Latest Posts
Kocha bingwa wa NCAA Austin Pillado kuongoza kambi maalumu ya kuogelea Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuunga mkono dhamira ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ya kuendeleza michezo yote nchini kwa vitendo, Shule ya Kimataifa ya Monti International School imetangaza kuandaa tukio kubwa la…
Dar es Salaam yajiandaa kushiriki maonesho makubwa ya Kilimo Afrika
Usikose kushiriki 10th AFRICA AGRI EXPO 2026, yatakayofanyika sambamba na 3rd Future Food, Livestock & Poultry Expo 2026. Hili ni jukwaa muhimu kwa wakulima, wafugaji, wawekezaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya chakula kutoka Afrika na duniani kote. 📍 Mahali:…
Waziri Mkuu aadhimisha miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi ya barabara Dar, Prof. Shemdoe afurahishwa
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwa kuadhimisha miaka 62 ya Jamhuri ya…
Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, majiko banifu na umeme, hatua inayolenga kulinda mazingira, kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa ili kuboresha afya ndani…
Mwenge wa Uhuru waridhishwa na barabara za TARURA, ikiwemo Chumbi Kiegele Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru umeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi saba wilayani Rufiji mkoani Pwani, ukiwemo mradi wa barabara ya Chumbi–Kiegele unaotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wenye thamani ya shilingi bilioni…
Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha
Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa RECSA na ‎Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Paschal Katambi Patrobass (Mb), ameshiriki Mkutano kwa njia ya Mtandao wa Kamati Ndogo ya Mawaziri ya Kikanda, unaoshughulikia Udhibiti wa Silaha ndogo na nyepesi…





