Latest Posts
Tume ya Umwagiliaji, Tume ya Mipango zaunganisha nguvu kuimarisha utekelezaji miradi
📍Dodoma, Tanzania Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imekutana na Tume ya Taifa ya Mipango,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji; kwa lengo la kujadili namna bora ya kuoanisha mipango, miradi na utekelezaji wa shughuli zake ili kuongeza tija katika utekelezaji wa…
Watu 1,500 wapotea katika mafuriko Nepal na China
TAKRIBAN watu 1,500 hawajulikani walipo nchini Nepal na katika eneo la Tibet nchini China, baada ya maporomoko ya barafu, miamba na udongo kusababisha mafuriko makubwa yaliyosomba makazi, barabara na madaraja katika eneo la Himalaya. Polisi nchini Nepal walisema zaidi ya…
‘Zanzibar haitafikia maendeleo ya kweli bila Baraza imara la Wawakilishi ‘
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia maslahi ya Umma na matakwa ya Wananchi. Amesema Zanzibar katu haitonyooka hadi kuwepo na Baraza madhubuti…
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi Afrika Kusini warejea nyumbani
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari yao. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ndege maalum kwa ajili ya kuwawezesha raia hao kurejea nchini. Zoezi la…
Ndejembi arithi mikoba ya Makamu wa Rais, Dk Nchimbi afukuzwa uanachama
Deogratius Ndejembi amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania katika kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM . Ndejembi anachukua mikoba ya aliyekuwa Makamu wa Rais Dk Emmanuel Nchimbi ambaye amejiudhuru nafasi hiyo. Katika kikao…
Dk Samia aongoza Kamati Kuu Maalum na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aongoza Vikao Maalum vya Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya CCM Vilivyoketi jijini Dar es Salaam leo, Jumatano tarehe 26…





