Latest Posts
Kadonya : Bonde la Ziwa Victoria ni nguzo muhimu ya uchumi na mtangamano wa Afrika Mashariki
Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Bw. Charles Ngeleja Kadonya, amesema Bonde la Ziwa Victoria ni eneo la kimkakati lenye mchango mkubwa katika uchumi wa…
Miss Universe Tanzania yashirikiana na Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
📌Mhe. Salome awapongeza waandaaji wa shindano kwa kuibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kitaifa na kimataifa. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewapongeza washiriki wa shindano la urembo la Miss Universe Tanzania kwa jitihada zao za kuwa mabalozi…
Serikali yawatoa hofu wadau wa pombe kali
Dar es Salaam, Serikali imekutana na wamiliki wa Viwanda vya kuzalisha pombe kali nchini ikiwa ni hatua ya kuendelea kupambana na bidhaa bandia na duni. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb) kukutana…
Wanne wapandikizwa figo, 38 wafanyiwa upasuaji wa mishipa ya kuchuja damu MNH-Mloganzila
Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila kwa kushirikiana na wataalam kutoka Korea Kusini, imewapandikiza figo wagonjwa wanne na wengine 38 wamefanyiwa upasuaji wa kutengeneza na kurekebisha mishipa ya kuchuja damu katika kambi maalum iliyofanyika Agosti 15–19, 2026. Tangu huduma hizo zianze kutolewa…





