Latest Posts
LATRA yaonya upandishaji nauli, yaitisha kikao cha wadau haraka
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Kibaha WAKATI bei ya mafuta ikipanda zaidi kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), umewasihi wasafirishaji na wamiliki wa vyombo vya usafiri kutopandisha nauli. Mbali ya kuwasihi hivyo,…
CCM yatoa pole kifo cha Rais Mstaafu wa Algeria
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdalla Hamid amewasilisha salamu za pole za Chama kwa Algeria, kutokana na kifo cha Rais Mstaafu wa nchi hiyo, Liamine Zeroual….
Dk Dugange azindua zoezi la upandaji miti kumbukizi ya Mwalimu Nyerere
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amezindua zoezi la upandaji wa miti kuelekea kumbukizi ya miaka 104 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere Aprili 11, 2026. Zoezi hilo…
Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa mafuta -Dk Mwigulu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli na mafuta mengine ili kuhakikisha bei zake zinaendelea kuwa himilivu, licha ya changamoto za kiusalama za kikanda na kimataifa, ikiwemo…





