Latest Posts
ILO yazindua mwongozo wa habari za uhamiaji, JOWUTA yatia neno
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mombasa Shirika la Kimataifa la Kazi Duniani (ILO), limezindua mwongozo wenye kanzi data kwa wanahabari kuandika na kutangaza habari za wahamaji. Mwongozo huo umezinduliwa jana Ijumaa, Juni 20,2026 na Mshauri Mkuu wa Kiufundi kutoka ILO, Charles…
Wataalamu wahimiza kuimarishwa kwa umataifishaji wa elimu ya juu Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Vyuo vikuu nchini vinapaswa kuifanya agenda ya umataifishaji kuwa sehemu ya mikakati yake ya msingi kwa kuijumuisha katika ufundishaji, utafiti, ubunifu na huduma kwa jamii ili kuongeza ushindani wa kimataifa, kupanua fursa za elimu na…
TBS yatimiza miaka 50, yawekewa mkakati wa kuongoza ubora Afrika
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limepongezwa kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku likitakiwa kuendelea kwenda sambamba na maendeleo ya teknolojia na mabadiliko ya soko la dunia ili kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania…
Mwigulu : Ufugaji wa kisasa utakomesha migogoro ya wakulima na wafugaji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema ufugaji wa kisasa unaojumuisha matumizi ya mashamba ya malisho, mbegu bora za mifugo na teknolojia za kisasa ni suluhisho la kudumu la migogoro ya wakulima na wafugaji inayotokana na…
CRDB yaonyesha upendo, yawafungulia akaunti mapacha watano, baba apewa bajaji
Na Mwandishi Wetu,JamhurieMdia,Dar es Salaam Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha Youth Banking imeendelea kuonesha moyo wa kujali jamii baada ya kuisadia familia ya Bw. Simon Mkwizu iliyojaliwa kupata watoto watano kwa wakati mmoja, kwa kuwafungulia akaunti maalumu za…
Sekretarieti ya Maadili yawanoa wahariri, yawasihi kufichua vitendo vya ukiukwaji wa maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam, SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma, imewataka wahariri wa vyombo vya habari nchini kuendelea kutumia kalamu na sauti zao kama nyenzo muhimu katika kukuza maadili, uwajibikaji na uadilifu miongoni mwa viongozi wa…





