Latest Posts
Bilioni 1.3/- kutekeleza miradi ya mabadiliko ya tabianchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imesema inatarajia kutekeleza mradi wa kuimarisha utayari wa Zanzibar kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi wenye thamani ya Dola za Kimarekani 500,000 (shilingi bilioni 1.3). Ilisema fedha zitakazotumika kutekeleza mradi huo ni kutokana…
Serikali yajipanga kuwafikia wanawake wengi zaidi kiuchumi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inachukua hatua katika kuimarisha uwezeshaji wanawake kiuchumi pamoja na kuongeza uelewa kuhusu mifuko ya maendeleo inayowanufaisha wanawake. Akizungumza juzi bungeni…
Wanne mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya mwafunzi wa Chuo cha IFM
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea kupeleleza kwa uzito mkubwa tukio la mauaji ya ya mtu aliyetambulika kwa jina la James Rogers Temba mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha IFM Dar es Salaam ambaye mwili…
Serikali yaongeza upatikanaji maji vijijini hadi asilimia 85.2
Serikali kupitia Wizara ya Maji imeendelea kuimarisha huduma ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini, ambapo hadi mwezi Desemba 2025 kiwango cha huduma hiyo kimefikia asilimia 85.2 kutoka asilimia 83.1 mwaka 2024. Akizungumza bungeni wakati akiwasilisha makadirio ya mapato…
REA yawezesha vikosi vya JKT kukuza matumizi ya nishati safi
Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu ametoa wito kwa vikosi vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vilivyopata miradi ya nishati safi ya kupikia kuwa mabalozi wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia…





