Latest Posts
Tanzania yaimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na Vatican
* Kuongeza Ushirikiano wa Kidiplomasia na Vatican katika masuala ya amani, mazungumzo na maendeleo ya kijamii Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana ilithibitisha upya urafiki wake wa muda mrefu na Vatican (Holy See), baada ya Waziri wa Mambo ya Nje…
CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini…
NMB yaongeza idadi ya magari ya kutoa huduma yafikia 15, wananchi kufikiwa kirahisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imeongeza idadi ya magari yake ya kutoa huduma za kifedha hadi kufikia 15, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za benki katika maeneo yenye changamoto ya matawi ya kudumu, hususan…
Serikali yakaribisha kampuni za Korea kuwekeza sekta ya madini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika hatua ya Tanzania kuendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia wizara ya madini imekaribisha uwekezaji wa Kampuni kutoka Korea Kusini kuja kuwekeza nchini na kueleza uwepo wa fursa katika…
Siku 100 za Rais Samia, TARURA Shinyanga yasaini mikataba kumi ya ujenzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Meneja wa TARURA Mkoa Shinyanga Mhandisi Avith Theodory amesema kuwa ndani siku 100 tangu Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aingie madarakani katika kipindi cha pili cha Serikali ya Awamu…
TANFORD kufungua milango kwa wafanyabiashara kimataifa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA Freight Forwarders Representation in Dubai @tanfordhub (TANFORD) imeandaa kongamano la siku mbili linalotarajia kufanyika Umoja wa Nchi za Kiarabu, Dubai ikiwa na lengo la kuinadi Tanzania katika masoko ya kimataifa na kufungua fursa…





