JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Akiba Commercial Bank yazawadia washindi wa Kampeni ya Twende Kidijitali tukuvushe Januari

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Akiba Commercial Bank imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni “twende kidigital tukuvushe Januari” na imewahimiza kuendelea kutumia huduma zake za kidijitali kama vile ACB Mobile, Internet Banking, ACB VISA Card, na ACB Wakala ili…

Uwezo wa mitambo ya kufua umeme wafikia megawati 3,091.71 – Kapinga

📌 Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini 📌 Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua…

Lwaitama : Tukijichanganya baada ya uchaguzi tutafutwa

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mzee Azavel Lwaitama amewataka wanachama cha Chama hicho kuzingatia umoja wao hasa baada ya uchaguzi kumalizika, kwani migogoro ya ndani inaweza…

Tujiepushe na ulevi wa ushindi – Lwaitama

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mzee Azavel Lwaitama amewataka wanachama cha chama hicho kuzingatia umoja wao hasa baada ya uchaguzi kumalizika, kwani migogoro ya ndani inaweza…

Msigombanie uongozi kwa ajili ya ubunge na udiwani

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewataka wanachama wake kuhakikisha chama chao wanakwenda kujibu maswali ya kijamii katika maeneo wanayoishi, na si kila siku kujibu maswali ya kisiasa. Mbowe…

Mgeja :Tunawatakia heri wana-CCM kumpata Makamu Mwenyekiti

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja, amewatakia heri wana-CCM katika mkutano mkuu wa kumpata kushika mikoba ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Abdulahman Kinana. Akizungumza leo Januari 16,…