Latest Posts
Kihenzile apongeza ujenzi wa meli nne Bandari ya Karema Katavi
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa meli nne unaoendelea katika Bandari ya Karema Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi. Kihenzile ametoa pongezi hizo leo alipotembelea bandarini hapo kwa lengo la kujionea maendeleo ya mradi huo…
Ukraine yashambulia Jamhuri ya Udmurtia nchini Urusi
Takriban watu 11 wamejeruhiwa katika shambulizi la Ukraine katika eneo la Urusi lililo na utawala wake wa ndani la Jamhuri ya Udmurtia, linalojulikana kwa sekta imara ya uundaji wa vifaa Katika chapisho kwenye mtandao wa Telegram akiwa mjini Izhevsk, waziri…
Dk Jafo awezesha elimu ya ufundi akabidhi vyerehani vinne chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma katika Chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga, kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi wa fani mbalimbali za ufundi. Akizungumza wakati wa ziara yake ya…
Mwigulu : Fedha za miradi ya maendeleo sio siri
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa fedha za miradi ya maendeleo sio siri, na. watendaji wa Serikali wanapaswa kuacha ubinafsi kwenye matumizi ya fedha hizo. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa fedha hizo zinazotokana na kodi za wananchi, hivyo zinapaswa…
DAS Kahama aeleza umuhimu wa nishati ya umeme ya kupikia
*Ni katika muendeleo wa vikao kazi kati ya TANESCO na Madiwani Wilaya ya Kahama *Awataka Madiwani kuwa mstari wa mbele kuwaelimisha wananchi wa maeneo yao Katika kuhakikisha ajenda ya nishati safi ya kupikia inatekelezwa kwa vitendo, Katibu Tawala wa Wilaya…
Dk Mwigulu azindua shule mpya ya sekondari ya Mbatakero
Asema Rais Dkt. Samia amewapa urithi watoto wa kitanzania wa kupata elimu_ ▪️Apongeza utekelezaji wa mradi huo kwa viwango_ Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la uzinduzi wa shule ya Sekondari ya Mbatakero iliyopo Halmashauri ya Wilaya…





