Latest Posts
Mgalu :Waandaeni vijana Bagamoyo kunufaika na miradi ya kimkakati, wasiwe watazamaji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, CPA Subira Mgalu, ameeleza ipo haja ya kuwaandaa vijana mapema ili waweze kunufaika na fursa za ajira na uwekezaji zitakazotokana na utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayotarajiwa kuibadilisha Bagamoyo…
Mycoely balozi mpya wa mazingira nchini
Msanii wa Mziki wa Bongo fleva nchini Michael Muganda (Mycoely) amesaini hati ya makubaliano na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) ya kuwa Balozi wa Mazingira nchini. Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa Julai 11, 2026 kwenye…
Diamond : Usimamizi sheria ya huduma za habari unaimarisha uwekezaji kwenye sekta ya habari
Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema utekelezaji wa Sheria ya Huduma za Habari unaweka mazingira bora ya kukuza uwekezaji katika sekta ya habari kwa kuhakikisha vyombo vya habari vinaendeshwa kwa kuzingatia sheria, weledi na viwango…
Papa Leo XIV ampa Padre Vincent Mpwaji wadhifa wa askofu Msaidizi wa Dar es Salaam
Papa Leo XIV amemteua Padre Vincent Lawrence Mpwaji, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu DSM. Pia amemteua kuwa Askofu wa heshima (Titular Bishop) wa jimbo la Tacarata huko Algeria. Kwa kawaida Maaskofu wasaidizi (Auxiliary Bishops) hupewa majimbo ya heshima (Titular…
TEA yapongezwa kwa kuwawezesha vijana kupata elimu ya amali
Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam MKURUGENZI wa Idara ya Elimu Mbadala na Elimu ya Watu Wazima Zanzibar, Mashavu Ahmada Fakih, ameipongeza Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha sekta ya elimu nchini, huku akiwataka wadau…
TEA yawahimiza wadau wa maendeleo kuwekeza katika elimu ya amali
Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imezitaka taasisi za maendeleo, sekta binafsi na wananchi wenye uwezo kujitokeza kuchangia Mfuko wa Taifa wa Elimu ili kuongeza rasilimali zitakazowezesha kuboresha miundombinu ya elimu na kuimarisha uwekezaji katika…





