Latest Posts
Safari za Shirika la Ndege la Brussels Airlines kutoka Brussels – KIA zazinduliwa rasmi
Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya usafiri wa anga na utalii baada ya Shirika la Ndege la Brussels Airlines kuzindua rasmi safari zake za moja kwa moja kati ya Brussels, Ubelgiji na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro…
FCC yawashauri wananchi kutoa taarifa ya bidhaa feki
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Denis Londo, ametembelea banda la Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katika Maonesho ya Kimataifa ya Mbeya City Expo 2026 yanayoendelea katika viwanja vya Uhindini, jijini Mbeya, ambapo alipata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali…
Education Malaysia Global Services yadhamiria Watanzania wapate fursa elimu kwenye vyuo bora duniani
Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Education Malaysia Global Services wameamua kuja hapa nchini na kutangaza vyuo vikuu kutoka nchini Malaysia ili Watanzania wapate fursa ya kupata elimu kwenye vyuo bora duniani. Katika kupata elimu vyuo bora…





