Latest Posts
TANESCO yabaini huduma ya umeme ni ya uhakika jengo la kituo cha mabasi Mwenge
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini kuwa huduma ya umeme katika Jengo la Kituo cha Mabasi cha Mwenge inaendelea kuwa ya uhakika baada ya kufanya ukaguzi wa miundombinu kufuatia taarifa zilizosambaa zikidai kuwepo kwa…
Serikali kuendelea kuboresha huduma za maji safi na salama
Na. Asia Singano, WF- TCHAD Serikali ya Tanzania imedhamiria kuhakikisha kuwa Wananchi wa Tanzania wanapata huduma za msingi za maji safi na salama kwakuwa maji ni kichocheo muhimu cha mabadiliko ya uchumi na ni muhimu kwa ufanisi wa kilimo, viwanda,…
Umeme kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini
Serikali imedhamiria kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini kupitia usambazaji wa umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wananchi wamehimizwa kuchangamkia kuunganishiwa umeme kwenye vitongoji vilivyofikiwa. Hayo yamesemwa Julai 15, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB),…
Taifa linahitaji zaidi ya utaalamu wa sheria Kufikia Malengo ya Dira ya 2050 –Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amefungua mafunzo ya tatu ya Bespoke kwa Mawakili wa Serikali, yalioandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo yameanza tarehe 15 Julai, 2026 na yatahimishwa tarehe 17 Julai, 2026…
Skauti kuwa mabalozi wa matumizi salama ya gesi nchini
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx Tanzania imezindua kitabu cha Mwongozo wa Matumizi Salama ya Gesi ya LPG na kusaini mkataba wa ushirikiano wa miaka mitatu na Chama cha Skauti Tanzania, hatua inayolenga kuimarisha elimu ya matumizi salama ya gesi…
NAIBU Waziri Salome awasili Morogoro kufungua warsha ya nishati safi ya kupikia
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Mussa Kilakala, akiwasili katika Ukumbi wa Morena Hotel mkoani Morogoro kwa ajili ya kufungua warsha ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari pamoja na Maafisa…





