Latest Posts
Serikali kutekeleza mradi wa umeme jua katika visiwa saba Musoma
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetenga shilingi milioni 273.6 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kusambaza umeme wa jua katika visiwa saba vya Wilaya ya Musoma ikiwemo Nyasaungu, Muroba, Kagongo, Nyamasanje, Rukuba na Iriga, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa…
Mji wa Serikali Mtumba kuwa mfano wa matumizi ya nishati safi ya kupikia gesi asilia
Imeelezwa kuwa Serikali inaendelea na maandalizi ya kuufanya Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, kuwa mfano wa matumizi ya nishati safi kupitia mradi wa usambazaji wa gesi asilia. Miundombinu hiyo itaunganisha gesi asilia katika majengo ya Wizara, ofisi za Ubalozi,…
Wazazi sikieni ushauri wa Dk Batilda Burian juu ya malezi ya watoto
Na Dk Reuben Lumbagala Malezi bora ya watoto yanapaswa kutiliwa mkazo ili kujenga jamii yenye watu wenye maadili, nidhamu, uzalendo na uwajibikaji katika maisha yao. Wazazi wamepata baraka ya kupata watoto kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Watoto hao wanapaswa kuendelea kuwa…
Nchi za SADC zaazimia kuimarisha ushirikiano wa kikanda kukuza uchumi
Na. Eva Ngowi WF, Harare – Zimbabwe Leo Julai 3, 2026, ilikuwa siku ya mwisho ya Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ambapo nchi wanachama zilihitimisha majadiliano kwa kuwasilisha…
Rais Samia kaleta bilioni 1.2 za ujenzi shule za msingi Mlimba – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Mlimba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, amewaletea wananchi wa Mlimba kiasi cha Shilingi Bilioni 1.2 za…





