Latest Posts
TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) imesema inatambua na kuthamini uongozi na utendaji kazi wa viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na kwamba ina kila sababu ya kuwapa…
MSD kuokoa bilioni 2.3 zilizokuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bohari ya Dawa (MSD) inatarajia kuokoa zaidi ya Sh bilioni 2.3 kwa mwaka, ikiwa ni gharama ambazo zimekuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi kwa ajili ya kuhifadhia bidhaa za afya. Tathimini hiyo imetolewa na…
Bei ya Petroli yashuka, Serikali yaweka ruzuku kwenye dizeli
Watumiaji wa petroli wamepata afueni mwezi Juni 2026 baada ya bei ya mafuta hayo kushuka ikilinganishwa na mwezi uliopita. Kwa Dar es Salaam, petroli sasa itauzwa kwa bei kikomo ya shilingi 4,086 kwa lita, hatua inayotarajiwa kupunguza gharama kwa watumiaji…
Makatibu Wakuu EAC wakutana kukamilisha maandalizi ya SCTIFI
MAKATIBU Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha kwa ajili ya kukamilisha maandalizi ya Mkutano wa 48 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa…
Dk Dugange : Serikali kuimarisha mtandao wa barabara Newala Mjini
Na Timothy – Mwakyenda – MAELEZO. Serikali imeahidi kuendelea kuboresha miundombinu ya barabara katika Jimbo la Newala Vijijini mkoani Mtwara kwa kutenga fedha za matengenezo na kutoa maelekezo kwa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuhakikisha barabara zilizoharibiwa…





