JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

ADEM yasisisitiza matumizi sahihi ya AI kuboresha ubora wa elimu nchini

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO WAKALA wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umesisitiza matumizi sahihi ya Akili Bandia (AI) na elimu ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) katika kuboresha ubora wa elimu na kuwaandaa wanafunzi kukabiliana na mahitaji ya…

Makamu wa Rais awasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasalimu Wananchi wa Mbuyuni, Wilayani Moshi waliokusanyika kumlaki akiwa katika ziara binafsi mkoani Kilimanjaro leo tarehe 01 Septemba 2026. Akiwasalimu wananchi hao, Makamu wa Rais amewasihi kuendelea kumuombea…

Rais Mwinyi azitaka nchi za NAM kuunganisha sauti katika maamuzi ya kimataifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Harakati za Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) kuunganisha sauti na misimamo yao ili zisibaki kusikika pekee, bali ziwe na…

Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara 30 soko la ndizi Mabibo kurejeshwa sokoni

Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ameelekeza waliokuwa wafanyabiashara 30 wa soko la ndizi Mabibo (Mahakama ya Ndizi) kurejea kufanya biashara…

Mavunde aitaka Mantra kuharakisha mradi wa Urani Mkuju

Waziri wa Madini Anthony Peter Mavunde (MB) amekutana na wakurugeni wa Kampuni ya Mantra Tanzania Limited mjini Dodoma kujadili maendeleo ya mradi wa mto Mkuju unaojihusisha na uchimbaji wa madini ya urani wilayani Namtumbo, Ruvuma. Akiongoza ujumbe huo Bw. Vladislav…

JKCI yafanya upasuaji wa mtoto aliyezaliwa na mishipa miwili ya damu kwenye moyo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mara ya kwanza watalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka Mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada lililopo nchini Uingereza Dkt….