Latest Posts
Tanzania, UNEP mguu sawa kuimarisha ushirikiano hifadhi ya mazingira
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amefanya mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) Bw. Daniel Pouakouyou, anayeshughulikia miradi ya Miradi ya Mfuko wa Mazingira Duniani (Global Environment Facility (GEF)) katika…
Waziri Ndejembi aanza ziara maalum mkoani Shinyanga
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara maalum ya kikazi ya kukagua utekelezaji na kuzindua miradi ya maendeleo, pamoja na kuzungumza na wananchi katika wilaya za Mkoa wa Shinyanga. Waziri Ndejembi, ambaye ni Mlezi wa…
Ajira zaidi ya 420 zazalishwa kupitia ujenzi wa kituo cha EACOP PS4 Mbogwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Zaidi ya wananchi 420 wamepata ajira zisizo za ujuzi kupitia utekelezaji wa ujenzi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (PS4) cha Mbogwe, kinachotekelezwa chini ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki…
EACOP yafadhili vijana 17 kusomea ufundi stadi VETA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kwa kushirikiana na mkandarasi wake EITS, umefadhili vijana 17 wa Kitanzania kusomea mafunzo ya Ufundi Stadi Ngazi ya III katika Chuo cha Ufundi Stadi (VETA)…
Serikali yaelekeza bilioni 300/- kuchochea tija ya kilimo nchini
Serikali imeongeza uwekezaji katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kwa kupanua upatikanaji wa mikopo kwa vijana, wanawake na wajasiriamali, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza tija katika minyororo ya thamani ya sekta hizo. Hatua hiyo imebainishwa leo katika…
Mwitikio dhidi ya tahadhari kujikinga na Ebola waendelea kuimarishwa nchini
Na Cletus Sanga, WAF – Arusha WIZARA ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya waziri Mkuu – TAMISEMI na CIHEB Tanzania chini ya Mradi wa Usalama wa Afya Duniani unaofadhiliwa na serikali ya Marekani imeendelea kuimarisha mwitikio dhidi ya ugonjwa…





