Latest Posts
‘Acheni roho mbaya wasaidieni watumishi mnaowaongoza kupanda vyeo’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Ridhiwan Kikwete amewataka Wakuu wa idara wanaosimamia utawala na rasilimali watu nchini kuacha roho mbaya kwa watumishi wenzao na kufanya kazi zao…
Mwendokasi Mbagala, G/Mboto kuanza Februari-Machi 2025
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainabu Katimba amewataka Wakandarasi wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuhakikisha huduma ya mabasi yanaanza kama ilivyokubaliwa ili wananchi…
Tanzania kinara wa uhuru wa habari Afrika Mashariki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika nchi zinazolinda uhuru wa vyombo vya habari kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa mwaka 2024, kwa mujibu wa ripoti mpya ya taasisi ya kimataifa ya Reporters…
Madaktari bingwa 40 kutoa huduma hospitali zote za Halmashauri Ruvuma kwa siku tano
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea Huduma za mkoba za madaktari bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Mei 6 hadi 10 mwaka huu. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dk Louis Chomboko amesema…
Naibu Waziri Pinda akabidhi gari la wagonjwa Mpimbwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlele Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika Halmashauri ya Mpimbwe Qilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Mhe, Geophrey Pinda amekabidhi gari la wagonjwa kwa ajili ya…
Mradi wa maji Kimanzichana Mkuranga kunufaisha wakazi zaidi ya 20,000
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mkuranga Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Godfrey Mzava, Mei 4 Mwaka 2024 ,ameweka jiwe la msingi mradi wa maji Kimanzichana, wilayani Mkuranga, uliogharimu sh.bilioni 5.2 ambao utanufaisha zaidi ya watu 20,000 na kusimamiwa na…





