Latest Posts
EWURA, TRA kuimarisha ushirikiano
Watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na wenzao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), leo 23 Desemba 2025, wamekutana na kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa utendaji hususani katika usimamizi wa masuala ya kikodi…
DC Mpogolo: Ilala wanafanyakazi kwa umoja na mshikamano
Na Heri Shaaban, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, amesema Wilaya ya Ilala, wanafanya kazi kwa umoja na mshikamano Watendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na Wabunge wa vyama vyote siasa katika kumsaidia Rais wa Jamhuri ya…
Serikali kuanzisha jukwaa la kidigitali kwa vijana
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Maendeleo ya Vijana imeazimia kuanzisha jukwaa la kidijitali la huduma jumuishi (youth digital one stop platform) ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa za ajira, mafunzo, fursa za mikopo, masoko, na huduma nyingine…
Serikali yasisitiza usalama ,mapato mpakani Mutukula
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo cha Forodha cha Pamoja cha Mutukula kilichopo wilayani Misenyi mkoani Kagera ambapo ni mpaka kati ya nchi…
Uongozi wa APRM wakutana na viongozi wa vyuo vikuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Dar es Salaam Katibu Mtendaji wa Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika wa Kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) Tanzania, Lamau Mpolo, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa wanafunzi kutoka vyuo…





