Latest Posts
Kamati ya miundombinu yasisitiza kipaumbele kwa makandarasi wazawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeisisitiza Wizara ya Ujenzi kuendelea na mkakati wa kuinua na kuwasaidia Makandarasi wazawa ili kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa miradi ya mbalimbali ya ujenzi nchini. Hayo yameelezwa na…
Watumishi Hospitali ya Benjamin Mkapa wajengewa uwezo matumizi sahihi na usalama katika TEHAMA
Na Jeremia Mwakyoma- BMH Akiwasilisha mada hiyo katika kikao cha mafunzo kwa watumishi hao Afisa Ulinzi wa TEHAMA na Data wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Ndg. Adelhelm Adrehelm Oddo amesema kuwa mafunzo hayo yana umuhimu mkubwa kwa watumishi. ”Mitandao,…
Wapiga kura 38,151 wa kata za Malangali na Mzinga kuwachagua madiwani kesho
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jumla ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa marudio katika Kata za Malangali iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa na Mzinga iliyopo katika…
Ndejembi : Gharama za umeme hazijapanda kwa miaka 10
Lengo ni Wananchi wamudu gharama za matumizi ya umeme Na Mwandishi Wetu, Dodoma Licha ya kuongezeka kwa gharama za vifaa vya umeme ikiwemo nguzo, waya na mita, Serikali imeendelea kuhakikisha gharama za matumizi ya umeme kwa wananchi hazipandi kwa kipindi…
TRA :Makampuni 300 kuunganishwa na mfumo wa IDRAS
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema zaidi ya makampuni 300 yataunganishwa na mfumo wa mfumo wa kisasa wa usimamizi wa kodi za ndani ujulikanao kama “Integrated Domestic Revenue Administration System (IDRAS)” na kutatua kero mbalimbali…





