Latest Posts
Serikali kushirikiana na vyuo vikuu kuimarisha uwajibikaji katika utekelezaji wa shughuli za umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, kupitia Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Serikali, imesaini Hati za Mashirikiano (MoU) na Vyuo Vikuu vinne ambavyo ni Chuo Kikuu cha Dodoma,…
Tanzania yanadi vivutio vyake maonesho ya FITUR nchini Hispania
Nchi ya Tanzania imeendelea kunadi vivutio vyake katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii FITUR( Feria Internacional de Turismo) yanayofanyika katika Kituo cha Maonesho cha IFEMA, jijini Madrid, Hispania. Maonesho hayo yameanza Leo rasmi tarehe 21 Januari 2026. Maonesho ya FITUR…
Wajadili changamoto, mikakati ya kuboresha sekta ya elimu nchini
Na. Farida Ramadhan, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe.Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo Ujumbe kutoka Wizara ya Elimu Sayansi Na Teknolojia ikiongozwa na, Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Prof. Adolf Mkenda (Mb), katika Ofisi za Wizara…
Kamati ya miundombinu yasisitiza kipaumbele kwa makandarasi wazawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeisisitiza Wizara ya Ujenzi kuendelea na mkakati wa kuinua na kuwasaidia Makandarasi wazawa ili kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa miradi ya mbalimbali ya ujenzi nchini. Hayo yameelezwa na…
Watumishi Hospitali ya Benjamin Mkapa wajengewa uwezo matumizi sahihi na usalama katika TEHAMA
Na Jeremia Mwakyoma- BMH Akiwasilisha mada hiyo katika kikao cha mafunzo kwa watumishi hao Afisa Ulinzi wa TEHAMA na Data wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Ndg. Adelhelm Adrehelm Oddo amesema kuwa mafunzo hayo yana umuhimu mkubwa kwa watumishi. ”Mitandao,…
Wapiga kura 38,151 wa kata za Malangali na Mzinga kuwachagua madiwani kesho
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jumla ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa marudio katika Kata za Malangali iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa na Mzinga iliyopo katika…





