Latest Posts
Mwanamke ajichoma kisu tumboni baada ya kugombana na mpenzi wake
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MWANAMKE mwenye umri wa miaka 30 mnyamwezi, mkulima, mkazi wa maeneo ya Cheyo-A, Kata ya Cheyo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora amejichoma kisu tumboni kwa hasira baada ya kugombana na mpenzi wake. Akizungumzia tukio…
Spika Zungu awahimiza wabunge kuachana na karatasi, wahamie mfumo wa kidigitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dododoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamehimizwa kupunguza matumizi ya karatasi na kutimia mfumo wa kidijitali katika shughuli za Bunge ili kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa mazingira. Wito huo umetolewa bungeni…
Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Africa
Na Munir Shemweta, WANMM Nairobi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeelezea mafanikio yake katika maendeleo ya miji na sekta ya makazi wakati wa Kongamano la Pili la Miji Africa (2nd African Urban Forum) linalofanyika jijini Nairobi, huku ikitoa…
Ofisi za Gazeti la Pambazuko zavunjwa na kuibwa nyaraka muhimu
OFISI za Gazeti la Pambazuko linalosambazwa kila wiki, zimevunjwa na kuibwa kwa nyaraka, laptop mbili na kamera. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo – Aprili 10, 2026 kwenye ofisi zake zilizopo kwenye Jengo la Pambazuko lililoko Mtaa wa Mpakani…
Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa wito kwa baadhi ya watu wanaozua taharuki na kutoa taarifa za uzushi zinazosababisha vitendo vya uvunjifu wa amani kuhusiana na kuibiwa kwa nyeti zao mara baada ya kushikwa…
Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 mwaka uliopita. Shirika la OECD lenye makao yake makuu mjini Paris nchini Ufaransa lilisema data zake za awali zilionyesha misaada…





