Latest Posts
Tanzania yalenga kuvutia dola bilioni 4 za uwekezaji binafsi kuimarisha sekta ya nishati
London, Uingereza Serikali ya Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika maendeleo ya miundombinu ya usafirishaji wa umeme ili kukidhi ongezeko la mahitaji ya umeme na kuharakisha ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza katika kikao cha…
REA yaing’arisha nishati safi EXPO 2026 Dar es Salaam
📌Washiriki Nishati Safi expo wafurahishwa na miradi ya REA Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeshiriki Maonesho na Kongamano la Nishati Safi expo 2026 yanayofanyika katika ukumbi wa Ubungo EACLC jijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri…
Vijana 100 kuwania milioni 50 za shindano la uchumi Challenge
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani VIJANA 100 kati ya 7,852 waliojitokeza kushiriki mashindano ya Vijana Uchumi Challenge 2025/2026 wameingia kambini katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kwa Mfipa, Kibaha mkoani Pwani kuwania kitita cha Sh milioni 50 kwa mshindi…
Ujumbe wa Namibia wavutiwa na Teknolojia Hospitali ya Kairuki
Na Mwandishi Wetu UJUMBE kutoka Wizara ya Afya ya Namibia pamoja na wafanyabiashara walioambatana na Rais wa Namibia katika ziara yake ya hivi karibuni umetembelea Hospitali ya Kairuki na kujionea maendeleo ya huduma za afya, elimu ya tiba na uzalishaji…
Tanzania, Msumbiji waimarisha ushirikiano wa usalama mipakani Ruvuma na Niassa
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Songea Viongozi wa Serikali kutoka Mkoa wa Ruvuma, Mtwara nchini Tanzania na Mkoa wa Niassa nchini Msumbiji wamekutana katika kikao cha pamoja kilicholenga kuimarisha ushirikiano wa maendeleo na usalama katika maeneo ya mipakani yanayounganisha mikoa hiyo…
Katibu Tawala apongeza matum8zi ya mfumo wa SCADA katika kudhibiti upotevu wa mafuta
Dodoma Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Toba Nguvila, amepongeza matumizi ya mfumo wa kisasa wa Supervisory Control and Data Acquisition (SCADA) unaotumiwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), akisema umeongeza uwazi na ufanisi katika usimamizi wa…





