JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makadinali 133 wajumuika Vatican kumchagua mrithi wa Papa

Makadinali 133 kutoka sehemu mbalimbali za dunia wamejumuika mjini Vatican kushiriki zoezi muhimu na la kihistoria la kumchagua papa atakayemrithi hayati Papa Francis aliyeongoza Kanisa Katoliki kwa miaka 12. Mjumuiko huu maarufu kama conclave umeanza shughuli hiyo katika kanisa dogola …

Tanzania, Zambia zakutana kujadili mpango kazi uimarishaji mpaka wa kimataifa

Na Munir Shemweta, WANMM SONGWE Kikao cha Kamati ya pamoja cha wataalamu wa Tanzania na Zambia kimeanza mkoani Songwe nchini Tanzania kujadili mpango kazi wa uimarishaji mpaka wa kimataifa baina ya nchi hizo. Kikao hicho kimeanza tarehe 5 Mei 2025…

Mama Ulega akabidhi gari, vifaa vya ujasiriamali kwa UWT Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (MCC), Mary Chatanda, amepokea mradi mkubwa wa vifaa vya ujasiriamali wa upishi na gari jipya kwa ajili ya kuimarisha utendaji…

Tanzania na mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi

Serikali ya Tanzania imetangaza mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi yanayolenga kuboresha usimamizi, kuchochea ukuaji wa uchumi, na kulinda haki za wananchi wake. Akizungumza katika siku ya pili Mkutano wa Kimataifa wa Sekta ya Ardhi ulioandaliwa na Benki ya Dunia…

Wazazi wanaotafuta haki ya ‘kifo cha huruma’ kwa mtoto wao aliye kitandani miaka 12

Nirmala Rana, mwenye umri wa miaka 60, ameketi kando ya kitanda cha mwanawe mwenye umri wa miaka 30, Harish. Mwaka 2013, Harish, akiwa mwanafunzi wa uhandisi wa ujenzi, alianguka kutoka ghorofa ya nne ya jengo katika jiji la kaskazini mwa…