JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Marekani na Iran wasaini makubaliano ya kumaliza vita

Makubaliano ya msingi kati ya Marekani na Iran yenye lengo la kumaliza vita yameanza rasmi kutekelezwa baada ya kutiwa saini kidiijitali na marais wa nchi hizo mbili. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa pande zote mbili. Kwa mujibu wa…

Wachina wanne washindwa kusomewa mashtaka kwa kukosekana mkalimani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es salaam Raia wanne wa China, Deng Anqing, Fan Zhong Hua, Zhang Jianjun na Deng Qiang, wanaotuhumiwa kumteka nyara mwenzao, wameshindwa kusomewa mashtaka yanayowakabili katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Kinyerezi jijini Dar es Salaam kutokana…

Wizara ya Viwanda na Biashara yahimiza vijana kutumia fursa za kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imewahimiza wananchi, hususan vijana na wajasiriamali, kutumia kikamilifu fursa zinazotolewa na taasisi zake ili kukuza biashara, kuongeza kipato na kuchangia maendeleo ya uchumi wa taifa. Wito huo umetolewa leo Juni 17,…

Dk Katunzi awaalika wadau kusherehekea Jubilei ya dhahabu ya TBS

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linatarajia kuandika historia mpya Juni 19, 2026 kwa kuhitimisha maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku likitarajia kuzindua kitabu maalumu kitakachobeba historia, mafanikio na mchango wake katika maendeleo ya viwanda, biashara na ustawi wa…

CRDB yatoa milioni 450/- kufanikisha Bunge Grand Bonanza, wabunge kuchuana na mabalozi Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es salaam Benki ya CRDB, kupitia udhamini wake mkuu wa CRDB Bank Bunge Grand Bonanza 2026, imekabidhi vifaa vya michezo na zawadi mbalimbali zitakazotumika katika bonanza hilo linalotarajiwa kufanyika Juni 20, 2026 katika Uwanja wa Jamhuri…

Kampeni ya Mama Samia kutua Zanzibar, talaka, mirathi na ukatili kupatiwa majawab

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Awamu ya Pili wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia utakaofanyika Juni 20, 2026 katika…