaoingia au kupita mkoani humo bila kuwa na vibali halali. Hatua hiyo inalenga kuongeza…
Ngome ya wanawake ACT Wazalendo Machi 8 kuweka tabasamu kwa makundi mbalimbali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Ikiwa imesalia siku kadhaa ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika Machi 8 kila mwaka Ngome ya Wanawake ya Chama cha ACT-Wazalendo imesema siku hiyo wataifanya kwa kipekee kwa kuweka tabasamu kwa…
Intracom kujenga mitambo mitatu zaidi kuongeza uchakataji wa madini ya Phosphate
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara MGODI wa Itracom Fertilizers Limited unaojihusisha na uchimbaji na uchakataji wa madini ya phosphate uliopo katika eneo la Vilima Vitatu Wilayani Babati Mkoani Manyara umeanza ujenzi wa mtambo mpya mkubwa wa kuchakata madini hayo kwa…
Serikali yajivunia mafanikio sektavya uchukuzi
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar Serikali imesema sekta ya uchukuzi ,imeendelea kukua kwa kuongeza patola taifa kutoka asilimia 7.1 hadi 7.5 kwa mwaka 2024. Taarifa hiyo imetolewa na Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu…
Dkt. Jafo afurahishwa na kasi ya Mkandarasi Mradi wa Maji Nyani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Mbunge wa Jimbo la Kisarawe mkoani Pwani, Dkt. Selemani Jafo, ameonesha kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji katika Kijiji cha Nyani, Kata ya Mafizi, akieleza kuwa hatua iliyofikiwa ni ya kuridhisha na…
RC Malima aipongeza REA utekelezaji miradi mikubwa ya umeme
📌Bilioni 7 kuwezesha maeneo 165 ya miji kupata huduma ya umeme Morogoro 📍Morogoro Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa utekekezaji wa miradi ya umeme maeneo ya Vijijini na Vitongoji hali iliyopelekea…




