Latest Posts
Wakaguzi wa mafuta waimarisha udhibiti mafuta wa ubora wakati wa upakuaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali, kupitia Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), inasimamia upakuaji wa shehena za mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta, ili kuhakikisha usalama na uzingatiaji wa viwango vya ubora vinavyotakiwa. Akizungumza katika…
TIRDO yaonyesha teknolojia za kuongeza thamani ya mazao na kupunguza gharama za uzalishaji Nanenane
SHIRIKA la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema linaendelea kuwasaidia wakulima na wajasiriamali kuongeza thamani ya mazao, kupunguza gharama za uzalishaji na kupata masoko kupitia matumizi ya teknolojia za kisasa, maabara za ubora na suluhisho za nishati. Akizungumza…
Waziri wa Fedha : Africa50 imeonyesha njia
Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa fedha Balozi Khamisi Musa Omar amesema ,Africa50 imeonyesha kuwa taasisi zinazoongozwa na Waafrika zinaweza kwa mafanikio kuhamasisha mitaji, kuandaa miradi inayovutia uwekezaji. Amesema hayo katika Mkutano mkuu wa wanahisa wa Africa50 (GSM…
Rais Samia : Afrika inahitaji matokeo chanya
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ni wakati wa kubadili mawazo kuwa miradi inayovutia wawekezaji Hayo ameyasema katika mkutano wa Africa50 na Jukwaa la miundo mbinu Afrika…
Polisi Pwani yabaini wanafunzi 573 waliacha shule, 114 warejeshwa kwa oparesheni maalum
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limebaini zaidi ya wanafunzi 500 wa shule za msingi na sekondari waliokuwa wameacha masomo kwa kipindi kirefu, huku likifanikiwa kuwarejesha shuleni wanafunzi 114 kupitia operesheni maalumu ya Polisi Jamii…
Wakulima, wafugaji, wavuvi wapongezwa kwa kuchangia utoshelevu wa chakula nchini
Na OWM – TAMISEMI, Morogoro Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mchango wao mkubwa uliowezesha Tanzania kufikia utoshelevu wa chakula wa…





