Latest Posts
Prof. Shemdoe : Wananchi waridhishwa na ujenzi wa barabara za AFCON 2027 Dar
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara zinazoingia kwenye viwanja vitakavyotumika kwa ajili ya michezo na mazoezi ya Fainali za Kombe…
Kadonya : Bonde la Ziwa Victoria ni nguzo muhimu ya uchumi na mtangamano wa Afrika Mashariki
Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Bw. Charles Ngeleja Kadonya, amesema Bonde la Ziwa Victoria ni eneo la kimkakati lenye mchango mkubwa katika uchumi wa…
Miss Universe Tanzania yashirikiana na Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
📌Mhe. Salome awapongeza waandaaji wa shindano kwa kuibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kitaifa na kimataifa. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewapongeza washiriki wa shindano la urembo la Miss Universe Tanzania kwa jitihada zao za kuwa mabalozi…
Serikali yawatoa hofu wadau wa pombe kali
Dar es Salaam, Serikali imekutana na wamiliki wa Viwanda vya kuzalisha pombe kali nchini ikiwa ni hatua ya kuendelea kupambana na bidhaa bandia na duni. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb) kukutana…





