Latest Posts
Magofu ya Kaole yawavutia wageni kutoka Mbozi Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Historia ya ustaarabu wa pwani ya Afrika Mashariki imeendelea kuvutia wageni na watalii wa ndani baada ya ujumbe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya kutembelea magofu ya Kaole yaliyopo Bagamoyo mkoani Pwani na…
Wafanyakazi TARURA wahimizwa kuendelea kufanyakazi kwa ufanisi licha ya mafanikio
Na Mwandishi Wetu, Tabora MTENDAJI Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff, amewataka wafanyakazi wa Wakala huo kuendelea kuongeza juhudi, weledi na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao licha ya pongezi wanazoendelea kupokea kutoka…
Kigogo CCM: Niligoma kuhama mkoa wangu
*Asema wasingemtakia mema, maisha yote amekulia kwao *Ndiye mwasisi jina Kagera Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze, amefichua siri namna alivyogoma kuhamishiwa Wilaya ya Chato mkoani Geita…
Tuichangie Hospitali Benjamin Mkapa iokoe maisha
* Control Numbe ni 986930000001 itasomeka BMH ORGAN TRANSPLANT. Mimi nimechangia Sh 100,000 imekubali. Nawe changia unachokiweza. Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna nyakati taifa hulazimika kusimama na kujiuliza; je, tunathamini vya kutosha taasisi zinazookoa maisha ya wananchi wake?…
Mtwara yafungua fursa mpya katika sekta ya chumvi
📍Mtwara Mkoa wa Mtwara umeendelea kujidhihirisha kuwa kitovu muhimu cha uwekezaji katika sekta ya chumvi kutokana na uwepo wa fukwe zinazofaa kwa uzalishaji, maboresho ya mazingira ya biashara na ongezeko la uzalishaji linalofikia takribani tani 90 kwa majaruba manne katika…
Jinsi tozo mpya itakavyowanufaisha watumiaji wa bandari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Wasafirishaji Shehena Tanzania (TSC), limefurahia uamuzi wa serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kukubali kupunguza Tozo ya Uendelezaji wa Miundombinu ya Bandari (Port Infrastructure Development – PID)…





