Latest Posts
Kampeni ya “Jua Namba Zako” yagusa watumishi wa REA Dodoma
Na Mwandishi Maalumu-Dar es Salaam Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara na kufahamu “namba zao” ikiwemo shinikizo la damu, kiwango cha sukari, mafuta mwilini, mapigo ya moyo na uwiano wa…
TMA yatoa tahadhari ya upepo mkali kwa mikoa mitano
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania-TMA, imewataka wananchi kuchukua tahadhari kuanzia kufuatia kuwepo kwa matarajio ya upepo mkali wa kilomita 40 kwa saa katika mikoa mitano nchini. Mikoa hiyo ni Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara na visiwa vya…
Kunenge : Mafanikio vyama ya ushirika yachangia Pwani kupata heshima kitaifa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amepongeza jitihada zinazofanywa na sekta ya ushirika kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuwa kinara wa maendeleo ya ushirika nchini. Amesema mafanikio yanayopatikana kupitia vyama vya ushirika yameendelea kuupa mkoa…
Duce yang’ara wiki ya tafiti na ubunifu
*TET yataka elimu iendane na mahitaji ya dunia ya sasa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, amezitaka taasisi za elimu ya juu nchini kuhakikisha tafiti, ubunifu pamoja na…
Njombe yaibuka kitovu cha madini adimu, soko lake kuu lipo China
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imetangaza kuwa Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uwekezaji wa madini nchini baada ya kugunduliwa kwa madini adimu ya Rare Earth Elements (REE) ya aina mbili ambayo ni Neodymium Nd na Praseodymium…
Serikali inaendelea kufanya maandalizi ya upanuzi wa miji pembezoni kutokana na ukuaji- Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Azerbaijan Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa kipaumbele katika maandalizi ya upanuzi…





