JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Dk Mwinyi : Zanzibar kuimarisha ushirikiano na WHO katika kuboresha sekta ya afya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) ili kuhakikisha mafanikio zaidi yanapatikana katika kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini. Rais Dkt. Mwinyi…

Taasisi za umma zatakiwa kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuboresha mnyororo wa ugavi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amezitaka taasisi zote za umma kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo…

Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Afrika

Na Munir Shemweta, Nairobi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeelezea mafanikio yake katika maendeleo ya miji na sekta ya makazi wakati wa Kongamano la Pili la Miji Africa (2nd African Urban Forum) linalofanyika jijini Nairobi, huku ikitoa wito…

Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati nchini, hatua inayoonesha mchango mkubwa wa miradi hiyo katika kupunguza tatizo la ajira kwa vijana. Takwimu hizo zimewasilishwa bungeni Aprili 9, 2026 jijini Dodoma na…

Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma

Na Cresencia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma UMOJA wa Mawakala wauzaji wa Pembejeo Mkoa wa Ruvuma (UWAPERU) wameishukuru Serikali kwa kutoa Ruzuku kwa wakulima ambapo katika msimu huu wa kilimo wakulima wamefaidika na ruzuku hiyo kwa kupata mbolea na kuongezea uzalishaji wa…