JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uwekezaji unaofanywa na Serikali katika afya ya msingi ndio msingi wa afya kwa wote – Prof. Shemdoe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imesisitiza kuwa inaendea kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa vifaa tiba katika ngazi ya Afya ya Msingi, ikiwa ni hatua muhimu ya kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora za afya kwa wakati….

TMDA yanasa shehena ya dawa zisizosajiliwa JNIA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba nchini (TMDA) imefanikiwa kunasa shehena mbili kubwa za dawa na vifaa tiba zisizosajiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Terminal 3, zenye thamani…

Salome: Ndejembi, tunaomba uendelee kuwa mlezi wa Wizara ya Nishati

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amemshukuru Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, kwa uongozi, malezi na ushirikiano alioutoa katika kipindi cha zaidi ya miezi kumi walichofanya kazi pamoja katika Wizara ya Nishati….

Rais Samia atajwa kinara afya ya msingi

Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametambuliwa kuwa kinara katika kuimarisha huduma za afya ya msingi kutokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana nchini,…