Latest Posts
VETA Dar kuanzisha mafunzo ya urejelezaji taka kuchochea ajira
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha VETA Dar es Salaam kinatarajia kuanza kutoa mafunzo maalumu ya urejelezaji taka (recycling) kuanzia Oktoba mwaka huu, yakilenga kuwajengea vijana ujuzi wa kutambua, kuchambua na kuchakata taka na kuzigeuza kuwa fursa…
NMB yaweka milioni 165 kusukuma mauzo Kariakoo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wafanyabiashara wa Kariakoo wanatarajiwa kupata fursa zaidi za mauzo na kupokea malipo kwa njia za kidijitali kupitia Kariakoo Festival 2026. Benki ya NMB imetangaza udhamini wa Sh milioni 165 kwa tamasha hilo litakalofanyika…
Meya Kibaha akabidhi mashine ya photocopy Mwambisi, kupunguza mzigo kwa wazazi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Nicas Mawazo, amekabidhi mashine ya photocopy kwa Shule ya Sekondari Mwambisi, hatua inayolenga kupunguza gharama kwa wazazi na wanafunzi wanaochangia fedha kwa ajili ya uchapishaji wa mitihani na nyaraka…
Rais Dk Mwinyi akutana na Rais Ndayishimiye Ikulu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye, aliyeambatana na Mkewe, Mhe. Angeline Ndayishimiye, pamoja na ujumbe wake, leo tarehe 09 Septemba 2026, Ikulu…
Dk Muyungi aitaka Afrika kutumia fursa ya madini
Na Mwandishi Wetu ADDIS ABABA, Ethiopia, Septemba 2026 — “Afrika inapaswa kutumia utajiri wake wa madini muhimu kujenga viwanda, kuongeza uzalishaji wa umeme na kuunda ajira ndani ya bara, badala ya kuendelea kusafirisha malighafi bila kuongeza thamani,” amesema Katibu Mkuu…





