Latest Posts
JKCL sasa kusogeza huduma za moyo hadi maeneo ya kazi
Na Mwandishi Maalum Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kusogeza huduma za kibingwa za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa jamii kwa kuwalenga wafanyakazi katika maeneo yao ya kazi hatua inayolenga kuwafikia wale ambao mara nyingi hukosa muda wa…
Tanzania yajipanga kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini nchini
Tanzania yaendelea kupiga hatua katika Mpango wa ujenzi wa viwanda vya uongezaji thamani madini kutokana na ujenzi wa kiwanda kipya cha usindikaji na uyeyushaji madini ya Nikeli na Shaba kufikia asilimia 85 ya ujenzi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa…
Waajiriwa wapya Tume ya Madini watakiwa kuzingatia maadili, kuepuka vishawishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAAJIRIWA wapya wa Tume ya Madini wametakiwa kufuata kikamilifu miongozo, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, sambamba na kudumisha maadili na uadilifu wanapoanza kutekeleza majukumu yao. Wito huo umetolewa leo, Novemba 21, 2025, na…





