JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CPA Walalaze : Walipakodi tumieni siku ya alhamisi kuwasilisha changamoto zenu

Na Mwandishi Wetu Kodi ni chanzo muhimu cha mapato kinachoiwezesha serikali kufanikisha mipango na mikakati yake ya kimaendeleo kwa wananchi wake. Wananchi wanahitaji huduma nzuri za kijamii kama elimu, afya, maji, umeme, barabara na masoko. Aidha, wanahitaji pia kuwezeshwa kiuchumi…

Tanzania yaihakikishia Fitch uchumi wenye mwelekeo chanya

Na. Josephine Majura na Asia Singano, WF- Dodoma Serikali imesema uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika na kwamba uwekezaji katika sekta mbalimbali, hususani madini, gesi, nishati, kilimo na miundombinu, unatarajiwa kutoa msukumo mkubwa kwa ukuaji wa uchumi. Hayo yalielezwa na Waziri…

Waziri Ndejembi mgeni rasmi mdahalo wa nishati safi Kizimkazi

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja-Zanzibar, ambapo ni mgeni rasmi katika Mdahalo wa Nishati Safi unaolenga kujadili masuala mbalimbali kuhusu nishati hiyo, leo tarehe 11 Agosti 2026. Mdahalo huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali…

RITA yaimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umeendelea kuimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu nchini kwa kutumia mifumo ya kidijitali na kusogeza huduma karibu na wananchi, hatua inayolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata nyaraka muhimu…

Wanafuzi Keko wajifunza kutengeneza mbolea asilia

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaan WANAFUNZI zaidi ya 50 wa shule ya Sekondari Keko ,wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa mbolea mboji kwa kutumia taka za majumbani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuwajengea ujuzi wa utunzaji wa mazingira…

Zaidi ya watu 130 wafa kwa tetemeko la ardhi Colombia

Takriban watu 132 wamefariki baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga magharibi mwa Colombia, katika tukio kubwa zaidi la aina hiyo nchini humo kwa miaka kadhaa. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.4 kwa kipimo cha Richter lilipiga jimbo la Chocó,…