JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TPDC yapata tuzo ya taasisi bora Sabasaba kwa miaka mitano mfululizo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeandika historia kwa kutwaa tuzo ya Taasisi Bora za Umma katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), ikiwa ni mara…

TASAC yatoa wito kwa wazazi kuwapeleka watoto kusomea ubaharia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Mohamed Salum, ametoa wito kwa wazazi na walezi kuwatia moyo watoto wao kuchangamkia masomo ya sekta ya bahari kutokana na uhaba mkubwa wa…

REA yajizatiti kufikisha lengo la taifa kwenye sekta safi ya kupikia

📌Mkurugenzi Mkuu REA abainisha hatua zinazochukuliwa 📌Amshukuru Rais Samia kwa kuwezesha Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amesema Wakala umejizatiti kuhakikisha 80% ya Watanzania wanatumia Nishati Safi ya Kupikia ifikapo mwaka 2034 kama ilivyoelekezwa katika…

‘Kiswahili ni urithi na alama ya umoja kwa nchi za Afrika Mashariki na Bara zima’

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji uliadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani katika ukumbi wa Hoteli ya Polana Serena, jijini Maputo. Tukio hilo lilihudhuriwa na wadau kutoa makundi mbalimbali wakiwemo; Wawakilishi wa Serikali ya Msumbiji; baadhi ya Mabalozi…

Balozi Hamad ateta na Rais wa Bunge la Jamhuri Msumbiji

Balozi Hamad Khamis Hamad amekutana na Margarida Adamugu Talapa, Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji kwenye Ofisi za Bunge hilo Jijini Maputo. Wakati wa mkutano huo, Talapa alimpongeza Balozi Hamad kwa kuteuliwa kuiwakilisha Tanzania nchini Msumbiji na kumhakikishia kila…