Latest Posts
Dk Natu: Tanzania, UNICEF kuendeleza ushirikiano
Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) anayehusika na Programu, Bi. Patricia Safi Lombo,…
Muonekano majengo ya Kampasi ya Lindi ya UDSM, Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), katika hafla iliyofanyika eneo la Ngongo, Manispaa ya Lindi. Ujenzi wa kampasi hiyo,…
Polisi wa Utalii’ waimarisha usalama, imani kwa wageni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kukua kwa kasi na kuimarika kwa sekta ya utalii nchini kunachagizwa kwa kiwango fulani na kuwapo kwa huduma bora za kijamii, ikiwemo uhakika wa usalama kwa wageni.Tanzania ni moja ya mataifa yenye kuvutia utalii wa…
Simbachawane awataka wanaKegara walioko nje kurejea nyumbani kuwekeza
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka Wanakagera wanaoishi nje ya Mkoa wa Kagera kurejea nyumbani kuwekeza, akisisitiza kuwa maendeleo ya mkoa huo yanahitaji ushiriki wa wadau wote, hususan wananchi wenye asili ya Kagera waliopo maeneo mbalimbali…
Morocco yaanza Afcon 2025 kwa ushindi dhidi ya Comoros
Wenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, Morocco, wameanza kampeni yao ya kutafuta taji la pili la barani Afrika kwa ushindi wa mabao 2 – 0 dhidi ya Comoros katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa mjini Rabat. Atlas Lions…
Dk Mwigulu atoa siku saba kwa TANROADS, TARURA Lindi
*Ataka watengeneze kwa haraka daraja la dharura lililoanza kutitia WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku saba kwa Mameneja wa TANROADS na TARURA wa Mkoa wa Lindi wakae na kutafuta suluhisho la ujenzi wa daraja katika eneo la Congo kwenye…





