Latest Posts
Mbinu mpya wauza dawa za kulevya kutumia vifungashio vya mbolea vyabainika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanikiwa kukamata kilo 11,031.42 za dawa mpya za kulevya aina ya Mitragyna Speciosa katika kipindi cha…
eGA yatumia Sabasaba kuelimisha umma kuhusu Mfumo wa e-Mrejesho, yajivunia Tuzo ya Kimataifa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Serikali Mtandao (eGA) imeendelea kuonesha namna ambavyo Serikali inavyotekeleza mageuzi ya kidigitali kwa lengo la kuboresha utoaji huduma kwa wananchi kupitia matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Akizungumza katika…
PURA yajivunia mafanikio katika Ajenda ya Nishati Safi na ushiriki wa Watanzania Sekta ya Mafuta na Gesi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema inajivunia utekelezaji wa agenda ya Nishati Safi ya kupikia iliyoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa…
Prof. Kabudi : Uhuru wa vyombo vya habari umeimarika kwa kiasi kikubwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amesema kuwa serikali imekuwa ikitambua mchango wa vyombo vya habari kwa muda mrefu, tangu enzi za Mwalimu Nyerere. Alibainisha kuwa chini ya serikali…
Balozi Hamad akutana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Msumbiji
Balozi Hamad Khamis Hamad amekutana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Maria Benvinda Levy, Jijini Maputo tarehe 09 Julai, 2025 kwa ajili ya kujitambulisha. Mazungumzo ya viongozi hao, yalielekeza umuhimu wa kuimarisha Biashara ya mipakani na uboreshaji wa…
Biteko :Waandishi wa habari, vyombo vya ulinzi vitoe haki na usawa kwa wagombea wote
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa vyombo vya habari na vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuhakikisha vinatoa nafasi ya haki na usawa kwa wagombea wote kuelekea Uchaguzi Mkuu wa…