JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

VETA Songea inavyowajengea uwezo wahitimu kukabiliana na changamoto ya ajira

Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Songea MPANGO wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,kuongeza program maaalum za mafunzo ya ufundi stadi kupitia vyuo vya ufundi ni hatua nzuri ya kujenga rasilimali imara kwa vijana hapa nchini….

Mega Copper yaongeza thamani shaba

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MKAKATI wa uongezaji thamani katika Sekta ya Madini umeanza kuzaa matunda mkoani Kilimanjaro, baada ya kampuni ya Mega Copper Co Ltd kujikita katika uongezaji wa kiwango cha ubora wa madini ya shaba kutoka asilimia moja hadi…

Bei ya mafuta yapanda kutokana na mzozo Mashariki ya Kati

BEI ya mafuta imepanda leo Jumatatu huku masoko ya hisa yakiropomoka kutokana na kishindo cha mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yaliyoanza siku ya Jumamosi. Pipa moja la mafuta ghafi limefikia karibu dola 80 kwenye soko…

Israel yafanya wimbi jingine la mashambulizi Tehran

Israel imesema imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi katikati mwa Tehran, ikilenga kufikia kitovu cha mji mkuu na kutawala anga ya Iran, baada ya wimbi la kwanza lililomuua Kiongozi Mkuu wa taifa hilo. Milipuko mikubwa imeripotiwa Jumapili mjini Tehran huku mashambulizi…

Milioni 30 zatolewa kusaidia watoto wanaotibiwa JKCI

…………………………………………….. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanawake wanaoshiriki mafunzo ya Female Future Program msimu wa 11, yanayotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamechangia shilingi milioni 30 kusaidia matibabu ya moyo kwa watoto wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo…