JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yaahidi kuimarisha huduma za saratani kufuatia ripoti ya uhakiki wa Misheni ya imPACT 2025

Na John Mapepele, Geneva, Uswisi Tanzania imethibitisha tena dhamira yake ya kuimarisha huduma za kinga, uchunguzi, tiba na uangalizi wa saratani kufuatia kutolewa kwa Ripoti ya Uhakiki wa Misheni ya imPACT 2025, huku Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, akiahidi kuimarisha…

TANESCO yatakiwa kubuni teknolojia mpya kuboresha huduma kwa wateja

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameielekeza TANESCO kuendelea kufanya tafiti na kubuni teknolojia mpya zitakazorahisisha utoaji wa huduma kwa wateja nchini.  Amesema dunia inabadilika kwa kasi kubwa hivyo Shirika hilo linapaswa kuendana na mabadiliko ya teknolojia ili kuongeza…

Vyama sita vya ukombozi Kusini mwa Afrika vyaanza mafunzo Kibaha

Hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya vyama sita rafiki vya ukombozi kutoka kusini mwa Afrika imefanyika leo katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere Leadership School. Vyama vinavyoshiriki katika mafunzo hayo ni Chama Cha Mapinduzi (CCM), ZANU-PF, African National…

Dira ya Taifa ya 2050 kuikijanisha Tanzania

Na Mwanandishi Wetu, Morogoro WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni amesema Usimamizi na uhifadhi wa mazingira hauwezi kufanikiwa kwa kauli au sera peke yake, bali kwa vitendo vinavyoonekana katika ngazi zote ikiwemo shughuli za…

Dk Mwigulu amuaga Mkurugenzi Mkazi wa WB

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 17, 2026 ameshiriki katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, Nathan Belete, iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam….

Tanzania yaunga mkono maazimio ya UN kutafuta amani ya kudumu mashariki ya kati

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza kuunga mkono kikamilifu maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) na jitihada za kimataifa zinazolenga kuleta amani ya kudumu katika ukanda wa Mashariki ya Kati…