Latest Posts
Balozi Temu asisitiza marekebisho ya mifumo ya mali miliki
Na Prosper Makene Geneva – Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva ametoa wito wa kuwa na mifumo ya mali miliki (Intellectual Property) inayojumuisha wote, yenye usawa na inayolenga mustakabali ili kuchochea…
Dkt. Kiruswa: Mageuzi sekta ya madini yaifanya Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji Afrika
-Tume ya Madini yaeleza usimamizi wa leseni za madini na Local Content unavyowanufaisha Watanzania -Fursa za uwekezaji zatangazwa kuanzia utafiti, uchimbaji hadi uongezaji thamani wa madini Dar es Salaam Serikali imesema mageuzi yanayoendelea kutekelezwa katika sekta ya madini chini ya…
Dk Mawazo Nicas akutana na Balozi Kairuki nchini Uingereza, wajadili fursa za uwekezaji Kibaha
London, Uingereza | Julai 8, 2026 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ambaye yupo nchini Uingereza katika ziara nchini humo, leo Julai 8, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini…
TFS yapokea wageni wa ofa ya Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Wakala wa Misitu nchini (TFS), wamepokea wameanza kupokea wageni kutokana na punguzo la msimu huu wa Sabasaba katika kutembelea vituo vyao vya utalii. Zoezi hilo limeanza rasmi kwa kupokea wageni wa ndani na nnje ya…
Morogoro, Tanga kukosa umeme kwa siku sita
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa kutakuwa na kukosekana kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga kuanzia Julai 9 hadi Julai 14, 2026, kupisha utekelezaji wa kazi za uvutaji waya (stringing) katika…
Waziri Sangu akutana na kuzungumza na Waziri wa Kazi Qatar
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar, Mhe. Dkt. Ali bin Samikh Al Marri, leo Julai 8, 2026, jijini…





