JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndejembi mfano wa mwanasiasa aliyepanda hatua kwa hatua

Deo Ndejembi ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamepanda hatua kwa hatua katika uongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ndejembi alianza kujijenga kisiasa kupitia UVCCM, kabla ya kuingia kwenye nafasi za uongozi wa Serikali. Mwaka 2016, aliteuliwa kuwa Mkuu…

Tume ya Umwagiliaji, Tume ya Mipango zaunganisha nguvu kuimarisha utekelezaji miradi

📍Dodoma, Tanzania Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imekutana na Tume ya Taifa ya Mipango,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji; kwa lengo la kujadili namna bora ya kuoanisha mipango, miradi na utekelezaji wa shughuli zake ili kuongeza tija katika utekelezaji wa…

Watu 1,500 wapotea katika mafuriko Nepal na China

TAKRIBAN watu 1,500 hawajulikani walipo nchini Nepal na katika eneo la Tibet nchini China, baada ya maporomoko ya barafu, miamba na udongo kusababisha mafuriko makubwa yaliyosomba makazi, barabara na madaraja katika eneo la Himalaya. Polisi nchini Nepal walisema zaidi ya…

‘Zanzibar haitafikia maendeleo ya kweli bila Baraza imara la Wawakilishi ‘

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia maslahi ya Umma na matakwa ya Wananchi. Amesema Zanzibar katu haitonyooka hadi kuwepo na Baraza madhubuti…

Watanzania 173 waliokuwa wakiishi Afrika Kusini warejea nyumbani

Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari yao. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ndege maalum kwa ajili ya kuwawezesha raia hao kurejea nchini. Zoezi la…