JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi wilayani Arumeru wachangamkia majiko ya gesi ya ruzuku

📌Waipongeza Serikali kwa kuja na mpango huo Wananchi wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha wameipongeza Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa mradi wa usambazaji na uuzwaji wa majiko ya gesi ya kilo sita kwa bei ya ruzuku ya…

Polisi yawanasa wanne kwa tuhuma za jaribio la kumteka Tarimo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la wahalifu wanane wanaotuhumiwa kula njama kwa pamoja na baadae kufanya tukio la kumteka mfanyabiashara, Deogratius Tarimo. Novemba 11, 2024 eneo…

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi awavisha nishani askari JWTZ Tanga

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali Majenerali, Maafisa na Askari wa…

Tanzania yapendekeza miradi ya mazingira

TANZANIA imekabidhi mapendekezo ya maandiko ya mradi 3, kwa ajili ya kuombea fedha kutoka katika Mfuko wa Hasara na Upotevu unaosababishwa na Athari za Mabadiliko ya Tabianchi. Hayo yamejiri wakati Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Christina…

Anne Makinda kuwatunuku wahitimu 264 HKMU

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAHITIMU 264 wa Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU) wanatarajiwa kutunukiwa shahada zao wakiwemo 115 wa binadamu wakati wa mahafali ya 22 siku ya Jumamosi. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar…