Latest Posts
Madini ya Spineli yapeleka utalii wa madini Mahenge
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mahenge, eneo lililopo mkoani Morogoro, Wilaya ya Ulanga limeendelea kujipatia umaarufu mkubwa duniani kutokana na madini adimu ya vito aina spineli, hali ambayo sasa inaliweka eneo hilo katika ramani ya utalii wa madini nchini Tanzania….
Makusanyo ya madini Simiyu yavuka malengo, yafikia zaidi ya asilimia 103
Na Mwandishi Wetu, Simiyu AFISA Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu, Mayigi Makolobela, amesema mkoa huo umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo na Sekta ya Madini, ambapo makusanyo ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/2026 yamevuka…
Bunge la 13 laanza rasmi, Zungu na Solo watarajiwa kuongoza
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza rasmi vikao vyake leo jijini Dodoma, likifungua ukurasa mpya wa safari ya miaka mitano ya kusimamia sera, sheria na mipango ya maendeleo ya Taifa. Katika kikao cha…
Dk. Nyansaho ni uteuzi sahihi kwa uwakilishi wa vijana
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es Salaam Novemba 10, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wabunge sita katika nafasi 10 anazopewa kikatiba. Walioteuliwa ni Dk. Rhimo Nyansaho, Balozi Dk. Bashiru…
Poleni Watanzania, hongera Rais Dk Samia, mwafaka unatuhusu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Morogororo Leo ni siku 10 tangu Oktoba 29, 2025 siku tuliyofanya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Naandika makala hii baada ya kutoka kanisani. Nimekaa, nimetafakari, nikawaza na kuwazua. Yamenijia maono nikaona kupitia makala hii,…





