Latest Posts
Wizara ya Madimi yaja na sheria kusimamia taaluma ya wajiolojia
Sheria kuanzisha Bodi ya Wajiolojia kusimamia na kuratibu taaluma nchini Serikali kutenga asilimia 10 ya mapato ya madini kwa utafiti wa jiosayansi Taarifa sahihi za jiolojia kuimarisha uwekezaji na kuwalinda wadau wa madini Na Mwamdishi Wetu Wizara ya Madini imewasilisha…
Pwani kutenga maeneo ya hifadhi kwa waathirika wa mafuriko – Nyongo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesema mkoa umeziagiza wilaya na halmashauri kuandaa na kutenga maeneo maalumu yatakayotumika kuwahifadhi wananchi watakaokumbwa na mafuriko yanayoweza kusababishwa na mvua za El Niño zinazotarajiwa kunyesha Oktoba mwaka…
THBUB kuja na mwongozo wa kutathmin misingi ya utawala bora nchini
Na Zawadi Msalla Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ipo mbioni kuzindua mwongozo wa tathmini ya misingi ya utawala nchini. Mwongozo huo umelenga kuangalia hali ya uzingatiwaji wa misingi ya utawala bora na kuweka mfumo unaoweza kutumika…
Makamu wa Rais Ndejembi aendeleza diplomasia ya Tanzania – Vienna
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya mikutano miwili ya pande mbili (bilateral meetings) pembezoni mwa Mkutano Mkuu wa 70 wa Wakala wa Kimataifa wa Nguvu za Atomu (IAEA) Jijini Vienna, Austria, ikiwa ni…
Sijaridhishwa na kasi ya wakandarasi KIKIM na AMACO utekelezaji miradi ya barabara Lindi- Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi inayotekelezwa na Mkandarasi KIKIM Contractors Limited kwa kushirikiana…
Wizara ya Fedha kuendelea kuboresha miongozo inayolenga kuimarisha ukaguzi
Na Asia Singano, WF – Dodoma Wizara ya Fedha imeendelea kuandaa na kuboresha miongozo mbalimbali inayolenga kuimarisha utekelezaji wa majukumu ya ukaguzi na kuongeza ufanisi wa kazi hiyo, ili kuendelea kulinda fedha za umma na kukuza uchumi wa nchi. Hayo…





