JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Prof. Shemdoe amtaka mkandarasi anayejenga Mahakama ya Wilaya Lushoto kuwapa kazi wazawa

Na James Mwanamyoto – Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Mkandarasi Namis Cooperate Limited aliyepewa kandarasi ya Ujenzi wa Mahakama ya Wilaya ya Lushoto, kuwapatia…

Mavunde akabidhi madawati 2713 kwa sekondari za Dodoma Jiji

▪️Ni Utekelezaji wa agizo la Mh. Rais Samia juu ya mazingira bora ya ufundishaji ▪️Mbunge Mavunde apongeza jitihada ya kutatua changamoto ya madawati ▪️Miundombinu ya madarasa na madawati mapya kuelekea Januari 2026 yakamilika ▪️Jiji la Dodoma lipo tayari kuwapokea wanafunzi…

Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo

Na Mwandishi Maalumu, Arusha Wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya mishipa ya damu kutanuka miguuni pamoja na wanaohitaji kuwekewa njia za kusafisha damu wameombwa kujitokeza katika kambi maalumu ya matibabu ya magonjwa mbalimbali inayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center…