Latest Posts
DMG yatambuliwa na forbes Afrika kwa uwezo wa ujenzi wa meli daraja la kwanza
Na Mwandishi Wetu, jamhuriMedia, Dar es Salaam Jarida la Forbes Africa limetaja Kampuni ya Kitanzania, Dar es Salaam Merchant Group – DMG, kama kampuni bora ya daraja la kwanza “Class One” katika eneo la ujenzi na ukarabati wa meli nchini…
Serikali yaingia makubaliano ya ushirikiano na DIT kuimarisha usimamizi wa maafa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeingia Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa maafa…
Doyo awaonya wanaotamani urais 2030 mapema
Aliyekuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, amewataka wanasiasa nchini kujikita katika masuala ya maendeleo ya wananchi badala ya kuanza kampeni za kutafuta urais wa mwaka…
Polisi Pwani yachunguza utata kubadilishwa kichanga hospitali Bagamoyo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, anayodai kubadilishiwa mtoto baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji katika Hospitali…
Prof. Shemdoe: Walimu fundisheni tupate taifa imara
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ametoa wito kwa walimu wote nchini wa shule za awali, msingi na sekondari kufundisha…
Samia’s Russia visit revives Tanzania’s Non-Aligned legacy
By Deodatus Balile, Moscow, Russia This week, President Samia Suluhu Hassan made a state visit to the Russian Federation from June 3–5, 2026. The visit came 57 years after a similar high-level engagement and the first-ever visit by a Tanzanian…





