Latest Posts
Waziri Mkuu azindua shule ya msingi Kasoma, aipongeza Musoma Vijijini kwa usimamizi miradi
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameizindua Shule ya Msingi Kasoma iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara na kuipongeza halmashauri hiyo kwa kusimamia miradi ya maendeleo kwa kuzingatia thamani ya fedha pamoja na kuendelea kuboresha huduma za elimu kwa…
Rais Samia anavyosaka fursa kimataifa uboreshaji afya mama na mtoto Afrika
Na DK Reuben Lumbagala Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anatambulika kimataifa katika nyanja mbalimbali kutokana na utendajikazi wake uliotukuka. Miongoni mwa maeneo yanayomtambulisha kwa upekee ni pamoja na kuwa Kinara wa Afya ya Uzazi ya Mama na Mtoto barani Afrika….
Sabasaba yafungua fursa mpya za madini, wafanyabiashara wakiri utajiri mkubwa wa Tanzania
āSerikali yapongezwa kwa kuimarisha sekta ya madini, wawekezaji waendelea kuonesha imani kubwa šDAR ES SALAAM Wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini wameipongeza Serikali kwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa sekta hiyo kupitia uwazi, utekelezaji wa sheria na matumizi ya mifumo…
Jeshi la Polisi lahimiza ushirikiano na makampuni ya ulinzi binafsiĀ
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi limetoa wito wa ushirikiano wa karibu kati ya polisi na makampuni binafsi ya ulinzi kwa lengo la kupunguza matukio ya uhalifu pamoja na kudumisha amani nchini. Wito huo umetolewa hivi…
Waziri Nanauka awapongeza vijana wenye mahitaji maalumu wanaong’ara Sabasaba
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Maendeleo ya Vijana), Joel Nanauka, amewapongeza vijana wenye mahitaji maalumu wanaojishughulisha na fani mbalimbali, ikiwemo usanifu majengo na ushonaji, waliopo katika banda la VETA kwenye Maonesho ya 50…
Polisi wakanusha taarifa za gari lao kuchomwa moto Mwenge
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa wananchi wamechoma moto gari la polisi katika eneo la Mwenge, likisema taarifa hizo ni za uongo na zinalenga…





