Latest Posts
Tanzania yaadhimisha Siku ya Iora kwa kupanda miti Mtumba na kufanya mazoezi mepesi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imeungana na Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Bahari ya Hindi (IORA) kuadhimisha miaka 29 ya kuanzishwa kwa jumuiya hiyo katika hafla iliyofanyika katika mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma ambapo miti ya Matunda na Kivuli imepandwa. Akiongoza maadhimisho…
TTCL yaadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAWAKE wa Shirika la Mawasiliano Tanzania ( TTCL) wameungana na Wanawake wengine kuadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa watoto wenye matatizo ya moyo waliolazwa Taasisi ya Moyo…
Wananchi Dodoma waishauri TBA kujenga nyumba za kupangisha kwa watu binafsi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika Kliniki maalum ya kutatua kero za wananchi iliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma, wameshauri Wakala kuanza kujenga nyumba za makazi kwa…
Kimaro : Pwani kuadhimisha Siku ya Wanawake Ikwiriri Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaungana na mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, huku kilele cha maadhimisho kimkoa kikitarajiwa kufanyika Machi 8, 2026 katika Uwanja wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya…
Rais wa Kenya Dk William Ruto awasili kushiriki mkutano wa 25 wa EAC
Rais wa Jumhuri ya Kenya Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika…





