Latest Posts
Waziri Mkuu: Serikali inafanya marekebisho ya sheria ya uchaguzi wa Makamu wenyeviti wa halmashauri
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inafanyia kazi mapitio ya sheria inayosimamia uchaguzi wa Naibu Meya na Makamu Wenyeviti wa Halmashauri kwa lengo la kuondoa migogoro na kuongeza ufanisi katika utendaji wa halmashauri nchini. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi,…
Rais Samia atunukiwa udaktari wa heshima Chuo Kikuu cha RUDN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi- (RUDN University) kutoka kwa Mkuu wa Chuo hicho Profesa Oleg Yastrebov…
Mwanza kinara katika usimamizi wa maafa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mkoa wa Mwanza umetajwa kuwa Kinara kwa kuratibu na kusimamia ipasavyo shughuli za kukabiliana na maafa, majanga na mawasiliano ya dharura kutokana na hatua mbalimbali za kuimarisha mifumo ya utayari na mwitikio wa dharura. Sifa…
CCM yaeleza uimara wake katikati ya mjadala wa kisiasa, yaendeleza mpango wa mwongozo wa malezi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Licha ya kuwepo kwa mijadala inayoendelea ndani ya ulingo wa kisiasa,Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imesisitiza kuwa chama hicho kitaendelea kuwa imara na chenye mshikamano , ikieleza kuwa kauli za mtu mmoja…
Waziri Mkuu: Tanzania iko salama dhidi ya Ebola
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania inaendelea kuwa salama dhidi ya ugonjwa wa Ebola huku Serikali ikiendelea kuimarisha mifumo ya tahadhari, ufuatiliaji na utoaji wa elimu kwa wananchi kuhusu magonjwa ya mlipuko. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi, Juni 4,…





