Latest Posts
Sekondari ya Pangani yapanda miti 344 kuboresha mazingira
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Shule ya Sekondari Pangani , Manispaa ya Kibaha imefanya zoezi la kupanda miti zaidi ya 344 ikiwa ni sehemu ya jitihada za kutekeleza agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhimiza taasisi za elimu…
TBA yashiriki kliniki kutatua kero za wananchi Dodoma
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma unashiriki katika Kliniki maalum ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, inayofanyika tarehe 3 hadi 6 Machi, 2026 katika viwanja vya Nyerere…
KCB Bank Tanzania kuimarisha huduma za kifedha jumuishi kwa waislamu na kuisaidia jamii
Na Mwandishi Wetu, Jamhuriedia, Zanzibar KCB Bank Tanzania imefanya hafla maalumu ya Iftar katika hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar, ikilenga kuimarisha mshikamano na wateja wake pamoja na wadau wa maendeleo katika msimu huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hafla hiyo…
Pwani kutumia bil.497/-kwa mwaka wa fedha 2026/27 kuboresha huduma na miradi ya maendeleo
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkoa wa Pwani umejiwekea mpango mkakati kuandaa bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 hadi 2030/2031 kwa kuzingatia Dira ya Taifa 2050, Ilani ya CCM 2025/2030 na Malengo Endelevu ya Milenia, itakayobeba masuala yote muhimu ili kuinua…
EWURA Kanda ya Kaskazini yawanoa viongozi Wilaya ya Korogwe
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa Wilaya ya Korogwe katika semina iliyofanyika katika ukumbi wa GMCC. Akimkaribisha Mgeni Rasmi, Meneja wa EWURA…




