Latest Posts
Watumishi wa Wizara Watembelea Ofisi za Ubalozi India
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaohudhuria mafunzo maalum ya diplomasia nchini India wametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini New Delhi. Katika ziara hiyo, watumishi hao walikutana na wafanyakazi…
Dc Ndemanga: Mazoezi Silaha dhidi ya Magonjwa
Mwamvua Mwinyi, BagamoyoAgosti 14, 2026 MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewasihi wananchi kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara, akisema michezo ni muhimu katika kujenga afya na kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Ndemanga alitoa kauli hiyo…
Salome apongeza utoaji elimu kwa wananchi maonesho ya Kizimkazi
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ametembelea mabanda ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. Akiwa katika mabanda hayo, Mhe. Salome amezungumza na wataalam pamoja…
Madereva Polisi watakiwa kuwa mfano usalama barabarani – Mwakihaba
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Madereva wa Jeshi la Polisi mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani na kuacha kutumia nafasi zao kama askari kukiuka sheria wanapokuwa barabarani. Rai hiyo imetolewa na Kamanda wa Kikosi cha Usalama…
Balozi Khamis aimwagia sifa TRA kwa utendaji ulioiwezesha kuvuka malengo
Na. Benny Mwaipaja, Zanzibar Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameimwagia sifa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA kwa utendaji uliotukuka uliowezesha Mamlaka hiyo kuendelea kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato kila mwezi na kueleza imani yake kwamba kwa…
Rais Samia afurahishwa na huduma za NSSF
Kizimkazi, Zanzibar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Tamasha la Kizimkazi, ambapo alipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba. Pamoja…





