JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rafiki wa Binti wafanya kweli Afya ya Hedhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Mpangi wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa  kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Hedhi Mei 28, 2026. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Saumu…

Shule ya Pre & Primary Courage yatoa msaada Kituo cha watoto yatima Mkuranga

Na Mwandishi Wetu, Mkuranga UONGOZI wa Shule ya Awali na Msingi ya Courage iliyopo eneo la Kibamba wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani umekabidhi msaada wa chakula, mavazi na bidhaa mbalimbali kwa Kituo cha Watoto Yatima cha Lord’s Children Home kilichopo…

Serikali yaongeza nguvu kuimarisha afya za mama wajawazito na Watoto nchini

NAIBU Waziri wa Afya, Florence Samizi amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kimkakati za kuimarisha afya za mama wajawazito na watoto nchini ikiwemo kuongeza miundombinu ya huduma, kuimarisha huduma za dharura wakati wa kujifungua, pamoja na kuboresha huduma za…

Serikali yaendelea kutenga maeneo mapya kwa wachimbaji wadogo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na ushiriki wa wananchi katika Madini kwa kuendelea kutenga maeneo maalum kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchini, hatua inayolenga kuongeza fursa za ajira, kuinua uchumi wa wananchi na kurasimisha shughuli…

Magofu ya Kaole yawavutia wageni kutoka Mbozi Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Historia ya ustaarabu wa pwani ya Afrika Mashariki imeendelea kuvutia wageni na watalii wa ndani baada ya ujumbe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya kutembelea magofu ya Kaole yaliyopo Bagamoyo mkoani Pwani na…

Wafanyakazi TARURA wahimizwa kuendelea kufanyakazi kwa ufanisi licha ya mafanikio

‎Na Mwandishi Wetu, Tabora ‎MTENDAJI Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff, amewataka wafanyakazi wa Wakala huo kuendelea kuongeza juhudi, weledi na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao licha ya pongezi wanazoendelea kupokea kutoka…