Latest Posts
Taasisi za umma zatakiwa kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuboresha mnyororo wa ugavi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amezitaka taasisi zote za umma kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo…
Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Afrika
Na Munir Shemweta, Nairobi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeelezea mafanikio yake katika maendeleo ya miji na sekta ya makazi wakati wa Kongamano la Pili la Miji Africa (2nd African Urban Forum) linalofanyika jijini Nairobi, huku ikitoa wito…
Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati nchini, hatua inayoonesha mchango mkubwa wa miradi hiyo katika kupunguza tatizo la ajira kwa vijana. Takwimu hizo zimewasilishwa bungeni Aprili 9, 2026 jijini Dodoma na…
Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma
Na Cresencia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma UMOJA wa Mawakala wauzaji wa Pembejeo Mkoa wa Ruvuma (UWAPERU) wameishukuru Serikali kwa kutoa Ruzuku kwa wakulima ambapo katika msimu huu wa kilimo wakulima wamefaidika na ruzuku hiyo kwa kupata mbolea na kuongezea uzalishaji wa…
Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu – Kamishna Badru
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru leo tarehe 9 Aprili, 2026 amepuliza rasmi Kipenga cha shindano la mwezi mmoja la Safari Field Challenge akisisitiza kwamba Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu kutokana…





