JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mfumo wa Stakabadhi za ghala kuingia sekta ya mifugo

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho…

Kambi ya madaktari bingwa yavuta wananchi zaidi ya 2,000 Mafia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Zaidi ya wananchi 2,000 wamejitokeza kupata huduma katika kambi ya matibabu ya madaktari bingwa na wabobezi iliyoandaliwa na Taasisi ya Jamii Bora kwa ufadhili wa Benki ya Amana kupitia Mfuko wake wa Hisani, tangu Juni…

Ofisi ya Waziri Mkuu yathibitisha nyenzo muhimu za kuimarisha usimamizi wa maafa nchini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kuongeza uwezo wa kuzuia, kujiandaa, kukabiliana na kurejesha hali baada ya maafa, kufuatia kuongezeka kwa matukio yanayochochewa na mabadiliko ya tabianchi pamoja…

Mkurugenzi wa Uchaguzi apongeza ufanisi na uwazi wa mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, amepongeza ufanisi na uwazi wa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja unaosimamiwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, akieleza kuwa mfumo…

Mwenge waingia Tanga, miradi ya bilioni 27 kuzinduliwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilindi MWENGE wa Uhuru 2926 umewasili katika Mkoa wa Tanga na kuanza kukagua kukagua miradi 73 ya maendeleo na huduma yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 27, ukianzia katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi. Ukiwa…

Serikali yaimarisha usimamizi miradi ya umwagiliaji kuongeza uwajibikaji, ufanisi na thamani ya fedha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kusisitiza uwajibikaji, ufanisi na thamani ya fedha katika utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji na kuimarisha usimamizi wa miradi kwa mfumo wa Washauri Elekezi. Akizungumza jijini Dodoma, wakati wa kufunga kikao kazi Katibu Mkuu…