JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mradi wa Chalinze – Dodoma utasababisha kukatika umeme kwa awamu mbili

Na Mwandishi Wetu, Chalinze Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema utekelezaji wa hatua za mwisho za Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma utasababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwa muda katika…

NMB yaongeza masuluhisho ya kisekta kwa wafanyabiashara

Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara kuendelea kuwapatia masuluhisho ya kifedha yanayolenga mahitaji ya sekta mbalimbali za uchumi. Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki katika Jukwaa la NMB Business Executive Network 2026 lililowakutanisha zaidi ya wafanyabiashara 300 kutoka Dar es Salaam…

SADC yahimiza mageuzi ya viwanda kwa maendeleo endelevu ya ukanda

Na Ramadhani Kissimba, Durban Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezitaka nchi wanachama kuongeza kasi ya utekelezaji wa ajenda ya maendeleo ya viwanda kwa kuwekeza katika kuongeza thamani ya malighafi na kuimarisha miundombinu ili kukuza biashara, ajira na ustawi…

TBS Yakutana na Wadau wa Vipodozi, Yasisitiza Viwango na Usalama

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limekutana na wadau wa sekta ya vipodozi nchini kwa lengo la kutoa elimu kuhusu matakwa ya viwango, ubora na usalama wa bidhaa hizo zinazotumika kwa kiasi kikubwa na Watanzania….

Mollel: Fursa za udahili na scholarships sasa zafika Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar GLOBAL Education Link (GEL) imesema jumla ya wanafunzi, wazazi na walezi 1,113 wamefikiwa na kupatiwa huduma kupitia maonesho ya Global Education Fair 2026 yaliyofanyika Zanzibar, Dodoma na Dar es Salaam yanafanyika Four Point by Sheraton…

Ndejembi ashuhudia utoaji saini mkataba wa bil. 204.7/- wa Mradi wa Umeme Jua wa megawati 100 Kishapu

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), leo Julai 27, 2026, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa utekelezaji wa awamu ya pili ya Mradi wa Umeme wa Jua wa Kishapu wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 100, utakaotekelezwa katika eneo…