Latest Posts
Wanawake wafundishwa kutengeneza mbolea
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya wanawake 50 kutoka Kata ya Keko Mwanga, Dar es Salaam, wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa mbolea mboji kwa kutumia taka za majumbani, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku 16 za…
Prof. Silayo aaga AFWC25, atoa wito wa mageuzi makubwa
Na Mwandishi Wetu, Banjul BANJUL, Gambia — Afrika imeanza sura mpya ya mageuzi katika sekta ya misitu na wanyamapori baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Misitu na Wanyamapori Afrika (AFWC25), Prof. Dos Santos Silayo, kukabidhi rasmi uenyekiti kwa Mr. Ebrima…
Wazee mkoani Pwani waunga mkono hotuba ya Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Wazee wa Mkoa wa Pwani wametoa rai kwa vijana kujitambua, kuishi kwa maadili na kuendeleza uzalendo wa kweli kwa kuitetea nchi yao kupitia njia halali zinazojenga heshima. Aidha, wamesisitiza wataendelea kuwa sauti ya hekima na…
DPP yaondoa mashtaka ya uhaini kwa Niffer, Chavala
Mamlaka ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) imetumia uwezo wake wa kisheria kuiandikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuondoa mashtaka ya uhaini yaliyokuwa yakiwakabili Mfanyabiashara Jenifer Jovin (Niffer) na Mwanataaluma wa Habari, Mika Chavala. Wakili wa Serikali Titus Aron aliieleza Mahakama…





