JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yaongeza kasi mageuzi makazi holela

Na Munir Shemweta, WANMM Nairobi Serikali ya Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuboresha makazi holela na kuyageuza kuwa maeneo rasmi, salama na yenye huduma bora, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na kasi kubwa ya ukuaji wa miji nchini. Hayo…

Wananchi 1,300 wanufaika na huduma za RITA kupitia ziara ya mwenyekiti CCM Kibaha Mjini

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya wananchi 1,300 kutoka kata za Mbwawa na Visiga wamejitokeza na kunufaika na huduma zinazotolewa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), hususan upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa, ndani ya siku tatu za…

Tanzania, Mauritius kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati

Tanzania na Mauritius zimekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kwa lengo la kukuza biashara, uchumi wa buluu na maendeleo ya pamoja. Hayo yamejitokeza wakati wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Balozi Mahmoud Thabit…

Zoezi la kubadilisha Tahasusi na kozi za vyuo lafunguliwa rasmi

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema kuwa, zoezi la kubadilisha tahasusi na kozi za vyuo vya kati kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka 2025 limeanza rasmi leo…

REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo

📌Bilioni 12.1 yatumika kusambaza umeme vitongojini 📌Dkt. Homera awasha Umeme kwenye vitongoji 📌Aipongeza REA kwa utekelezaji miradi ya nishati vitongojini 📍Namtumbo – Ruvuma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewekeza jumla ya shilingi bilioni 12.1 katika miradi ya kupeleka…

Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara

Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameelekeza hatua za haraka zichukuliwe kuwarejesha wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) ili kuendelea na shughuli za biashara katika soko…