Latest Posts
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wajipanga kumkabili Trump Davos
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza jukwaani Davos kabla ya Rais wa Marekani Donald Trump, huku vitisho vya ushuru na mgogoro wa Greenland vikizidisha mvutano wa kisiasa na kiuchumi kati ya washirika wa jadi. Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza…
Jeshi la Marekani laikamata meli nyingine ya Venezuela
Kamandi ya Kusini ya Jeshi la Marekani (SOUTHCOM) ilidai kuwa meli hiyo, Sagitta, ilikuwa imekiuka marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump. Kupitia mtandao wa X, kamandi hiyo ilisema: “Marekani imejitolea kuhakikisha kuwa mafuta pekee yanayoondoka Venezuela ni yale yanayopitia njia halali…
Katambi akutana na uongozi wa Kampuni ya Condor kutoka Brazil
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akizungumza na Wawakilishi wa Kampuni ya Condor, kutoka nchini Brazil, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali yanayohusiana na kudhibiti uhalifu, ambapo nchi mbili hizo, Tanzania na Brazil walibadilishana uzoefu katika masuala ya udhibiti…
Halmashauri Wilaya ya Shinyanga yakamilisha ujenzi jengo jipya
Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Shinyanga HALMASHAURI ya Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyanga imesema kukamilika kwa jengo lake lililogharimu shilingi bilioni tatu kumeboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wa halmashari hiyo kwa kiwango kikubwa. Halmashauri hiyo imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan…
Tamasha la Sauti za Busara lapamba moto
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Shamrashamra za ufunguzi wa Tamashara la Sauti za Busara linalojulikana kama Tamasha rafiki zaidi Dunia ,zimeendelea kushika kasi na maandalizi yapo katika hatua za mwisho. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari ,Mkurugenzi…
Dk Mwigulu akutana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.





