JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Mwigulu : Mfumo wa ununuzi pamba ujulikane ndani ya mwezi mmoja

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Kilimo kukutana na wadau wa zao la pamba na ndani ya mwezi mmoja kuwasilisha mapendekezo ya mfumo bora wa ununuzi wa pamba utakaowanufaisha wakulima na kuendeleza uzalishaji wa zao hilo. Ametoa agizo…

Rais wa Barcelona atuma salamu za pole kwa Rais Samia

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameanza ziara maalum ya siku nne katika Klabu ya FC Barcelona nchini Hispania kwa mwaliko wa Rais wa klabu hiyo, Joan Laporta. Makonda ameanza ziara hiyo tarehe 14 Septemba 2026 kwa…

Masauni : Watanzania epukeni gesi zinazoharibu tabaka la Ozoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imewataka Watanzania kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi zinazoharibu Tabaka la Ozoni, ikiwemo majokofu na viyoyozi vilivyotumika, ili kulinda mazingira na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Wito…

Rais Mstaafu Dk Kikwete ahitimisha ziara Tabora, akagua miradi ya afya ya JMKF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF), Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha ziara yake ya siku nne mkoani Tabora kwa kutembelea na kukagua zahanati pamoja…

Tanzania, Japan kuendeleza ushirikiano katika maeneo ya kimkakati

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Japan zimedhamiria kuendelea kuimarisha na kupanua wigo wa ushirikiano wa muda mrefu uliopo kati yao, kwa kuendeleza maeneo yenye maslahi ya pamoja yatakayochochea maendeleo na kuleta manufaa kwa mataifa yote mawili. Dhamira…

Bandari, TRA ni njia, siasa zetu zigeukie uchumi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Morogoro Watanzania wenzangu, kuna wakati taifa linapaswa kusimama na kujiuliza: tunataka kutumia muda wetu mwingi kujadili nani amesema nini, nani amegombana na nani na nani anastahili cheo gani, au tunataka kujadili namna ya kutengeneza fedha, ajira…