JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TANROADS yarejesha barabara zilizoathiriwa na mafuriko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeendelea kutekeleza kazi kubwa ya kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja iliyoharibiwa na mvua za El-Nino pamoja na Kimbunga Hidaya, hatua iliyosaidia kurejesha mawasiliano na shughuli za kijamii na kiuchumi katika…

Chalamila awahidi Dar City milioni 50/- wakiitoa Petro de Luanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameahidi kutoa kitita cha shilingi milioni 50 kwa timu ya Basketball ya Dar City Club iwapo itaibuka na ushindi katika hatua ya robo fainali…

Waziri Mkuu aagiza mapitio ya mfumo wa mabaraza ya ardhi

▪️Asema migogoro ya ardhi inahitaji suluhisho la kudumu la kitaasisi ▪️Asisitiza mifumo ya utatuzi wa migogoro iimarishwe WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya utatuzi wa migogoro ya ardhi nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa…

Mradi wa njia ya kusafirisha umeme Chalinze –Dodoma kukamilika Agosti 2026 : MD Twange

📌Utekelezaji wa Mradi wafikia asilimia 82.5 📌Shilingi bilioni 514 kutumika ajili utekelezaji wa mradi 📌 Amtaka Mkandarasi kuongeza kasi mradi huo wa kimkakati ukamilike kwa wakati Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme…

Mwanafunzi ajifungulia chooni na kukitupa kichanga, Polisi wamdaka Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Kibindu ,wilayani Chalinze ,mkoani Pwani amejifungua mtoto wa kike kisha kumtupa kwenye shimo la choo cha mabweni ya wanafunzi wa kike, katika tukio lililoibua taharuki shuleni hapo…

Waziri Kombo apokea nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini…