Latest Posts
Mfumo ufuatiliaji uchafuzi mazingira mbioni kukamilika
Na Mwandishi Wetu SERIKALI inakamilisha ufungaji wa mfumo wa kisasa wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira utakaowezesha kufuatilia viwango vya uchafuzi kwa wakati na kuchukua hatua za haraka dhidi ya wanaokiuka Sheria. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu…
Kamati yaipongeza Serikali hatua za kuiinua MSD
Kamati imeipongeza Serikali kwa hatua mbalimbali zinazoendelea kuchukuliwa kuiimarisha Bohari Kuu ya Dawa (MSD), ikiwemo ujenzi wa maghala makubwa pamoja na juhudi za kupunguza madeni yanayoikabili taasisi hiyo muhimu katika sekta ya afya nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa bungeni,…
Tanzania kuendelea kutumia akili unde katika kukabiliana na maafa
Na Mwandishi Wetu, Masvingo – Zimbabwe TANZANIA imesema itaendelea kutumia teknolojia ya Akili Unde (AI) katika kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa tahadhari za mapema na kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga mbalimbali. Hayo…
Mlao aielekeza TARURA Pwani kuharakisha kuiombea fedha barabara ya Picha Ndege -Boko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pwani MWENYEKITI wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Pwani, Mwinshehe Mlao, ametoa maelekezo kwa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) kuharakisha ujenzi wa barabara ya Picha Ndege–Boko Timiza (km 0.52) kwa kiwango cha…





