JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa

Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, amesema shule ya kisasa ya sekondari Kitunda inatarajia kumalizika hivi karibuni ili wanafunzi waweze kuanza masomo. Mkuu wa Wilaya Edward Mpogolo, amesema hayo Dar es Salaam…

Mchengerwa : Tanzania hatutaki kuwa soko duni la dawa

Na WAF – Dar es Salaam Waziri wa Afya Mohamed Mchengrwa amesema kuwa Tanzania inajipanga kuondokana kuwa soko la dawa duni zilizopitwa na wakati na kujikita zaidi katika uboreshaji wa uzalishaji wa bidhaa za afya ndani kupitia viwanda vya ndani…

Mndolwa akagua bwawa la ujenzi Mkomanzi, ujenzi wafikia asilimia 85

*Asisitiza kuzingatia muda na ubora wa ujenzi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji(NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amefanya ziara ya kikazi katika bwawa la kilimo cha Umwagiliaji la Mkomazi lililopo kijiji cha Manga Mtindiro,…

Meya Kibaha KIBAHA aitaka DAWASA Kibaha kuacha kigugumizi, utatuzi kero ya maji Viziwaziwa

Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Nicas Mawazo, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) , Kibaha kuacha kigugumizi na kutoa majibu kuhusu kero ya muda mrefu ya ukosefu wa…

EWURA, TRA kuimarisha ushirikiano

Watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na wenzao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), leo 23 Desemba 2025, wamekutana na kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa utendaji hususani katika usimamizi wa masuala ya kikodi…

DC Mpogolo: Ilala wanafanyakazi kwa umoja na mshikamano

Na Heri Shaaban, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, amesema Wilaya ya Ilala, wanafanya kazi kwa umoja na mshikamano Watendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na Wabunge wa vyama vyote siasa katika kumsaidia Rais wa Jamhuri ya…