JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia akutana na Rais Ufaransa Ikulu Paris

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya mazungumzo na Mwenyeji wake Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron tarehe 14 Mei, 2024Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Nchi za Kanda ya Afrika Mashariki zasisitizwa ushirikiano kukabiliana na hali mbaya ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari ametoa rai kwa wataalamu kutoka nchi za Kanda ya Afrika Mashariki kuboresha ushirikiano ili kuweza kukabiliana na changamoto…

Tanzania, Ufaransa zasaini tamko la Paris

Tanzania na Ufaransa zimesaini Tamko la Paris (Paris Declaration) katika kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi uliopo baina ya nchi hizo mbili. Tamko hilo limesainiwa leo tarehe 14 Mei, 2024 jijini Paris Ufaransa na Waziri wa Mambo ya Nje na…

Mchengerwa : Tutawachukulia hatua watumishi wanaokiuka sheria ukusanyaji mapato

OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema serikali haitavumilia ukiukwaji sheria na hatua kali zitachukuliwa kwa watumishi watakaobainika kukiuka sheria kwenye ukusanyaji mapato ya serikali. Mhe.Mchengerwa ameyasema hayo…

Halmashauri Bagamoyo yahitaji madawati 7,000 kwa sekondari, msingi- DED Selenda

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule za msingi na sekondari. Kutokana na mahitaji ya madawati hayo inahitajika kiasi cha sh.milioni 350 ili kuondokana na…

Mbunge Rweikiza asimama bungeni kupigania mradi wa maji Kemondo-Marufu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini mkoani Kagera Dkt. Jasson Rweikiza Jana Jumanne Mei 14, 2024 amesimama Bungeni Jijini Dodoma kuhoji Wizara ya Maji kwanini mradi mkubwa wa maji wa Kemondo- Maruku umechelewa kuanza huku…