Latest Posts
Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara 30 soko la ndizi Mabibo kurejeshwa sokoni
Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ameelekeza waliokuwa wafanyabiashara 30 wa soko la ndizi Mabibo (Mahakama ya Ndizi) kurejea kufanya biashara…
Mavunde aitaka Mantra kuharakisha mradi wa Urani Mkuju
Waziri wa Madini Anthony Peter Mavunde (MB) amekutana na wakurugeni wa Kampuni ya Mantra Tanzania Limited mjini Dodoma kujadili maendeleo ya mradi wa mto Mkuju unaojihusisha na uchimbaji wa madini ya urani wilayani Namtumbo, Ruvuma. Akiongoza ujumbe huo Bw. Vladislav…
JKCI yafanya upasuaji wa mtoto aliyezaliwa na mishipa miwili ya damu kwenye moyo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mara ya kwanza watalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka Mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada lililopo nchini Uingereza Dkt….
Rais Samia, Nchimbi, Ndejembi na siasa za CCM
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siasa, kuna wakati busara ya kiongozi haipimwi kwa maneno anayosema, bali kwa mambo anayochagua kutoyasema. Kuna wakati ukubwa wa kiongozi hauonekani katika namna anavyomshambulia mpinzani wake, bali katika namna anavyolinda heshima yake…





