Latest Posts
Mahakama yaendelea kuimarisha utoaji haki
Na Halima Mnete- Mahakama, Dodoma Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel, amesema kuwa Mahakama inaendelea kuimarisha utoaji wa huduma za haki nchini kupitia maboresho mbalimbali ya kiutumishi, matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) pamoja…
Jaji Mkuu ataka changamoto za watumishi kutatuliwa bila vikwazo
· Ataka mashauri yasikilizwe mapema ipasavyo ili kuchangia ustawi na maendeleo ya Taifa · Asisitiza ushirikiano, amani na kuthaminiana kwa Watumishi Na MARY GWERA-Mahakama, Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju na Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi…
RC Chalamila mguu kwa mguu kukagua miradi ya DMDP II na AFCON
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amefanya ziara wilayani Ilala ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Kivule hadi Msongola pamoja na ujenzi wa uwanja Gymkhana ambao ni moja ya viwanja vinavyotarajiwa kutumika wakati wa mashindano ya…
Serikali kujengwa uwanja wa kimataifa Mwanza
▪︎ Dkt. Mwigulu asema Serikali imejipanga kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa ▪︎ Asema Mwanza itaendelea kuwa kitovu muhimu cha shughuli za kiuchumi Kanda ya Ziwa WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua kuhakikisha Uwanja wa Ndege…
Basi la Abood lagongana uso kwa uso la lori
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera limethibitisha kutokea kwa ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na lori, na kusababisha kifo cha mtu mmoja pamoja na kujeruhi watu sita. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa…
Kichwa cha marehemu Temba chapatikana Kitunda Dar, uchunguzi wa kisayansi wafanikisha
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu watano, akiwemo mganga wa kienyeji anayejulikana kwa jina la Saidi Ally ‘Side’ Mzigua (31), kuhusiana na mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa Taasisi ya Usimamizi…





