Latest Posts
Motsepe akiri goli la Yanga Vs Mamelod ni halali
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa shirikisho la soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe amekiri kama angekuwa upande wa shabiki angeona goli la Yanga lililokataliwa na mwamuzi katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Mamelod Sundowns Afrika Kusini kuwa lilikuwa…
TANROADS kuweka kambi barabara ya Kiranjeranje – Ruangwa kurejesha mawasiliano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Huenda Adha ya usafiri na usafirishaji bidhaa inayowakabili wananchi wanaotumia barabara ya Kiranjeranje kwenda Ruangwa ikafikia tamati baada ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi kutangaza kutia kambi eneo hilo ili kuhakikisha njia…
COREFA yakabidhi mipira 1,000 itakayochagiza kuinua michezo kwa shule za Pwani
Na Mwamvua Mwinyi , JamhuriMedia, Pwani Uwepo wa vifaa mbalimbali vya michezo katika shule mbalimbali utasaidia kuchagiza kuendelea kwa somo la michezo sanjali na kuibua vipaji vichanga mashuleni. Akipokea vifaa vya michezo-mipira 1,000 iliyokabidhiwa na Chama Cha Soka mkoani Pwani,…
Majaliwa ataka wavamizi wa rdhi kuchukuliwa hatua kama jinai nyingine
Na Munir Shemweta, WANMM Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa amezitaka taasisi zinazoshughulika na masuala ya ya jinai kuhakikisha zinachukua hatua dhidi ya wavamizi wa ardhi kama jinai nyingine. Mhe. Majaliwa ametoa kauli hiyo…
TAPSEA jiendelezeni kitaaluma kuendana na mabadiliko ya teknolojia – Dk Biteko
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto wa makatibu mahsusi nchini kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia sambamba na kuboresha utendajikazi wao. Ameyasema hayo leo…
Wagombea 14 wateuliwa kuwania kiti cha ubunge Jimbo la Kwahani
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Unguja JUMLA ya wagombea 14 kutoka vyama vya siasa vyenye usajili kamili wameteuliwa kuwania kiti cha Ubunge katika Jimbo la Kwahani, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar. Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwahani, Bi. Safia…





