Latest Posts
Tanzania yazindi kupata uwekezaji kutoka mataifa ya nje
Na Mwandishi Wetu WADAU wa mazingira kutoka Taasisi ya Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) ya Ujerumani wameonesha nia ya kuwekeza na kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu ikiwemo uhifadhi wa mazingira, nishati safi, biashara ya…
Marekani na Iran wasaini makubaliano ya kumaliza vita
Makubaliano ya msingi kati ya Marekani na Iran yenye lengo la kumaliza vita yameanza rasmi kutekelezwa baada ya kutiwa saini kidiijitali na marais wa nchi hizo mbili. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa pande zote mbili. Kwa mujibu wa…
Wachina wanne washindwa kusomewa mashtaka kwa kukosekana mkalimani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es salaam Raia wanne wa China, Deng Anqing, Fan Zhong Hua, Zhang Jianjun na Deng Qiang, wanaotuhumiwa kumteka nyara mwenzao, wameshindwa kusomewa mashtaka yanayowakabili katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Kinyerezi jijini Dar es Salaam kutokana…
Wizara ya Viwanda na Biashara yahimiza vijana kutumia fursa za kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imewahimiza wananchi, hususan vijana na wajasiriamali, kutumia kikamilifu fursa zinazotolewa na taasisi zake ili kukuza biashara, kuongeza kipato na kuchangia maendeleo ya uchumi wa taifa. Wito huo umetolewa leo Juni 17,…
Dk Katunzi awaalika wadau kusherehekea Jubilei ya dhahabu ya TBS
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linatarajia kuandika historia mpya Juni 19, 2026 kwa kuhitimisha maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku likitarajia kuzindua kitabu maalumu kitakachobeba historia, mafanikio na mchango wake katika maendeleo ya viwanda, biashara na ustawi wa…
CRDB yatoa milioni 450/- kufanikisha Bunge Grand Bonanza, wabunge kuchuana na mabalozi Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es salaam Benki ya CRDB, kupitia udhamini wake mkuu wa CRDB Bank Bunge Grand Bonanza 2026, imekabidhi vifaa vya michezo na zawadi mbalimbali zitakazotumika katika bonanza hilo linalotarajiwa kufanyika Juni 20, 2026 katika Uwanja wa Jamhuri…





