JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, kufuatia kukamilika kwa muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa…

Serikali yasisitiza katazo la mifuko ya plastiki

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imewakumbusha wadau wote nchini wanaohusika na uingizaji, uzalishaji, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko ya plastiki kuwa katazo hilo bado lipo na kuwataka wananchi kufuata wajibu huo na kutekeleza kama ilivyo kwa serikali…

Afrika50 yakutanisha marais nane kujadili hatma ya miundombinu Afrika

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Tanzania imekamilisha maandalizi ya kuwamwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM and Infra for Africa Forum)utakaofanyika tarehe 5 hadi 6 Agosti, 2026 katika…

Mwakibinga : Tunahitaji mkulima apate thamani halisi ya nguvu aliyowekeza

Na WMA – Dodoma Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Wakala wa Vipimo (WMA), Christopher Mwakibinga, amesema kuwa Wakala hiyo inaendelea kutekeleza jukumu lake la kulinda haki za wakulima na watumiaji wa huduma mbalimbali kwa kuhakikisha vifaa vya vipimo vinavyotumika katika sekta…