Latest Posts
Luis Miqquisone atimkia Songo
Isri Mohamed Siku chache baada ya kutemwa na wekundu wa Msimbazi, aliyekuwa Winga wa Simba, Luis Miquissone amerejea kwenye klabu yake ya zamani ya UD do Songo kwa ajili ya msimu ujao wa 2024/25. Miquissone amerejea UD do Songo baada…
UNESCO rasmi kuiunga mkonoTanzania mageuzi ya kidigitali
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limetangaza utayari wake wa kuiunga mkono Tanzania katika juhudi za kuimarisha juhudi za kuleta mabadiliko ya kidijitali nchini. Hayo yamesemwa na Tawfik Jelassi, Mkurugenzi Msaidizi wa…
Mfumo wa NaPA unasomana na mifumo mingine’
Na Mwandishi Wetu, WHMTH ar es Salaam Mratibu Msaidizi wa Mfumo wa Anwani za Makazi, Arnold Mkude amewatoa hofu wananchi kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi NaPA kusomana na mifumo mingine akibainisha kwamba hilo ni jambo lililozingatiwa tangu awali na…
Waziri Nape: Tuna wajibu wa kuilinda nchi yetu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewataka Wanachama wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA), kutumia vizuri majukwaa yao ya habari mtandaoni kujipatia kipato ili kukuza…
Waziri Kairuki atangaza fursa za sekta za misitu, nyuki na utalii
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amehamasisha Watanzania kuchangamkia fursa zilizopo katika Sekta ya Misitu, Nyuki na Utalii ili kujiongezea kipato na kupata ajira. Ameyasema hayo leo Julai 5,2024 alipotembelea…
Jela miaka minne na kulipa fidia ya milioni 3 kwa kumkata viganja mama mdogo
Na Daniel Limbe,Chato MKAZI wa kijiji cha Bwanga,wilayani Chato mkoani Geita, Faida Enocka,amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela na kulipa fidia ya shilingi milioni 3, baada ya kupatikana na hatia ya kumkata na kumjeruhi, Monica Laurent Nonga, mkazi wa kijiji…





