Latest Posts
Tanzania mwenyeji mkutano wa Africa50
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Africa50 ,ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anatafungua mkutano huo kama mwenyejji na mwenyekiti. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za wizara hiyo Waziri wa fedha…
NIRC yatangaza neema kwa wakulima Nanenane
📍NIRC: Dodoma Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), inaendelea na utekelezaji wa Mkakati mkubwa wa kuimarisha kilimo cha Umwagiliajinchini kwa kuzindua miradi mipya zaidi ya 30 katika mwaka wa fedha 2026/27, huku ikitarajia kuajiri maelfu ya vijana kupitia…
Serikali yaimarisha NIT kuzalisha wataalamu wa kuendesha miradi mikubwa ya uchukuzi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza uwekezaji wa mabilioni ya shilingi katika reli ya kisasa (SGR), usafiri wa anga, majini na barabara, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimejipanga kuzalisha wataalamu wenye ujuzi wa kisasa watakaohakikisha miradi hiyo inaendeshwa…
Dkt. Nchimbi ajionea mchango wa TADB katika kuendeleza kilimo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametembelea Banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) akiwa ameambatana na Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja…
Matunda ya ziara ya Rais Samia Urusi yaanza kuonekana
….Kampuni ya Betaren yaanza kuingiza mbegu bora aina ya Bombadier, Daha, Bazik na Krechet Na Mwandishi Wetu Ziara ya kikazi ya siku tatu aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi Juni 3 mwaka huu imeanza kulipa baada ya kampuni za…
Inclusive Mwalimu Gala 2026 yazindua mjadala wa kitaifa
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika hafla ya Inclusive Mwalimu Gala 2026, Naibu Waziri amesema kuwa…





