Latest Posts
Prof. Shemdoe awaasa vijana kuwa waadilifu, wazalendo wanapotumikia umma na taifa
Na OWM – TAMISEMI, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaasa vijana wa vyuo vikuu kuwa waadilifu na wazalendo pindi watakapoajiriwa Serikalini kuwatumikia wananchi au kupata…
Tanzania yachaguliwa mratibu ajenda ya Climate Mobility
Tanzania imechaguliwa kuwa Mratibu wa Nchi za Afrika katika Ajenda ya Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Mobility). Hayo yamejiri wakati wa Mkutano kuhusu Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Global Climate Mobility Forum) uliofanyika jijini Berlin, Ujerumani Juni…
Serikali yaahidi kusimamia haki za wakimbizi
Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kulinda,kusimamia na kutekeleza haki za binadamu ikiwemo haki za raia wa Tanzania na Wakimbizi kutoka nchi mbalimbali wanaohifadhiwa hapa nchini ambapo pia imesema itaendelea kusimamia Amani na Usalama ili madhira yanayotokea katika nchi nyingine yasitokee…
TBA yatekeleza mpango wa nyumba za gharama nafuu kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 inayolenga kuhakikisha wananchi wanapata makazi bora na ya gharama nafuu, Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umeendelea kutekeleza mpango wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu…
Serikali yaweka msingi imara wa uwezeshaji wanawake kiuchumi kupitia mradi wa PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Anna Athanas Paul, amewataka washiriki wa mafunzo ya utambuzi na uorodheshaji wa vikundi vya uzalishaji kiuchumi vya wanawake kufanya kazi kwa umakini na weledi ili…





