JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

EWURA yatoa mafunzo ya kudhibiti malalamiko kwa watendaji wa Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, leo Januari 8,2026 ilitoa elimu kwa watendaji wa Serikali za Mitaa mkoani Njombe kuhusu utaratibu wa kushughulikia malalamiko na…

Naibu Waziri Millya akutana na Uongozi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. James Kinyasi Millya (Mb), amekutana na Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania, Shekh Khawaja Muzaffar Ahmad, aliyetembelea Ofisi…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China Kuzuru Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Kisiasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Mhe. Wang Yi, anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini Tanzania tarehe 9 na…

2025 mwaka wa mageuzi na matokeo katika mashirika ya umma

Na Mwandishi Wetu Mwaka 2025 ulikuwa wa mafanikio makubwa kwa Ofisi ya Msajili wa Hazina, huku mageuzi katika mashirika ya umma yakiendelea kuonesha matokeo chanya kwa wingi. Katika kipindi hiki, thamani ya uwekezaji wa Serikali iliongezeka hadi kufikia Sh92.3 trilioni…