Latest Posts
Serikali yaweka mkakati wa hifadhi ya bionuai
Na Mwandishi Wetu Serikali, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, imeendelea kuimarisha uwezo wa kitaalamu na utafiti katika masuala yanayohusu bioanuai, pamoja na kujenga na kuimarisha mfumo thabiti wa kisheria na utawala ili kuwezesha uhifadhi na matumizi ya rasilimali za bioanuaii…
Tanzania, Marekani zaahidi kuendeleza ushirikiano katika nishati, afya na uwekezaji
Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi, pamoja na dhamira ya kuendeleza mazungumzo na ushirikiano wa kitaalamu kwa manufaa ya nchi hizo mbili….
REA yaeleza utekelezaji wa mkakati wa nishati safi kwenye tamasha la Kizimkazi 2026
Kizimkazi, Unguja 📍 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umefanikiwa kusambaza takribani mitungi laki saba ya gesi ya kupikia (LPG) nchini kote, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa kasi wa Mkakati wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia. Hayo yameelezwa na…
Wananchi mkoani Pemba wataka sheria ya udhalilishaji iangaliwe upya
Wananchi wa Wilaya ya mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba, wameiomba Baraza la Wawakilishi kuangalia upya sheria zinazohusu makosa ya udhalilishaji wa kijinsia, wakidai kuwa katika baadhi ya mazingira watoto wa kiume hawapati haki sawa na wenzao wa kike. Waliyasema hayo…
Watu milioni 15.6 wahamia nishati safi ya kupikia ndani ya miaka mitano
Watu milioni 15.6 nchini Tanzania wamehama kutoka katika matumizi ya nishati isiyo salama na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ndani ya kipindi cha miaka mitano. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu), Mhandisi…





