JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi Dar wakumbushwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14

Na Mwandishi wetu,Jamhuri Media Dar es salaam Wananchi wote wametakiwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14 kuanzia leo, vinginevyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokiuka agizo hilo. Agizo hilo limetolewa leo Aprili 24, 2026 jijini Dar es…

THTU yataka utafiti ubadilishwe kuwa mapato na ajira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU) kimeitaka Serikali kuweka mfumo madhubuti wa kubadilisha tafiti na ubunifu kuwa bidhaa, huduma na ajira ili kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Hayo yamo…

Waziri Mkuu ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la KKKT usharika wa Azania Fron

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili, leo, Aprili 26, 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), Usharika wa Azania Front, jijini Dar es Salaam. Ibada hiyo iliongozwa na Katibu…

Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga

Na Mwamvua Mwinyi, Mkuranga KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, amezindua mradi wa basi dogo la kikundi cha vijana wanane cha UNAMA, kinachojishughulisha na usafirishaji wa abiria ,kijiji cha Picha ya Ndege, kata ya Vikindu wilayani…

MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini

…………………………………………… Bohari ya Dawa (MSD) imesema imeendelea kuboresha mfumo wa ununuzi wa bidhaa za afya nchini kwa kutumia mikataba ya muda mrefu (Framework Agreements), hatua inayolenga kuhakikisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba unakuwa wa uhakika wakati wote. Akitoa taarifa…