JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wabunge wapongeza NIRC kwa mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji

📍 Bungeni Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, wameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kwa juhudi kubwa zinazofanywa kuinua kilimo cha Umwagiliaji nchini kukuza uchumi…

PDPC yazipa miezi mitatu zaidi taasisi zote kujisajili

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezitangazia taasisi zote za umma na serikali zinazokusanya au kuchakata taarifa binafsi kujisajili ndani ya miezi mitatu ili kutekeleza wa maagizo ya Serikali yaliyotolewa na Waziri…

Polisi Uganda yamkamata mbunge wa upinzani NUP

Polisi Uganda imesema imemkamata mbunge na afisa mwandamizi wa chama kikuu cha upinzani, National Unity Platform (NUP), kwa tuhuma za kuhusika katika vurugu za uchaguzi ambazo zilisababisha vifo vya takriban watu saba. Mbunge huyo, Muwanga Kivumbi, ambaye pia ni makamu…

Marekani inatarajiwa kujiondoa rasmi kutoka WHO

Marekani inatarajiwa kujiondoa rasmi hii leo kutoka Shirika la Afya Duniani WHO, hatua ambayo imeibua wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa afya na jumuiya ya kimataifa. Hatua hiyo imekuja licha ya tahadhari kwamba kujiondoa kwa taifa hilo lenye ushawishi mkubwa…

Viongozi wa EU kukutana kwa dharura kuhusu Greenland

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatarajiwa kukutana leo mjini Brussels katika juhudi za kutafuta majibu ya pamoja dhidi ya azma ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kukitwaa kisiwa cha Greenland. Rais Trump alikuwa ametangaza kuziwekea ushuru wa asilimia 10…