Latest Posts
AGL Tanzania yachukua hatua kutekeleza Mpango wa ‘Plastic-Less’ kwa kulinda mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam AGL Tanzania imechukua hatua muhimu katika kulinda mazingira kwa kutekeleza mpango wake wa “Plastic-Less”, unaolenga kupunguza matumizi ya plastiki zinazotumika mara moja na kuhamasisha matumizi ya njia mbadala endelevu. Kupitia mpango huo, kampuni…
Wabunge waipongeza NSSF, PSSSF kuanzisha skimu ya hifadhi kwa waliojiajiri
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wabunge wameipongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii kupitia Skimu ya Hifadhi kwa Wananchi Waliojiajiri, wakisema mpango huo unatoa fursa kwa mamilioni ya…
Serikali yawekeza Sh.Bilioni 10.5 kuimarisha huduma ya umeme Kongwa na maeneo jirani
Na Dotto Kwilasa JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa,…
PAC yaiagiza TRA kufunga mapengo ya ukusanyaji kunufaisha wananchi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeishauri mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) masaa ya ziada irekebishe mara moja mapungufu yote yaliyoainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG, katika…
Miradi ya buluu Kaboni kunufaisha jamii ukanda wa Pwani
Serikali imesema utekelezaji wa miradi ya biashara ya kaboni hasa kaboni ya buluu utakapokamilika na mauzo kufanyika, itanufaisha jamii inayozunguka maeneo mengi ya Ukanda wa Pwani. Hayo yamesemwa bungeni jijini Dodoma leo Juni 16, 2026 na Naibu Waziri Ofisi ya…
Netanyahu: Uwezo wa nyuklia wa Iran umerudishwa nyuma
Netanyahu ameongeza kwamba bila ya operesheni kubwa za kijeshi zilizofanywa kwa pamoja na Marekani basi huenda Iran ingekuwa tayari inayo mabomu ya nyuklia na mamilioni ya Waisrael sasa wangekabiliwa na vitisho. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kampeni ya…





