JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watahiniwa milioni 1.16 kufanya mtihani wa darasa la saba

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya watahiniwa 1,168,649 kutoka shule 20,019 Tanzania Bara wanatarajiwa kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kesho na keshokutwa (Septemba 9 na 10, 2026), huku Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA)…

Wasira amjibu Nchimbi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amejibu hoja ya Makamu wa Rais aliyejiuzulu, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi ya kuwataka Watanzania wapambanie Katiba Mpya. Akizungumza Dar es Salaam leo Septemba 8,…

Nombo : Udanganyifu mitihani wapungua kwa kiasi kikubwa

Serikali imesema udanganyifu katika mitihani ya kitaifa umepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na kuimarishwa kwa usimamizi wa mitihani nchini. Kauli hiyo imetolewa Septemba 7, 2026 mkoani Ruvuma na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu Prof. Carolyne Nombo, alipofika katika Ofisi…

Vyama vya siasa kuwa mabalozi wa bima ya afya

Vyama vya siasa nchini vimetakiwa kutumia majukwaa yao kuwahamasisha na kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa Wote, kwa kuwa afya ni haki ya kila mwananchi bila kujali itikadi, umri, jinsia au nafasi yake katika jamii….

TARURA yatumia teknolojia ya kisasa kuchunguza udongo kabla ujenzi wa miundombinu

*Bilioni 2 zatumika uwekezaji mtambo wa kisasa *Maabara ya TARURA yatumika kuongeza ujuzi kwa wanachuo ‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma ‎Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutumia teknolojia ya kisasa kufanya uchunguzi wa kina wa udongo kabla…

Rais Mwinyi : Amani na utulivu ni mafanikio ya Uchaguzi 2025 Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kwa kusimamia Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa mwaka 2025 kwa amani na utulivu. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo,…