Latest Posts
Kafulila aeleza namna ya ongezeko la watu linavyoathiri uchumi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulila, amesema kasi kubwa ya ongezeko la watu nchini ni miongoni mwa changamoto zinazoathiri ukuaji wa uchumi na kiwango cha kipato cha mtu mmoja…
Maponga: Watanzania lindeni tunu ya amani yenu, epukeni vishawishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Watanzania wameaswa kuwa makini na baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), wanaharakati na wanasiasa wanaodaiwa kutumia fedha kutoka mataifa ya nje kuhamasisha vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani, umoja na mshikamano wa taifa. Rai hiyo…
Polisi Pwani yafungia leseni za madereva nane, 55 wafikishwa mahakamani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Madereva wanane wamefungiwa leseni huku wengine 55 wakifikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya usalama barabarani kufuatia operesheni zilizofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani ndani ya mwezi Mei 2026. Kamanda wa Polisi Mkoa wa…
Sangu aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa 114 wa ILO Geveva
Na: OWM (KAM) – Geneva, Uswisi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 114 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) unaofanyika Jijini Geneva,…
Aliyekuwa afisa Mtendaji wa Kijiji cha Katesh ahukumiwa kwa shtaka la uhujumu uchumi
Tarehe 3/6/2026 Mahakama ya Wilaya ya Hanang katika shauri la uhujumu uchumi (ECC. No. 7732/2026) imemtia hatiani mshtakiwa Sensa Gidang’ adi Machakwa la matumizi mabaya ya madaraka k/f cha 31 cha PCCA Cap 329 R: E 2023 vikisomwa pamoja na…





