Latest Posts
Makatibu Wakuu EAC wakamilisha maandalizi ya Mkutano Maalumu wa Baraza la Mawaziri
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha kwa ajili ya kukamilisha maandalizi ya Mkutano Maalumu wa 60 wa Baraza la Mawaziri la EAC…
Waziri Katambi aipa tano UNICEF kwa mchango wa ulinzi na ustawi wa watoto nchini
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Patrobas Katambi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Watoto Duniani (UNICEF), Bi. Elke Wisch, kuhusu kuimarisha ushirikiano katika masuala ya ulinzi na ustawi wa watoto nchini. Akizungumza…
Ridhiwani ashiriki ufunguzi mkutano wa Chama cha Waandishi Waendesha ofisi – TAPSEA Ngurdoto Arusha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema serikali itaendelea kuboresha maslahi ya watumishi wa umma nchini kadri bajeti itakavyoruhusu. Ridhiwani ameyasema hayo wakati akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa 13…
REA na Shirika la Mzinga kushirikiana muendeleza nishati safi ya kupikia
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Mzinga leo Mei 21, 2026 wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha ushirikiano katika Utafiti, Teknolojia, Uzalishaji na Usambazaji wa nishati safi ya kupikia. Akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Mkoani…
Bandari ya Mbamba bay kufungua fursa mpya za biashara ya mafuta ukanda wa Kusini
Na Mwandishi Wetu Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay unatarajiwa kuchochea kwa kiasi kikubwa biashara ya mafuta katika ukanda wa Kusini na kufungua njia mpya za usafirishaji wa bidhaa hiyo kuelekea nchi jirani kupitia miundombinu ya kisasa inayojengwa eneo hilo….
TANESCO yaendelea kuwaelimisha wanaofanya shughuli za kiuchumi kwenye miundombinu ya umeme
📌Ni katika muendelezo wa ukaguzi wa miundombinu ya umeme Dar es salaam 📌Yatoa rai kwa wananchi kuondoka kwa ajili ya usalama wa maisha na mali zao Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuwasisitiza wananchi wanaofanya shughuli zao za kiuchumi katika…





