Latest Posts
Tanzania kung’ara kimataifa mkutano wa COP 12
●COP 12 kufanyika Dar es Salaam Oktoba 6-9 Na Mwandishi Wetu Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika kuanzia tarehe 6 hadi 9 Oktoba 2026. Mkutano huo utafanyika katika Kituo…
Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia na Barrick kupeleka tabasamu shuleni
●Aitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na…
Maafisa vipimo wawatembelea wajasiriamali Sabasaba na kutoa elimu ya vipimo
Katika siku ya tano ya Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (SabaSaba), Julai 2, 2026, Maafisa kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) wamewatembelea wajasiriamali mbalimbali na kuwapatia elimu ya vipimo. Wakiongozwa na Meneja wa WMA Mkoa wa Ki-vipimo Ilala, Bw….
BRELA yawanoa wafanyabishara vijana wanaoshiriki Sabasaba
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) leo tarehe 02 Julai, 2026 imefanya ziara ya kimkakati katika banda la Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana na kutoa mafunzo ya urasimishaji biashara kwa vikundi vya vijana vinavyoshiriki Maonesho ya 50…
Mwamko wa ulipaji kpdi kwa hiari, chachu ya mqelekeo wa kujitegemea kibajeti
Na DK Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia Waasisi wa taifa letu walipambana na wakoloni ili kujinasua kutoka kwenye makucha ya kutawaliwa na kuamuliwa nini cha kufanya ili hali uwezo wa kufanya hivyo tulikuwa nao. Desemba 09, 1961, tukapata uhuru kamili wa kisiasa…
TPA yanunua boti za kisasa kuimarisha ulinzi bandarini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika hatua ya kuendelea kuimarisha usalama wa shughuli za kibandari na kulinda shehena za wateja, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imenunua boti mbili za kisasa za doria ziendazo kwa kasi, zenye…





