Latest Posts
Mwanri: Mazungumzo ya wadau yameonyesha mwanga wa maridhiano
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amesema mazungumzo yaliyofanywa na wadau kuhusu hali ya kisiasa nchini yameonyesha mwanga mkubwa juu ya maridhiano na utayari wa wadau katika kupata mwafaka mzuri. Amesema hayo leo Septemba…
Viongozi mbalimbali wahudhuria mazishi ya mume wa Rais Samia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa heshima za mwisho kwa Marehemu Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mazishi yaliyofanyika…
NEMC Yaeleza nafasi yake katika Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), katika Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu, limejipambanua katika sekta ya mazingira kwa kusisitiza umuhimu wa matumizi endelevu ya rasilimali za bahari, mito, maziwa na maeneo ya…
Iran : Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazotekeleza kizuizi cha majini dhidi ya Iran. Kauli hiyo inakuja baada ya maafisa wa Iran kudai…
Ndejembi, usiwaache marafiki zako wa zamani
Na Deodatus Balile, JahuriMedia, Bagamoyo Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Mti haujinyanyui, huinuliwa na mizizi yake.” Maana yake ni kwamba, unapofika mahali fulani katika maisha, usisahau watu waliokuwa sehemu ya safari yako. Madaraka yanaweza kubadilika, nafasi zinaweza kubadilika, lakini urafiki…





