Latest Posts
Waziri Mkuu aagoza jedwali la utekelezaji wa utatuzi wa kero za wananchi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani,…
Rais Samia azungumza na ujumbe wa Taasisi ya Keep a Child Alive kuimarisha huduma za afya
Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza mazungumzo yake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa kukutana na ujumbe wa Taasisi ya Keep a Child Alive inayoongozwa na mwanamuziki wa Marekani Alicia…
Iran yaanza tena mashambulizi yake ya anga
Iran imeanza tena mashambulizi yake ya anga dhidi ya nchi za Ghuba ya Kiarabu, ikilenga makambi ya Marekani kote katika eneo hilo. Tumesikia mlipuko mkubwa asubuhi ya leo huko Doha na moshi mwingi unaonekana kutoka mjini humo. Wizara ya mambo…
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei auawa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameuawa katika shambulio kubwa dhidi ya Iran lililofanywa na Israel na Marekani, imesema televisheni ya taifa. Maafisa kadhaa waandamizi pia wameuawa. Kifo hicho kimetilia shaka mustakabali wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu na kuongeza…





