Latest Posts
Watumishi OTR wapatiwa mafunzo ya mfumo wa usimamizi wa ubora
Na Mwandishi wa OTR Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imeendelea na hatua za kuimarisha mifumo yake ya utendaji kwa kuwajengea uwezo watumishi kuhusu Mfumo wa Usimamizi wa Ubora (Quality Management System – QMS), unaolenga kuiwezesha taasisi kufikia viwango vya…
Dk Mwigulu : Ifikapo 2030 Mwanza – Dodoma kwa SGR
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameiagiza Wizara ya Fedha na Wizara ya Uchukuzi, kwa kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC), wakandarasi na taasisi zinazohusika na uhamasishaji wa fedha, kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya Reli ya Kisasa (SGR),…
TBS yaandaa kliniki ya viwango Kariakoo na Mwenge
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeandaa kliniki ya viwango katika maeneo ya Soko Kuu la Biashara Kariakoo na Mwenge jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kusogeza huduma za kitaalamu karibu na wafanyabiashara wa bidhaa za chakula na vipodozi ili…
Wananchi wawezeshwa ushiriki biashara ya Kaboni
Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ili kuhakikisha wananchi wananufaika na Biashara ya Kaboni kupitia misitu ikiwemo mikoko wanayopanda katika maeneo ya pwani. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa ameliarifu Bunge jijini Dodoma…
Bilioni kulipa fidia kwa waathirika 996 kupisha ujenzi wa barabara za lami Rungwa
Ruangwa, Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1.8 kwa kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi 996 ambao maeneo yao yameathiriwa na mradi wa ujenzi…





