JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watumia jina la Mchengerwa kuomba michango ya harusi kitapeli

Wizara ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mohamed Omary Mchengerwa kuwatapeli watu kwamba anaozesha mwanae, hivyo kuwaomba michango ya harusi ya mtoto wa Mhe. Mchengerwa. Tunapenda…

Mke wa mchungaji ajinyonga hadi kufa, chanzo chadaiwa kuwa ni madeni

‎Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Joyce Baton Mwasumbi mkazi wa Kijiji cha Kanazi wilayani Nkasi mkoani Rukwa amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia kanga chumbani kwake. ‎Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti wa Kijiji Cha Kanazi Rudis Ulaya amesema kuwa tukio…

Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imezitaka jamii zenye watoto walio chini ya umri wa miaka 18 na makundi mengine maalum yanayokabiliwa na changamoto za usimamizi wa mirathi kutoa taarifa kwa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili kupata…

Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga

Na Mwandishi Wetu Kufuatia maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwasimamia wachimbaji wadogo, Serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ipo mbioni kuanza ujenzi wa mtambo wa kuchenjua madini ya…

‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’

Na Mwandishi Wetu Rushwa imetajwa kuwa ni janga kubwa linaloharibu kwa kiwan go kikubwa mfumo mzima wa utoaji haki, hivyo kuhatarisha misingi ya haki, uwajibikaji na utawala bora. Kauli hiyo imetolewa leo Desemba 23, 2025 na Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Masuala…