Latest Posts
Bei ya Petroli yashuka, Serikali yaweka ruzuku kwenye dizeli
Watumiaji wa petroli wamepata afueni mwezi Juni 2026 baada ya bei ya mafuta hayo kushuka ikilinganishwa na mwezi uliopita. Kwa Dar es Salaam, petroli sasa itauzwa kwa bei kikomo ya shilingi 4,086 kwa lita, hatua inayotarajiwa kupunguza gharama kwa watumiaji…
Makatibu Wakuu EAC wakutana kukamilisha maandalizi ya SCTIFI
MAKATIBU Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha kwa ajili ya kukamilisha maandalizi ya Mkutano wa 48 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa…
Dk Dugange : Serikali kuimarisha mtandao wa barabara Newala Mjini
Na Timothy – Mwakyenda – MAELEZO. Serikali imeahidi kuendelea kuboresha miundombinu ya barabara katika Jimbo la Newala Vijijini mkoani Mtwara kwa kutenga fedha za matengenezo na kutoa maelekezo kwa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuhakikisha barabara zilizoharibiwa…
Kunenge awaagiza wakurugenzi kuacha kuwalea watendaji wanaosababisha migogoro ya ardhi
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa tahadhari kwa wakurugenzi wa halmashauri mkoani humo kuacha kuwalea kwa kuwakumbatia watendaji wa vijiji na kata pamoja na viongozi wa chama wanaojihusisha na uchochezi wa migogoro ya…





