JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mji wa Serikali Mtumba kuwa mfano wa matumizi ya nishati safi ya kupikia gesi asilia

Imeelezwa kuwa Serikali inaendelea na maandalizi ya kuufanya Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, kuwa mfano wa matumizi ya nishati safi kupitia mradi wa usambazaji wa gesi asilia. Miundombinu hiyo itaunganisha gesi asilia katika majengo ya Wizara, ofisi za Ubalozi,…

Wazazi sikieni ushauri wa Dk Batilda Burian juu ya malezi ya watoto

Na Dk Reuben Lumbagala Malezi bora ya watoto yanapaswa kutiliwa mkazo ili kujenga jamii yenye watu wenye maadili, nidhamu, uzalendo na uwajibikaji katika maisha yao. Wazazi wamepata baraka ya kupata watoto kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Watoto hao wanapaswa kuendelea kuwa…

Nchi za SADC zaazimia kuimarisha ushirikiano wa kikanda kukuza uchumi

Na. Eva Ngowi WF, Harare – Zimbabwe Leo Julai 3, 2026, ilikuwa siku ya mwisho ya Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ambapo nchi wanachama zilihitimisha majadiliano kwa kuwasilisha…

Rais Samia kaleta bilioni 1.2 za ujenzi shule za msingi Mlimba – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Mlimba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, amewaletea wananchi wa Mlimba kiasi cha Shilingi Bilioni 1.2 za…

Waziri Mkuu azindua shule ya msingi Kasoma, aipongeza Musoma Vijijini kwa usimamizi miradi

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameizindua Shule ya Msingi Kasoma iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara na kuipongeza halmashauri hiyo kwa kusimamia miradi ya maendeleo kwa kuzingatia thamani ya fedha pamoja na kuendelea kuboresha huduma za elimu kwa…

Rais Samia anavyosaka fursa kimataifa uboreshaji afya mama na mtoto Afrika

Na DK Reuben Lumbagala Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anatambulika kimataifa katika nyanja mbalimbali kutokana na utendajikazi wake uliotukuka. Miongoni mwa maeneo yanayomtambulisha kwa upekee ni pamoja na kuwa Kinara wa Afya ya Uzazi ya Mama na Mtoto barani Afrika….