Latest Posts
ATCL kuanza safari za Urusi Juni 2026
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza safari za ndege kuelekea nchini Urusi mnamo Juni, 2026. Aliyasema hayo…
Serikali kuimarisha nishati ya umeme wilayani Kondoa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIKA jitihada za kuendeleza ustawi wa wananchi na kuchochea uchumi wa maeneo ya vijijni na vitongojini, Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme wilayani Kondoa kupitia mpango wa kusambaza umeme katika vitongoji vyote vya wilaya hiyo….
Kiongozi Mkuu wa Bohora Duniani asafiri kwa SGR, aipaisha hadhi Tanzania kimataifa
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema safari ya Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Kiislamu ya Bohora Duniani (Da’i al-Mutlaq), Syedna Mufaddal Saifuddin, kwa kutumia treni ya kisasa ya SGR kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ni ishara kubwa ya kuaminiwa…
Kwagilwa ahimiza wanahabari kuelimisha jamii fursa biashara ya kaboni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAANDISHI wa Vyombo vya Habari wamehimizwa kuwaelimisha wananchi, jamii na wadau wa hifadhi ya mazingira kuhusu fursa zinazotokana na biashara ya kaboni. Rai hiyo imetolewa Mei 15, 2026 Jijini Dar es Salaam na…
ACT Wazalendo Nungwi yafanya mkutano mkuu wa kikatiba, wajumbe zaidi ya 140 washiriki
Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha ACT WAZALENDO Taifa, Salim Biman, leo tarehe 16 Mei 2026 amefungua Mkutano Mkuu wa Kikatiba wa Jimbo la Nungwi uliowahusisha wajumbe zaidi ya 140 kati ya wajumbe 230 wa…
Wanachama ACT Wazalendo watakiwa kuongeza nguvu ya chama kupitia usajili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemb Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kitunda, Jimbo la Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kuongeza juhudi za kusajili wanachama wapya ili kuimarisha msingi wa chama hicho na kuongeza nguvu…





