JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

EACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kulinda maisha ya wafanyakazi, baada ya kufikia zaidi ya saa milioni sita za kazi bila kurekodi ajali yoyote kazini….

Dkt Muyungi ashiriki Mkutano Agenda ya Maendeleo Endelevu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashiriki Mkutano wa 12 wa Kikanda wa Afrika kuhusu ‘Agenda 2030 ya Maendeleo Endelevu’ na ‘Agenda 2063 ya Afrika Tuitakayo’, uliofunguliwa Aprili 28, 2026 jijini Addis Ababa, Ethiopia.  Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…

Wahitimu Matogoro wahimizwa kuimarisha elimu ya sayansi kwa ajili ya Tanzania ya viwanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wahitimu wa Chuo cha Ualimu Songea kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wametakiwa kuongeza juhudi katika kujifunza na kufundisha masomo ya sayansi ili kusaidia azma ya Tanzania ya kuwa nchi ya viwanda. Akizungumza katika mahafali…

Upatikanaji mabasi ya watumishi kuwezesha mazingira ya utendajikazi-Prof. Mushi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi, amesema upatikanaji wa mabasi ya watumishi yatasaidia sana katika kuweka mazingira salama na wezeshi ya utendaji. Amesema hatua hiyo inaonesha dhamira…

TNCC, Belarus wafungua milango ya ushirikiano kukuza mchango wa sekta binafsi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaM Fursa mpya za biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kimkakati zimefunguliwa kufuatia kusainiwa kwa Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MoU) kati ya Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC) na National Export Promotion Council…

Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa kikanda wa utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), leo Aprili 28, 2026 amewasili nchini Zimbabwe kushiriki Mkutano wa Pili wa Kikanda wa Shirika la Utalii Duniani, Mara baada ya kuwasili, Dkt. Kijaji amepokelewa na Balozi wa Tanzania nchini…