JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Prof. Shendoe awaelekeza walimu wakuu kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi wa Waziri Mkuu – TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari na Msingi nchini kuhakikisha wanadhibiti changamoto ya utoro kwa wanafunzi na walimu katika shule wanazozisimamia. Prof. Shemdoe alitoa…

Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia

Wanamichezo nchini wamehamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la Serikali la mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Wito huo umetolewa na Bi. Jaina Msuya, mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa…

Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe ameshiriki sherehe ya maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Jamhuri ya Zambia, zilizofanyika jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2025. Akizungumza katika hafla hiyo,…

Dk Mwingulu aweka jiwe la msinhgi ujenzi wa Kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mkoa Lindi

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo mkoani Lindi na kusema kwamba huo ni uthibitisho wa dhamira ya Serikali ya kupanua…

Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi

Na Joseph Mahumi, WF, Arusha Serikali imewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kuongeza ubunifu, uongozi bora na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufanisi, uwazi na tija katika matumizi ya fedha za umma. Rai hiyo imetolewa na Naibu…