JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bodi ya IAEA kujadili usalama wa nyuklia wa Ukraine

Bodi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kudhibiti Matumizi ya Nishati ya Nyuklia, IAEA, itakutana leo kujadili usalama wa nyuklia nchini Ukraine. Kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya Urusi, nchi 13 zikiongozwa na Uholanzi zimeiomba bodi hiyo ya IAEA kukutana…

TARURA yasaini mikataba 23 siku 100 za Rais Samia madarakani Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meneja wa TARURA Mkoa wa Rukwa Mhandisi Chacha Mwita Moseti ameelezea mafanikio waliyoyapata katika ujenzi wa miundombinu ya barabara mkoani humo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Hayo ameyasema katika Mkutano wa Mwaka…

Serikali yaendelea kuwawezesha wananchi kupitia mikopo yenye masharti nafuu

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa vitendo…

Rais Samia amejipanga kufikisha umeme vitongoji vyote

📌Bilioni 24.9 kupeleka umeme vitongoji 218 Njombe Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kufikisha umeme kwenye vitongoji vyote vilivyobakia nchini ambavyo…

NIRC, JKT yaungana kuongeza uzalishaji kupitia umwagiliaji

📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC). Tangu mwaka 2021, Jeshi limekuwa likiendeleza…

REA yamtaka mkandarasi Nothern Engineering Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 150 vya Majimbo 10 Mkoani Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha Mradi kwa wakati. Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya…