Latest Posts
Wanataaluma wajadili athari chanya za AI
Wanataaluma na wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo Desemba 16,2025 wamekutana jijini Dodoma katika Kongamano la 16 la kitaaluma kukijadili kwa kina athari chanya za matumizi ya teknolojia, hususani akili Unde (Artificial Intelligence – AI), katika kukuza elimu,…
Makamu wa Rais aongoza waombolezaji mazishi ya marehemu Jenista Mhagama
Makamu wa Rais wa Jam huri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaongoza waombolezaji kwenye Mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Mhagama, yaliyofanyika katika Kijiji cha Ruanda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma leo tarehe…
TMA yapongezwa kwa kuimarisha imani ya Watanzania kupitia taarifa sahihi za hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilipata fursa adhimu ya kutembelewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa David Kihenzile(MB), katika Mkutano Mkuu wa 18 wa Tathmini ya Utendaji wa Sekta ya Uchukuzi. Mkutano huo…
Wanafunzi 40 wateuliwa kuwa mabalozi wa utalii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Wanafunzi 40 wa sekondari katika.shule zilizopo katika eneo la hifadhi ya jamii ya wanyamapori ya Burunge,wilayani Babati wameteuliwa kuwa mabalozi wa kuhamisha utalii na uhifadhi . Akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanafunzi hao kwenda kujifunza…
Mdemu awataka wanufaika wa mikopo wa WDF kurejesha kwa wakati
Na Saidi Said, WMJJWM – DodomaNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu, amewataka wanufaika wa mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (WDF) kuhakikisha wanarejesha mikopo hiyo kwa wakati ili kutoa…





