Latest Posts
Serikali yaipa TANROADS bil.6.5/- kukabiliana na athari za mvua za El Nino Rukwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepeleka kiasi cha shilingi bilioni 6.5 kwa ajili ya matengenezo ya dharura ya kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja ambayo yameharika kutokana na…
Rais Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya
RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza huduma za dharura zipelekwe kwenye maeneo yaliyopata athari kutokana na kimbunga Hidaya. Hayo yamesemwa leo (Mei 6, 2024) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwenye kikao cha dharura cha Kamati ya Maafa Kitaifa alichokiitisha kupokea…
Serikali kuwakopesha wajasiriamali bilioni 18.5/- kupitia NMB
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 18.5 kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali nchini zitakazotolewa kama mikopo yenye masharti nafuu kupitia Benki ya NMB. Makubaliano ya utaratibu wa ufadhili huo yalitiwa saini leo jijini…
Waziri Dk Gwajima azindua NMB Kikundi Akaunti yenye Bima ya Maisha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya NMB imeitambulisha akaunti mpya ya kidijitali kwa ajili ya vikundi mbalimbali vya kijamii iitwayo ‘NMB Kikundi Account,’ iliyozinduliwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, ambayo inajumuisha…





