Latest Posts
Mchengerwa aipa miaka mitatu kumaliza changamoto ya Watanzania kutibiwa saratani nje ORCI
Na John Mapepele Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameitaka Bodi ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (0RCI) kujiwekea mkakati wa kuhakikisha katika kipindi cha miaka mitatu hakuna mtanzania yoyote anayekwenda kutibiwa saratani nje ya nchi kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa…
Rais Samia apokea tuzo tatu za utalii za World Travel Awards
Tuzo hizo zimetolewa na Taasisi ya World Travel Awards (WTA) yenye Makao Makuu yake Jijini London, Uingereza.
Ajira za wazawa migodini zaongezeka kufikia asilimia 97
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Ajira kwa Watanzania katika miradi ya madini zimeendelea kuongezeka kwa kasi, zikipanda kutoka ajira 6,668 sawa na asilimia 95 mwaka 2018 hadi kufikia ajira 18,853 kati ya ajira 19,356 sawa na asilimia 97 kufikia Desemba…
Waziri Kombo aweka jiwe la msingi ujenzi jengo la mafunzo kwa watumishi wa umma
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) ameweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa Jengo la mafunzo kwa watumishi wa Umma katika Chuo cha Utawala wa Umma (IPA)…
Rais Mwinyi : SMZ kuendelea kujenga masoko ya kisasa katika kuimarisha biashara Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea na ujenzi wa masoko ya kisasa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar kwa lengo la kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora, salama na…





