Latest Posts
Serikali ya Awamu ya Nane ipo tayari kushirikiana na vyama vya ushirika
Na Rahma Khamis, Zanzibar NAIBU Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji Mhe Hassan Khamis Hafidh amesema Serikali ya Awamu ya nane ipo tayari kushirikiana na vyama vya ushirika ili kuwainua kiuchumi Aliyasema hayo katika Ukumbi wa Umoja wa Washirika wa…
Yanga yatwaa Kombe la Mapinduzi Cup kwa penati 5-4 dhidi ya Azam FC
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC (Yanga), wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa NMB Mapinduzi Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 5–4 dhidi ya Azam FC, katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Januari 13,…
Dk Migiro : Injini ya Chama Cha Mapinduzi ipo mashinani
-Asisitiza mabalozi kupandisha bendera za chama kwenye maeneo yao.-Asema chama kinawajali na kuwathamini mabalozi. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amesema maendeleo ya kweli kwa wananchi huanzia katika mashina ya Chama hicho, akisisitiza kuwa jitihada…
TMA yabainisha njia rasmi zinazotumika katika usambazaji wa taarifa za hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar TMA imebainisha njia rasmi zinazotumika katika kusambaza taarifa za hali ya hewa nchini, hayo yalizungumzwa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Ofisi ya Zanzibar, Ndg. Masoud Makame Faki alipokuwa anazungumza na…
Serikali kuimarisha ujuzi wa nguvu kazi ya Taifa
Serikali itaendelea kuhakikisha nguvu kazi ya Taifa inakuwa na ujuzi unaoendana na mahitaji ya soko la ajira ili kuongeza tija kazini na ushindani wa uzalishaji. Hatua hiyo inalenga kujenga nguvu kazi yenye ujuzi, maarifa na weledi unaokidhi mabadiliko ya teknolojia…





