Latest Posts
Mawaziri wa Israel waidhinisha ulipizaji kisasi wa Netanyahu dhidi ya Hezbollah
Baraza la mawaziri la usalama la Israel limemuidhinisha hatua ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na waziri wake wa ulinzi ya kuamua ni lini na jinsi ya kulipiza kisasi cha shambulio baya la roketi dhidni ya Israel na Marekani inasema lilitekelezwa…
Sekta binafsi zishirikishwe kikamilifu suala la uhifadhi wa mazingira
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Bagamoyo IMEELEZWA kuwa ili kupata matokeo chanya katika utunzaji mazingira na uhifadhi kuna umuhimu mkubwa wa kushirikisha sekta binafsi ambazo zimeonyesha juhudi kubwa la kuleta mabadiliko katika sekta Hayo yalibainishwa wakati wa semina iliyoshirikisha wahariri iliyoandaliwa…
Kim ashiriki uokozi waathirika wa mafuriko
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un ameshiriki misheni ya kuokoa zaidi ya watu 5,000 waliokumbwa na mafuriko kaskazini-magharibi mwa Korea Kaskazini, vyombo vya habari vya serikali viliripoti Jumatatu. Mvua kubwa iliyonyesha Jumamosi ilisababisha mto kwenye mpaka wa Korea Kaskazini…
Yanga kucheza na Red Arrows Siku ya Wananchi
Kuelekea kilele cha siku ya Mwananchi Agosti 04, 2024, klabu ya Yanga imetangaza kucheza na klabu ya Red Arrows kutoka nchini Zambia Akizungumza na wanahabari mapema leo katika ofisi za Yanga, Afisa muhamasishaji Haji Manara amesema Red Arrows ambao ni…
Mwanamuziki Snura aachana na muziki, amrudia Mungu
Mwanamuziki Snura Mushi ametangaza kuacha muziki huku akikataza nyimbo zake zisichezwe kwenye vyombo vya habari na sehemu nyingine, Hatua hiyo imekuja baada msanii huyo kudai kuwa kwa sasa ameamya kumrudia Mungu wake. “Watanzania na nje ya nchi mimi Snura leo…





