Latest Posts
Samamba atoa wito GST kuboresha mazingirea ya kazi, kuimarisha ushirikiano
*Amesema Mazingira bora ya kazi ni msingi wa tija *Samaje amesema GST itaendelea kuboresha huduma za maabara na jiosayansi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Eng. Yahya Samamba, ameitaka Menejimenti ya Taasisi ya Jiolojia na…
Rais Dk Mwinyi : Zanzibar kuimarisha ushirikiano na WHO katika kuboresha sekta ya afya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) ili kuhakikisha mafanikio zaidi yanapatikana katika kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini. Rais Dkt. Mwinyi…
Taasisi za umma zatakiwa kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuboresha mnyororo wa ugavi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amezitaka taasisi zote za umma kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo…
Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Afrika
Na Munir Shemweta, Nairobi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeelezea mafanikio yake katika maendeleo ya miji na sekta ya makazi wakati wa Kongamano la Pili la Miji Africa (2nd African Urban Forum) linalofanyika jijini Nairobi, huku ikitoa wito…
Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati nchini, hatua inayoonesha mchango mkubwa wa miradi hiyo katika kupunguza tatizo la ajira kwa vijana. Takwimu hizo zimewasilishwa bungeni Aprili 9, 2026 jijini Dodoma na…





