Latest Posts
Samatta aliomba asiitwe Stars
Na Isri Mohamed Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta aliomba kutojumuishwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa. TFF imesema Samatta alizungumza na Kocha Hemed Suleiman, kabla ya kutajwa kwa kikosi hicho na…
Wakazi Kisabi wagoma kuhamia Kikongo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Wakazi wa Kitongoji cha Kisabi , Mlandizi ,Kibaha Vijijini , Mkoani Pwani wanaotakiwa kupisha eneo hilo na kuhamia Kikongo eneo lenye ekari 1,000 lililotolewa na Serikali wamegomea kuhama wakidai ugumu wa kuanza maisha mapya. Hayo…
Watoto chini ya miaka mitano wapatiwa matone ya vitamini A
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara afya imepokea vidonge vya matone ya Vitamini A milioni 22 kutoka kwa shirika la Nutritrion International kwa ajili ya kuwapatie watoto walio na umri chini ya miaka 5 wapatao milioni…
TAKUKURU Ruvuma yabaini mapungufu miradi minne ya bilioni 1.55
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea TAASISI ya Kuzuia na Kupambana ya Rushwa (TAKUKURU), mkoani Ruvuma imebaini mapungufu na kuchukua hatua katika miradi minne ya maendeleo yenye thamani ya bilioni 1.55. Hayo yamesemwa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Hamza…
Regrow waleta neema Hifadhi ya Taifa Ruaha
…………………….. Na Mwandishi Wetu Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW), umezidi kuwa neema kwa uhifadhi wa Ikolojia pamoja Utalii katika Hifadhi ya Taifa Ruaha kutokana na Maboresho ya mito uliofanywa Wilaya ya Mbarali…
Katambi awaomba viongozi kushirikiana ili kuchochea maendeleo Jimbo la Shinyanga Mjini
Na Suzy Butondo,JamhuriMedia,Shinyanga Mbunge wa Jimbo la Shinyanga mjini ambaye pia ni naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Patrobas Katambi amewaomba viongozi wa CCM na Serikali kushirikiane naye kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo na…





