JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tume ya Uchunguzi yakutana na mmiliki wa mabasi ya Esther

Na Festo Polea TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Leo Februari 28 imekutana na mmiliki wa mabasi ya Esther, Joseph Didas.  Mahojiano hayo ya Tume na Didas yamefanyika…

Rais Dk Samia azungumza na viongozi wa TAHLISO Ikulu Magogoni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO) tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.    Rais wa Jamhuri…

Mkaa mbadala mkombozi matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa Watanzania

Ni kuelekea asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia teknolojia mbalimbali ikiwemo matumizi ya mkaa…

Tanzania, Uturuki kuimarisha ushirikiano wa viwanda

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Mhe. Iddi Seif Bakari amewakaribisha wamiliki wa viwanda nchini Uturuki kufanya ziara nchini kujionea fursa zilizopo kwenye sekta ya biashara na uwekezaji, na kuahidi kuwa Serikali ya Tanzania ipo tayari kufanikisha azma hiyo Balozi Bakari…

Rais Dk Samia azungumza na Katibu Mkuu wa EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala…

Ndejembi : Bomba la gesi Ntorya Madimba likamilike ifikapo Septemba 2026

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kumsimamia kikamilifu mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asilia kutoka eneo la ugunduzi la Ntorya hadi Kiwanda cha Kuchakata Gesi Asilia cha Madimba…