Latest Posts
TARURA kuaminiwa kujenga barabara za kuingilia uwanja wa AFCON ni ishara kubwa ya kuaminiwa uwezo wake
Na. Catherine Sungura Uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuikabidhi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) jukumu la kujenga miundombinu ya barabara za maingilio kwenye uwanja wa utakaotumika wakati wa michuano ya Kombe la Mataifa…
Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa
Na. Mwandishi Wetu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya Maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027), Dkt. Jim Yonazi,…
Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Balozi Meja Jenerali Gaguti
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja. Jen. Marco Elisha Gaguti, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo…
Waziri Mkuu : Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mkakati wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na miradi inakamilika kwa wakati. Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Sokoine, wilayani…





