JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania kunufaika na bilioni 10/- za biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, JmahuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuingiza zaidi ya Sh bilioni 10 kutokana na mauzo ya biashara ya kaboni baada ya Serikali kuidhinisha miradi minne itakayouza tani milioni 4.2 za kaboni katika soko rasmi la kimataifa. Waziri…

Ridhiwani asisitiza umuhimu wa watumishi wa umma kupima afya mara kwa mara

Na Mwandishi Maalumu – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amewataka watumishi wa wizara hiyo kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara ili kujikinga na…

Waziri Kabudi: Kilosa iendelee kulinda amani, kuimarisha kilimo na ufugaji wa kisasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu,) Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb), amewataka wananchi wa Jimbo la Kilosa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano, huku wakiepuka kujihusisha na vitendo…

Rais Museveni wa Uganda awasili nchini kwa ziara rasmi

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia tarehe 5-6 Agosti 2026, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Rais Museveni…

Wakaguzi wa mafuta waimarisha udhibiti mafuta wa ubora wakati wa upakuaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali, kupitia Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), inasimamia upakuaji wa shehena za mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta, ili kuhakikisha usalama na uzingatiaji wa viwango vya ubora vinavyotakiwa. Akizungumza katika…

TIRDO yaonyesha teknolojia za kuongeza thamani ya mazao na kupunguza gharama za uzalishaji Nanenane

SHIRIKA la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema linaendelea kuwasaidia wakulima na wajasiriamali kuongeza thamani ya mazao, kupunguza gharama za uzalishaji na kupata masoko kupitia matumizi ya teknolojia za kisasa, maabara za ubora na suluhisho za nishati. Akizungumza…