JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DC Nickson atoa rai kwa walimu, wasimamizi kuwatambua wanafunzi wenye uhitaji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon, ametoa rai kwa walimu na wasimamizi wa shule kuwatambua na kuwafuatilia wanafunzi wanaokabiliwa na changamoto za kijamii. Amesisitiza kuwa uwekezaji wa miundombinu ya elimu hautakuwa na matokeo chanya…

THBUB yawasihi watumishi wa tume hiyi kuwatii viongozi

Kamishna Mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Ofisi ya Zanzibar, Mhe. Khatibu Mwinyi Mwinyichande, amewanasihi watumishi wa Tume hiyo kuendelea kuwatii viongozi wao na kujituma katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Kamishna Mwinyichande, ametoa…

Wizara ya Ardhi yaingilia kati sakata la eneo lenye mgogoro Geita

Na Munir Shemweta, WANMM Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibwa, aliyedaiwa kubomoa baadhi ya majengo yaliyokuwa kwenye maeneo ya serikali na kuanzisha miradi bila utaratibu katika eneo…

Serikali yazindua kikosi kazi cha kuandaa mpango kazi wa uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imezindua Kikosi cha Kuandaa Mpango kazi wa Kitaifa na hatua za utekelezaji wa Matumizi Endelevu ya Maeneo ya Maji (MSP) ili kuimarisha Uchumi wa Buluu. Kikosi hicho kimezinduliwa na Naibu…

Watendaji wa uchaguzi watakiwa kutekeleza majukumu kwa weledi

Na. Mwandishi Wetu, Iringa Watendaji wa uchaguzi wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na weledi ili kufanikisha uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Peramiho na udiwani katika Kata ya Shiwinga unaotarajiwa kufanyika tarehe 26 Februari, 2026. Wito huo umetolewa…

Dhahabu yapanda thamani kutokana na mivutano ya kisiasa na kiuchumi

BEI ya dhahabu imepanda kwa zaidi ya dola za kimarekani 5,000 (£3,659) kwa gramu 28.35 kwa mara ya kwanza, ni ongezeko la thamani kwa zaidi ya asilimia 60 mwaka 2025. Hii inakuja huku mvutano kati ya Marekani na NATO kuhusu…