Latest Posts
RITA yavunja bodi ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imeivunja rasmi Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia kubainika kwa mapungufu makubwa katika usimamizi wa mali na utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo. Hatua…
RC Sendiga awataka viongozi kuacha alama
Na Mwandishi Wetu, Babati Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga amewataka viongozi na watumishi wa serikali kuhakikisha wanaacha alama katika utumishi wao kwenye maeneo yao wanayoyaongoza. RC Sendiga ameyasema hayo mjini Babati kwenye kikao cha bodi ya barabara…
Prof. Shemdoe aongoza ujumbe kumwakilisha Rais Samia mkutano wa kilimo, ardhi na maendeleo vijini Colombia
Na OWM – TAMISEMI, Colombia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa wa nchi zinazoshughulika na masuala Kilimo, Ardhi na Maendeleo vijijini, ulioanza Februari…
Trump : Marekani sasa ni imara zaidi kuliko awali
RAIS wa Marekani Donald Trump ametoa hotuba kuhusu hali ya taifa mbele ya Bunge la Marekani katika kipindi ambacho taifa hilo linakabiliwa na changamoto za kisiasa ikiwemo mvutano unaoendelea na Iran. Hotuba hiyo imepewa uzito mkubwa na vyombo vya habari…
Teknolojia ya akili – Unde yageuka kimbilio kwa wajasiriamali wachanga Mtwara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya, amewataka wajasiriamali na wafanyabiashara kutumia fursa zinazotolewa na Serikali, ikiwemo kujitangaza (branding) bidhaa zao za kibunifu, ili kuongeza thamani na kuziwezesha kufika katika masoko ya kimataifa. Akizungumza wakati…
Manyara yapitisha bajeti ya 2026/ 2027
Na mwandishi Wetu, Babati MKOA wa Manyara umepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya Sh327 bilioni kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027. Katibu Tawala msaidizi sehemu ya mipango na uratibu, Lusungu Mwilongo ameeleza hayo mjini Babati kwenye kikao cha kamati…





