JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yatangaza kuridhia NEMC kuwa mamlaka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeridhia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuwa mamlaka na muswada wake unatarajiwa kuwasilishwa bungeni wakati wowote. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri Ofisi…

Sekondari ya Funguni yawajengea uwezo wanafunzi kujiajiri baada ya kuhitimu masomo

Na Mwandishi Wetu, Pangani Suala la kuwajenga wanafunzi kuwa mahiri katika stadi na ujuzi mbalimbali ndiyo mwelekeo wa Taifa letu katika kuwaandaa wahitimu wenye uwezo wa kuhimili ushindani wa kiuchumi. Katika Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga,…

Kikwete: Nidhamu na uadilifu ni msingi wa maendeleo ya Taifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Riziwan Kikwete, amewataka viongozi wanaochipukia nchini kutumia elimu na mafunzo ya uongozi waliyoipata kwa manufaa ya taifa na jamii…

Alphonce Simbu kushiriki Marathoni ya mawakili wa Serikali Dodoma kuhamasisha msaada wa kisheria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia , Dar es Salaam Bingwa wa dunia wa mbio ndefu, Alphonce Felix Simbu, anatarajiwa kushiriki Marathoni ya Mawakili wa Serikali itakayofanyika Mei 31, 2026 jijini Dodoma, ikiwa na lengo la kuhamasisha wananchi kutambua haki zao pamoja…

Waziri Kijaji abainisha kete nne muhimu kufikisha watalii milioni nane 2030

Na. Edmund Salaho – Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Ashatu Kijaji leo Mei, 15 2026 amebainisha kete nne muhimu zitakazotumiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi zake ili kufikia lengo la watalii millioni nane (8) ifikapo…

Masoko ya madini ya almasi yachochea ongezeko la uzalishaji Shinyanga

📍Shinyanga Kuanzishwa kwa masoko ya madini ya almasi na dhahabu mkoani Shinyanga kumechochea kwa kasi ongezeko la uzalishaji, biashara na mapato ya Serikali, huku wachimbaji na wafanyabiashara wakinufaika na kusogezewa huduma karibu nao. Akizungumza katika Ofisi ya Afisa Madini Mkazi…