JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Trump aionya Iran kujiandaa kwa mashambulizi zaidi

RAIS wa Marekani, Donald Trump ameionya Iran kuwa nchi yake inajiandaa kwa usiku mwingine wa mashambulizi, saa chache tu baada ya kusema kuwa makubaliano ya muda ya kusitisha mapigano yamefika mwisho. Trump ametishia kuchukua hatua hiyo, baada ya mashambulizi ya…

Tanzania yajipanga kitovu cha uzalishaji dawa Afrika, yawaalika wawekezaji wa China

Na John Mapepele, Wu hani – China Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha uzalishaji wa dawa kwa ukanda wa Afrika Mashariki na kwingineko barani Afrika, huku…

Balozi Temu asisitiza marekebisho ya mifumo ya mali miliki

Na Prosper Makene Geneva – Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva ametoa wito wa kuwa na mifumo ya mali miliki (Intellectual Property) inayojumuisha wote, yenye usawa na inayolenga mustakabali ili kuchochea…

Dkt. Kiruswa: Mageuzi sekta ya madini yaifanya Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji Afrika

-Tume ya Madini yaeleza usimamizi wa leseni za madini na Local Content unavyowanufaisha Watanzania -Fursa za uwekezaji zatangazwa kuanzia utafiti, uchimbaji hadi uongezaji thamani wa madini Dar es Salaam Serikali imesema mageuzi yanayoendelea kutekelezwa katika sekta ya madini chini ya…

Dk Mawazo Nicas akutana na Balozi Kairuki nchini Uingereza, wajadili fursa za uwekezaji Kibaha

London, Uingereza | Julai 8, 2026 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ambaye yupo nchini Uingereza katika ziara nchini humo, leo Julai 8, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini…

TFS yapokea wageni wa ofa ya Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Wakala wa Misitu nchini (TFS), wamepokea wameanza kupokea wageni kutokana na punguzo la msimu huu wa Sabasaba katika kutembelea vituo vyao vya utalii. Zoezi hilo limeanza rasmi kwa kupokea wageni wa ndani na nnje ya…