Latest Posts
Mbinu muhimu za kutambua noti bandia
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Jamii imetakiwa kuongeza uelewa juu ya namna ya kutambua noti bandia na kuhakikisha zinatunzwa kwa usahihi ili kulinda thamani ya Shilingi. Hatua hiyo ni muhimu katika kupunguza gharama ambayo Serikali hutumia mara kwa mara kuchapisha noti mpya,…
TLP : Tukae meza moja tuzungumze na kuyamaliza, tujenge nchi yetu
Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Maridhiano,Maridhiano mara baada ya Uchaguzi Oktoba 29,2025 imekuwa gumzo kubwa linalozungumzwa kila Kona ya Tanzania na CHama Cha Tanzania labour Part TLP kimeshauri Vyama vya vyote na Viongozi wa Dini na Wadau Mbalimbali kuketi meza…
Dk Mwigulu ateta na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania
Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam.





