Latest Posts
Prof. Kabudi : Uhuru wa vyombo vya habari umeimarika kwa kiasi kikubwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amesema kuwa serikali imekuwa ikitambua mchango wa vyombo vya habari kwa muda mrefu, tangu enzi za Mwalimu Nyerere. Alibainisha kuwa chini ya serikali…
Balozi Hamad akutana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Msumbiji
Balozi Hamad Khamis Hamad amekutana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Maria Benvinda Levy, Jijini Maputo tarehe 09 Julai, 2025 kwa ajili ya kujitambulisha. Mazungumzo ya viongozi hao, yalielekeza umuhimu wa kuimarisha Biashara ya mipakani na uboreshaji wa…
Biteko :Waandishi wa habari, vyombo vya ulinzi vitoe haki na usawa kwa wagombea wote
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa vyombo vya habari na vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuhakikisha vinatoa nafasi ya haki na usawa kwa wagombea wote kuelekea Uchaguzi Mkuu wa…
Sekta ya habari ni nyenzo muhimu katika kulinda na kudumisha amani kipindi cha uchaguzi – Dk Biteko
📌 Avitaka vyombo vya habari kuheshimu tofauti za maoni 📌 Aviasa vyombo vya habari kuwa kioo safi, visivyo na doa la uzushi wala upendeleo kuelekea Uchaguzi Mkuu 📌 Sekta ya habari yaahidi kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa weledi 📌 Serikali…
Kilo 37,197 za dawa za kulevya zakamatwa na DCEA, 64 mbaroni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KILO 37,197.142 za dawa za kulevya zimekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), katika kipindi cha mwezi Mei hadi Julai mwaka huu. Hayo yamesemwa leo na Kamishna Jenerali…
Norland na mkakati wa kuenea nchi nzima
Na Mwandishi wetu, Jamhuti, Media, Dar es Salaam Katika hali inayoonesha bidhaa zake kukubalika na watanzania wengi kampuni ya Norland Tanzania ambayo makao makuu yake yapo nchini Chna,imejipanga kujitanua na kuhakikisha inaendelea kutoa elimu kuhusiana matumizi ya bidhaa zao za…