JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sangu: Serikali inatambua mchango wa wazee

Na OWM (KAM), Lindi Serikali imesema itaendelea kutambua na kuthamini mchango wa wazee katika kujenga jamii yenye amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Amesema hayo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano) Deus Sangu alipokutana na…

ADEM yaongoza mageuzi ya elimu, viongozi 31,000 wajengewa uwezo

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya viongozi 31,000 wa sekta ya elimu nchini wamejengewa uwezo kupitia mafunzo ya uongozi na usimamizi yanayotolewa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), huku zaidi ya Sh. bilioni 16 zikiwekezwa katika…

TBS Yahimiza Wajasiriamali Kuthibitisha Ubora wa Bidhaa zao Arusha

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limehimiza wajasiriamali kuchangamkia fursa ya kuthibitisha ubora wa bidhaa wanaozalisha bure kwa gharama za Serikali, hatua ambayo itawasaidia kuondokana na vikwazo vya kiabiashara. Mbali na wito huo kwa wajasiriamali, shirika hilo limewataka wananchi kuhakikisha wananunua…

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu Waziri Maliasili apongeza

Na WMA – Dodoma Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo – (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima Nane Nane. Akizungumza…

Kilimo ikolojia hai chapewa msukumo mpya, wadau wataka wakulima waachane na utegemezi wa kemikali

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wakulima nchini wametakiwa kuongeza matumizi ya mbolea, viuatilifu na mbegu za asili kama njia ya kuongeza tija ya uzalishaji, kupunguza gharama za kilimo na kulinda afya ya walaji pamoja na mazingira, huku Serikali ikiendelea kuweka…

Wataalam TANROADS wakumbushwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa katika utendajikazi wao

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesisitiza umuhimu wa kuzingatia matumizi ya taarifa za hali ya hewa katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo barabara na madaraja . Akizungumza na viongozi na watumishi mbalimbali wa Wakala wa…