Latest Posts
Nimezindua madarasa yatakayoondoa msongamano wa wanafunzi -Prof. Shemdoe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bumbuli Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM -TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema kuwa amezindua madarasa matatu katika Shule ya Sekondari Kilivicha wilayani Bumbuli ambayo yataondoa changamoto…
TANESCO yagusa mioyo ya watoto wenye mahitaji maalum
📌Ni sehemu ya uwajibikaji wake kwa jamii 📌Yatoa misaada mbalimbali kwa vituo vitatu Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuendeleza dhamira ya uwajibikaji kwa jamii, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), tarehe 19 Machi 2026, lilifanya…
Wanafunzi Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Njombe wapata elimu kuhusu haki za malaji
……………….. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe TUME ya Ushindani (FCC) kanda ya Nyanda za Juu Kusini imetoa elimu kwa wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Njombe (FDC) kuhusu masuala ya kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja…
Mkandarasi anayejenga barabara ya uwanja wa AFCON 2027 Arusha hatoongezewa muda -Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya M/s China Railway Construction Engineering Group kuhakikisha ifikapo Mei 2027 iwe imekamilisha ujenzi wa miundombinu ya bababara za kuelekea na…
Balozi Kaganda atembelea ofisi za TPA nchini Zimbabwe
Na Mwandishi Wetu Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, ametembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) zilizopo mjini Harare na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa TPA nchini humo, Bi. Kulthum Boma kuhusu namna…
FCC yatoa elimu kwa wanachuo VETA Kibaha kuhusu haki za mlaji
…………………. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha KATIKA harakati za kuimarisha uelewa wa haki za walaji nchini, Tume ya Ushindani (FCC) leo Machi 19, 2026 imetoa elimu kwa wanachuo wa Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Kibaha kuhusu masuala ya kumlinda mlaji na…





