JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ajira za wazawa migodini zaongezeka kufikia asilimia 97

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Ajira kwa Watanzania katika miradi ya madini zimeendelea kuongezeka kwa kasi, zikipanda kutoka ajira 6,668 sawa na asilimia 95 mwaka 2018 hadi kufikia ajira 18,853 kati ya ajira 19,356 sawa na asilimia 97 kufikia Desemba…

Waziri Kombo aweka jiwe la msingi ujenzi jengo la mafunzo kwa watumishi wa umma

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) ameweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa Jengo la mafunzo kwa watumishi wa Umma katika Chuo cha Utawala wa Umma (IPA)…

Rais Mwinyi : SMZ kuendelea kujenga masoko ya kisasa katika kuimarisha biashara Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea na ujenzi wa masoko ya kisasa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar kwa lengo la kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora, salama na…

Kata za Kirua, Vunjo na Mindu kupiga kura kesho kuchagua madiwani

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mkoa wa…