JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbeya waimarisha ulinzi na usalama

Kuelekea uchaguzi Mkuu, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limejipanga vizuri kuhakikisha Amani, Utulivu na Usalama vinatawala muda wote. Akizungumza mara baada ya kufanya doria za Magari, Miguu na Mbwa wa Polisi kuzunguka maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya, Kamanda…

Minara 741 kati ya 758 ya mawasiliano vijijini inatoa huduma

Hadi kufikia tarehe 23 Oktoba, 2025 Serikali ya Awamu ya Sita, kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), ilikuwa imekamilisha ujenzi wa minara 741 kati ya minara 758 iliyopangwa kujengwa katika kata 713 nchini. Mradi ambao unalenga kunufaisha vijiji 1,407…

Kuna maisha baada ya uchaguzi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Ndugu zangu Watanzania, taifa letu linaelekea katika moja ya hatua muhimu za kidemokrasia – Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025. Hii ni siku ambayo wananchi tutatumia kalamu na karatasi…

Mgeja awapa angalizo Watanzania, Dk Samia anatosha

“Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama Kada wa chama cha Mapinduzi na Mwanasiasa mkongwe nchini Khamisi Mgeja amewatahadhalisha watanzania wasifanye makosa kufanya majaribio ya kuchagua wagombea uraisi ambao hawana uzoefu wa kiuongozi na hawajawahi kufanya kazi yeyote hata za serikali za…

Kihongosi : Ilani ya CCM imebeba matumaini ya Watanzania

KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Kenani Kihongosi amesema katika uchaguzi mkuu mwaka huu chama hicho ndicho chenye Ilani bora kuliko kipindi chochote kile kwani imebeba matumaini ya Watanzania nchini. Akizungumza leo Oktoba 27,2025 mbele ya Jukwaa…