Latest Posts
Hichilema ashinda muhula wa pili Zambia
Rais Hakainde Hichilema ameshinda uchaguzi wa urais Zambia kwa asilimia 60 ya kura, huku mpinzani wake Brian Mundubile akipata asilimia 38 na kudai kuwapo kwa dosari. Rais Hakainde Hichilema amechaguliwa tena kuiongoza Zambia kwa muhula wa pili baada ya kupata…
Serikali kuendelea kuimarisha afua za UKIMWI nchini
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za masuala ya UKIMWI nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau mbalimbali katika kuendeleza mapambano dhidi ya UKIMWI. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…
Sekta binafsi kuchangia asilimia 70 ya dira 2050
Sekta binafsi nchini inatarajiwa kuchangia takribani asilimia 70 ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…
Wazalishaji mkaa mbadala watakiwa kuzingatia ubora, viwango na afya ya mtumiaji
Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Dar es Salaam Wazalishaji wa nishati mbadala ya kupikia, hususan mkaa unaotokana na taka ngumu, wametakiwa kuendelea kutumia teknolojia na mbinu za kisayansi katika uzalishaji ili kuhakikisha bidhaa zao zinakidhi ubora na viwango vinavyokubalika, hatua…
Heche sasa walau unaanza kuijenga CHADEMA
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Bukoba Kwa muda mrefu nimeandika mara kadhaa nikipinga harakati katika siasa na mara nyingi nikiwaeleza wanasiasa vijana, hasa hawa wadogo zetu akina John Heche na wenzake kuwa siasa za dunia hii si za kupambana kwa mikuki,…
Rais Tshisekedi awasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Antoine Tshisekedi Tshilombo, amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, kuanzia tarehe 17 hadi 18 Agosti 2026, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….





