JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Dugange afungua kongamano la nishati safi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imehimiza kuwa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini itekelezwe kwa misingi ya uhifadhi, usimamizi wa mazingira na ushirikishwaji wa jamii za wenyeji ili kulinda urithi wa nchi. Hayo yemesemwa na Naibu…

TAKUKURU yawafikisha mahakamani wawili kwa tuhuma za rushwa na uhujumu uchumi Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Muheza mkoani Tanga wakikabiliwa na tuhuma za rushwa na uhujumu uchumi. Kwa mujibu wa taarifa ya TAKUKURU, washtakiwa…

Wizara ya Nishati yaunga mkono ukuaji wa maudhui mtandaoni kupitia uwezeshaji wa mafunzo

Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia, kutoka Wizara ya Nishati, Bw. Nolasco Mlay, ameshiriki mafunzo maalum kwa waandaaji wa maudhui (content creators) yanayofanyika leo Machi 24, 2026 mkoani Dar es Salaam, yakilenga kuwajengea uwezo waandaaji hao wa maudhui ili kuboresha…

Makamu wa Rais afungua kogamano la kimataifa la elimu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema suala la utekelezaji wa mabadiliko na maboresho yaliyofanyika kwenye Sera ya Elimu na Mafunzo, na Mitaala linahitaji ushirikiano wa hali ya juu miongoni mwa wadau wote…

Tanzania yasisitiza dhamira yake kuendeleza diplomasia ya maji

Tanzania imesisitiza dhamira yake kuendeleza ushirikiano wa kikanda katika usimamizi wa rasilimali za maji katika Mkutano wa Maji wa Sululta na Diplomasia ya Maji (Sululta Water and Hydro Diplomacy Conference) uliofanyika katika Mji wa Bishoftu, nchini Ethiopia. Mkurugenzi wa Ubora…

Mipango mbioni kuanzisha kituo cha Kimataifa cha huduma za kifedha hapa nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara ( TNBC) imesema kuwa mipango ipo mbioni kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Kuduma za kifedha ( IFC) hapa nchini ili kuvutia uwekezaji wa fedha na mitaji…