Latest Posts
Port Extension kuanza kutumika Novemba, kupunguza msongamano Bandari ya Dar
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam ENEO la Kurasini Logistics Park linaloandaliwa kuwa Port Extension ya Bandari ya Dar es Salaam linatarajiwa kuanza kutumika rasmi Novemba mwaka huu, hatua inayolenga kupunguza msongamano wa makontena na malori katika bandari hiyo. Akizungumza…
Mbarawa awataka watafiti kubadili tafiti kuwa suluhisho la changamoto za usafiri
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi na kuchangia maendeleo ya kiuchumi, badala ya kuishia kwenye makabrasha…
Dk Mwigulu aagiza kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vya AFCON
*Awataka wakandarasi kukamilisha mikataba ya wafanyakazi na kushughulikia stahiki zao ndani ya wiki moja. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ili…
NMB yawainua wafanyabiashara tisa wa Lumumba kwa fidia ya Sh1.072 bilioni
●NMB yawawezesha wafanyabiashara tisa wa Lumumba kuanza upya Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wafanyabiashara tisa wa mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya…
Meneja Mkuu: Huduma bora kwa mteja ndio kipaumbele cha shirika
Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdulkarim amewataka watumishi kuhakikisha kuwa wanakuwa suluhu ya changamoto za wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo kwa kusikiliza, kutoa majawabu ya uhakika kwa wakati na kutoa mrejesho kwa wafanyabiashara hao…
Serikali yaweka mkazo chanjo ya polio, watoto milioni 6.5 kulengwa
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeweka mkazo katika kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) kwa kuendesha kampeni maalum ya chanjo itakayowafikia watoto zaidi ya milioni 6.5 katika mikoa nane nchini. Kampeni hiyo inatarajiwa kufanyika Agosti 27 hadi 30, 2026, ambapo chanjo…





