JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FCC yawataka wafanyabiashara kuripoti bidhaa bandia

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amewataka wadau wa sekta ya umma na binafsi kuongeza ushirikiano katika mapambano dhidi ya bidhaa bandia, akisema biashara hiyo inahatarisha uwekezaji, ushindani wa haki na usalama wa watumiaji. Ngasongwa…

Sumaye : Watanzania kukutana kuliombea Taifa

Watanzania kutoka makundi mbalimbali wanatarajiwa kukutana Novemba 7 mwaka huu , kwa ajili ya kuliombea Taifa, kuimarisha umoja na mshikamano, huku viongozi, vijana na wanawake wakishiriki katika mjadala wa kujenga Tanzania yenye maadili. Mwenyekiti wa Tanzania National Prayer Breakfast, Waziri…

Tanesco Ubungo yanasa waliojiunganishia Umeme kinyume na utaratibu

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ubungo jijini Dar es Salaam limeendelea na operesheni yake maalum ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wateja ambao wanatumia umeme bila kulipia wakiwa wameunganishiwa umeme na vishoka mtaani kinyume na utaratibu….

Serikali yafikisha umeme maeneo 582 ya wachimbaji wadogo, kilimo na viwanda Tanzania Bara

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetekeleza Mradi wa Usambazaji Umeme katika maeneo 582 ya wachimbaji wadogo, kilimo na viwanda Tanzania Bara, kwa gharama ya Shilingi bilioni 115. Mhe. Makamba ameyasema…

Serikali yaimarisha uhimilivu bei za mafuta nchini

Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha bei za mafuta nchini zinakuwa himilivu na zinalinda maslahi ya wananchi, ikiwa ni pamoja na kuimarisha usimamizi wa soko na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta kwa wakati katika maeneo mbalimbali nchini. Hatua hizo zimechangia…

Wafanyabiashara wa pembejeo, viuatilifu sasa rasmi Soko Kuu la Kariakoo

Shirika la Masoko ya Kariakoo limewarejesha wafanyabiashara wa pembejeo na viuatilifu katika Soko Kuu la Kariakoo ambao walikuwa hawajarejeshwa sokoni hapo baada ya soko hilo kufunguliwa Februari 8, 2026. Kurejeshwa kwa wafanyabiashara haokunatoka na majadiliano baina ya uongozi wa Shirika…