JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mkurugenzi Mkuu NSSF aongoza kutoa elimu ya hifadhi ya jamii soko la Tegeta Nyuki

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri kushindwa kujiunga na Mfuko huo kutokana na maboresho makubwa yaliyofanywa ambayo yanawawezesha kunufaika na…

TAKUKURU yakabidhi mashine za watoto njiti Hospitali ya Tumbi Pwani

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Bw. Crispin Francis Chalamila, amekabidhi mashine mbili za kuwahudumia watoto waliozaliwa kabla ya muda (watoto njiti) kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), ikiwa ni sehemu ya…

Trump: Makubaliano ya Greenland yamefurahiwa na kila mmoja

Rais wa Marekani donald Trump amesema kuwa amefikia makubaliano ya mkakati unaomridhisha kuhusu Greenland. Trump aliyasema hayo wakati ambapo pia amedai kuwa hatotumia nguvu kukichukua kisiwa cha Greenland na pia kudai kuwa hatoziwekea tena ushuru bidhaa za mataifa nane ya…

Tanzania, Hungary kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongeza hatua ya Hungary kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi na Tanzania, hasa kupitia utekelezaji wa miradi ya maji na maendeleo ya kijamii. Pongezi hizo zilitolewa na Katibu…

Kapinga achangia vifaa vya ujenzi shule za msingi Ugano na Kibandai A Mbinga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga amechangia vifaa vya ujenzi kwa Shule ya Msingi Ugano iliyopo Kata ya Kambarage na Shule ya Msingi Kibandai A iliyopo…

Sangu: e-Utatuzi italeta mapinduzi katika utoaji haki nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amesema kuwa mfumo mpya wa usajili wa mashauri ya usuluhishi na uamuzi kwa njia ya kidijitali unaofahamika kama e-Utatuzi,…