Latest Posts
Mwenge kupitia miradi 49 ya bilioni 139/- Manyara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia. Mirerani MWENGE wa uhuru umeanza mbio zake mkoani Manyara huku ukitarajiwa kupitia, kukagua, kuweka jiwe la msingi na kuzindua miradi 49 ya thamani ya shilingi bilioni 139. Mwenge wa uhuru umepokelewa mji mdogo wa Mirerani wilayani…
Prof. Rasheli apongeza shughuli za REA Sabasaba 2026
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Prof. Geraldine Rasheli leo tarehe 11 Julai 2026 ametembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwenye maonesho ya 50 ya Biashara…
Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wananchi waliojiajiri – Kafiti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii…
FCC yasisitiza ushiriki wa wananchi kukabiliana na bidhaa bandia
Na. Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani (FCC) imeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu kwa wajasiriamali kutoka Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kuhusu namna ya kutambua bidhaa bandia, kulinda haki…
Waziri Nanauka akabidhi milioni 349/- kwa vijana Mbarali kupitia programu ya bilioni 200
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, amekabidhi mkopo wa Shilingi Milioni 349 kwa kikundi cha vijana cha Ukwavila kinachojishughulisha na shughuli za kilimo katika Halmashauri ya Wilaya ya…
IMF yaipatia Tanzania dola za Marekani milioni 444 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kimkakati
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini za mwisho chini ya programu za Extended Credit Facility (ECF) inayohusisha…





