Latest Posts
Dk Nchimbi awasili Chato kumwakilisha Rais mazishi ya bi Suzana Magufuli
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Chato Mkoani Geita, ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Magufuli…
Tanzania yajipanga kuwa mzalishaji mkubwa madini Kinywe ‘Graphite’ duniani
*Sera imara na usimamizi thabiti wa Mhe. Rais Samia kuchochea uzalishaji *Serikali yasaini mkataba wa ubia wa uchimbaji wa madini kinywe na Kampuni ya Lindi Jumbo *Tani 40,000 kuzalishwa kwa mwaka, kwa zaidi ya miaka 24. *Waziri Mavunde awataka wamiliki…
Tanzania, China waanza utekelezaji maazimio kuimarisha matibabu na udhibiti magonjwa
Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Kuelekea utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa na Waziri wa Afya Tanzania Bara Mhe. Mohamed Mchengerwa pamoja na Waziri wa Afya wa Jamhuri ya watu China Mhe. Haichao Lei yaliyofikiwa kati ya nchi hizo…
Kidato cha sita waitwa JKT
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetoa wito kwa vijana wote waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita 2026 kutoka shule za Tanzania Bara na Zanzibar kuripoti kwenye makambi mbalimbali ya JKT kwa ajili ya Mafunzo…
CRDB Yaingia mkataba wa miaka mitatu na Bongo Star Search kuibua vipaji vya vijana
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam CRDB Bank imeingia makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitatu na Bongo Star Search (BSS) kwa lengo la kuibua, kuendeleza na kuwajengea uwezo vijana wenye vipaji mbalimbali nchini, kuanzia mwaka 2026 hadi 2028. Makubaliano hayo…
Miaka 40 ya NEMC, JET yapewa tuzo ya heshima
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) leo Mei 28, 2026 limetambua mchango mkubwa wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) katika kuandika na kuhabarisha umma kuhusu masuala ya…





