Latest Posts
Nyansaho aeleza mafunzo JKT, kilimo kimkakati vinavyoleta tija
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho amesema Serikali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) itaendelea kuimarisha mafunzo kwa vijana pamoja na kuendeleza kilimo cha kimkakati ili kujenga uzalendo, kujitegemea na kuchangia usalama wa chakula nchini….
Waziri Kijaji: Serikali kuboresha Chuo cha Mweka katika Bajeti ya 226/27
Na Kija Elias, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amesema Serikali imejipanga kukiboresha Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori (MWEKA), kupitia bajeti ya mwaka 2026/2027 ili kiweze kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya ufundishaji, utafiti na utoaji…
Uwekezaji mifumo ya TEHAMA serikalini kuongeza uwazi katika utoaji huduma
Na Antonia Mbwambo,Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray amesema uwekezaji wa matumizi ya Mifumo ya Tehama Serikalini utasaidia kwa asilimia kubwa kuongeza ufanisi na Uwazi wa huduma zinazotolewa na…
Trust Finance yazindua hatifungani ya kwanza
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam. Kampuni ya Itrust Finance limited imezindua rasmi hatifungani yake ikiwa ni hatifungani ya kwanza nchini kutolewa na kampuni wakala wa soko la hisa na msimamizi wa mifuko ya uwekezaji nchini tanzania. Hatifungani hiyo…
Mei 27 ni sikukuu ya Idd El Adh-BAKWATA
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) imetangaza sikukuu ya Idd ell adh haa mwaka huu kwa mujibu wa Kalenda ya Kislaam itakuwa Mei 27 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es…





