Latest Posts
Iran : Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazotekeleza kizuizi cha majini dhidi ya Iran. Kauli hiyo inakuja baada ya maafisa wa Iran kudai…
Ndejembi, usiwaache marafiki zako wa zamani
Na Deodatus Balile, JahuriMedia, Bagamoyo Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Mti haujinyanyui, huinuliwa na mizizi yake.” Maana yake ni kwamba, unapofika mahali fulani katika maisha, usisahau watu waliokuwa sehemu ya safari yako. Madaraka yanaweza kubadilika, nafasi zinaweza kubadilika, lakini urafiki…
TCMA yawaonya watoa huduma za afya wanaogeuza wagonjwa kuwa vitega uchumi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Watoa huduma za afya nchini wametakiwa kuzingatia maadili, uadilifu, huruma na utu katika kuwahudumia wagonjwa na kuacha mtazamo wa kuona ugonjwa wa mtu ni fursa ya kujipatia fedha. Rai hiyo imetolewa na Askofu Mkuu wa Kanisa la…
Uwekezaji kwa vijana ni msingi wa viongozi bora
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM VIJANA nchini wametakiwa kupewa mafunzo ya uongozi tangu wakiwa katika umri mdogo ili kuwaandaa kuwa viongozi wenye maadili, uwajibikaji na uwezo wa kuongoza katika nyanja mbalimbali, hatua inayolenga kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa…
Serikali yatenga bil. 67.9/- kuboresha miundombinu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imefikisha wanafunzi 37,397 katika mwaka wa masomo 2025/26, kutoka 24,494 mwaka 2021/22, sawa na ongezeko la asilimia 52.7, huku Serikali ikiwekeza Sh67.9 bilioni katika kuboresha miundombinu ya taasisi hiyo katika kipindi…





