JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TASWA kuzindua kampeni ya ‘AFCON Kitaa 2027’ kuelekea fainali za Afrika

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa 2027’, inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi Oktoba 30, 2026 jijini Dar es Salaam. Kampeni hiyo imelenga kuhamasisha wanataaluma ya habari pamoja na wananchi wote…

Kapinga atoa wito wa ushirikiano katika miradi ya maendeleo Mtwara

Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya Waziri wa Viwanda…

Ngasongwa aanza ziara Mwanza, atoa wito kwa wafanyabiashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa bidhaa bandia na kukuza ushindani wa haki katika soko. Katika ziara hiyo,…

Israel yaanza tena mashambulizi katika ukanda wa Gaza

Taarifa ya jeshi la Israel IDF imesema shambulio hilo lilimlenga kamanda wa Hamas, likimtuhumu kwamba alikuwa akipanga mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel vinavyofanya kazi katika ukanda huo. Israel imefanya shambulio lake la kwanza la anga huko Gaza baada ya…

Wananchi Mtwara waishukuru Serikali kuboresha huduma za afya

Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri Agosti 12, 2026, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya…

Dk Biteko anogesha mashindano ya Ngalawa Tamasha la Kizimkazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mashindano ya ngalawa race ni miongoni mwa matukio makubwa ya kiburudani yanayoipamba Kizimkazi Festival 2026. Mashindano hayo yamefanyika…