JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mchecu: Masoko ya mitaji kufungua fursa za uchumi

Na Mwandishi wa OTR Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa nchi za Afrika kuimarisha ushirikiano na ujumuishaji wa masoko ya mitaji, akisema kuwa masoko imara na yaliyounganishwa ndiyo msingi wa kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu, kugharamia miradi…

Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi Hospitali ya Butiama Kizurira Nyerere

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Butiama Kizurira Nyerere wilayani Butiama, mkoani Mara, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Hospitali hiyo imejengwa kwa lengo la…

Tanzania ipo tayari kuelekea AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Tanzania ipo tayari kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ikiwa mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda ambapo maandalizi yamefikia hatua nzuri kwa kuzingatia viwango vya Shirikisho la Mpira wa Miguu…

JET highlights critical role of CSOs in combating desrtification ahead of UNCCD COP17

Dodoma, Tanzania The Executive Director of the Journalists’ Environmental Association of Tanzania (JET), John Chikomo, has underscored the pivotal role of civil society organizations (CSOs) in combating desertification and land degradation, saying their contribution is essential to achieving Tanzania’s environmental…

Tanzanite yang’aa Sabasaba wananchi wavutiwa na upekee wake

Waiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kuhusu madini na fursa za uwekezaji 📍DAR ES SALAAM Madini ya Tanzanite yameendelea kuwa kivutio kikubwa katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), huku mamia ya wananchi wakifurika katika…

WRRB, Misri wajadili ushirikiano wa kibiashara kupitia mfumo wa stakabadhi ghala

Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Biashara kutoka Ubalozi wa Misri nchini Tanzania, Bw. Wael Aref, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kibiashara kupitia Mfumo wa Stakabadhi…