Latest Posts
CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka
Na. Joseph Mahumi, Dar es Salaam Msajili wa Baraza la Masoko ya Mitaji (CMT), Mhe. Dkt. Martin Kolikoli, amewataka wadau hususan wawekezaji kulitumia Baraza lake ili kutatua migogoro ya biashara kwa uharaka zaidi kwa lengo la kuchochea uwekezaji, biashara na…
NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima
KAHAMA Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) limetoa wito kwa wananchi wa manispaa ya Kahama hususan wakazi wa kata ya Mwendakulima kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo katika kituo cha mafunzo ya kilimo kilichopo kata ya mwendakulima wilayani Kahama…
Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Morogoro Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umeeleza kuwa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja umeendelea kuhakikisha Tanzania inapata bidhaa za mafuta kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Akizungumza katika Maonesho ya Nne…
Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC
Na Mwandishi wa OTR, Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ametaka kufanyika kwa mageuzi makubwa katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ili kujenga taasisi yenye ufanisi zaidi, kuongeza tija na mapato, na kuimarisha ushindani wake katika soko…
Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo
📌 Bilioni 8 zatumika 📌 Mradi umekamilika kwa asilimia 90 Jibondo, Mafia 📍 Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeeleza kuridhishwa kwake na kasi ya usambazaji wa nishati ya umeme katika vitongoji vya Kisiwa cha Jibondo, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya…
TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi limeteketeza tani 3.4 za unga wa mahindi uliochini ya kiwango, wenye thamani ya takribani Sh. milioni 3.5, baada ya vipimo vya maabara kubaini kuwa haukidhi viwango vya usalama kwa…





