JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Ndejembi aagiza kuudwa kamati ya uchunguzi wa hitilafu ya gridi ya taifa

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu kuunda kamati ya uchunguzi itakayobaini chanzo cha hitilafu iliyojitokeza katika Gridi ya Taifa jana, Juni 27, 2026, na kusababisha kukosekana…

TMDA yapiga ‘stop’ matumizi dawa za mifugo zenye kiambata hai cha Levamisole

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imepiga marufuku matumizi ya dawa za mifugo zenye kiambata hai cha Levamisole nchini Tanzania baada ya kufanya tathmini ya matumizi na usalama wa dawa hizo kwa mifugo na afya ya binadamu. Kwa mujibu…

Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya

Na Mwandishi Wetu UJUMBE wa walimu na viongozi wa elimu kutoka Mkoa wa Dodoma wapatao 40 umeondoka kwenda Korea Kusini kujifunza, namna ya kufundisha, kusimamia shule na kutumia teknolojia katika elimu. Ujumbe huo unatarajiwa kushiriki programu ya mafunzo na ziara…

Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano

Israel imeshambulia Jumamosi kusini mwa Lebanon, ikiwa ni siku moja baada ya nchi hizo mbili kusaini mpango wa kudumisha usalama uliosimamiwa na Marekani. Mpango huo unalenga kupunguza mvutano katika eneo la mpakani baada ya miezi kadhaa ya uhasama. Shirika la…

Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026

-▪️Ni Mkutano mkubwa wa Madini na Uwekezaji ▪️Washiriki 2000 kutoka mataifa 50 Duniani kushiriki ▪️Kauli Mbiu ya Mkutano inalenga kuongeza thamani madini kwa maendelezo ya Viwanda ▪️Serikali na Sekta Binafsi kushirikiana kuandaa mkutano huo ▪️Waziri Mavunde azindua rasmi maandalizi ya…

Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na kampuni mbili kutoka Japan kwa ajili ya kufungua fursa za soko la biashara ya kaboni kupitia mpango wa Uratibu wa Pamoja wa Mikopo (JCM), hatua inayolenga kuongeza mchango wa sekta binafsi katika kufanikisha dira…