JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TWCC Yaipongeza FCC kwa kuimarisha elimu dhidi ya bidhaa bandia

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM CHAMA cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kimeipongeza Tume ya Ushindani (FCC) kwa kuendelea kutoa elimu kuhusu utambuzi wa bidhaa bandia na ulinzi wa biashara kwa wajasiriamali, kikisema mafunzo hayo yameongeza uelewa na kusaidia kulinda…

Waziri Sangu na Mwenyekiti Al Mansour Holding wateta masuala ya uwekezaji, ajira na maendeleo ya ujuzi

Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Al Mansour Holding, Mhe. Sheikh Mansour, leo tarehe 10, 2026 jijini Doha,…

Chatanda ; Maridhiano CCM na ACT Wazalendo yamezingatia maslahi ya Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Maridhiano baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) kuelekea uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) Zanzibar, umepongezwa kwani umezingatia maslahi ya nchi ambayo ni muhimu kuliko maslahi…

Serikali kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani

Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha uchumi wa viwanda na kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya kimataifa. Hayo yamesemwa…

WRRB yatambuliwa kwa kuchochea ushindani wa bei na ufanisi wa masoko ya mazao

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha utafiti kuhusu maboresho ya kisasa ya mnyororo wa thamani wa kilimo uliofanywa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Maendeleo ya Canada (IDRC-CRDI) kwa…

Waziri Sangu ahimiza nidhamu na uwajibikaji kwa wafanyakazi wa Kitanzania nchini Qatar

Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewahimiza Watanzania wanaofanya kazi nchini Qatar kuzingatia nidhamu, uwajibikaji na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao ili kuendelea kujenga taswira nzuri…