Latest Posts
Pwani yajipanga mbio za mwenge licha ya changamoto mvua na mafuriko
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani umejipanga katika mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, licha ya changamoto ya mafuriko katika baadhi ya maeneo, ambapo Mwenge huo utapokewa April 29 ukitokea mkoani Morogoro. Mkuu wa mkoa wa Pwani, alhaj…
TFS yatoa milioni 20 waathirika wa mafuriko Rufiji, Kibiti
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani WAKALA wa huduma za misitu Tanzania (TFS) imemkabidhi Mkuu wa mkoa wa Pwani kiasi cha sh.milioni 20 kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Wilayani Rufiji na Kibiti. Aidha imetoa eneo Chumbi Rufiji lenye viwanja 600 ili…
Rais Samia aipa TANROADS bil 66/- kuanza urejeshaji miundombinu ya barabara iliyoharibika
Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya barabara zilizoharibika nchini. Fedha hizo tayari zimegawanywa kwa mameneja wa TANROADS mikoa…
CCM Morogoro wampongeza Dk Rose kwa kuchangia ofisi za chama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero MWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk. Rose Rwakatare, ameahidi kutoa mabati 100 kwaajili ya ujenzi wa ofisi ya chama hicho Wilaya ya Kilombero inayoendelea kujengwa ambayo itagharimu milioni 250. Alitoa ahadi hiyo jana…
Serikali yazitaka taasisia fedha kutoa mikopo kufuata utaratibu
Na Josephine Majura, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera, kiutawala na kisheria ili kudhibiti tabia ya baadhi ya taasisi za fedha kutoa mikopo kinyume na miongozo iliyopo. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri…
Watumishi Wizara ya Fedha watakiwa kuendelea kuzingatia sheria
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi.Jenifa Omolo akiwataka watumishi wa Wizara kutoa maoni yao yatakayosaidia katika kuboresha utendaji wakati wa mkutano wa 37 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha uliofanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania,…





