Latest Posts
Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme
📌Zaidi ya Bilioni 203 zatumika kufikisha Umeme kwenye Vijiji mkoani Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha kuhakikisha Vitongoji vyote mkoani Mtwara vinafikishiwa umeme. Ahadi hiyo, imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa hafla…
Vita vya Iran vimeigharimu Marekani dola bilioni 37.5 – Waziri wa ulinzi
Vita na Iran vimeigharimu Marekani takriban dola bilioni 37.5 (pauni bilioni 28) hadi sasa – ambalo ni ongezeko la karibu dola bilioni 8 tangu makadirio ya mwisho mwezi Mei, Waziri wa Ulinzi Pete Hegseth amesema. Hegseth aliiambia Kamati ya Matumizi…
Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemwondoa Mkuu wa Majeshi ya Ukraine, Oleksandr Syrskyi, kutoka wadhifa wake. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya kuondolewa kwa Waziri wa Ulinzi aliyekuwa maarufu, Mykhailo Fedorov, hatua iliyosababisha maandamano katika maeneo mbalimbali nchini…
Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050
Na Mwandishi wa OTR, Pwani Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika uongozi unaozingatia matokeo, ubunifu, uwajibikaji na ushirikiano wa karibu na sekta binafsi ili kuharakisha utekelezaji wa DIRA…
Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
Na Shaban Juma, WAF – Accra, Ghana Naibu Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema nchi za Afrika zinapaswa kuimarisha mshikamano, kuongeza uwekezaji katika sekta ya afya na kuharakisha utekelezaji wa sera zinazozingatia ushahidi wa kisayansi ili kutokomeza UKIMWI…





