Latest Posts
Wananchi zaidi ya 13,000 wanufaika na Samia Ardhi Kliniki nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amesema jumla ya wananchi 13,550 wamejitokeza kupata huduma mbalimbali za sekta ya ardhi kupitia Samia Ardhi Kliniki iliyofanyika katika mikoa yote 26 nchini….
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani; TRA yakabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya milioni 40
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 40 kwa ajili ya kusaidia utoaji wa huduma…
SADC yahimiza mtangamano wenye matokeo chanya katika kikanda
Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa…
Museveni azindua Mfumo wa Dhamana ya Forodha EAC, biashara ya kikanda kupata kasi mpya
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, leo amezindua rasmi mfumo wa dhamana ya forodha wa kikanda (EAC Custom Bond) wakati wa Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…
Ruto aaga uenyekiti EAC, apongeza mafanikio ya ushirikiano wa kikanda
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, amepongeza mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda wakati akihitimisha kipindi chake cha uenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Akizungumza katika mkutano…
Iran : Hatutojisalimisha kwa Marekani na Israel
Saa kadhaa baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuitaka Iran “isalimu amri” ili kusitisha vita vinavyoendelea, Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameapa kuwa kamwe taifa lake halitajisalimisha kwa Marekani na Israel. Ameyasema hayo kupitia hotuba yake iliyorushwa na televisheni…





