JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Samia kuzindua rasmi mradi wa JNHPP Agosti 22

šŸ“ŒWaziri Ndejembi asema ni tukio la kihistoria litakaloshuhudiwa na watanzania pamoja na wageni šŸ“ŒAsema mradi wa JNHPP ni matokeo ya uwekezaji wa sh.trilioni 7.4; Fedha za Watanzania Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Makundi maalum bado hayashirikishwi kikamilifu kwenye mipango ya tabianchi

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Utafiti uliofanywa katika wilaya tatu nchini umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuathiri miundombinu ya shule, huku maeneo yanayokumbwa na mafuriko yakitajwa kuwa katika hatari kubwa ya kuharibika kwa madarasa, maktaba, maabara na miundombinu…

Tanga kufungua milango ya fursa kupitia elimu, ujuzi na ubunifu

Wananchi wa Mkoa wa Tanga na mikoa jirani wanahamasishwa kushiriki katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ubunifu na Ujuzi, itakayofanyika kuanzia tarehe 15 – 24 Agosti 2026 katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga, ili kujifunza, kubadilishana maarifa…

Jaji Mshibe asisitiza maandalizi ya kisekta katika kukabiliana na athari za El Nino

Dodoma, 14 Agosti 2026: Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Mheshimiwa Jaji Mshibe Ali Bakari, amezitaka sekta zote nchini kutumia ipasavyo taarifa za hali ya hewa katika kufanya maandalizi ya kisekta ya kukabiliana na athari…

Wizara ya Maji yawasilisha Mpango wa Gridi ya Taifa ya Maji kwa Kamati ya Bunge

Wizara ya Maji imewasilisha taarifa ya utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa Gridi ya Taifa ya Maji kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira. Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb) akiwasilisha taarifa hiyo kwa…

Watumishi wa Wizara Watembelea Ofisi za UbaloziĀ  India

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaohudhuria mafunzo maalum ya diplomasia nchini India wametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini New Delhi. Katika ziara hiyo, watumishi hao walikutana na wafanyakazi…