Latest Posts
RC Makalla aagiza maandalizi yadharura kabla ya mvua za El Nino, TMA yaonya
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amezitaka mamlaka za wilaya pamoja na Kamati za Maafa mkoani humo kujiandaa mapema kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za msimu wa Vuli 2026 zinazotarajiwa…
Makalla aagiza Kamati za Maafa Arusha kujiandaa na mvua za El Nino
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla amewaagiza wakuu wa wilaya za Mkoa wa Arusha na Kamati zao za Usalama kujipanga kukabiliana na uwepo wa mvua za Elnino zinazotarajiwa kunyesha kuanzia mwezi Septemba…
Ndejembi mfano wa mwanasiasa aliyepanda hatua kwa hatua
Deo Ndejembi ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamepanda hatua kwa hatua katika uongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ndejembi alianza kujijenga kisiasa kupitia UVCCM, kabla ya kuingia kwenye nafasi za uongozi wa Serikali. Mwaka 2016, aliteuliwa kuwa Mkuu…
Tume ya Umwagiliaji, Tume ya Mipango zaunganisha nguvu kuimarisha utekelezaji miradi
📍Dodoma, Tanzania Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imekutana na Tume ya Taifa ya Mipango,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji; kwa lengo la kujadili namna bora ya kuoanisha mipango, miradi na utekelezaji wa shughuli zake ili kuongeza tija katika utekelezaji wa…
Watu 1,500 wapotea katika mafuriko Nepal na China
TAKRIBAN watu 1,500 hawajulikani walipo nchini Nepal na katika eneo la Tibet nchini China, baada ya maporomoko ya barafu, miamba na udongo kusababisha mafuriko makubwa yaliyosomba makazi, barabara na madaraja katika eneo la Himalaya. Polisi nchini Nepal walisema zaidi ya…





