Latest Posts
Aliyempa hayati Rais Magufuli zawadi ya jogoo atua bungeni na jogoo wa Bashungwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amekabidhiwa jogoo ikiwa ni ishara ya kumpongeza kwa juhudi kubwa za urejeshaji wa mawasiliano ya Barabara katika eneo la Tingi – Kipatimo na Barabara Kuu inayounganisha mikoa ya Dar es…
Waziri Silaa : Fanyeni kazi kwa uadilifu
Na Eleuteri Mangi, WANMM, Dodoma Makamishna wa Ardhi Wasaidizi nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu wakitabua kila maamuzi wanayoyafanya yanaishi na wawe na uwezo wa kuelezea wamefikiaje maamuzi hayo ili watu wengine wakipitia watambue kweli kazi ya kuridhisha imefanyika. Kauli…
Tanzania, Marekani kukuza kiwango cha biashara
TANZANIA na Marekani zimedhamiria kuongeza kiwango cha biashara baina ya nchi hizo kutoka kiwango cha Dola milioni 460 zikizofikiwa kuanzia mwaka 2016 hadi 2023. Balozi wa Marekani nchini , Michael Battle amesema hayo leo Dar es Salaam wakati akifungua mkutano…
Wahandisi wafanyiwa vipimo vya viashiria vya moyo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) inatoa huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo na ushauri wa lishe bora kwa wahandisi kutoka nchi za Afrika walioudhuria mkutano wa 30 wa wahandisi washauri Afrika (FIDIC Africa)…
Teknolojia mbadala kuimarisha mtandao wa barabara nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Teknolojia mbadala kuimarisha mtandao wa barabara ikiwemo ujenzi wa madaraja imara na madhubuti itaendelea kutumiwa nchini na Wakala ya Barabara za Vijijini na Vijijini – TARURA. Yameelezwa hayo na Naibu Katibu Mkuu Ofisi…
Wizara ya Ujenzi yajipanga kurudisha miundombinu iliyoharibika – Bashungwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema wizara kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imejipanga kufanya matengenezo makubwa kwa lengo la kurudisha mawasiliano kwenye barabara, madaraja, makalvati pamoja na vivuko zilizokatika kutokana na mvua…




