JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kunenge atoa wito kwa wazazi kuwapeleka watoto kupata chanjo ya Polio

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedoa, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha watoto walio chini ya umri wa miaka 10 wanapata chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2, itakayotolewa kuanzia…

Tanzania yazidi kujipambanua kimataifa, yashiriki COP 17

Na, Mwandishi Wetu, Ulaanbaatar, Mongolia Tanzania inashiriki Mkutano wa Kumi na Saba wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame (UNCCD COP 17) unaofanyika katika Jiji la Ulaanbaatar nchini…

VETA: Ujuzi msingi wa utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA. Anthony Kasore, amesema ujuzi ndio msingi wa utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050 kwa kuwawezesha wananchi kushiriki katika uzalishaji wa mali, bidhaa na huduma. CPA. Kasore amesema…

Dk Mwigulu awasili Tanga, mgeni rasmi kilele cha Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili leo Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Tanga, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja…

JKCI yafanya upasuaji wa moyo bila kusimamisha moyo kwa wagonjwa watano

Na Mwandishi Wetu WAGONJWA watano wenye matatizo ya mishipa ya damu ya moyo iliyoziba (coronary artery disease) wamefanyiwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu ya moyo bila kusimamisha moyo (off Pump CABG). Upasuaji huo umefanyika katika kambi maalumu ya siku…