Latest Posts
NHIF kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, yatoa faraja kwa wafungwa Gereza la Isanga Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), unashirikiana na Serikali katika kuboresha maisha ya Watanzania kupitia uhakika wa matibabu kwa utaratibu wa bima ya Afya. Mfuko pia unawajibikaji kwa jamii (corporate Social responsibility). Katika…
Mkurugenzi Manispaa Shinyanga atunukiwa shahada ya heshima ya udaktari, ateuliwa balozi wa amani Duniani
Na Dotto Mwaibale, JamhuriMedia, Shinyanga Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mwalimu Alexius Revocatus Kagunze, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) katika Ustawi wa Jamii na Uongozi wa Biashara kutoka Christian Ministerial Training University (CMTU) ya…
VETA Songea inavyowajengea uwezo wahitimu kukabiliana na changamoto ya ajira
Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Songea MPANGO wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,kuongeza program maaalum za mafunzo ya ufundi stadi kupitia vyuo vya ufundi ni hatua nzuri ya kujenga rasilimali imara kwa vijana hapa nchini….
Mega Copper yaongeza thamani shaba
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MKAKATI wa uongezaji thamani katika Sekta ya Madini umeanza kuzaa matunda mkoani Kilimanjaro, baada ya kampuni ya Mega Copper Co Ltd kujikita katika uongezaji wa kiwango cha ubora wa madini ya shaba kutoka asilimia moja hadi…
Bei ya mafuta yapanda kutokana na mzozo Mashariki ya Kati
BEI ya mafuta imepanda leo Jumatatu huku masoko ya hisa yakiropomoka kutokana na kishindo cha mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yaliyoanza siku ya Jumamosi. Pipa moja la mafuta ghafi limefikia karibu dola 80 kwenye soko…





