Latest Posts
Makamu wa Rais afungua kogamano la kimataifa la elimu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema suala la utekelezaji wa mabadiliko na maboresho yaliyofanyika kwenye Sera ya Elimu na Mafunzo, na Mitaala linahitaji ushirikiano wa hali ya juu miongoni mwa wadau wote…
Tanzania yasisitiza dhamira yake kuendeleza diplomasia ya maji
Tanzania imesisitiza dhamira yake kuendeleza ushirikiano wa kikanda katika usimamizi wa rasilimali za maji katika Mkutano wa Maji wa Sululta na Diplomasia ya Maji (Sululta Water and Hydro Diplomacy Conference) uliofanyika katika Mji wa Bishoftu, nchini Ethiopia. Mkurugenzi wa Ubora…
Mipango mbioni kuanzisha kituo cha Kimataifa cha huduma za kifedha hapa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara ( TNBC) imesema kuwa mipango ipo mbioni kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Kuduma za kifedha ( IFC) hapa nchini ili kuvutia uwekezaji wa fedha na mitaji…
Ardhi imekwisha umebaki, udongo wa kuzikia
Na Bituro Kazeri, JamhuriMedia, Dar es Salaam Biblia ni miongoni mwa vitabu vya kale zaidi vilivyowahi kusomwa na binadamu. Ndani yake kuna hazina kubwa ya maarifa yanayoweza kumsaidia mtu kuelewa maisha, uumbaji na wajibu wa binadamu kwa mazingira yanayomzunguka. Miongoni…
Vijana Muheza walivyotoa kicheko kwa kamati ya Bunge
*Waziri Nanauka apewa Maua yake *Mali Hai waiheshimisha Muheza Na Byarugaba Innocent,ORMV Ni takribani umbali wa kilometa 510 kwa mwendo wa gari Km 80 kwa saa unafikisha saa 11 njiani kutoka Dodoma Makao Makuu ya Serikali kufika Tanga.Ni safari iliyopambwa…





