Latest Posts
Serikali yazidi kuimarisha huduma za watoto njiti nchini
Na WAF, Dodoma Serikali imeendelea kuboresha huduma za watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya wakati (watoto njiti) katika vituo vya afya nchini, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha afya ya mama na mtoto. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Florence Samizi…
Serikali yatoa mikopo ya milioni 600 kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara Halmashauri ya Mji Ifakara Januari 27,2026 imetoa mikopo ya asilimia 10 yenye thamani ya Shilingi milioni 600 ikiwa ni Mikopo ya Asilimia 10 inayotokana na Mapato ya ndani kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu…
Netanyahu : Iran ikivamia Israel, tutajibu kwa nguvu haijawahi kushuhudiwa
Waziri Mkuu wa Israel amesema kuwa iwapo Iran itajaribu kuishambulia nchi yake kwa shambulio la kushtukiza, ataijibu kwa nguvu kali. Benjamin Netanyahu alisema katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu uwezekano wa Iran kuishambulia nchi yake mapema, “Ikiwa Iran itafanya…
Kim : Mipango ya nyuklia itawekwa wazi hivi karibuni
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wakati wa mkutano mkuu wa chama tawala utakaofanyika wiki kadhaa zinazokuja. Shirika la Habari la Korea Kaskazini,…
BoT yaagizwa kuongeza udhibiti wa mikopo umiza
Na Peter Haule, WF, Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Deogratius Luswetula (Mb) ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuendelea kuongeza udhibiti wa mikopo yenye riba kubwa (mikopo umiza) ili wananchi wapate mikopo yenye tija. Ametoa maagizo hayo bungeni jijini…





