JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watanzania watakiwa kulinda amani

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema ulinzi nausalama wa Tanzania ni wajibu wa kila mwananchi, akisisitiza kuwa kilaMtanzania anatakiwa kushiriki katika kulinda amani, umoja wa kitaifana mali za umma…

Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha

Dar es Salaam Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Hassan Mussa Omar ameielekeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha inaongeza makusanyo ya kodi ili kuendana na hali ya ukuaji wa uchumi unaoendelea kushuhudiwa nchini. Amezungumza hayo wakati akitembelea banda la TRA…

Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua Daraja la Mto Nyathorogo lililopo katika Kijiji cha Nyathorogo, Kata ya Nyathorogo, wilayani Rorya, mkoani Mara, ambalo limejengwa kwa lengo la kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kati ya wilaya za Rorya na Tarime….

Tanzania, Marekani zasaini hati ya makubaliano za dola bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano itakayotekelezwa kuanzia mwaka 2026 hadi 2030, ikiwa na thamani ya zaidi ya…

Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency – PBPA) umesema mfumo wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja umeendelea kuimarisha upatikanaji wa mafuta nchini, kudhibiti mfumuko wa bei, kuhakikisha ubora…

Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea

Serikali imeanza ujenzi mpya wa barabara inayounganisha mikoa ya Njombe na Ruvuma baada ile ya awali kuanza kuchoka kutokana na kutumika kwa zaidi ya miaka 40. Akizungumza katika uzinduzi wa ujenzi wa barabara hiyo, Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, alisema…