JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Miradi ya buluu Kaboni kunufaisha jamii ukanda wa Pwani

Serikali imesema utekelezaji wa miradi ya biashara ya kaboni hasa kaboni ya buluu utakapokamilika na mauzo kufanyika, itanufaisha jamii inayozunguka maeneo mengi ya Ukanda wa Pwani. Hayo yamesemwa bungeni jijini Dodoma leo Juni 16, 2026 na Naibu Waziri Ofisi ya…

Netanyahu: Uwezo wa nyuklia wa Iran umerudishwa nyuma

Netanyahu ameongeza kwamba bila ya operesheni kubwa za kijeshi zilizofanywa kwa pamoja na Marekani basi huenda Iran ingekuwa tayari inayo mabomu ya nyuklia na mamilioni ya Waisrael sasa wangekabiliwa na vitisho. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kampeni ya…

Trump: Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa Ijumaa

Kufunguliwa tena kwa njia hiyo muhimu kunaashiria hatua kubwa kuelekea kumaliza miezi kadhaa ya mzozo mbaya na msukosuko wa kiuchumi uliosababishwa na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran mwezi Februari. Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba meli…

CTI yafurahia mapendekezo 51 kuchukuliwa na Serikali Bajeti Kuu

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limepongeza Bajeti Kuu ya mwaka 2026/2027 ikisema kuwa kama itatekelezwa vizuri itasaidia kulinda na kustawisha viwanda vya ndani . Shirikisho hilo limesema serikali imechukua asilimia 50 ya mapendekezo ya wenye viwanda…

PSSSF yawaasa wabunge kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi za ndani kukuza viwanda, ajira

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)Fortunatus Makore Magambo, amewataka Wabunge nchini kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi zinazozalishwa Tanzania kwa kuzitumia na kuzitangaza, ili kuchochea ukuaji wa viwanda…