JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania inavyojiandaa kuvuna matunda ya AFCON 2027

Na John Walter, JamhuriMedia, Manyara Mwezi Juni mwaka 2027 utaingia kwenye historia ya Tanzania kwa maandishi yasiyofutika kirahisi. Kwa mara ya kwanza tangu kupata uhuru, Tanzania itakuwa mwenyeji wa mashindano makubwa zaidi ya soka barani Afrika, Kombe la Mataifa ya…

Prof. Shemdoe awaasa vijana kuwa waadilifu, wazalendo wanapotumikia umma na taifa

Na OWM – TAMISEMI, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaasa vijana wa vyuo vikuu kuwa waadilifu na wazalendo pindi watakapoajiriwa Serikalini kuwatumikia wananchi au kupata…

Tanzania yachaguliwa mratibu ajenda ya Climate Mobility

Tanzania imechaguliwa kuwa Mratibu wa Nchi za Afrika katika Ajenda ya Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Mobility). Hayo yamejiri wakati wa Mkutano kuhusu Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Global Climate Mobility Forum) uliofanyika jijini Berlin, Ujerumani Juni…

Serikali yaahidi kusimamia haki za wakimbizi

Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kulinda,kusimamia na kutekeleza haki za binadamu ikiwemo haki za raia wa Tanzania na Wakimbizi kutoka nchi mbalimbali wanaohifadhiwa hapa nchini ambapo pia imesema itaendelea kusimamia Amani na Usalama ili madhira yanayotokea katika nchi nyingine yasitokee…

TBA yatekeleza mpango wa nyumba za gharama nafuu kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 inayolenga kuhakikisha wananchi wanapata makazi bora na ya gharama nafuu, Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umeendelea kutekeleza mpango wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu…