JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia awasili Kigali nchini Rwanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali ambapo atashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA), Kigali…

Kingu: Tumeona utulivu na nidhamu ya jeshi letu

Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi, Elbariki Kingu amesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania linaendelea kuonesha utulivu, nidhamu na uzalendo wa hali ya juu katika kulinda amani na usalama wa taifa. Kingu ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma leo…

Kituo cha Taifa ya Uratibu Kaboni Tanzania chatoa elimu ya biashara ya kaboni Dar

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema inapambana na haitamuonea haya mtu yoyote muharibifu wa mazingira na kuitaka jamii kulinda na kutunza mazingira kwa kuwa yana umuhimu mkubwa kiuchumi na kimaendeleo. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam na…

Punguzo la tozo TPA, waendesha bandari kavu wafichua fursa

Umoja wa Waendesha Bandari Kavu Tanzania (CIDAT) umebainisha kuwa uamuzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) wa kupunguza ada ya Uendelezaji wa Miundombinu Mipya ya Bandari (PID) kutoka asilimia 9 hadi asilimia 4.5 ya kodi ya forodha utakuwa…

Trump asitisha mashambulizi Iran

RAIS wa Marekani Donald Trump alisema alisitisha shambulio lililokuwa limepangwa dhidi ya Iran ili kutoa nafasi kwa mazungumzo mapya ya kidiplomasia, huku akieleza kuwa bado kuna uwezekano wa kufikiwa kwa makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran. Trump alisema viongozi…