Latest Posts
Mndolwa atangaza mkakati mpya wa kusafirisha mitambo ya visima virefu kunusuru mikoa yenye ukame
📍NIRC: DODOMA Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeanza kuweka mikakati ya jinsi ya kusafirisha mitambo yake mikubwa ya kuchimba visima virefu kwenda maeneo mbalimbali nchini, hususani yale yenye changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji chini ya ardhi, mara baada…
TBS Yatoa elimu ya uthibitishaji wa bidhaa kwa wajasiriamali SABASABA
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu na kuwahamasisha wajasiriamali kuthibitisha ubora wa bidhaa zao ili kukidhi matakwa ya sheria za viwango na kuongeza ushindani wa…
CRDB yawapata washindi wa Kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako”
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam CRDB Benki imeendesha droo ya kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako” na kuwapata washindi wa zawadi mbalimbali, ikiwemo watano waliojishindia safari ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, mshindi mmoja wa friji aina ya Double…
CCM, ACT- Wazalendo kimeeleweka Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kushuhudia hafla ya uwasilishaji Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar, itakayofanyika tarehe 09 Julai 2026, saa 4.00 asubuhi, katika viwanja vya Ikulu, Zanzibar….
Tuendelee ‘kukibidhaisha kiswahili’ kufanikisha ukuzaji uchumi
Na Dk Reuben Lumbagala, JamhuriMedia Kuna umuhimu mkubwa kwa Watanzania kubadili mtizamo kuhusiana na lugha ya Kiswahili. Hii ina maana kuwa, tusiiangalie lugha ya Kiswahili katika muktadha wa mawasiliano pekee. Hapana. Ni kwamba, twende mbele zaidi, yaani tukifanye Kiswahili kuwa…





