JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Mwigulu aagiza kukamatwa kwa mkandarasi raia wa Iran aliyekimbia mradi wa ujenzi Bwawa la Umwagiliaji Bonde la Eyasi

×Asema ni hujuma na dharau dhidi ya Serikali, aahidi kula naye sahani moja, huku akisisitiza kuwa ametumwa kuwashughulikia wezi wa fedha za Serikali… Ataka akamatwe na kuzuiwa kuondoka nchini Karatu, Arusha. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….

Umeme wa gridi Kigoma umeokoa bilioni 58 za mafuta na matengenezo – Salome

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma na hivyo kuokoa takribani shilingi bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kila mwaka kwa ajili ya ununuzi…

CCM, FRELIMO waweka mikakati, kushirikisha vijana kufahamu uhusiano Tanzania, Msumbiji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Frelimo cha Msumbiji vimekubaliana kuwashirikisha vijana ili wafahamu uhusiano uliopo kati ya vyama hivyo na kuhakikisha wananchi wa mataifa hayo wanakuwa na uhuru wa kiuchumi. Pia, vimekubaliana kutengeneza fursa za ajira, hasa kwa…

Wakulima Liyombo wazalisha kahawa tani 1,674.9 zenye thamani ya bil. 18.7/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Wakulima wa zao la kahawa wanaohudumiwa na Chama cha msingi cha Ushirika Liyombo Amcos  Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma, katika msimu wa kilimo 2025/2026 wamezalisha kahawa  safi zaidi ya tani 1,674.9 sawa na kilo…