Latest Posts
TMDA yatoa tahadhari uwepo chanjo bandia ya mifugo
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeonya wananchi kuhusu uwepo wa chanjo bandia ya mifugo aina ya TMEVAC NDV Strain 1-2 inayosambazwa nchini. TMDA imesema chanjo hiyo haikuzalishwa na Tanzania Veterinary Laboratory Agency (TVLA), huku ikibainisha kuwa ina tofauti…
Tanzania yaimarisha ushirikiano na Mfumo wa Maendeleo wa OPEC
Mheshimiwa Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius John Ndejembi, katika mazungumzo na Rais wa Mfuko wa Maendeleo wa…
Rais Mstaafu Kikwete awataka wanaume kupima tezi dume mapema
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewataka wanaume kujenga utamaduni wa kupima afya ya tezi dume mara kwa mara, akisema uchunguzi wa mapema huongeza uwezekano wa kupata matibabu kwa wakati kabla saratani haijasambaa. Dkt. Kikwete ametoa…
Serikali zaidi ya bil. 6/- kujenga daraja jipya la Luegu
Na Mwandishi Wetu ,Ruvuma, Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imesaini mkataba wa ujenzi wa daraja la Luegu lenye urefu wa mita 40.8 na barabara za maungio kwa kiwango cha lami zenye urefu kilometa 2.125 katika barabara ya Naikesi-Kitanda…
Chatanda : Zanzibar imethibitisha kuwa inawezekana kufikia muafaka wa kitaifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wananchi na viongozi wa Zanzibar wamepongezwa kwa kufikia muafaka wa kitaifa kwa kuimarisha umoja na mshikamano kuelekea ujenzi wa taifa lenye maendeleo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT)…
WMA yahakiki vipimo zaidi ya milioni 1,yakagua maeneo 5,015
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) imehakiki vipimo 1,166,995 nchini katika mwaka wa fedha 2025/2026, sawa na asilimia 92 ya lengo la vipimo 1,269,957, huku ikifanya kaguzi 5,015 katika maeneo mbalimbali ya biashara. Afisa Mtendaji Mkuu wa…





