JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali kuenzi mchango wa marehemu Edwin Mtei

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada ya kumuaga aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mzee Edwin Mtei, akimtaja kuwa kiongozi mahiri, mzalendo…

Wananchi wajitokeza kwa wingi kliniki ya sheria bila malipo Manyara

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imeendelea kutoa huduma za Ushauri na Elimu ya masuala mbalimbali ya Kisheria katika Kliniki ya Sheria bila malipo kwa Wananchi wa Mkoa wa Manyara, Kliniki hiyo inafanyika kwa ushirikiano kati ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa…

‘Rais Samia ameing’arisha Simanjiro’

Na Mwandishi wetu, Simanjiro Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandana ameeleza kwamba Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeing’arisha Simanjiro kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. DC Lulandala akizungumza mji mdogo…

Nishati safi ya Rafiki Briquettes iwafikie Watanzania wote -Balozi Kingu

📌Uzalishaji wa Rafiki briquettes uende sambamba na uzalishaji wa majiko banifu 📌STAMICO waahidi kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa nishati safi nchini 📍Kisarawe – Pwani Watanzania wametakiwa kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…