Latest Posts
TEWW yatakiwa kuimarisha nidhamu na uwazi katika utekelezaji wa majukumu
Na Farida Mangube, Morogoro Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) imetakiwa kuimarisha misingi ya nidhamu, uwajibikaji na uwazi katika utekelezaji wa majukumu yake ili iendelee kuwa chachu ya maendeleo ya elimu endelevu nchini. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Elimu…
Serikali Kofih kuimarisha mapambano dhidi magonjwa ya mlipuko
Na Clement Robert, WAF – Dar es Salaam Wizara ya afya kupitia maabara ya taifa ngazi ya jamii imefanya mapitio ya mradi wa kazi za mwaka wa tatu na shirika la Korea KOFIH wenye lengo la kuijengea uwezo maabara ya…
Majukwa ya usafiri yashiriki kuchangia uchumi Dar
Mwishoni mwa wiki ya Siku ya Wapendanao, Bolt Tanzania ilishuhudia ongezeko la mahitaji ya safari katika jiji la Dar es Salaam, huku maeneo ya Masaki, Oysterbay, Mbezi Beach na Leader’s Club yakionesha kuwa ni vituo vilivyotumika zaidi kushushia na kusafirisha…
Tanzania, India kuimarisha ushirikiano wa kimkakati utekelezaji Dira ya Taifa 2050
Na Peter Haule na Josephine Majura, WF, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania na India zimekubaliana kuendeleza na kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kwa lengo la kusaidia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hayo yameelezwa na Waziri wa Fedha,…
Akofu Mstaafu Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, amefariki
Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, amefariki dunia leo tarehe 19 Februari 2026 majira ya saa 4:00 usiku. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, Kardinali Pengo amefariki akiwa anapatiwa matibabu katika Taasisi ya…





