Latest Posts
Masauni ahimiza vijana kuenzi, kulinda na kutetea muungano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu nchini na vijana kuendelea kulinda na kutetea misingi ya…
Asante Trump, nasikitika Tanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo naandika makala hii saa chache kabla ya kwenda kanisani kumwabudu na kumsujudia Bwana wetu Yesu Kristu Mfufuka. Ninao wajibu kwangu, kwa familia, kwa Kanisa, kwa taifa na kwa ndugu, jamaa na marafiki…
Somalia yajiandaa uchimbaji mafuta wa kwanza wa kihistoria baharini
Somalia inasema iko tayari kuanza shughuli zake za kwanza za kuchimba mafuta baharini, huku meli ya kuchimba mafuta inayomilikiwa na serikali ya Uturuki ikitarajiwa kuwasili pwani yake Ijumaa. Hatua hiyo inafuatia kukamilika kwa mafanikio kwa tafiti za matetemeko ya ardhi…
Ulaya: Sio halali kulenga miundombinu ya raia vitani
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Ulaya Antonio Costa, amesema shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya kiraia kama ile ya nishati sio halali na haikubaliki hata kidogo. Hii ni baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutoa muda wa…
Iran yatoa neno kuhusu pendekezo la usitishwaji mapigano
Iran imejibu pendekezo la usitishwaji mapigano na kufunguliwa Mlango Bahari wa Hormuz na kuelezea msimamo na matakwa yake na kusisitiza kuwa mazungumzo “hayaendani na masharti wala vitisho vya kutenda uhalifu wa kivita. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa…





