Latest Posts
Serikali kuchochea uchumi wa Mang’ola kwa ujenzi wa barabara kilomita 10.8
Na OWM – TAMISEMI, Karatu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) itajenga barabara ya kijiji cha Mang’ola Barazani yenye urefu wa Kilomita 10.8 iliyopo…
Israel yazishambulia Iran na Lebanon, Tehran yajibu mapigo
Ndege za kivita za Israel zimeishambulia miji ya Beirut na Tehran leo huku kukiwa hakuna dalili ya kumalizika kwa vita vinavyoelekea kutimiza wiki nzima kesho Jumamosi. Israel ilisema mapema asubuhi kuwa imefanya “mashambulizi makubwa” kwenye mji mkuu wa Iran na…
Jeshi la Kongo lakamata silaha za kijeshi Ituri
Jeshi la Jamhuri ya Kidemorkasia ya Kongo (FARDC) limetangaza kukamata shehena kubwa ya silaha zilizofichwa kwenye eneo moja la mgodi katika jimbo la Ituri mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Kongo kwenye jimbo hilo, Jules Ngongo amesema miongoni…
Trump: Iran isalimu amri, hakuna mazungumzo
Rais Donald Trump wa Marekani amesema hakutakuwa na mazungumzo wala makubaliano na utawala wa sasa wa Iran na ameitaka nchi hiyo “isalimu amri” kama sharti kwa Washington kusitisha vita vinavyoendelea. Trump ametoa ujumbe huo kupitia mtandao wake wa kijamii ambapo…
Marekani yasifu operesheni yake nchini Iran
Marekani imesifu operesheni yake nchini Iran na kusema inaelekea kumuangamiza adui hata kabla ya wakati huku ikisisitiza kuwa uwezo wa mashambulizi wa Iran umepungua maradufu ukilinganisha na siku ya kwanza ya vita. Kamanda mkuu wa Jeshi la Marekani Brad Cooper,…
Wanawake wazidi kung’ara sekta ya madini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAKATI dunia ikijiandaa kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ifikapo Machi 8, 2026 , wanawake nchini Tanzania wameendelea kuandika historia mpya katika sekta ya madini wakivunja vikwazo vilivyodumu kwa miaka mingi. Hayo, yamejidhihirisha kwa Asha Jama…





