Latest Posts
Siku 100 za Dk Samia zaweka historia ujenzi wa miundombinu nchini
📌Serikali yatoa zaidi ya Shilingi Bil 500 kulipa makandarasi‎ ‎Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imeweka historia mpya katika eneo la King’ori, jijini Arusha na maeneo mengine nchini kwa kuweka tumaini jipya kwa wananchi kupitia…
Serikali kufungua fursa za ajira kupitia mikataba mitano
*Mikataba 16 ya Ajira Kimataifa ipo Katika Hatua za Mwisho Serikali Kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano imesaini Mikataba Mitano ambayo itawawezesha wananchi kupata ajira Nje ya Nchi. Hayo yamesemwa Februari 7, 2026 Jijini Dar es…
Prof. Shemdoe aridhishwa na maandalizi ufunguzi soko la Kariakoo
Na OWM- TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe ameridhishwa na hatua iliyofikiwa ya maandalizi ya ufunguzi Soko Kuu la Kariakoo lililopo Ilala Jijini…
Mkoa wa Dar es Salaam kuanzishwa tuzo maalumu shule zitakazofanya vizuri kiitaifa
Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametangaza kuanzishwa kwa tuzo maalum zitakazotolewa kwa shule zitakazofanya vizuri katika matokeo ya jumla ya kitaifa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuinua kiwango cha elimu…





