Latest Posts
Mtafiti wa teknolojia ya AI ajiuzulu
Mtafiti wa teknolojia ya Akili Mnemba ameyashutumu vikali makampuni ya Marekani kwa kile alichokieleza kama “kucheza na maisha ya watu” wakati yakiunda mifumo ya kompyuta itakayozidi uwezo wa binaadamu. Jacob Coxon alikuwa mtafiti katika kampuni ya AI ya Anthropic nchini…
Trump atoa matumaini kumalizika kwa vita vya Iran
Rais Donald Trump amesema anatarajia vita kati ya nchi yake Marekani na Iran kumalizika baada ya uchaguzi wa katikati ya muhula wa mwezi Novemba. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatano, Trump amesema anaamini vita hivyo vitaisha mara baada ya…
Naibu Waziri wa Afya atoa elimu kwa mama wa mapacha watatu
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, ametoa elimu kwa mama wa mapacha watatu, Maridhia Miraji, kuhusu namna bora ya kuwahudumia watoto hao ili waweze kukua vizuri, ikiwemo kuzingatia usafi, lishe na kinga dhidi ya maambukizi. Dkt. Samizi amemuelekeza mama…
Kitali : Ushirikiano ni muhimu katika mageuzi ya kidijitali
OWM-TAMISEMI, Arusha Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Bw. Erick Kitali, amesema mafanikio ya mageuzi ya kidijitali nchini yanahitaji ushirikiano wa taasisi mbalimbali, uongozi wenye maono na kuwashirikisha…
Ofisi ya Rais maendeleo ya vijana yaendelea kujifua, kushiriki SHIMIWI 2026 kibabe
Na Byarugaba Innocent-ORMV Watumishi wa Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana wameendelea kujiweka sawa kwa mazoezi kabambe ya utimamu wa mwili na viungo Kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Kisasa kufuatili Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Wizara na Idara…





