Latest Posts
Kanisa Katoliki lalaani shambulio dhidi ya Trump
Viongozi mbalimbali duniani wameendela kulaani jaribio la mauaji dhidi ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump. Trump alishambuliwa kwa risasi Jumamosi alipokuwa kwenye kampeni ya uchaguzi huko huko Pennsylvania. Baada ya kauli za viongozi wa Umoja wa Mataifa, Umoja…
NIRC yawataka wakandarasi kusaidia jamii maeneo yenye miradi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliji (NIRC), Raymond Mndolwa, amewataka Wakandarasi wanaojenga miundombinu ya umwagiliaji kuhakikisha wanasaidia jamii hususani maeneo yenye miradi. Mndolwa amesema hayo katika ziara ya ukaguzi na ufuatiliaji wa ujenzi wa…
DC chunguza malalamiko ya wajawazito-Dkt Mpango
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu kutumia vyombo vya ulinzi na usalama alivyonavyo kuchunguza malalamiko ya akina mama wajawazito kuombwa rushwa katika Kituo cha Afya Makere kilichopo Halmashauri ya Mji wa…
Kisarawe yaita maabara kutoa elimu ya ufugaji
WILAYA ya Kisarawe iliyoko Mkoa wa Pwani, imewaita Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), kutoa elimu kuhusiana na ufugaji kwa wana Kisarawe ili wafuge kisasa. Mkuu wa Wilaya hiyo, Petro Magoti ametoa wito huo alipotembelea banda la TVLA katika Maonesho ya 48…
Rais Mwinyi azitaka taasisi za biashara kuondoa urasimu
RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amezitaka taasisi za biashara kuondoa urasimu ili kutengeneza biashara zaidi Kwa mustakabali wa kujenga uchumi wa nchi. Amesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akifunga Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa…
Viongozi wa dunia walaani shambulio dhidi ya Trump
Viongozi wa nchi mbalimbali duniani wamelaani shambulio la risasi lililomjeruhi sikioni aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump Msemaji wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani na kuliita tukio hilo kuwa ni vurugu za kisiasa. Kwa upande wake…




