Latest Posts
Kongamano la Mahakama ya Afrika latoa muelekeo mpya kuhusu haki za wanawake, wasichana
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Kongamano la siku mbili lililoandaliwa na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu limewakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo watendaji wa serikali, wanasheria kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, mashirika yasiyo ya kiserikali pamoja na wataalamu…
Sergio Ramos aachia wimbo wake wa kwanza ‘Cibeles’
Mchezaji wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, ameingia rasmi kwenye muziki kwa kuachia wimbo wake wa kwanza wa solo uitwao “Cibeles”, uliozinduliwa Agosti 31, 2025. Wimbo huu unaelezea kumbukumbu zake na upendo kwa Real Madrid, klabu aliyotumikia kwa miaka…
Wapiganaji kundi la PKK wakabidhi silaha nchini Iraq
Katika tukio lililoshuhudiwa na vyombo mbalimbali vya habari, zaidi ya wapiganaji 30 wa kundi la PKK wamekabidhi silaha zao rasmi nchini Iraq. Hatua hii imekuja kama sehemu ya makubaliano ya kupunguza vita na vurugu katika eneo la Kurdistan na kuimarisha…
Ufugaji wa Sungura watajwa kama fursa mpya ya kiuchumi kwa Watanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JAMII imeshauriwa kuchangamkia fursa ya ufugaji wa sungura kibiashara kutokana na soko lake linalozidi kukua nchini na faida lukuki za kiafya na kiuchumi zinazotokana na nyama yake na mazao mengine ya sungura. Akizungumza…
Wanasheria watakiwa kuongeza umakini kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza S. Johari amewataka Wanasheria kuwa walinzi na kuongeza umakini katika kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira kwa maslahi ya taifa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 3 Septemba, 2025…
Serikali yapima na kugawa hati kata ya Pangani kupunguza migogoro ya ardhiI
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Serikali imeandaa hati 7,000, kupima na kutambua zaidi ya viwanja 18,000, pamoja na kugawa hati miliki kwa wananchi wa mitaa ya Pangani, Kidimu na Lumumba katika Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani. Mkuu…