JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kamati ya Bunge yaridhishwa na kasi ya ujenzi wa jengo la ghorofa 10 CBE

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb), ameeleza kuridhishwa kwake na hatua ya ujenzi wa jengo la kisasa la Vipimo na Viwango katika Chuo cha…

Ushirikiano wa TEITI na mgodi wa Geita waongeza uwazi na uwajibikaji katika rasilimali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI, Balozi Wilson Masilingi, ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited akiambatana na Menejimenti ya TEITI, kwa lengo la kujitambulisha na kufanya mazungumzo na menejimenti ya mgodi huo. Akizungumza…

Waziri Nanauka kurunzi jipya kwa vijana

Na Byarugaba Innocent, OR-MV Tanzania nchi yangu, nakupenda kwa moyo wangu wote. Ni nchi yenye utajiri mwingi kuanzia amani iliyopo. Aidha, rasilimali watu, ardhi yenye rutuba, madini, mbuga za Wanyama, vyanzo vya kudumu vya maji ikiwemo bahari, maziwa, mito na…

BoT yashiriki wadau mpangp wa kuanzosha kampuni ya udhamini wa mikopo

Na Mwandishi Wetu Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiongozwa na Naibu Gavana wa Sera za Uchumi na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila, imefanya kikao na wadau mbalimbali kujadiliana kuhusu mpango wa kuanzishwa kwa kampuni ya utoaji na usimamizi wa dhamana za…

Kamati ya Kudumu ya Bunge Nishati na Madini yaridhishwa na maendeleo ya kiwanda cha nguzo za zege

*Ni mradi wa kihistoria kutekelezwa chini ya Serikali ya awamu ya Sita Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Tabora Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na Ujenzi wa Kiwanda cha Zege kinachomilikiwa na kampuni tanzu ya TANESCO ya…

Chalamila atoa rai shule mkoani Pwani kuanzisha klabu za kupinga rushwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, ametoa wito kwa shule zote za msingi na sekondari mkoani Pwani ambazo bado hazijaanzisha klabu za kupinga rushwa, kuhakikisha zinaanzisha klabu hizo…