JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Rais Samia ameing’arisha Simanjiro’

Na Mwandishi wetu, Simanjiro Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandana ameeleza kwamba Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeing’arisha Simanjiro kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. DC Lulandala akizungumza mji mdogo…

Nishati safi ya Rafiki Briquettes iwafikie Watanzania wote -Balozi Kingu

📌Uzalishaji wa Rafiki briquettes uende sambamba na uzalishaji wa majiko banifu 📌STAMICO waahidi kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa nishati safi nchini 📍Kisarawe – Pwani Watanzania wametakiwa kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…

Watendaji wa Uchaguzi Peramiho watakiwa kuvishirikisha vyama vya siasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Watendaji wa uchaguzi wametakiwa kuvishirikisha kwa ukaribu vyama vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote za mchakato wa uchaguzi katika maeneo yao ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru…

Dk Gwajima ataka kasi utekelezaji wa MTAKUWWA II

Na Abdala Sifi- WMJJWM Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameitaka Sekretarieti ya Uratibu wa Mpango wa Kitaifa wa Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA II) kuongeza kasi ya…

FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Baraza la Ushindani (FCT) limewahimiza wadau na wafanyabiashara mkoani Arusha kutumia kikamilifu mfumo wa usajili wa mashauri kwa njia ya kielektroniki (e-filing), lengo likiwa ni kuongeza ufanisi na kupunguza gharama katika uwasilishaji wa mashauri. Akizungumza…