Latest Posts
Profesa Kairuki akumbukwa Mtanzania wa mwanzo kuanzisha hospitali binafsi
Na Mwandishi Wetu MWANZILISHI Mtandao wa Afya na Elimu Kairuki (KHEN) na Hospitali ya Kairuki, Profesa Hubert Kairuki ametajwa kama mtu alieacha alama isiyofutika kwenye maisha ya watanzania kutokana na maono aliyokuwa nayo wakati wa uhai wake. Hayo yaliibuliwa na…
Museven awasilia jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam, Tanzania, kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Mara baada ya kuwasili, Rais Museveni atafanya mazungumzo ya pande mbili na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya…
Rais Samia atekeleza ahadi ya wanawake, vijana ndani ya siku 100
-Bilioni 200 zatua kwa Waziri wa Vijana kwa utekelezaji Na Byarugaba Innocent, OR-MV Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka Februari 5, 2026 amepokea hundi yenye thamani ya Shilingi bilioni 200 kwa ajili ya…
RC Chalamila : Wamachinga achieni njia za kuingia soko la Kariakoo kabla ya Februari 8
Na Mwandishi wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amewataka Katika hatua wafanyabiashara wadogo waliovamia na kufunga njia za kuingia sokoni kuondoa shughuli zao mara moja na kuziacha barabara wazi kabla ya Februari 8,…
Rais Samia afanya mabadiliko ya muundo wa wizara na uteuzi wa viongozi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko katika muundo wa baadhi ya wizara pamoja na uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mikoa na makatibu wakuu. Mabadiliko hayo yamelenga kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya…
Serikali yasajili anwani za makazi milioni 12.9
Na Timothy Mwakyenda- MAELEZO Serikali imesajili zaidi ya Anwani za Makazi Milioni 12.9 ili kuyatambua maeneo mbalimbali na kuyarasimisha kwenye mfumo wa kidijitali. Takwimu hizo zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Nicholas…





