Latest Posts
President Samia raises hope for clean cooking in Africa
By Deodatus Balile, recently in Paris, France TANZANIAN President Samia Suluhu Hassan has raised hope of Africa’s ambition to emancipate the continent from open fire cooking to clean cooking by 2030, JAMHURI has learned. President Samia has a sharp vision…
Kasi ya ujenzi wa kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Uhuru (Urambo) yafikia asilimia 92
📌Mkurugenzi Mtendaji TANESCO akagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho na kuridhishwa na kasi ya ujenzi wake 📌Ni katika kutekeleza maagizo yaliyotolewa na Mhe.Dkt Doto Biteko NWM&WN katika kuusimamia mradi kwa karibu 📌Asifu kasi ya Mkandarasi TBEA Katika ujenzi wa…
Vijana wa BBT – LIFE waoneshwa vitalu, Rais Samia atajwa kwa mchango wake mkubwa sekta ya mifugo
Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Karagwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka historia ya kutafsiri ndoto halisi ya wingi wa mifugo nchini katika kubadilisha mfumo wa maisha kwa watanzania kupitia sekta hiyo. Akizungumza (21.05.2024) wakati…
Dk Biteko mgeni rasmi mkutano wa kitaalaum wa makatibu mahsusi Tanzania
Mkutano wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania unafanyika leo, Mei 23, 2024 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Mgeni rasmi ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko. Mkutano huo ulioanza…
11 wafariki baada ya mtambo Kiwanda cha Mtibwa Sugar kulipuka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Watu 11 wamefariki Dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada kutokea kwa hitilafu kwenye mtambo wa mvuke wa kuzalisha umeme katika Kiwanda cha kuzalisha Sukari Mtibwa Sugar kilichopo Tuliani Wilayani Mvomero Mkoa wa Morogoro. Kamanda wa…
RC Ruvuma : Mfumo wa stakabadhi ghalani umedhibiti vipimo visivyo halali
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Namtumbo MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amefungua masoko ya ufuta,soya na mbaazi kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani na TMX wilayani Namtumbo. Katika uzinduzi wa mnada wa kwanza mkoani Ruvuma katika zao la…





