Latest Posts
RC Makala: Uwekaji taa uwanja wa ndege Arusha umekamilika
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ametangaza kukamilika kwa mradi wa uwekaji wa taa katika uwanja wa Ndege wa Arusha, akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa ahadi yake…
Mvua za Vuli 2026, tahadhari leo, usalama wa kesho
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mvua inaponyesha, wengine huona neema; wengine huona hatari. Kwa mkulima, tone la kwanza linaweza kuwa mwanzo wa msimu wa matumaini. Kwa mfugaji, linaweza kumaanisha malisho na maji tele. Kwa mji, mvua hiyo hiyo…
Koka: Vijana changamkieni fursa za kiuchumi
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amewasihi vijana wa Kata ya Tangini na jimbo hilo kujikita katika shughuli za kiuchumi na kutumia fursa zilizopo, ili kujiandaa na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa…
Waziri Mkuu awataka Watanzania kuimarisha malezi, kulinda amani
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa, akisisitiza kuwa haki na wajibu haviwezi kutenganishwa. Dkt. Mwigulu ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 25, 2026,…
Tanzania yasisitiza ushirikiano Umoja wa Afrika kupunguza vifo vya mama na mtoto
Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama na mtoto barani Afrika, hususan kupitia utekelezaji wa mikakati na hatua madhubuti zinazolenga kuboresha afya na…





