JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mume wa Rais Samia afariki dunia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kamati ya Bunge ya PIC yagusa mchanga unaohama

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji kwa Umma mwishoni mwa wiki iliyopita imetembelea eneo la hifadhi ya Ngorongoro ambapo pamoja na mambo mengine imejionea vivutio vya utalii ikiwemo mchanga unaohama ambao haupatikani popote Duniani isipokuwa Ngorongoro. Wakiongozwa…

Prof. Shemdoe : Rais Samia ametoa bil.13/- kujenga daraja la Loya

Na OWM – TAMISEMI, Uyui Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia Shilingi Bilioni 13 kutumika kujenga daraja la Loya linalounganisha…

Safari ya miaka nane ya Mji wa Serikali yafikia kilele, Rais Samia kuuzindua kesho

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma DODOMA. Safari ya takribani miaka nane ya Serikali kujenga Mji wa Serikali Mtumba imefikia hatua ya kihistoria, huku Serikali ikitangaza kukamilika kwa sehemu kubwa ya miundombinu ya eneo hilo na maandalizi ya uzinduzi rasmi wa…

Rais Mwinyi : Zanzibar yaendelea kuvutia uwekezaji wa utalii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar inaendelea kupiga hatua katika sekta za uwekezaji na utalii, hali inayozidi kuimarisha nafasi ya visiwa hivyo katika soko la utalii duniani. Rais Dkt. Mwinyi…

Umeme wa uhakika migodini wachangia zaidi ya bil.340/- kwa mwaka

Dodoma, Septemba 3, 2026. Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashimu Komba, amesema upatikanaji wa umeme wa uhakika katika migodi una mchango mkubwa kwa uchumi wa Taifa, ambapo sekta hiyo huchangia zaidi ya Shilingi bilioni 340 kwa mwaka kupitia mrabaha,…