JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jinsi Samia anavyoibadilisha Pwani kuwa kitovu kipya cha uchumi Tanzania

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Miaka iliyopita, Mkoa wa Pwani ulionekana zaidi kama eneo linalozunguka Jiji la Dar es Salaam, lakini leo unaanza kujijenga upya kama kitovu cha uwekezaji, viwanda, biashara na usafirishaji nchini kutokana na utekelezaji wa miradi mikubwa…

Waziri Mkuu awasisitiza Watanzania kuwahudumia wenye mahitaji

……………………… WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kushirikiana na Serikali katika kutunza na kuhudumia vituo vya watoto wenye mahitaji maalumu na wasiojiweza badala ya kutegemea wahisani kutoka nje kwani mambo hayo yamepitwa na wakati. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili,…

Tanzania,Namibia kuendeleza ushirikiano wa Kihistoria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kongwa Rais wa Namibia, Dk. Netumbo Nandi-Ndaitwah, amesema Tanzania na Namibia zina wajibu wa kuendeleza na kuimarisha uhusiano wao wa kihistoria uliojengwa wakati wa harakati za ukombozi wa Kusini mwa Afrika, ili uwe chachu ya maendeleo…

Shirikisho la Wanahabari Afrika ya Mashariki (FEAJ) lakutana Mombasa

Na Mwandishi Wetu, Mombasa Shirikisho la waandishi wa habari Katika Ukanda wa Afrika Mashariki (FEAJ) limekutana katika mkutano Maalum kwa mara ya kwanza tangu viongozi wake kuchaguliwa mwaka jana ili kuweka Mikakati ya kusaidia Tasnia ya habari ukanda huo. Akifungua…

Pangani yapata ‘Clean sheet’ miradi ya mwenge 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pangani Kiongozi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026, Wazo Mwang’onda, ameridhishwa na ubora wa miradi ya maendeleo pamoja na thamani ya fedha (value for money) zilizotumika kutekeleza miradi hiyo katika halmashauri ya wilaya ya Pangani…