JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JKCI yawafikia waumini KKKT Mbezi Beach kwa huduma za kibingwa

Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Jumla ya Waumini 93 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mbezi Beach wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa mbalimbali yakiwemo ya moyo katika jitihada za kusogeza huduma za kibingwa karibu na…

Serikali kuwezesha wananchi wa kipato cha chini kupata makazi bora

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Ali Munde (Mb), amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za fedha likiwemo Shirika la Mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) ili kuiwezesha sekta ya fedha kupata mikopo yenye gharama…

Serikali yaendelea kujidhatiti udhibiti magonjwa adimu

Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo katika Sekta ya Afya, inaendelea kujidhatiti kwa kuimarisha mifumo ya huduma za afya kupitia tafiti mbalimbali ili kuhakikisha wagonjwa wenye magonjwa…

Mchengerwa : Ushirikiano imara wa mfuko wa pamoja wa afya ni nguzo ya mageuzi ya sekta ya afya nchini

Na John Mapepele , Wizara ya Afya Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa, amesema kuwa ushirikiano madhubuti kati ya Serikali na Washirika wa Mfuko wa Pamoja wa Afya (Health Basket Fund) umeendelea kuwa chachu ya maboresho makubwa katika utoaji wa huduma…

Naibu Waziri Ole Millya awaongoza maelfu kumzika Mshili Ngumee

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mirerani NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya amewaongoza maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Manyara na Arusha kwenye maziko ya kiongozi wa kimila Mshili Justin Abraham Ngumee aliyefariki…

BRELA kuimarisha urasimishaji na mifumo ya kidijitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), yatakiwa kuongeza kasi ya urasimishaji wa biashara na kuimarisha mifumo ya kidijitali ili kuchochea ufanisi na ukuaji wa uchumi kwani BRELA ni lango kuu la uwekezaji nchini. Hayo…