Latest Posts
Ubalozi wa Tanzania Zimbabwe waadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania
Ubalozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zimbabwe waadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Hyatt Regency Harare The Meikles. Katika hafla hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi…
Polisi tayari kuwavaa Songea United
Kikosi cha Polisi Tanzania kimeendelea na Maandalizi kabambe kuwakabili Songea United katika mchezo wa Ligi ya Championship utakaochezwa Jumamosi Mei 2, 2026 katika uwanja wa Ushirika – Moshi mkoani Kilimanjaro. Afisa habari wa kikosi hicho, Inspekta Frank Lukwaro amesema maandalizi…
CCM yateua wawili kuwania udiwani Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora KIKAO cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora kimepitisha majina ya makada wake wawili watakaopeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha kuwania udiwani katika Kata za Itilo na Ziba. Akizungumza kwenye…
EWURA yaonesha umoja wa wafanyakazi katika Siku ya Mei Mosi
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo, Mei 1, 2026, imeungana na wafanyakazi wengine duniani kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Mei Mosi ambapo kitaifa yamefanyika mkoani Njombe. Sherehe hizo zilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Mageuzi ya elimu yashika kasi chini ya Serikali ya Awamu ya Sita
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir,akizungumza wakati akifunga Mkutano wa 37 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo leo Aprili 30,2026 jijini Dodoma. …… Serikali imewataka watumishi wa sekta ya elimu nchini kuimarisha mshikamano, uwajibikaji na…
Wahandisi watatu Bodi la ziwa Tanganyika Kigoma kizimbani kwa uhujumu uchumi
Kesi hiyo imefunguliwa katika Mahakama ya Wilaya Kigoma mbele ya Mhe. Anna Kuhungu Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kigoma. Awali wakisoma Mashtaka ya kesi hiyo Na. ECC.9258/2026 dhidi ya washitakiwa Kulwa Ryoba James, Gaudens John Ndolo na…





