JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kapinga amkabidhi mlemavu mashine ya kusaga viungo

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amemkabidhi mfanyabiashara mwenye ulemavu, Bi.Esther Mashaka Msengi, mashine ya kusagia viungo ili kuongeza uzalishaji, kupunguza gharama za biashara na kuboresha kipato chake. Akikabidhi mashine hiyo  katika Viwanja vya Maonyesho ya Biashara…

TBA yang’ara Sabasaba, yashinda tuzo ya banda bora katika sekta ya miliki na real estate

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umeibuka mshindi wa nafasi ya pili na kutunukiwa tuzo ya Banda Bora katika Sekta ya Miliki na Real Estate wakati wa sherehe za kufunga Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya…

Prof. Shemdoe ampa tano mbunge Jacqueline Mzindakaya kuratibu mafunzo uwezeshaji wananchi kiuchumi

Na OWM–TAMISEMI, Sumbawanga Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amempongeza Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Jacqueline Mzindakaya, kwa juhudi zake za kuwaunganisha wadau…

Makatibu Wakuu wa SADC wakutana Malawi kujadili amani na usalama

Mkutano wa 28 wa Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ngazi ya wataalamu umefunguliwa leo Julai 13, 2026, mjini Salima, Malawi ambapo wajumbe watajadili agenda mbalimbali, zinazolenga kuimarisha ulinzi na…

BoT Yang’ara SABASABA, Yatwaa Tuzo ya banda bora

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeibuka mshindi wa kwanza wa banda bora katika kundi la Taasisi za Usimamizi kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (Saba Saba), yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere, Barabara ya Kilwa jijini…