Latest Posts
Wanafunzi wa darasa la nne 1,582,140 kufanya mitihani Oktoba 22 hadi 23
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Jumla ya shule 20,517 Wanafunzi wa Darasa la nne Waliosajiliwa Mwaka huu 1,582,140 wanatarajia kufanya Mtihani wa Upimaji wa kitaifa Oktoba 22 hadi 23,2025 ambapo kati ya hao wavulana 764,290 Sawa na asilimia 48.31 huku…
Tarimba: Samia ametufanyia makubwa ndani ya Kinondoni
Mgombea ubunge Jimbo la Kinondoni,Dar es Salaam, Tarimba Abbas Tarimba amesema ndani ya miaka minne jimbo hilo limepata maendeleo makubwa kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na Rais Samia Suluhu. Tarimba ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya wananchi…
La elimu, Rais Samia anaunganisha Watanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Kigoma Kampeni zinaelekea ukingoni. Tumeshuhudia mikikimikiki ya vyama vinavyoshiriki. Tumeshuhudia mikutano ya hadhara. Idadi ya watu wanaoshiriki kwenye mikutano inatosha kukwambia kuwa Watanzania wana matumaini na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan….
Kambi ya maalum ya matibabu ya moyo yawafanyia upasuaji watoto tisa Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watoto tisa wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji wa moyo kwa mafanikio kwenye kambi maalumu ya matibabu ya siku mbili iliyomalizika hivi karibuni katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)…
Mgeja: Elimu ya amani, uzalendo na mazingira ifundishwe shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama MWENYEKITI wa Tanzania Mzalendo Foundation Bw. Khamis Mgeja ameishauri na kuiomba wizara ya elimu nchini ifikilie kuona umuhimu namna gani ya kuweza kuanzisha masomo ya aman, Uzalendo na mazingira mashuleni kuanzia madarasa ya awali mpaka…





