Latest Posts
Sabasaba yaja na ‘Usiku wa Dhahabu’ kuibua historia ya miaka 50 ya mageuzi ya biashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ya miaka 50 ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), mwaka huu wadau wa biashara, wawekezaji, wabunifu na wananchi wanatarajiwa…
Zawadi Ligi ya Muungano kuboreshwa
Na Mwandishi Wetu, Unguja Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboreshwa zaidi ikiwa pamoja na zawadi kwa bingwa ili kuipa hadhi ya kipekee ligi hiyo. Amesema…
Rufiji kutoa tuzo kwa kata bora kimaendeleo na mapato 2026/27
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Halmashauri ya Mji Rufiji kuanzisha mfumo wa utoaji tuzo kwa kata zitakazofanya vizuri katika usimamizi wa shughuli za maendeleo pamoja na ukusanyaji wa mapato kupitia kadi maalum ya kupima utendaji kazi (score card) , kwa…
Benki ya Dunia yaeleza imani kwa mustakabali wa Tanzania na ajenda ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
Tarehe 18 Mei, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alimpokea Ikulu jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayemaliza muda wake, Bw. Nathan Belete, aliyefika kumuaga Mheshimiwa Rais na kumtambulisha…
Trump: Hatuna haraka ya kufikia makubaliano na Iran
Rais wa Marekani amesema kuwa mazungumzo yanaendelea “kwa utaratibu na kwa njia yenye kujenga,” na kusisitiza kuwa hana haraka ya kufikia makubaliano ya kuvimaliza vita baina yake na Iran. Trump amesema siku ya Jumapili kupitia mtandao wa Truth Social kwamba…
Mlipuko wa Ebola Kongo, watu zaidi ya 200 wafariki
Serikali ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa Ebola katika eneo la Kaskazini mashariki mwa nchi hiyo inaendelea kuongezeka na kufikia 204 . Tangu kuanza kwa mlipuko huo, jumla ya visa 867 vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola…





