Latest Posts
JOWUTA rasmi CoRI yashiriki kikao cha kwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA), jana rasmi kimeanza kushiriki mkutano wa Taasisi zinazopigania Haki za kupata Habari (CoRI). JOWUTA alipitishwa na CoRI katika kikao chake cha tatu kilichofanyika Desemba 5, mwaka jana,…
Dk Mwigulu : Tuendelee kumuombea Lukuvi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaomba Watanzania waendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, marehemu William Lukuvi aliyefariki jana Machi 25, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma….
Mtendaji Mkuu WMA aitaka menejimenti kumsaidia Rais Samia
WMA – DODOMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla amewaelekeza wajumbe wa menejimenti ya Wakala hiyo kuwa na majadiliano ya wazi na yenye tija yanayolenga kuboresha zaidi huduma kwa wananchi hivyo kumsaidia Rais wa Jamhuri ya…
Mhandisi Mativila akagua miradi ya DMDP II, atoa wito utunzaji wa miundombinu
📌TARURA kujenga takribani Km. 250 za barabara Manispaa zote za Dar es Salaam‎‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam‎‎Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amesema Serikali…





