JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watatu washikiliwa kwa tuhuma za ‘kuchakachua’ mbolea Makambako

Na Mwandishi Wetu Polisi mkoani Njombe inawashikilia watu watu akiwemo James Elias Nziku (41), Ahmed Abdalah Gunda (21) na Seleman Lameck Msiani (37) wakazi wa Makambako mkoani Njombe baada ya kukutwa katika ghala la mfanyabiashara wa pemebejeo anaejulikana kwa jina…

Waziri Mkuu : Maofisa mawasiliano jengeni utamaduni wa kufanya tafiti kupata takwimu

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wahakikishe kila wakati wanafanya utafiti na kupata takwimu sahihi. “Maofisa Mawasiliano wote jengeni utamaduni wa kufanya tafiti, kupata takwimu sahihi kabla…

Tanzania na IFC zajadili ushirikiano sekta ya umma na sekta binafsi kwa maendeleo ya nchi

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania imerejea tena dhamira yake ya kushirikiana kwa karibu na Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) ili kuongeza uwekezaji wa sekta binafsi, kupanua miundombinu na kuharakisha Mpango wa Taifa wa mabadiliko ya…

Watumishi FCC watoa elimu ya haki za mlaji Mara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara WATUMISHI  wa Tume ya Ushindani Ofisi ya Kanda ya Ziwa wametoa elimu kwa wadau mbalimbali, wakiwemo wanafunzi, waandishi wa habari na wafanyabiashara, walipotembelea Banda la Kliniki ya Walaji katika Manispaa ya Musoma Mkoani Mara. Banda…

Dk Dugange afungua kongamano la nishati safi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imehimiza kuwa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini itekelezwe kwa misingi ya uhifadhi, usimamizi wa mazingira na ushirikishwaji wa jamii za wenyeji ili kulinda urithi wa nchi. Hayo yemesemwa na Naibu…