Latest Posts
TMA, BRAC wajadili mikakati kuimarisha taarifa za hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na BRAC Maendeleo Tanzania walifanya kikao Makao Makuu ya TMA jijini Dodoma, wakijadili mikakati ya kuimarisha usambazaji na matumizi ya taarifa za hali ya hewa nchini. Kikao hicho…
DUCE, Global Education Link waungana kuwaandaa vijana kwa maisha ya baadaye
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) na Wakala wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) wamesaini ya kuwatafutia fursa mbalimbali za kilaaluma wanafunzi a chuo hicho. Makubaliano hayo…
Baraza la Mawaziri la EAC kukutana kwa dharura jijini Arusha
Maandalizi ya Mkutano wa 60 wa Dharura wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), unaotarajiwa kufanyika tarehe 22 Mei 2026, yameanza rasmi kupitia vikao vya ngazi ya wataalamu vinavyoendelea kuanzia tarehe 18 hadi 20 Mei 2026 katika…
Naibu Waziri Nishati aitaka TANESCO kuimarisha huduma kwa wateja kupitia mifumo ya kidigitali
📌 Afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka 2026 wa Maafisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO
📌 Asisitiza utoaji wa taarifa sahihi kwa wateja
📌 Aagiza kuboreshwa kwa maslahi ya watoa huduma kuongeza ufanisi wa utendaji kazi Na Agnes Njaala, Dodoma Naibu Waziri…
Rais Samia aalikwa kufanya ziara nchini Serbia, ujumbe maalum wawasilishwa
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, tarehe 18 Mei 2026 amekutana na kuzungumza na Balozi Mkazi wa Jamhuri ya Serbia nchini, Jovica Topalović, katika…





