JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Mawazo Nicas akutana na Balozi Kairuki nchini Uingereza, wajadili fursa za uwekezaji Kibaha

London, Uingereza | Julai 8, 2026 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ambaye yupo nchini Uingereza katika ziara nchini humo, leo Julai 8, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini…

TFS yapokea wageni wa ofa ya Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Wakala wa Misitu nchini (TFS), wamepokea wameanza kupokea wageni kutokana na punguzo la msimu huu wa Sabasaba katika kutembelea vituo vyao vya utalii. Zoezi hilo limeanza rasmi kwa kupokea wageni wa ndani na nnje ya…

Morogoro, Tanga kukosa umeme kwa siku sita

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa kutakuwa na kukosekana kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga kuanzia Julai 9 hadi Julai 14, 2026, kupisha utekelezaji wa kazi za uvutaji waya (stringing) katika…

Waziri Sangu akutana na kuzungumza na Waziri wa Kazi Qatar

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar, Mhe. Dkt. Ali bin Samikh Al Marri, leo Julai 8, 2026, jijini…

Rais wa Zimbabwe asaini sheria inayoongeza muda wa urais wake

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesaini kuwa sheria muswada unaoongeza muda wake wa kuhudumu madarakani kwa miaka miwili zaidi, hadi mwaka 2030, msemaji wa serikali Nick Mangwana amesema Jumanne. Mwezi uliopita, mabunge yote mawili ya Zimbabwe yaliidhinisha muswada huo. Katika…