Latest Posts
Maporomoko ya udongo Geita yasababisha hasara kwa wananchi, mazao yaharibiwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Gaita Zaidi ya ekari sita za mashamba ya mpunga, mahindi, mihogo na viazi yameharibiwa na maporomoko ya udongo ambayo yametokana na mvua kubwa ambayo inaendelea kunyesha mkoani Geita. Tukio hilo limetokea kwenye mtaa wa Nshinde Kata…
Mbaroni kwa kumwingilia kuku hadi kumuua
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Rogers Sunday (41), mpiga debe Kituo cha Mabasi Usagara na mkazi wa Usagara wilayani Misungwi mkoani Mwanza,kwa tuhuma ya kumuingilia kuku hadi kumuua kwa lengo la kujiridhisha kimwili….
Dk Biteko afungua rasmi maonesho ya Wiki ya Nishati 2024
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua rasmi maonesho ya Wiki ya Nishati katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma ambapo amemshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha Sekta ya Nishati kutokana na nyenzo na…
Wananchi wanufaika na mogodi ya madini ya Dolomite Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Wananchi wa Kijiji cha Kwedikwazu kilichopo wilayani Handeni mkoa wa Tanga wameipongeza Serikali kwa hatua mbalimbali zinazoendelea kufanyika ili kuleta maendeleo ya Kudumu kupitia Sekta ya Madini. Hayo yamebainishwa na Katibu wa Kikundi cha Wanawake…
Majaliwa atoa maagizo kwa TARURA, TANROADS kukarabati maeneo yaliyoathirika na mvua
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza TARURA, TANROADS na TAZARA kushirikiana kufanya ukarabati katika maeneo yote yaliyopata athari za mvua zilizosababisha mafuriko Rufiji na maeneo mengine nchini . Ameeleza, hatua hiyo itaenda sambamba wakati Serikali inasubiri…
Mufti wa Tanzania awapongeza marais wa Bara na Visiwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mufti mkuu wa Tanzania Shekh Abubakar Zuberi amewapongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi kwa uzalendo wao uliotukuka wa kutunza na kuzilinda tunu za…





