JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kidato cha sita waitwa JKT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetoa wito kwa vijana wote waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita 2026 kutoka shule za Tanzania Bara na Zanzibar kuripoti kwenye makambi mbalimbali ya JKT kwa ajili ya Mafunzo…

CRDB Yaingia mkataba wa miaka mitatu na Bongo Star Search kuibua vipaji vya vijana

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam CRDB Bank imeingia makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitatu na Bongo Star Search (BSS) kwa lengo la kuibua, kuendeleza na kuwajengea uwezo vijana wenye vipaji mbalimbali nchini, kuanzia mwaka 2026 hadi 2028. Makubaliano hayo…

Miaka 40 ya NEMC, JET yapewa tuzo ya heshima

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) leo Mei 28, 2026 limetambua mchango mkubwa wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) katika kuandika na kuhabarisha umma kuhusu masuala ya…

Serikali yakaza udhibiti wa mbegu feki kulinda wakulima

Na Dotto Kwilasa, Dodoma Serikali imewataka viongozi wa mikoa na wilaya, hususan maeneo ya mipakani, kuongeza usimamizi wa mbegu zinazoingia nchini ili kuzuia kuenea kwa mbegu zisizo na ubora ambazo zimekuwa zikichangia hasara kwa wakulima na kudhoofisha sekta ya kilimo….

Hakuna nyongeza muda kwa mkandarasi wa ujenzi barabara Kahama kupitia mradi wa TACTIC – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Kahama Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali haitomuongezea muda Mkandarasi M/s China Civil Engineering Construction Corporation wa kukamilisha miradi ya ujenzi…