Latest Posts
Wizara ya Fedha yaomba trilioni 21.3 kwa bajeti ya 2026/27
Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Dodoma Dodoma 2 Juni, 2026: Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/27….
Serikali kuimarisha mifumo ya usimamizi ya wa maafa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro SERIKALI imeendelea kuimarisha mifumo ya uratibu, kujiandaa na kukabiliana na maafa ili kuhakikisha misaada ya kibinadamu inayotolewa inawafikia walengwa kwa wakati, ufanisi na kwa kuzingatia viwango vya kimataifa. Hayo yameelezwa leo tarehe 02 Juni, 2026…
Serikali yaazimia kufungua kituo cha fedha cha Kimataifa kuvutia uwekezaji
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imeazimia kuanzisha Kituo cha Fedha cha Kimataifa (International Financial Centre) kitakacholenga kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kuongeza upatikanaji wa mitaji, kuchochea ukuaji wa…
Rais Putin amwalika Rais Samia Urusi kwa ziara ya kitaifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha alipoondoka Katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar es salaam kuelekea Nchini Urusi kwenye Ziara ya Kitaifa ikiwa ni Mwaliko wa Rais…
Tanzania miongoni mwa masoko yanayokua kwa kasi zaidi kwa Bolt duniani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjadala huo ulijikita katika athari za kanuni, mahusiano ya wawekezaji na ujumuishaji wa kiuchumi katika sekta ya usafiri, huku ukibainisha mchango wa moja kwa moja wa huduma za ride-hailing katika kukuza uchumi wa…
Ridhiwani awataka maafisa tawala, rasilimali watu kuimarisha matumizi ya teknolojia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka Maafisa Tawala na Rasilimali Watu nchini kuzingatia taratibu za utumishi na kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali iliyowekwa…





