JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TARURA yafungua barabara ya Manda – Mafurungu wilayani Chamwino, wananchi wapata nafuu ya usafiri

Chamwino, Dodoma ‎Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya Chamwino imefungua barabara ya Manda–Mafurungu yenye urefu wa kilomita 25 hatua ambayo imebadili hali ya usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa kijiji cha Mafurungu baada ya kukabiliwa na…

Tanzania, Ujerumani zajadili fursa za uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Millya (Mb.), amekutana na ujumbe wa ujumbe wa Serikali na wafanyabiashara 30 waandamizi kutoka Ujerumani ulioongozwa na Waziri wa Masuala ya Shirikisho, Ulaya na Kimataifa Mhe. Manfred Pentz….

NEMC Yataka Ubunifu wa Mazingira kugeuzwa kuwa fursa

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa wito wa kujenga mifumo itakayowezesha ubunifu na fursa za mazingira kugeuzwa kuwa miradi inayotekelezeka, inayoweza kufadhiliwa na kukua. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Tafiti za Mazingira wa…

BoT yapata tuzo tano kwa kukuza huduma jumuishi za fedha

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imepata tuzo na utambuzi tano kutokana na hatua mbalimbali ilizochukua katika kukuza ujumuishi wa huduma za fedha nchini, ikiwamo kupunguza pengo la upatikanaji wa huduma hizo kati ya wanawake na wanaume. Tuzo hizo zilitolewa katika…

NIDA Kuanza kuwasajili watoto chini ya miaka 18- Dkt. Mwigulu

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili na kuwatambua watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mfumo wa utambulisho wa Taifa. Dkt….

TADB, EADB wazindua dirisha la Sh bilioni 50 kwa wakulima

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB), imezindua dirisha maalum la uwezeshaji wa fedha lenye thamani ya Sh bilioni 50 kwa ajili ya kuwawezesha wakulima wadogo na wafanyabiashara katika minyororo…