Latest Posts
Picha za matukio mbalimbali msibani kwa Lukuvi
Wananchi mbalimbali wamejitokeza katika msiba wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Isimani wakati mwili wa marehemu Lukuvi ulipowasili Kijijini Kwake Kata ya Idodi, Wilaya ya Iringa mkoani…
Tanzania yashiriki mkutano wa 13 wa amani, uinzi, usalama wa EAC
Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu wa Sera za Mambo ya Nje umezikutanisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kujadili…
Kwaheri Lukuvi, tuombee, mbio za 2030 zimeanza
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mikumi Naandika makala hii nikiwa safarini kuelekea Ifakara. Jumamosi, Machi 28, 2026 nimepata fursa ya kushiriki mazishi ya kitaifa ya kaka na ndugu yangu, William Vangimembe Lukuvi. Nikiri nilimfahamu Lukuvi mwaka 1993, na hasa kuanzia mwaka…
TPBCA yatangaza ‘Boxing Media Day’ Aprili 15, walimu wa ngumi washauriwa kujipanga
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es Salaam Chama cha Makocha wa Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBCA) kimetangaza kufanyika kwa tukio maalum la Boxing Media Day litakalofanyika Aprili 15, 2026, likiwa na lengo la kuibua vipaji, kuhamasisha maendeleo ya mabondia,…
Kikwete akutana na timu ya mpira wa kikapu ya Dar City Afrika Kusini
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Panel of Elders – POE), na Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika…





