JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mgombea urais CUF, Gombo aahidi wazee miaka 60 akiingia madarakani watalipwa posho kila mwezi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora, Mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amewahakikishia wazee kwamba kwenye Serikali yake wazee wote wenye umri kuanzia miaka 60 watalipwa posho kwa kuwa…

Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema Jeshi la Marekani limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati ya Venezuela iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya kimataifa ikielekea Marekani. Trump alisema siku ya Jumatatu kwamba wanaume watatu waliuawa katika shambulizi dhidi ya “makundi ya…

Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City

Jeshi la Israel limeanza operesheni ya ardhini kwenye mji mkubwa zaidi wa Ukanda wa Gaza baada ya majuma kadhaa ya mashambulizi ya anga. Mtandao wa habari wa Axios umeripoti taarifa hizo ukiwanukuu maafisa kadhaa wa Israeli. Serikali mjini Tel Aviv…

Dk Biteko amnadi Musukuma, asema amepigania maslahi ya wana-Geita

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma ni kiongozi…

Mama Salma: Njia pekee kuthamini kazi kubwa aliyofanya Dk Samia ni kumpa kura, Ridhiwan kiongozi mwenye dira

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Mke wa Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete, ametoa wito kwa wananchi wa Jimbo la Chalinze, kumpigia kura za kishindo mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema…