JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia akutana na Didier Drogba Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza Didier Drogba mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino…

Bei ya mafuta ya petroli yazidi kupanda

Bei ya mafuta ya petroli imepanda kwa Jiji la Dar es Salaam imepanda toka shilingi 3,820 kwa lita mwezi Aprili hadi kufikia shilingi 4115 kwa lita mwezi Mei 2026, kulingana na taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za…

William Ruto aipongeza NSSF Tanzania kwa uwekezaji wa Dola zaidi ya milioni 51/- Nairobi

Na Mwandishi Wetu Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, ameusifu uwekezaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wa Tanzania unaoendelea jijini Nairobi, akisema ni mfano bora wa matumizi sahihi ya akiba za wanachama katika kukuza uchumi na…

Walimu 150 wa amali waliohudhuria mafunzo India warejea, Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wamewapokea walimu wapatao 150 wa amali…

Chamwino yapata mwanga mpya wa usalama kupitia Polisi jamii Morogoro

Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Morogoro (ACP) Samwel Kijanga, amehudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Chamwino, Wilaya ya Morogoro kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro. Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbaliwakiwemo viongozi wa dini,…

DC Ubungo aagiza ushirikishwaji wa Zimamoto katika ujenzi kupunguza majanga

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amezitaka Wakala wa Barabara Mijini na Vijini TARURA,Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusisha Jeshi la Zimamoto…