Latest Posts
Salome ashiriki ufunguzi wa Gastech 2026 Bangkok
Bangkok, Thailand Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, leo ameshiriki katika ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati wa Gastech 2026, unaofanyika Bangkok, Thailand, ukiwakutanisha viongozi wa Serikali, wataalamu, wawekezaji na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati kutoka zaidi…
Prof. Shemdoe azitaka wilaya, halmashari zote kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El nino
Na: OWM – TAMISEMI, Kilwa – Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amezielekeza Wilaya na Halmashauri zote nchini kuhakikisha zinafanya kazi ya kuzibua mitaro na mifereji…
Uchaguzi viongozi wapya Burunge WMA waanza
Halmashauri ya Babati vijijini, imetangaza kuanza kwa uchaguzi wa viongozi wapya katika eneo la Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge,baada ya kukamilika maboresho ya Katiba ili kuifanya hifadhi hiyo kuwa bora barani Afrika. Burunge WMA ipo kati kati ya…
TARURA yaendelea kuboresha miundombinu ya barabara Dodoma
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja katika jiji la Dodoma hatua inayolenga kuwa na miundombinu imara na salama kwa wananchi itakayoweza kihimili mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo mvua za el-nino. Hayo…
Tanzania yajipanga kuimarisha ushirikiano na Chuo cha Hanyang ERICA cha Korea Kusini
Na Benny Mwaipaja, Seoul, Korea Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameongoza Ujumbe wa Tanzania kutembelea Chuo Kikuu cha Hanyang ERICA, jijini Seoul nchini Korea Kusini, pembezoni mwa Mkutano wa Mawaziri wa Jukwaa la Ushirikiano wa Kiuchumi…
Naibu Katibu Mkuu ACT -Wazalendo Zanzibar aanza ziara Pemba
Pemba: Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar, Omar Ali Shehe, ameanza leo ziara ya siku nne kisiwani Pemba, inayolenga kuimarisha shughuli za chama na kuongeza ufanisi wa kiutendaji katika ngazi za Mkoa na Majimbo. Ziara hiyo imeanza…





