JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Millya atembelea kituo cha utoaji huduma kwa pamoja cha Namanga

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. James Kinyasi Millya (Mb.) ametembelea Kituo cha Utoaji Huduma kwa Pamoja Mpakani ( One Stop Boarder Post-OSBP ) cha Namanga kilichopo mkoani Arusha Januari 24,2026. Akitembelea kituoni hapo,…

Mafuriko yauwa watu 61 nchini Afghanistan

Theluji na mvua kubwa ambayo imenyesha kwa muda wa siku tatu zilizopita nchini Afghanistan, zimesababisha vifo vya zaidi ya watu 60 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100 kote nchini humo. Msemaji wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa Yousaf…

Nanauka : Vijana ondokeni kwenye uchuuzi, njooni kwenye uzalishaji

Na Mwandishi Wetu Serikali imeendelea kusisitiza dhamira yake ya dhati katika kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kuweka mikakati madhubuti itakayowainua kutoka kwenye uchuuzi wa mitaani na kuwa wazalishaji wakubwa na wamiliki wa biashara endelevu. Kupitia mpango wa Maeneo Maalumu ya Kiuchumi…

Rais Samia ameimarisha uchumi Geita kupitia ujenzi wa barabara -Prof. Shemdoe

Na Mwandishi Wetu, Geita WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha Shilingi 1,035,047,200 za ujenzi wa dharura wa barabara ya Kasamwa- Gamashi yenye urefu wa kilomita 18,…

Mkurugenzi Mkuu NSSF aongoza kampeni ya elimu na uandikishaji Mabibo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kutoa elimu ya hifadhi ya jamii na kuandikisha wanachama wapya kupitia kampeni ya NSSF Staa wa Mchezo Paka Rangi, ambapo Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,…

Waziri Kikwete azindua jengo la TAKUKURU Chalinze, lagharimu milioni 406.49

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), amezindua jengo jipya la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika Wilaya…