JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Julai 6, 2026 katika hafla ya kuwatunuku washindi 10 bora wa mashindano ya Vijana Uchumi Challenge 2025/2026, itakayofanyika katika Ukumbi…

Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imeungana na mikoa mingine kufanya mbio na matembezi ya shukrani kwa walipakodi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 huku ikisisitiza ulipaji kodi kwa hiari na…

Katibu Mkuu Zambia aipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa katika sekta ya umeme

📌Aeleza Ushirikiano katika utekelezaji wa Mradi wa TAZA na faida zake Kikanda 📌Asifu jitihada za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati nchini Zambia, Mhe. Arnold Simwaba, amesema kuwa Tanzania na Zambia zimeendelea kushirikiana…

MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe.Kanali Yahya Ramadhan Kido, ameipongeza Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Kagera kwa kufanikisha usambazaji wa bidhaa za afya kwa wakati zenye thamani ya shilingi bilioni 29 ambayo ni sawa…

Vijana 400 waagwa kwenda kufanya kazi nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewaaga vijana 400 wa Kitanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi, akisisitiza umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii…

WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amesema Bodi inatarajia kuongeza bidhaa nyingine tano katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuendelea kuwanufaisha watanzania katika sekta mbalimbali. Akifungua kikao cha wadau cha kujadili…