JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RC Ruvuma amshukuru Rais Samia kwa bilioni 47 za miradi ya maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuwapatia kiasi kikubwa cha fedha za miradi ya maendeleo ambapo kwa mwaka…

Prof. Shemdoe: Nimeridhishwa na utekelezaji jengo la ofisi ya RC Morogoro

Na OWM – TAMISEMI, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema ameridhishwa na kiwango cha utekelezaji wa maelekezo yake ya Januari, 2026 ya kutaka kukamilishwa kwa…

Wanahabari nguzo muhimu kwa maslahi ya afya za wananchi

Na Mvuda Jaffer, WAF-Dar es Salaam Wizara ya Afya imewataka waandishi wa habari na wadau wa mitandao ya kijamii kuendelea kutoa taarifa sahihi, kwa wakati na kutoka katika vyanzo rasmi ili kuimarisha uelewa wa wananchi na kuimarisha utayari wa taifa…

Ndejembi: Ujenzi bomba la mafuta wafikia asilimia 86, meli ya kwanza kubeba mafuta Januari 2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi amesema mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani, mkoani Tanga nchini Tanzania wa EACOP (East African Crude Oil Pipeline), umefikia asilimia 86 ya utekelezaji,…

Miaka 30 ya TRA, yaacha alama ya utunzaji mazingira kwa kupanda miti 3,850 nchini

Na DK. Reuben Lumbagala, Tanga Suala la utunzaji mazingira ni la muhimu kutokana na umuhimu wake kijamii, kimazingira na kiuchumi. Mwanadamu ambaye ni sehemu ya mazingira anapaswa kuhakikisha anayatunza ili kuifanya dunia kuwa sehemu nzuri na salama kwa kuishi. Katika…

TARURA yamaliza changampto ya barabara Kata ya Nanyanga Tandahimba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia Mradi wa RISE, program ya uondoaji vikwazo vya barabara (Bottleneck) imekamilisha ujenzi wa kalavati sambamba na matengenezo ya barabara ya Mwindi – Mnauke yenye urefu wa…