Latest Posts
Mgombea udiwani Kata Tandika kwa tiketi ya CCM ahaandi kushughulikia kero ya michango shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mgombea udiwani Kata ya Tandika Uzairu Abdul Athumani kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM amewaahindi wananchi endapo watampatia ridhaa ya kumpa kura za kishindo Oktoba 29,2025 atahakikisha anatatua kero zinazowakabili ikiwemo michango sumbufu…
Bilioni 51/- za mradi wa TACTIC kuongeza thamani ya Jiji la Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 51 katika halmashauri ya jiji la Mbeya ikiwa ni uendelezaji wa jiji hilo katika eneo la miundombinu ya barabara, masoko na stendi….
Wajasiriamali waliomba dawati maalum la uwezeshaji TRA kuwa mwarobaini wa kero zao
Na Jovina Massano, JamhuriMedia, Musoma WAJASIRIAMALI mkoani Mara waiomba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha wanatatua na kusikiliza kero pamoja na changamoto zao kupitia dawati maalum la uwezeshaji lililoanzishwa ili kushiriki kikamilifu katika ulipaji mapato. Wameyasema hayo wakati wa hafla…