Latest Posts
Tanzania yashiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji wa Viwango vya Kazi, Geneva
Na: OWM (KAM) Tanzania imeshiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji wa Viwango vya Kazi kinachoendelea jijini Geneva, Uswisi, ikiwa ni sehemu ya Mkutano Mkuu wa 114 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO). Katika kikao hicho kilichifanyika leo Juni 2, 2026…
Walimu 3,153 washiriki shindano la stadi za ufundishaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetangaza kuwa jumla ya walimu 3,153 wamejisajili kushiriki Shindano la Taifa la Nne la Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Shule za Awali na Msingi pamoja na Shindano la…
WIPO, BRELA na COSTECH Kuzindua Mradi wa Kupunguza Gharama za Mbolea na Chakula cha Mifugo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam Shirika la Dunia la Haki Miliki, WorldIntellectual Property Organization (WIPO) kwa kushirikiana na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) pamoja na Nelson Mandela African…
Wizara ya Fedha yaomba trilioni 21.3 kwa bajeti ya 2026/27
Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Dodoma Dodoma 2 Juni, 2026: Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/27….
Serikali kuimarisha mifumo ya usimamizi ya wa maafa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro SERIKALI imeendelea kuimarisha mifumo ya uratibu, kujiandaa na kukabiliana na maafa ili kuhakikisha misaada ya kibinadamu inayotolewa inawafikia walengwa kwa wakati, ufanisi na kwa kuzingatia viwango vya kimataifa. Hayo yameelezwa leo tarehe 02 Juni, 2026…
Serikali yaazimia kufungua kituo cha fedha cha Kimataifa kuvutia uwekezaji
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imeazimia kuanzisha Kituo cha Fedha cha Kimataifa (International Financial Centre) kitakacholenga kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kuongeza upatikanaji wa mitaji, kuchochea ukuaji wa…





