JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa wito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuimarisha zaidi ushirikiano wa kikanda katika kulinda na kusimamizi endelevu wa mazingira na maliasili, ikisisitiza umuhimu wa jitihada za pamoja   katika kukabiliana na changamoto zinazoendelea…

Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji

📍NIRC Dodoma Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amezindua Baraza la Sita la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), huku akitoa wito kwa watumishi wa Tume hiyo kudumisha umoja na kutokubali kukatishwa tamaa na sauti chache za…

Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 sinza ilikuwa na wakazi 40,546 lakini idadi hiyo ilipungua hadi kufikia 31,396 mwaka 2022. Licha ya kupungua kwa idadi ya wakazi bado…

Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi

*Wadau wa chumvi kuanza kuuza chumvi iliyochakatwa *Zaidi ya tani 60 hadi 100 kuchakatwa kwa mwezi *Wazalishaji wa chumvi waipongeza serikali kwa utatuzi wa changamoto Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika juhudi za kuendeleza na kuboresha uzalishaji wa madini chumvi…

Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye ndiye yuleyule na hajabadilika kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. Amesema bado ni kiongozi anayeamini katika falsafa ya maridhiano kama ilivyokuwa…