Latest Posts
‘Hali ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ni shwari’
Hali ya ulinzi na usalama katika mipaka ya Tanzania imeendelea kuwa shwari katika mwaka wa fedha 2025/26 licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali za kiusalama na miundombinu katika baadhi ya maeneo ya mipakani. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya…
Mfumo wa taarifa za maafa Zanzibar kuimarisha ulinzi wa jamii
NA FAUZIA MUSSA MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Moh’d Ali Abdalla amesema mfumo wa taarifa za maafa wa Zanzibar (ZDMIS) utakuwa mkombozi mkubwa kwa jamii katika kusaidia kupunguza na kuondosha changamoto zinazotokana na majanga mbalimbali. Akizungumza katika kikao cha…
Wananchi Morogoro wahimizwa kufanya ‘wiring’ kupokea umeme
Wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro wamehimizwa kufanya maandalizi ya kupokea huduma ya umeme kwa kutandaza nyaya kwenye nyumba zao (wiring) ili kujitayarisha na miradi inayoendela ya umeme kwenye vitongoji. Wito huo umetolewa leo Mei 19, 2026 na…
Wafanyabiashara waiomba Serikali kudhibiti wageni
Na Aziza Nangwa, Jamhuri Media, Dar es Salaam Wafanyabiashara wa spare za pikipiki nchini kupitia Chama cha Wauza Spare za Pikipiki Tanzania (CHAWASAPI), wameiomba serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara kusimamia kikamilifu sheria zinazodhibiti ushiriki wa wageni katika biashara…
Dk Yonazi atoa wito kwa wananchi kutumia vituo vya Maarifa kujua hali zao za afya
Na Mwandishi Wetu -Morogoro Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa wananchi kutumia Vituo vya Maarifa ili kupata huduma mbalimbali za afya na kufahamu hali zao za kiafya,…
Tanzania kujifunza kutoka China kuhusu mageuzi ya mashirika ya umma
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam Tanzania imeonesha nia ya kutumia uzoefu wa China katika mageuzi ya mashirika ya umma, ikiwa ni sehemu ya mkakati mpana wa serikali wa kuongeza ufanisi, faida na uwajibikaji katika uwekezaji wa umma. Nia…





