JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ubalozi wa Japan kujenga bweni la wasichana sekondari ya Pangani

Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Ubalozi wa Japan nchini unatarajia kujenga bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Pangani, Kibaha mkoani Pwani, kwa lengo la kupunguza changamoto ya wanafunzi wa kike kutembea umbali mrefu na kuishi nje ya shule. Hayo…

Serikali yalipa asilimia 95 ya deni la kihistoria mifuko ya hifadhi

Na OWM-KAM,Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa Deus Clement Sangu, ametoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Awamu ya Sita kwa utaratibu wake wa kishujaa wa kulipa deni la kihistoria la shilingi trilioni…

JK akabidhiwa vitabu vya hotuba za hayati Benjamini Mkapa

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea nakala ya kitabu “Jamhuri na Plato” kilichotafsiriwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kutoka kwa Bw. Walter Bgoya, Mkurugenzi wa kampuni ya uchapishaji ya Mkuki na…

Uongozi wa Hospitali ya Muhimbili wafanya ziara ya kikazi nchini Comoro

Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili umefanya ziara ya kikazi nchini Comoro kwa mwaliko wa Jeshi la Comoro, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuanzisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta ya afya, hususan huduma za hospitali ya jeshi. Ziara…

TAMISA: Wawekezaji sekta ya madini wapeni kipaumbele Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimezitaka kampuni za kigeni zinazowekeza katika sekta ya madini nchini kuhakikisha zinatoa kipaumbele kwa Watanzania katika ajira, utoaji wa huduma na usambazaji wa…

Siku 100 za Dk Samia zaweka historia ujenzi wa miundombinu nchini

📌Serikali yatoa zaidi ya Shilingi Bil 500 kulipa makandarasi‎ ‎Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imeweka historia mpya katika eneo la King’ori, jijini Arusha na maeneo mengine nchini kwa kuweka tumaini jipya kwa wananchi kupitia…