Latest Posts
DMDP II yaleta mapinduzi ya miundombinu Manispaa Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaamMradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili (DMDP II) unatekeleza ujenzi wa barabara zenye urefu wa Kilomita 51.2 kwa kiwango cha lami na zege katika Kata zaidi ya nane (8)…
SOAT yazinduliwa, yaahidi kuongeza mapato ya Utalii kufikia bilioni 790
Na Mussa Juma, JamhuriMedia, Arusha Jumuiya ya Wawekezaji Mahiri katika maeneo ya Wanyamapori(SOAT) imezinduliwa rasmi jijini Arusha, huku wawekezaji hao wakiahidi kushirikiana na serikali kuendeleza Utalii na kuhakikisha ndani ya miaka 20 wanaingizia taifa kiasi cha sh 790 bilioni kutokana…
Kikwete, Mutharika wakutana Lilongwe kujadili amani na usuluhishi wa migogoro SADC
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) (Panel of Elders, POE) akiwa katika picha ya pamoja na Profesa Arthur Peter Mutharika, Rais wa Malawi, ambaye…
Makamu wa Rais ashiriki mkutano wa Jumuiya ya Afrika, Karibian na Pasifiki – Malambo Guinea
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 11 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za…
Mume amchinja mwanaye, amjeruhi mke naye ajinyonga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Igunga MWANAUME mmoja mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu, Kata ya Mwamakona, Tarafa ya Igurubi, Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora amemchinja mtoto wake mchanga aliyekuwa na umri wa miezi miwili na kumjeruhi mke wake. Akitoa taarifa kwa…
Iran: Uaminifu ni muhimu kumaliza mzozo na Marekani, Israel
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amezipongeza juhudi za Pakistan za usuluhishi kati ya nchi yake, Marekani na Israel. Licha ya pongezi hizo, amesema uaminifu unahitajika ili kuutatua mzozo huo. Ameyasema hayo katika mazungumzo yaliyofanyika kwa njia ya simu Jumamosi na…





