Latest Posts
Wanawake Manyara wawatunuku tuzo maalum ya kutambua mchango wa RC Sendiga, Ras Muhaji
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Wanawake wa Mkoa wa Manayara jana Siku ya wanawake Duniani wamemtunukia tuzo Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga, kwa juhudi na umahili wake wa kukuza haki na usawa wa Kijinsia katika Mkoa huo….
Tuzo ya Korani ya kimataifa yaiva
Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kushuhudia utoaji wa tuzo za kimataifa za Korani katika Uwanja wa Benjamini Mkapa tarehe 5 Aprili mwaka huu. Rai hiyo ilitolewa na Shekh mkuu wa Baraza la Waislamu…
Dk Mwigulu : Serikali inatambua uwepo wa watumishi wachapakazi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inatambua uwepo wa watumishi wa umma wanaochapakazi na kuwataka kuendelea kufanya kazi kwa bidii na uadilifu huku wakijiepusha kujiingiza katika makundi ya wazembe, wezi na wanaofanya kazi kwa mazoea. “Serikali haitomuonea mtu,…
Serikali yasisitiza matumizi ya PPP kuchochea maendeleo ya taifa
Na. Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) Serikali inatambua na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public Private Partnership – PPP) kama njia muhimu ya…
Zanzibar yaweka mikakati kuvuna maji ya mvua
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Mhe. Hamza Hassan Juma amesema Serikali imeandaa mradi wa uvunaji wa maji ya mvua kwa kuweka mitaro ambayo yatawezesha maji…
Dk Akwilapo akabidhi baiskeli 10 kwa wenye ulemavu Masasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Masasi Mbunge wa Jimbo la Masasi ambaye pia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amekabidhi baiskeli kumi kwa watu wenye ulemavu wilayani Masasi mkoani Mtwara, ikiwa ni sehemu ya…





