Latest Posts
Polisi yawashikilia wanne kwa tuhuma za mauaji ya waendesha bodaboda Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ya waendesha bodaboda yaliyokuwa yakiripotiwa mara kwa mara katika maeneo mbalimbali mkoani hapa. Hayo yamebainishwa jana na Mkuu wa Mkoa Paul…
Sangu : Mawakala wa ajira binafsi zingatieni mwongozo
Na OWM – KAM Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amewataka Mawakala binafsi wa Ajira kuzingatia mwongozo wa uratibu wa ajira za nje ya nchi ili watanazania wengi wanufaike na…
DED Regina: Hakuna wanafunzi wanaosoma kwenye madarasa yaliyoezuliwa paa Kibaha
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, imekanusha taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa JamiiForums ikidai kuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ruvu Station wanasomea katika madarasa yaliyoezuliwa paa. Regina Bieda alifafanua…
Prof. Shemdoe aelekeza kusimamishwa kazi watumishi 14 wanaotuhumiwa kwa ubadhirifu wa fedha Muheza
Na OWM – TAMISEMI, Muheza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Kwa mujibu wa Kanuni ya 37(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2022, amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza…
Dk Mwigulu aitaka Wizara ya Fedha kuwezesha miradi ya barabara zilizosainiwa
……………………………….. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya fedha kuharakisha upatikanaji wa fedha ili kuiwezesha Wizara ya ujenzi kuanza ujenzi wa miradi ya barabara zilizosainiwa. Amesema hayo wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro alipokagua barabara…
Dk Mwigulu : Msipore ardhi za wananchi kwa kigezo cha uwekezaji
*Asema msimamo wa Rais Dkt. Samia ni maendeleo na uwekezaji WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Serikali wasipore ardhi za wananchi kwa kigezo cha uwekezaji kwani msimamo wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuwa kinara katika maendeleo…





