JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RAS Tanga : Maadhimisho Wiki ya Huduma za Fedha yatakuwa na mafanikio

Na Chedaiwe Msuya na Eva Ngowi, WF, Tanga Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS), Bw. Rashid Mchatta, amewahakikishia wadau wa sekta ya fedha kuwa maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha yatakayofanyika jijini Tanga yatakuwa na mafanikio makubwa kutokana…

Urambo wafungua milango ya uwekezaji

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Urambo HALMASHAURI ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora imefungua milango kwa wawekezaji wa ndani na nje kuja kuwekeza katika sekta mbalimbali, kwa kuanzia wametenga eneo la ardhi lenye ukubwa wa hekari 72 kwa ajili ya kazi…

Gharama za kupasha joto Ujerumani kuongezeka

Katika msimu wa baridi kali, matumizi ya nishati huongezeka kwa sababu watu hutumia muda mwingi ndani ya nyumba na wanahitaji joto la kutosha ili kukabiliana na baridi kali – hali hii husababisha bili za nishati kupanda. Raia nchini Ujerumani wanatarajiwa…

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atatangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati kote nchini humo. Zelensky amesema hatua hiyo itawezesha kushughulikia operesheni za usambazaji wa umeme ziliovurugika kufuatia mashambulizi ya Urusi kwenye miundombinu ya nishati. Kauli ya Zelensky…

Waziri Mkuu akutana na Balozi wa Japan nchini

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yoichi Mikami na kujadiliana naye masuala ya uchumi, miradi ya maendeleo na uwekezaji. Akizungumza na Balozi huyo leo (Jumatano, Januari 14, 2026) ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma,…

Tanzania, Indonesia kuimarisha ushirikiano wa maendeleo katika kilimo na nishati

Na Joseph Mahumi na Saidina Msangi, WF, Dodoma Tanzania na Indonesia zimekubaliana kuendeleza zaidi ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo na nishati kwa faida ya nchi hizo mbili. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma, baada ya…