Latest Posts
Newala kunufaika na umeme wa uhakika
📌Ni baada ya kukamilika kwa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 33 Masasi – Mtwara 📌Mradi umeimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa wananchi wa Wilaya ya Newala na maeneo jirani. 📌MD Twange asema thamani ya mradi ni takribani shilingi…
Serikali yatangaza neema kwa wakulima kupitia visima vya umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njedengwa – Dodoma SERIKALI inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa kuongeza tija katika kilimo baada ya kusambaza pampu za Umwagiliaji kwa vikundi vya wakulima na kuchimba visima 390 katika mikoa 15, hatua inayotarajiwa kuwawezesha wakulima…
Masauni awahamasisha wananchi kunufaika na biashara ya hewa ya ukaa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, amewataka wananchi kutumia fursa ya Hewa ya Ukaa kwa kuzingatia mwongozo uliowekwa na Serikali ili kujiongezea kipato kupitia uhifadhi wa misitu na mazao, sambamba na kuchangia…
ECSA- HC yatoa milioni 211/- kufanikisha kambi ya madaktari bingwa Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA-HC), kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Tanzania na wadau mbalimbali, imeandaa kambi maalum ya huduma za madaktari bingwa na bobezi iliyoanza Julai 20…
Dk Mwigulu : Afrika igeuze mabadiliko ya dunia kuwa fursa za maendeleo
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Afrika inapaswa kutumia mabadiliko yanayoendelea katika siasa, uchumi na usalama duniani kama fursa ya kuharakisha maendeleo yake. Amesema inapaswa kufanya hivyo kwa kuimarisha uongozi wa kimkakati, kuongeza thamani ya rasilimali zake na kujenga taasisi…





