Latest Posts
Samba mbaroni kwa tuhuma za kukutwa mirungi Same
Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi, kuanzia tarehe 10 hadi 16 Februari, 2026 imefanya operesheni maalum katika vijiji vya Marieni na…
Kamati ya ushauri Kibaha yapitisha bajeti ya bilioni 66.7/- kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Kibaha imepitisha na kuidhinisha rasimu ya mpango wa bajeti ya Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 yenye jumla ya Shilingi Bilioni 66.7. Kwa mujibu wa…
Zelensky: Urusi inajiandaa kufanya mashambulizi Zaidi
Taarifa zilizotolewa na idara ya ujasusi ya Ukraine zinaonyesha kuwa Urusi inajiandaa kufanya mashambulizi zaidi na kuilenga miundombinu ya nishati. Hayo yameelezwa na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na kuongeza kuwa mashambulizi yoyote yatafanya iwe vigumu kufikia makubaliano ya kukomesha…
Asante TCRA, tusiruhusu vyombo vife
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wiki iliyopita, yaani Februari 12 na 13, 2026 imeandaa mkutano wa mwaka wa vyombo vya habari vya utangazaji jijini Dodoma. Mkutano huu ulikuwa na mjadala mrefu na wa kina, ila…
Waziri Mkuu Mwigulu avutiwa kasi utekelezaji mradi wa EACOP, kuzalisha ajira, kukuza uchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amevutiwa na maendeleo ya mradi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kutoa kipaumbele cha ajira kwa wazawa na…
Naibu Waziri Dk Dugange atoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la uchumi wa buluu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la Uchumi wa Buluu kuwa sehemu ya agenda katika vikao vya pande mbili za…





