JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sijaridhishwa na kasi ya wakandarasi KIKIM na AMACO utekelezaji miradi ya barabara Lindi- Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi inayotekelezwa na Mkandarasi KIKIM Contractors Limited kwa kushirikiana…

Wizara ya Fedha kuendelea kuboresha miongozo inayolenga kuimarisha ukaguzi

Na Asia Singano, WF – Dodoma Wizara ya Fedha imeendelea kuandaa na kuboresha miongozo mbalimbali inayolenga kuimarisha utekelezaji wa majukumu ya ukaguzi na kuongeza ufanisi wa kazi hiyo, ili kuendelea kulinda fedha za umma na kukuza uchumi wa nchi. Hayo…

Mradi wa umeme Simiyu kufungua fursa za uwekezaji na kuchochea shughuli za kiuchumi wananchi

📌 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mhe.Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb.) aipongeza TANESCO kwa kutekeleza Mradi kwa kutumia wataalamu wa ndani 📌 MD Twange asema mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme umefikia asilimia 82…

Somalia yaona ufanisi mkubwa wa FCC katika kulinda soko

Na.Mwandishi Wetu Tume ya Ushindani ya Somali  imefanya ziara ya siku moja nchini Tanzania kwa lengo la kujifunza uzoefu na mbinu zinazotumiwa na Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katika kusimamia ushindani wa kibiashara, kudhibiti bidhaa bandia na kulinda maslahi ya…

Neema ya Uwekezaji wa Kiwanda cha Kuchakata Madini ya Mchanga wa Baharini

NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Sekta vya viwanda ni injini ya maendeleo ya uchumi kutokana na kufungamanishwa kwake na fursa mbalimbali za maendeleo. Katika jitihada za kuinua maendeleo ya watu na ya uchumi, viwanda havipaswi kuachwa nyuma kwani vina mchango mkubwa…

NYANDUGA: Demokrasia Halisi Haiwezekani Bila Kukomesha Matatizo yanayosababisha Chuki katika Taifa

Na Mwandishi wetu —Jamhuri media Dar es Salaam Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bahame Tom Nyanduga, amesema Tanzania haiwezi kujenga demokrasia halisi na endelevu bila kukomesha changamoto zilizojitokeza katika chaguzi zilizopita ili zisijirudie katika…