JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yashusha pumzi kwa wamiliki wa mabasi, nauli mpya hizi hapa

Na Mwandii Wetu ​Baada ya kipindi kirefu cha mvutano, vilio, na malalamiko kutoka kwa wafanyabiashara na wamiliki wa vyombo vya usafiri nchini, Serikali hatimaye imetoa majibu ya kisheria kufuatia kupanda kwa gharama za uendeshaji. Kupitia Gazeti la Serikali toleo la…

Mashili : Tumuombee Rais, tuliombee taifa

Watanzania wamehamasishwa kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kupata utulivu wa kuliongoza Taifa la Tanzania kwa amani, upendo na mshikamano. Rai hiyo imetolewa leo Aprili 19, 2026 na Mkurugenzi Mtendaji…

Kiongozi wa mqenge asifu kiwanda cha nguzo za zege kwa kuukoa mazingira

Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Wazo Mwang’onda, amekagua kiwanda cha kutengeneza nguzo za zege cha Coast Concrete Poles kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani na kueleza kuwa ni mwarobaini wa kulinda mazingira kwa kupunguza ukataji…

Sitovumilia mwalimu kuonewa au kutotendewa haki – Pro. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Bahi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema iwapo atapewa taarifa ya uhakika ya afisa yeyote anayepaswa kuwahudumia walimu na kutatua kero zao,…

Zaidi ya bil.127.7/- zatumika kufikisha nishati vijijini Mwanza

📌Wabia wa Maendeleo waipongeza Tanzania kufikisha umeme Vijijini 📌Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya umeme Zaidi ya shilingi bilioni 127.7 zimetumika kupeleka huduma ya nishati safi Vijijini Mkoa wa Mwanza hali iliyochochea ukuaji wa uchumi na kuboreka kwa huduma za kijamii…

Mwenge wa Uhuru kupitia miradi 68 ya bilioni 263.1/- Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo JUMLA ya miradi 68 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 263.1 mkoani Pwani inatarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru katika wilaya saba zenye halmashauri tisa. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, alisema…