JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Brigedia Feruzi awashauri wahitimu kidato cha sita Ruhuwiko kuzingatia kuitumia vema elimu waliyoipata

Na Cresensia kapinga, JamhuriMedia, Songea Brigedia Jenerali Charles Peter Feruzi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kanda ya kusini amewataka wahitimu wa kidato cha sita wa shule ya Sekondari ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea inayomilikiwa na JWTZ kuzingatia elimu…

Diwani Mstaafu Wembe, askari mgambo mbaroni kwa kumdhalilisha Dk Kawambwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la Polisi Mkoani Pwani,limewakamata Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae kupewa dhamana, kwa kosa la kumshambulia kwa maneno makali, vitisho, dharau na kutishiwa kufungwa pingu…

TANROADS yaendelea na ujenzi wa miundombinu ya barabara Gongolamboto Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imehakikisha utekelezaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka; barabara ya Nyerere hadi Gongo la mboto unaendelea huku barabara ya kawaida ikiendelea kupitika hata katika kipindi hiki…

Msajili wa Hazina akutana na boss wa mpya wa HESLB Dar

Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. ………………….. Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana…

TANROADS yaweka kambi barabara ya Morogoro- Iringa kuziba mashimo maeneo yaliyoharibiwa na mvua

Na Aisha Malima,JamhhuriMedia, Morogoro Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro inaendelea na kazi ya kuziba mashimo na kukarabati barabara kuu ya Morogoro – Iringa ikiwemo katika eneo la Kobogwa lilipo katika hifadhi ya Taifa ya Mikumi…