Latest Posts
Africa Agri Expo Marks 10th Anniversary, Expands Focus on Innovation in Agriculture, Food and Livestock
The 10th edition of the Africa Agri Expo is scheduled to take place on September 2–3, 2026, in Dar es Salaam, Tanzania, bringing together farmers, agribusiness leaders, investors, policymakers and innovators from across Africa and beyond. The event will be…
REA Zambia yafurahishwa na ubora wa miradi ya umeme Vijijini Tanzania
Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Pongezi hizo zimetolewa leo Juni 24, 2026 na Mtendaji Mkuu…
MD Twange atoa rai kwa mameneja TANESCO kuongeza kasi kupambana na wizi wa miundombinu ya umeme
📌Afungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Mameneja na Wakurugenzi wa Kanda, Dodoma 📌Asisitiza umuhimu wa kuongeza ubunifu katika ukusanyaji wa mapato 📌Awapongeza kwa kazi nzuri na kuendelea kuimarisha mahusiano na wadau Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw….
Wiki ya Utumishi wa Umma yasogeza huduma za Taasisi za Umma karibu na wananchi
Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu…
Serikali yawakuna wabunge waimwagia sifa marekebisho ya kodi, ushuru na bidhaa
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Wabunge wameipongeza Serikali kwa usikivu na umakini wake kwa kukubali kufanyia marekebisho baadhi ya tozo, kodi na ada mbalimbali zilizokuwa zikipendezwa kwenye Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwakanwa fedha 2026/2027, iliyopitishwa jana bungeni Jijini Dodoma. Miongoni…
Prof. Shemdoe : Maafisa utumishi waliokwamisha watumishi kupanda madaraja wachukuliwe hatua
●Aelekeza kijana mlemavu Joseph kupewa ajira ya kudumu Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Katibu Mkuu – UTUMISHI Bw. Juma Selemani…





