Latest Posts
SADC yahimiza mageuzi ya viwanda kwa maendeleo endelevu ya ukanda
Na Ramadhani Kissimba, Durban Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezitaka nchi wanachama kuongeza kasi ya utekelezaji wa ajenda ya maendeleo ya viwanda kwa kuwekeza katika kuongeza thamani ya malighafi na kuimarisha miundombinu ili kukuza biashara, ajira na ustawi…
TBS Yakutana na Wadau wa Vipodozi, Yasisitiza Viwango na Usalama
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limekutana na wadau wa sekta ya vipodozi nchini kwa lengo la kutoa elimu kuhusu matakwa ya viwango, ubora na usalama wa bidhaa hizo zinazotumika kwa kiasi kikubwa na Watanzania….
Mollel: Fursa za udahili na scholarships sasa zafika Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar GLOBAL Education Link (GEL) imesema jumla ya wanafunzi, wazazi na walezi 1,113 wamefikiwa na kupatiwa huduma kupitia maonesho ya Global Education Fair 2026 yaliyofanyika Zanzibar, Dodoma na Dar es Salaam yanafanyika Four Point by Sheraton…
Ndejembi ashuhudia utoaji saini mkataba wa bil. 204.7/- wa Mradi wa Umeme Jua wa megawati 100 Kishapu
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), leo Julai 27, 2026, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa utekelezaji wa awamu ya pili ya Mradi wa Umeme wa Jua wa Kishapu wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 100, utakaotekelezwa katika eneo…
Dk Mwinyi : Zanzibar kujenga mfumo endelevu wa huduma za afya, aipongeza Uswisi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma bora za afya kupitia mifumo imara, madhubuti na endelevu, badala ya kutegemea miradi na…





