JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

STAMICO yajipanga kukabiliana na athari za El Niño

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limeanza kuchukua tahadhari kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Niño, baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kueleza kuwa mvua hizo zinatarajiwa kuimarika…

Tanzania, Uganda zajadili utekelezaji miundombinu ya petroli

Kampala, Uganda Serikali za Tanzania na Uganda zimekutana kujadili utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya mafuta na gesi kati ya nchi hizo mbili. Hayo yamebainishwa tarehe 17 Septemba 2026 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya Mafuta…

Serikali yahimiza matumizi ya teknolojia kyongeza tija kwa wachimbaji

Lindi Yatajwa Kuwa na Fursa Kubwa za Uwekezaji wa Madini *Wachimbaji Wahimizwa Kuongeza Thamani ya Madini Nchini Ruangwa, Lindi. Serikali yawahimiza wachimbaji wa Madini kutumia teknolojia za kisasa katika shughuli za uchimbaji ili kuhakikisha wanachimba kwa faida, kuongeza tija katika…

Akwilapo awabana makamishna wa ardhi, ataka waliotelekeza hatua zichukuliwe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo (Mb), amewaagiza Makamishna wa Ardhi wa mikoa nchini kufanya ukaguzi wa maeneo ya ardhi yaliyotolewa kwa ajili ya uwekezaji, ili kubaini wawekezaji waliohodhi ardhi…

Msajili wa Hazina aitaka TANROADS kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, leo, Septemba 18, 2026, ametoa maagizo kwa uongozi wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhusu hatua za kuchukua ili kuongeza ufanisi na kuimarisha utendaji wa Wakala huo. Maagizo…