JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Meneja Mkuu: Huduma bora kwa mteja ndio kipaumbele cha shirika

Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdulkarim amewataka watumishi kuhakikisha kuwa wanakuwa suluhu ya changamoto za wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo kwa kusikiliza, kutoa majawabu ya uhakika kwa wakati na kutoa mrejesho kwa wafanyabiashara hao…

Serikali yaweka mkazo chanjo ya polio, watoto milioni 6.5 kulengwa

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeweka mkazo katika kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) kwa kuendesha kampeni maalum ya chanjo itakayowafikia watoto zaidi ya milioni 6.5 katika mikoa nane nchini. Kampeni hiyo inatarajiwa kufanyika Agosti 27 hadi 30, 2026, ambapo chanjo…

Afrika yatakiwa kubadili mifumo ya sera za ajira ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia

Na Happy Lazaro, Jamhuriedi, Arusha AFRIKA imetakiwa kubadili mifumo na sera za ajira ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia na mahitaji ya kizazi kipya cha wafanyakazi, ikiwemo kuweka mazingira yatakayowezesha kazi za mbali na uchumi wa ajira za muda. Wito…

Kamati ya Bunge yaipongeza WRRB, yaitaka kuongeza kasi matumizi ya WRS

Na.Mwandishi Wetu- Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake na kuitaka kuharakisha matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS)…

Wasira asisitiza misimamo, haki CCM

*Akemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi huku akikemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya CCM. Wasira aliyasema hayo alipozungumza…

TBS yapongezwa kwa kuimarisha udhibiti wa ubora wa bidhaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza TBS kwa kutekeleza majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe.Deogratias Mwanyika kwaniaba ya kamati wakati wa…