Latest Posts
TARURA yamaliza changampto ya barabara Kata ya Nanyanga Tandahimba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia Mradi wa RISE, program ya uondoaji vikwazo vya barabara (Bottleneck) imekamilisha ujenzi wa kalavati sambamba na matengenezo ya barabara ya Mwindi – Mnauke yenye urefu wa…
Tusimhukumu Rais Samia kwa makosa ya kihistoria
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Nafahamu kwa sasa nchi yetu ina joto la kisiasa. Joto linapanda kutoka kila kona. Linapanda kutoka vyama vya upinzani, linapanda kutoka ndani ya chama tawala kuelekea mwaka 2030, maana huo ndio ukweli, na…
CRDB Insurance yazindua ‘ Smart mifugo’ kulinda wafugaji dhidi ya hasara
Serikali imesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya mifugo barani Afrika, hivyo matumizi ya teknolojia ya kisasa ni muhimu katika kulinda mali za wafugaji na kukuza uchumi. Akizungumza leo Juni 29, 2026, jijini Dar es Salaam, Katibu…
Polisi Pwani yachunguza mauaji ya mwanamke na mtoto Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi-Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limeendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20–25 pamoja na mtoto mwenye umri wa miaka 3–6 yaliyotokea Kitongoji cha Nung’uli, Kijiji cha Kwang’andu,…
Pwani kunufaika na mradi wa bilioni 6.3 kuokoa watoto waishio mitaani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WATOTO waishio na kufanya kazi mitaani wapatao 4,200 wanatarajiwa kuokolewa kupitia mradi wa miaka mitatu utakaowarejesha kwenye familia zao, kuwapatia elimu, huduma za afya na stadi za maisha ili kuwawezesha kujenga maisha bora. Kati ya…





