Latest Posts
TMA yawakumbusha waandishi wa habari kuelimisha jamii kuepuka madhara yatokanayo na mvua
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka waandishi wa habarinchini,kufuatilia na kusambaza taarifa sahihi za utabiri na tahadhari ya hali ya hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania. Akizungumza na Waandishi…
Dk Jingu : Tumieni kalamu na nafasi zenu kueleza mafanikio programu ya kizazi chenye usawa
Na Tina Makoye – WMJJWM, Dodoma Wakuu wa Vitengo vya Habari na Mawasiliano Serikalini wa Wizara na Taasisi za Serikali wameaswa kutumia nafasi zao kueleza jamii na dunia kwa ujumla kuhusu mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa programu ya kizazi chenye…
THRDC NA MAIPAC yawanoa waandishi wa habari za mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha.l Mtandao wa watetezi wa haki za binaadamu Tanzania(THRDC) kwa kushirikiana na Taasisi ya wanahabari ya kusaidia jamii za asili(MAIPAC),imeanza kuwanoa wanahabari Kanda ya Kaskazini na Kati, kuandika vyema Habari za uchunguzi za mazingira. Uzinduzi wa…
Dk Msemo : Saratani ugonjwa unaosumbua dunia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Licha ya jitihada zinazofanywa na Serikali kudhibiti ugonjwa wa Saratani lakini bado ugonjwa umeendelea kuongezeka siku siku ambapo takwimu za Mwaka 2022 zaidi ya watu milioni 20 Duniani wamegundulika wana Saratani huku Milioni 9…
TMA yatoa tahadhari ya mvua za masika
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya uwezekano wa kutokea kwa mafuriko na vipindi vya upungufu wa unyevu katika mikoa mbalimbali nchini kufuatia mwelekeo wa mvua za masika zinazotarajiwa kunyesha…
Masoko ya madini Katoro na Geita yachochea uchumi, yafungua fursa za ajira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Masoko ya Madini Katoro na Geita pamoja na vituo vya ununuzi wa madini vinaendelea kuwa chachu ya ukuaji wa uchumi wa wananchi wa Mkoa wa Geita, baada ya kuongeza fursa za ajira, biashara na mzunguko…





