JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CCM tunasogeza huduma kwa wananchi sio maneno – Dk Biteko

📌Ahimiza wananchi kupiga kura za kishindo kwa Rais Samia Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa wananchi wanahitaji huduma na maendeleo yanayotokana na utekelezaji wa mipango thabiti na sio kwa maneno yasiyotekelezeka. Dkt. Biteko amesema…

Samia aahidi kuchapa kazi kwa kasi ileile

Na Mwandishi,JamhuriMedia, Uyui Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema akipewa ridhaa ya kuongoza atafanya kazi kwae kasi ilele. Akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni katika Kata ya Ilolanghulu wilayani Uyui mkoani Tabora, leo Septemba 11,…

Bashiru ataja sababu tatu CCM kushinda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mratibu wa kampeni za mgombea urais kupitia chama hicho, Bashiru Ally,ametaja sababu tatu za chama hicho kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Amesema chama itaibuka na…

Samia aagiza CCM kuvunja makundi

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Uyui Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan amewataka wafuasi wa Chama kuvunja makundi mara ili waende kwenye uchaguzi mkuu wakiwa wa moja. Rais ametoa kauli hiyo katika Kijiji cha Ilolangula wilayani Uyui mkoani…

NMB yakabidhi jezi za milioni 36 kwa SHIMIWI

Benki ya NMB imekabidhi jezi zenye thamani ya Shilingi milioni 36 kwa Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI), ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za kukuza michezo miongoni mwa watumishi wa umma nchini. Hafla ya…

Viongozi CCM tuhimize wananchi kupiga kura – Dk Biteko

Mgombea Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi Vitongoji, Vijiji na Kata kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Dkt. Biteko amesema hayo Septemba 10,…