Latest Posts
Waziri Aweso ahimiza matokeo kwa watumishi sekta ya maji
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka watumishi wa Sekta ya Maji nchini kuthibitisha imani ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utendaji kazi wenye matokeo. Aweso ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma…
Milango ya uwekezaji nishati safi ipo wazi
Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe amesema milango ya uwekezaji wa nishati safi ya kupikia ipo wazi kwa wadau wanaotaka kuwekeza. Amesema hayo ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake na wadau…
Dk Kijaji : Tujali utu wa Mtanzania
Na Saidi Lufune, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dk. Ashatu Kijaji (Mb), amewataka watumishi wa wizara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kuhakikisha wanazingatia maslahi na utu wa Mtanzania wanapotoa huduma kwa wananchi. Dk. Kijaji ameyasema…
Mavunde: Tusimamie vyema rasilimali madini kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu
▪️Ni utekelezaji wa maagizo ya Mh Rais Samia juu ya Utekelezaji wa miradi kupitia rasilimali za nchi ▪️Asema Mradi wa Kuwaendeleza Wachimbaji Vijana, Wanawake Utatekelezwa* ▪️Dkt. Kiruswa – Matamanio ni kufikia Asilimia 15- 20 Mchango Pato la Taifa* ▪️Katibu Mkuu…
Uchunguzi wabaini kifo cha MC Pilipili kimetokana na kipigo
Kaka wa marehemu Emmanuel Mathias, maarufu kama MC Pilipili, amesema matokeo ya uchunguzi wa awali yanaonyesha kwamba kifo cha mdogo wake kilisababishwa na kupigwa na watu wasiojulikana, tukio lililompelekea kujeruhiwa vibaya na hatimaye kupoteza maisha. Aidha, amesema familia imepokea taarifa…





