Latest Posts
Tanzania yahimiza Matumizi ya AI Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa katika kukuza mtangamano na kuharakisha maendeleo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kupitia sekta mbalimbali ikiwemo Kilimo, Elimu, Viwanda,…
STAMICO, Planet one zasaini mkataba wa kihistoria uchimbaji madini Kinywe Mirerani
Dkt. Kiruswa ashuhudia Utiaji Saini Mkataba wa Kinywe Mirerani Dkt. Mwasse: STAMICO kuendelea kuvutia mitaji na uwekezaji katika sekta ya madini Nchini Mbibo: Wizara inaendelea kusimamia Sera, Sheria na mifumo madhubuti ya Utafiti, uchimbaji na Uongezaji Thamani Madini📍 Mirerani, Simanjiro…
Waziri Mkuu azungumza na wajasiriamali wadogo ufukwe wa Coco Beach
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wajasiriamali wadogo wanaofanya shughuli zao katika eneo la fukwe ya Coco “Coco Beach” jijini Dar es Salaam Machi 29, 2026 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)





