JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CCM yafanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Ndg. Asha-Rose Migiro,leo tarehe 11 Machi 2026 amefanya mazungumzo jijini Dodoma na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja…

Rais Dkt. Samia aasili mtoto Grace Samia Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma. ‎Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan alitelekezwa mjini…

Dk Magembe : Kila muajiriwa anakuwa na uhakika wa matibabu kuelekea utekelezaji wa Bima ya Afya

Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewataka waajiri kuhakikisha kila muajiriwa anakuwa na uhakika wa matibabu kuelekea utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote na Dira ya Maendeleo ya Taifa ya…

Xavier Mrope : Serikali yaandaa mfumo mpya kupata kupata viongozi bora waliondaliwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora inaandaa utaratibu mpya wa upatikanaji wa viongozi kupitia mfumo maalum wa Leadership Competency Framework, lengo ni kuongeza msisitizo wa kuwajengea uwezo viongozi wapya…

Rostam ainunua Nation Media Group

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia BAADA ya zaidi ya miaka 66 ya ushirikiano wa kihistoria, hatua mpya inaanza katika tasnia ya habari Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) imetangaza kuuza hisa zake zote katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited,…

Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kufanyika Tanga Machi 15

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAADHIMISHO ya kitaifa ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kwa mwaka 2026 yanatarajiwa kufanyika jijini Tanga Machi 15, yakilenga kuhamasisha ulinzi wa haki, usalama na ustawi wa watumiaji wa bidhaa na huduma…