Latest Posts
Pwani yajipanga kupokea mwenge wa Uhuru Aprili 18
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani umejipanga kupokea Mwenge wa Uhuru Aprili 18, 2026, huku wananchi wakihimizwa kujitokeza kwa wingi katika Shule ya Msingi Mtambani, Kata ya Mapinga, wilayani Bagamoyo, ambapo mwenge huo utapokelewa ukitokea Kinondoni, jijini Dar…
Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma katika mwaka wa fedha 2026/27, kama sehemu ya mkakati mpana wa kuboresha utendaji wa taasisi na mashirika ya umma…
EACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali imeipongeza Kampuni ya Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuendelea kuchangia maendeleo ya jamii baada ya kutoa shilingi milioni 33.6 kusaidia kuboresha maisha ya wananchi wa pwani pamoja na kuhifadhi mazingira…
Wazi Mkuu: Dk Samia ameandika historia isiyofutika
Ataka watanzania waache tabia ya kujidogosha WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi kifupi cha uongozi wake, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandika historia ambayo kwa namna yoyote haiwezi kufutika kutokana na magaeuzi makubwa aliyoyafanya. Amesema historia hiyo inaandikwa…
Serikali yapokea hoja ya Dk Jafo ya ajira za ‘Part -Time’ kwa vijana
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedi, Dodoma SERIKALI imepokea rasmi hoja ya ajira za muda (part-time) kwa vijana iliyowasilishwa na Mbunge wa Kisarawe, Dk. Selemani Jafo, na kuanza mchakato wa kuichakata ili kubaini namna bora ya utekelezaji wake. Akizungumza mara baada ya…
Serikali yajipanga kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe nchini – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imeandaa andiko la mradi unaoitwa SIFA yaani (School Infrastructure Facelifting Programme) na kuliwasilisha…





