Latest Posts
RC Chongolo akutana na uongozi wa Uhifadhi Ngorongoro
Uongozi ya Hifadhi ya Ngorongoro Umefanya ziara ya kikazi kuonana na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel G. Chongolo. Pamoja na mambo mengine walijadiliana kwa kina kuhusu Uendelezaji wa Eneo la Kimondo Kwa ajili ya Maendeleo ya Kitalii na…
Mpimbwe wampongeza Naibu Waziri Pinda
Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Mlele Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda amepongezwa kwa kuwakutanisha wananchi wa jimbo lake kusheherekea nao Siku Kuu ya…
Polisi kutoka nchi 14 kufanya mazoezi ya pamoja kukabiliana na uhalifu
Na Mwandishi, Jeshi la Polisi, Kilimanjaro Jeshi la Polisi Nchini, limesema linatalajia kuwa, mwenyeji wa zoezi la mafunzo ya utayari kwa vitendo (Field Training Exercise – FTX) mwaka 2024 litakalojumuisha nchi 14 wanachama wa Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda…
Twaha Kiduku amchakaza Muhindi kwa TKO
Na Isri Mohamed Bondia Mtanzania Twaha Kiduku Amefanikiwa Kumchakaza Mpinzani wake kutoka India, Harpreet Singh kwa ‘TKO’ raundi ya tano. Ushindi huo wa Kiduku umepatikana baada ya Singh kumuomba refa amalize pambano bila kuelezea nini hasa kimemkuta. Baada ya kumaliza…
Kadio, Nyenza wang’ara mashindano ya gofu kumuenzi Lina
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro WACHEZAJI wa kulipwa wa gofu kutoka Dar es Salaam, Bryson Nyenza na Hassan Kadio wameibuka vinara wa raundi 18 za kwanza za mashindano ya gofu ya kumuenzi mchezaji wa zamani timu ya wanawake Lina, baada…





