JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Madiwani Manispaa Kibaha waridhishwa na utekelezaji wa miradi kata nne

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Madiwani wa Kamati ya Mipango, Miji na Mazingira na Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii ,Manispaa ya Kibaha wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Kata nne . Kuridhishwa huko kumejidhihirisha wakati…

Ghana, Tanzania zaendelea kuimarisha ushirikiano wa ‘ Local Content’ sekta ya madini

Accra, Ghana NCHI za Ghana na Tanzania zinaendelea kuimarisha ushirikiano wa kitaasisi katika utekelezaji wa sera za Ushirikishwaji wa Wazawa katika Sekta ya Madini (Local Content), kwa lengo la kuongeza ushiriki wa wananchi wa ndani katika minyororo ya thamani ya…

Mwaka 2026 tuutumie kujenga tulipoharibu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Heri ya mwaka mpya 2026. Narejea katika safu hii baada ya gazeti letu kutokuchapishwa kwa wiki tatu mfululizo kuanzia Desemba 30, 2025. Kwanza, ninawashukuru sana wasomaji wetu kwa simu, maombi na matashi mema…

Serikali kuimarisha viwanda vya dawa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia wizara ya afya imeweka mkakati wa kujenga na kuimarisha viwanda vya dawa ili kulifanya taifa kujitegemea katikauzalishaji dawa,vifaa tiba na chanjo. Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ameyasema hayo katika mkutano wawawekezaji…