Latest Posts
Tanzania, AngloGold Ashanti kuimarisha ushirikiano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na ujumbe wa kampuni ya madini ya AngloGold Ashanti kujadili maendeleo ya shughuli za kampuni hiyo na namna ya kuimarisha uhusiano wake na Tanzania. Msajili wa Hazina,…
JWTZ laadhimisha miaka 62 tangu kuanzishwa kwake
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeadhimisha miaka 62 tangu kuanzishwa kwake tarehe 1 Septemba 1964, katika hafla iliyofanyika Septemba 1, 2026 katika Viwanja vya Gofu vya Lugalo jijini Dar es Salaam, huku maadhimisho hayo yakiambatana na kufungwa…
NIDA yazindua Kampeni ya Kipo Chukua, Kamilisha Safari Yako
Aziza Nangwa,Jamhuri Media, Dar es Salaam Wakati tukielekea katika maazimisho ya siku ya utambulisho Duniani Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) imezindua kampeni ya “Kipo, Chukue, Kamilisha Safari Yako,” ikiwa na lengo la kuhamasisha wananchi waliokwisha sajiliwa kuchukua vitambulisho…
TANESCO yabaini matukio ya wizi wa umeme Kinondoni Kaskazini
📌 Operesheni ya ukaguzi wa mita yabaini matumizi yasiyo halali ya umeme eneo la Visiwani, Mwananyamala na Mivumoni 📌 TANESCO yawataka wananchi kutoa taarifa za vitendo vya wizi wa umeme Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Umeme…
Madereva 56 wafikishwa mahakamani, 12 wafungiwa leseni Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani MADEREVA 56 wamefikishwa mahakamani mkoani Pwani kwa makosa mbalimbali ya usalama barabarani, huku madereva wengine 12 wakifungiwa leseni kwa kukiuka sheria za usalama barabarani. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Pwani, Edson Mwakihaba, amesema…
Nombo : Weledi na uadilifu ni msingi wa utendaji
Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amewapongeza watumishi wa wizara hiyo kwa kazi kubwa na mafanikio waliyoyapata katika mwaka wa fedha uliopita, huku akiwataka kuendelea kuyasema kwa ujasiri mafanikio hayo yaliyoiwezesha…





