Latest Posts
Afrika50 yakutanisha marais nane kujadili hatma ya miundombinu Afrika
Na Immaculate Makilika – MAELEZO Tanzania imekamilisha maandalizi ya kuwamwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM and Infra for Africa Forum)utakaofanyika tarehe 5 hadi 6 Agosti, 2026 katika…
Mwakibinga : Tunahitaji mkulima apate thamani halisi ya nguvu aliyowekeza
Na WMA – Dodoma Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Wakala wa Vipimo (WMA), Christopher Mwakibinga, amesema kuwa Wakala hiyo inaendelea kutekeleza jukumu lake la kulinda haki za wakulima na watumiaji wa huduma mbalimbali kwa kuhakikisha vifaa vya vipimo vinavyotumika katika sekta…
Chalamila : Maandalizi mkutano wa Africa50 yakamilika
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amesema Serikali imekamilisha maandalizi ya mkutano mkuu wa wanahisa wa Africa50 na jukwaa la miundombinu kwa asilimia kubwa. Chalamila amesema mkoa umejipanga vyema, kuhakikisha…
AAWord watoa mafunzo ya mazingira kwa wanafunzi
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika lisilo la kiserikali la Active African Women in Research and Development (AAWORD) ,limetoa mafunzo ya utunzaji wa mazingira kwa wanafunzi zaidi ya 50 kutoka katika shule ya sekondari Keko Akizungumza na wakati…
Dk Biteko afurahishwa na utendajikazi wa Waziri wa Nishati, azindua jengo jipya la TANESCO Bukombe
Bukombe, Geita Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Biteko, amempongeza Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, kwa uongozi wake mahiri na usimamizi mzuri wa sekta ya nishati, akisema utekelezaji wa miradi unaonyesha dhamira ya Serikali ya kutekeleza kwa vitendo…
Halmashauri 39 zaanza kujibu hoja za CAG mbele ya LAAC
Na Do Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Hatua ya kuimarisha uwajibikaji katika matumizi ya fedha za umma imechukua sura mpya baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) kuanza kuwahoji viongozi wa halmashauri 39 kutoka mikoa 15…





