JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bashe, Mpina, nani anatetea wanyonge?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kitambo sijaandika makala ya Sitanii kwa mtiririko wake wa kawaida. Nafahamu msomaji umesikia na unalifahamu sakata linaloendelea kati ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ambapo Mpina anasema Bashe…

Mapapa 7 wa sukari, wabunge watuhumiana kulamba mlungula

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Sakata la sukari limeendelea kutawala mijadala bungeni, na safari hii wabunge wengi waliochangia wanataka muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Sukari Namba 6 ya mwaka 2021 upelekwe bungeni ili sheria hiyo ifumuliwe. Wanataka mabadiliko yafanywe haraka…

Rais Ruto: Ghasia za Jumanne ni matukio ya Uhaini,

Rais wa Kenya William Ruto ameyataja matukio ya Jumanne ambapo waandamanaji wanaopinga nyongeza ya kodi waliingia bungeni na taasisi nyingine za serikali kuwa ni uhaini. Alionya kuwa hatua zitachukuliwa dhidi ya waandamanaji watakaojihusisha na ghasia. Watu sita wamethibitishwa kufariki na…

Video na picha zizingatie mila na desturi za Kitanzania

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUKWAA la Wapiga picha na wachukua video za matukio wametakiwa kuzingatia weledi ,uzalendo, na mila na desturi za taifa ili kuepukana na sintofanfamu katika jamii kupitia shughuli zao Agizo hilo amelitoa Mkuu wa…

Watumishi wanne kizimbani kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Juni 24, 2024 watumishi wanne ambao ni maafisa uchumi, wahasibu na maafisa uvuvi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka pamoja na…