JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sangu: e-Utatuzi italeta mapinduzi katika utoaji haki nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amesema kuwa mfumo mpya wa usajili wa mashauri ya usuluhishi na uamuzi kwa njia ya kidijitali unaofahamika kama e-Utatuzi,…

JAB yaonya waajiri katika vyombo vya habari

Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229, hususan wanapoajiri au kuwasainisha mikataba watumishi wa kada ya habari, ili kuepuka migogoro…

Kamati ya Bunge yaridhika upatikanaji dawa nchini na mipango ya uzalishaji

Na WAF, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeridhishwa na hatua iliyofikiwa ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini hali inayo fikia asilimia 90 ya bidhaa…

Serikali, wadau waweka mikakati kukabili vifo vitokanavyo na uzazi

Na WAF, Dodoma  Serikali kupitia Wizara ya Afya, Idara ya Afya ya Uzazi wa Mama na Mtoto, kwa kushirikiana na Shirika la Thamini Afya wamekutana pamoja na kuweka mikakati utekelezaji wa Mradi wa Ushirikiano wa kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi. …

Serikali kushirikiana na vyuo vikuu kuimarisha uwajibikaji katika utekelezaji wa shughuli za umma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, kupitia Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Serikali, imesaini Hati za Mashirikiano (MoU) na Vyuo Vikuu vinne ambavyo ni Chuo Kikuu cha Dodoma,…

Tanzania yanadi vivutio vyake maonesho ya FITUR nchini Hispania

Nchi ya Tanzania imeendelea kunadi vivutio vyake katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii FITUR( Feria Internacional de Turismo) yanayofanyika katika Kituo cha Maonesho cha IFEMA, jijini Madrid, Hispania. Maonesho hayo yameanza Leo rasmi tarehe 21 Januari 2026. Maonesho ya FITUR…