JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tamasha la Sauti za Busara lapamba moto

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Shamrashamra za ufunguzi wa Tamashara la Sauti za Busara linalojulikana kama Tamasha rafiki zaidi Dunia ,zimeendelea kushika kasi na maandalizi yapo katika hatua za mwisho. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari ,Mkurugenzi…

Dk Mwigulu akutana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.

Siku 100 za Rais Samia, Kamati ya Bunge yaridhishwa na kasi ya Wizara ya Nishati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kazi kubwa inayoendelea kutekelezwa ndani ya siku 100 za uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo kuanza kusambaza umeme…

Wanaswa kwa kuhujumu mradi wa maji wa miji 28

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WATU wanne wamekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Tabora kwa tuhuma za kuhujumu Mradi wa Maji wa Miji 28 unaoendelea kutekelezwa na serikali katika Wilaya za Sikonge, Urambo na Kaliua ili kumaliza kero ya wananchi….

Prof. Mkenda: Serikali kuimarisha sekta ya elimu wa kutumia takwimu sahihi

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali imejipanga kuimarisha mageuzi ya sekta ya elimu kwa kuzingatia matumizi sahihi ya takwimu, upanuzi wa fursa za masomo ya juu ndani na nje ya nchi, pamoja na utekelezaji…

JKT yafungua fursa za mafunzo kwa vijana 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika jitihada za kuwaandaa vijana kukabiliana na maisha, kujitegemea na kushiriki ujenzi wa taifa, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kuanza kwa mafunzo ya kujitolea kwa mwaka 2026, hatua inayofungua fursa kwa maelfu ya vijana…