Latest Posts
JKT yafungua fursa za mafunzo kwa vijana 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika jitihada za kuwaandaa vijana kukabiliana na maisha, kujitegemea na kushiriki ujenzi wa taifa, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kuanza kwa mafunzo ya kujitolea kwa mwaka 2026, hatua inayofungua fursa kwa maelfu ya vijana…
Serikali na wadau waungana kulinda vyanzo vya maji skimu ya Mapama
📍 Mapama, Arumeru – Arusha Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwa kushirikiana na wadau wa mazingira na maji, imezindua rasmi zoezi endelevu la upandaji miti katika Skimu ya Umwagiliaji Mapama. lengo la jitihada hizo za pamoja ni kulinda…
Mama ajifungua na kutelekeza kichanga gesti
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Nzega MWANAMKE mmoja ambaye jina halijajulikana amejifungua mtoto na kumtelekeza kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) Wilayani Nzega mkoani Tabora na kutokomea kusikojulikana. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Mkuu wa Wilaya hiyo Naitapwak Tukai ameeleza…
Trump aapa kutekeleza asilimia 100 tishio la kutoza ushuru nchi za Ulaya
Donald Trump ameapa asilimia 100 kutekeleza tishio lake la kutoza ushuru kwa nchi za Ulaya zinazopinga ombi lake la kuchukua udhibiti wa Greenland. Washirika wa Ulaya wameungana kuunga mkono uhuru wa Greenland. Waziri wa mambo ya nje wa Denmark alisisitiza…
Ukraine yalemewa na mashambulizi ya Urusi
Ukraine inaendelea kulemewa vibaya na mashambulizi ya Urusi kwa takribani miaka minne sasa tangu uvamizi huo bila ya dalili ya vita hivyo kupata ufumbuzi licha ya hatua kadhaa zilizochukuliwa na washirika wa Kiev. Alfajiri ya Jumanne (Januari 20), vikosi vya Urusi…
Madiwani Manispaa Kibaha waridhishwa na utekelezaji wa miradi kata nne
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Madiwani wa Kamati ya Mipango, Miji na Mazingira na Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii ,Manispaa ya Kibaha wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Kata nne . Kuridhishwa huko kumejidhihirisha wakati…





