JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kafulila Kutoa Mhadhara wa Umma SUA Kuhusu Ubia na Mageuzi ya Kilimo

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP-Centre), imeandaa Mhadhara wa Umma utakaotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-CENTRE,  David Kafulila, siku ya Ijumaa, Julai 17, 2026. Mhadhara…

Korea Kaskazini na China zaimarisha ushirikiano wa kimkakati

China imetuma ujumbe wake wa ngazi za juu kwa majadiliano ya kuimarisha uhusiano na mshirika wake wa muda mrefu, Korea Kaskazini. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Wang Huning, amefanya mazungumzo mjini Pyongyang na ofisa mkuu…

Marekani yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran 

Marekani imesema imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran ikiwa ni usiku wa tano mfululizo, huku Rais Donald Trump akiionya Tehran kwamba “ni vyema ikaishi kwa nidhamu”. Jeshi la Marekani limesema mashambulizi hayo yalilenga uwezo wa kijeshi wa Iran…

Zelensky afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amempendekeza mkuu wa shirika la nishati la serikali la Naftogaz, Sergii Koretskyi, kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Pendekezo hilo tayari limewasilishwa bungeni ambapo kura inatarajiwa kupigwa mapema leo Alkhamis, kufuatia kujiuzulu kwa Waziri…

TANESCO yabaini huduma ya umeme ni ya uhakika jengo la kituo cha mabasi Mwenge

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini kuwa huduma ya umeme katika Jengo la Kituo cha Mabasi cha Mwenge inaendelea kuwa ya uhakika baada ya kufanya ukaguzi wa miundombinu kufuatia taarifa zilizosambaa zikidai kuwepo kwa…

Serikali kuendelea kuboresha huduma za maji safi na salama

Na. Asia Singano, WF- TCHAD Serikali ya Tanzania imedhamiria kuhakikisha kuwa Wananchi wa Tanzania wanapata huduma za msingi za maji safi na salama kwakuwa maji ni kichocheo muhimu cha mabadiliko ya uchumi na ni muhimu kwa ufanisi wa kilimo, viwanda,…