JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

SMZ yatenga bilioni 34 posho ya nauli kwa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa wafanyakazi wa SMZ wataongezewa posho ya shilingi 50,000 ya nauli ili kuleta ufanisi katika kazi na kurahisisha masuala ya usafiri kwa…

Waziri Mkuu awataka wakandarasi miradi ya umwagiliaji kuzingatia ubora

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wakandarasi wazawa waliopewa dhamana ya ujenzi wa Miradi ya maji kuhakikisha waaitekelza kwa weledi na ubora wa hali ya Kuu. Majaliwa ameyasema hayo jana katika hafla ya utiaji saini mikataba…

Mei Mosi ni siku ya tafakuri kwa watumishi – Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) ambayo huadhimishwa kila mwaka ni siku maalum kwa ajili ya wafanyakazi kutafakari na kutathmini namna walivyotekeleza malengo waliyojiwekea katika mwaka husika. Amesema kuwa siku hiyo inatoa fursa kwa wafanyakazi…

Miradi 15 yenye thamani ya bilioni 3.1 kupitiwa na mwenge wa uhuru, 2024 Kibaha Mji

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya Miradi 15 yenye thamani ya bilioni 3,120,194,399.98 inatarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha utakapokimbizwa siku ya Alhamisi tarehe 2 Mei,2024 Mwenyekiti wa Sherehe za Mwenge Wilaya ya Kibaha…

LPG yapongeza Serikali kwa juhudi ya kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMediaDar es Salaam Chama Wafanyabiashara Waagizani na Wasambazaji wa gesi ya kupikia Majumbani LPG kimeipongeza Serikali kwa juhudi wanayoifanya kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi wake wenye kipato cha chini ikiwemo mama na baba lishe, ili kusaidia…

Masauni,IGP Wambura waahidi uchaguzi huru na haki Serikali za Mitaa, Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Jamuhuri Media Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaahidi Watanzania kuwepo kwa uchaguzi huru na haki ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu mwakani huku ikisisitiza kila mtu…