Latest Posts
JET highlights critical role of CSOs in combating desrtification ahead of UNCCD COP17
Dodoma, Tanzania The Executive Director of the Journalists’ Environmental Association of Tanzania (JET), John Chikomo, has underscored the pivotal role of civil society organizations (CSOs) in combating desertification and land degradation, saying their contribution is essential to achieving Tanzania’s environmental…
Tanzanite yang’aa Sabasaba wananchi wavutiwa na upekee wake
Waiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kuhusu madini na fursa za uwekezaji 📍DAR ES SALAAM Madini ya Tanzanite yameendelea kuwa kivutio kikubwa katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), huku mamia ya wananchi wakifurika katika…
WRRB, Misri wajadili ushirikiano wa kibiashara kupitia mfumo wa stakabadhi ghala
Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Biashara kutoka Ubalozi wa Misri nchini Tanzania, Bw. Wael Aref, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kibiashara kupitia Mfumo wa Stakabadhi…
Waziri Sangu : Taasisi za dini ni nguzo ya amani, malezi bora
Na: OWM (KAM), Manyoni – Singida Serikali imesema inatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kuimarisha huduma za kijamii, kudumisha amani na kukuza maadili nchini, huku ikizitaka viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza malezi bora kwa…
Tanzania kung’ara kimataifa mkutano wa COP 12
â—ŹCOP 12 kufanyika Dar es Salaam Oktoba 6-9 Na Mwandishi Wetu Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika kuanzia tarehe 6 hadi 9 Oktoba 2026. Mkutano huo utafanyika katika Kituo…
Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia na Barrick kupeleka tabasamu shuleni
â—ŹAitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na…





