Latest Posts
RC Chalamila akutana na Gavana wa Jimbo la Maniema – Congo DRC
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 25,2026 amekutana na Gavana wa Jimbo la Maniema-Congo DRC Mhe Mussa Kabwankubi Moise akiwa ameambatana na ujumbe wake alipomtembelea Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yao…
JK aweka saini kitabu cha maombolezo kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu Kardinali Pengo
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo ameweka saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es Salaam marehemu Muadhama Polycarp Kardinali Pengo katika kanisa la Mtakatifu Yosefu jijini. Dkt…
Mwenyekiti CCM Dk Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani Dodoma, tarehe 25 Februari, 2026.
TAKUKURU Katavi yaokoa milioni 29.9/-
TAKUKURU Mkoa wa Katavi katika robo ya pili Oktoba hadi Desemba 2025 ilifanikiwa kuokoa jumla ya kiasi cha Shs 29,994,982 kupitia shughuli za uzuiaji rushwa, uchunguzi na mashitaka. Kati ya fedha hizo; Shs 12,000,000 zilirejeshwa baada ya kubainika kuwa mikopo…
Dk Jafo awakuna wananchi kwa kusimamia daraja la Kitomondo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Wananchi wa Kata ya Mzenga na Mafizi wamepongeza hatua ya Mbunge wao, Dkt. Selemani Jafo, kusimamia binafsi ujenzi wa Daraja la Kitomondo hadi usiku, wakisema imeongeza kasi na uwajibikaji kwa mkandarasi. Akizungumza kwa niaba ya…
TAKUKURU Mwanza yadhibiti zaidi ya mil. 85/- malipo ya walimu 77
TAKUKURU Mkoa wa Mwanza imefanikiwa kudhibiti fedha kiasi cha Shilingi Millioni 85,006,000 fedha ambayo ni madai ya walimu wa shule za sekondari katika Halmashauri ya jiji la Mwanza, madai ambayo yalicheleweshwa kwa zaidi ya miezi sita. Mafanikio haya ni baada…





