JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Afariki kwa kung’atwa na mamba wakati akioga usiku wilayani Nyasa

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MWANAMKE mmoja Catherine Kinyongile (56) mkazi wa kijiji cha Ndonga kilichopo katika Wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma amefariki dunia baada ya kukamatwa na mamba wakati akioga katika eneo la fukwe la forodha ya Hyetu…

Pwani kugawa miche milioni 1.5 Rufiji kumbukizi ya kuzaliwa Rais Samia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaunga mkono dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ya kuendeleza agenda ya uhifadhi wa mazingira kwa kugawa miche ya mikorosho milioni 1.5 kwa wakulima wa…

Waziri Mkuu afungua mkutano wa viongozi wa TAKUKURU

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeimarisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuongeza rasilimali watu, bajeti, miundombinu…

Sudan Kusini yaamuru raia kuondoka maeneo ya Jonglei

Jeshi la Sudan Kusini limeamuru raia wote pamoja na wafanyakazi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa na wahudumu wote wa mashirika ya msaada kuondoka katika kaunti tatu za Jimbo la Jonglei, kabla ya operesheni ya kijeshi. Jeshi la Sudan Kusini…

Serikali yawezesha kuanzishwa kwa kituo cha kisasa cha teknolojia ya madini muhimu nchini

● Ni matokeo ya MoU kati ya GST na Taasisi ya KIGAM kutoka Korea ya Kusini, ● Utekelezaji wa mradi huo kugharimu Bilioni 40 za Kitanzania ● Wataalam kutoka GST kujengewa uwezo ● Wachimbaji wadogo kupatiwa Mafunzo malum Wizara ya…