JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali SMZ yabadili jina la mashindano ya Mapinduzi Cup, sasa kujulikana NMB Mapinduzi Cup 2026

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa Mashindano ya Mapinduzi Cup , unaobadili rasmi jina la michuano na sasa kuitwa NMB Mapinduzi Cup 2026. NMB Mapinduzi Cup 2026 inashirikisha timu…

Msigwa : Mkataba wa TAZARA na China utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania

Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa mkataba ambao Tanzania na Zambia zimeingia na China wa uboreshaji wa reli ya TAZARA utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania kiuchumi na kijamii. Msigwa aliyekuwa akitoa ufafanuzi…

Dc Mpogolo atoa agizo kukamatwa waliofanya mauaji Buyuni

Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ,ametoa agizo kwa Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, ACP Yustino Mgonja kutumia utaalamu na timu yake kuwakamata mara moja kundi…

TMA : Mvua kubwa yaathiri miundombinu ya SGR, kuendelea kunyesha kwa mikoa 20

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya mwenendo wa Mvua Kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Mnamo tarehe 26 hadi 27 Desemba, 2025 Mamlaka iliendelea kutoa Tahadhari ya vipindi vya Mvua Kubwa katika maeneo…