JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TEA Yafungua milango ya elimu bora Pemba

PEMBA — Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bw. Khamis Abdulla Said, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kuendelea kufadhili miradi ya maendeleo ya elimu Unguja…

Vuli 2026 na tishio la El Niño; tusisubiri mafuriko ndipo tujiandae

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu msimu wa mvua za Vuli 2026, unaotarajiwa kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na hali ya El Niño. Kwa mujibu wa TMA, maeneo mengi ya…

Uwekezaji unaofanywa na Serikali katika afya ya msingi ndio msingi wa afya kwa wote – Prof. Shemdoe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imesisitiza kuwa inaendea kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa vifaa tiba katika ngazi ya Afya ya Msingi, ikiwa ni hatua muhimu ya kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora za afya kwa wakati….

TMDA yanasa shehena ya dawa zisizosajiliwa JNIA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba nchini (TMDA) imefanikiwa kunasa shehena mbili kubwa za dawa na vifaa tiba zisizosajiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Terminal 3, zenye thamani…