Latest Posts
Bonde la Msimbazi jijini Dar kuwa sehemu muhimu kwa uchumi na mazingira – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Mto Msimbazi utaleta mabadiliko ya kweli kwa…
Ndejembi aipongeza REA
NDEJEMBI AIPONGEZA REA 📌Atoa wito kwa Wabunge kutembelea Banda la Maonesho 📌Mkurugenzi Mkuu REA aahidi kutekeleza miradi kwa wakati 📍Bungeni – Jijini Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuendelea kutekeleza azma ya…
Mwenge waridhishwa na mradi wa maji Kigoda–Ngwale unaotekelezwa na RUWASA
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Kigoda–Ngwale katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, utakaowanufaisha wananchi 821 wa kijiji cha Kigoda na sehemu…
Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa kugharamia maadhimisho ya Sherehe za Muungano mwaka huu, zitumike kukarabati miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha…





