JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi

Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi shirikishi ili kudumisha amani, utulivu na usalama uliyopo Kwenye kata zao. Wito huo umetolewa Julai 22,…

Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani

📌Yalenga kupunguza vifo kwa asilimia 50 ifikapo 2030 Wizara ya Ujenzi imesema inaendelea kutekeleza Mradi wa kuimarisha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Japan (JICA), ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya barabara, kuongeza usalama…

Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia

Busan, Korea Kusini – Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika UNESCO, Mhe. Saidi Yakubu, amekutana na Waziri wa Nchi wa Japan anayeshughulikia Mambo ya Nje, Mhe. Iwao Horii, pembezoni mwa Mkutano wa 48 wa…

Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme

📌Zaidi ya Bilioni 203 zatumika kufikisha Umeme kwenye Vijiji mkoani Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha kuhakikisha Vitongoji vyote mkoani Mtwara vinafikishiwa umeme. Ahadi hiyo, imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa hafla…

Vita vya Iran vimeigharimu Marekani dola bilioni 37.5 – Waziri wa ulinzi

Vita na Iran vimeigharimu Marekani takriban dola bilioni 37.5 (pauni bilioni 28) hadi sasa – ambalo ni ongezeko la karibu dola bilioni 8 tangu makadirio ya mwisho mwezi Mei, Waziri wa Ulinzi Pete Hegseth amesema. Hegseth aliiambia Kamati ya Matumizi…