JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makusanyo madini yavuka lengo, yakusanya trilioni 1.27

✅️ Sawa na Asilimia 105.8, Zikiwa Zimebaki siku 26 Kufunga Mwaka wa Fedha 2025/26 ✅️ Watumishi Watakiwa Kuongeza Weledi Kufikia Sh Trilioni 1.4 Mwaka 2026/27 ✅️ Watumishi Watakiwa kuhudumia wananchi bila ubaguzi Na Mwandishi Wetu, Dodoma WIZARA ya Madini imevuka…

Makamu wa Rais aagiza miti mitano kwa kila kibali cha ujenzi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Makamu wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ameagiza kuwa kila kibali cha ujenzi kitakachotolewa nchini lazima kihusishe upandaji wa angalau miti mitano, ikiwa ni sehemu ya hatua mpya za kuimarisha utunzaji wa mazingira na kukabiliana na…

Serikali yazindua kituo cha operesheni na mawasiliano ya dharura Mwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza SERIKALI imezindua rasmi Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura cha Mkoa wa Mwanza, hatua inayolenga kuimarisha uratibu wa shughuli za usimamizi wa maafa na majanga katika mkoa huo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo…

Mathias Canal atwaa tuzo ya ushiriki bora wa kazi za jamii 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni za WAZOHURU MEDIA na WAZOHURU APPARTMENTS, Mathias Canal, ametunukiwa Tuzo ya Ushiriki Bora wa Kazi za Jamii 2026, ikiwa ni kutambua mchango wake mkubwa katika kuhamasisha maendeleo ya…

Sangu aieleza ILO mambo sita yanayoipaisha Tanzania sekta ya kazi

Na: OWM (KAM) – Geneva, Uswisi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amebainisha mambo sita makubwa ambayo Tanzania imeendelea kuyatekeleza katika kuimarisha sekta ya kazi, ajira na ustawi wa wafanyakazi, hatua zinazoiwezesha nchi…

Tanzania yapiga hatua kubwa dhidi usugu wa dawa, matumizi ya antibiotiki yashuka kwa asilimia 88

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (AMR), baada ya kupunguza matumizi ya dawa za antibiotiki kwa asilimia 88 na kupunguza vifo vinavyohusishwa…