Latest Posts
Tanzania yasisitiza ushirikiano kikanda kuongeza thamani ya almasi
Tanzania imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa Kikanda katika kuongeza thamani Madini ya Almasi, uwazi katika usimamizi wa rasilimali madini na kuimarisha mchango wa Sekta ya Madini katika maendeleo ya uchumi wa nchi wanachama Zinazozalisha Madini ya Almasi Afrika (ADPA). Hayo…
TANROADS yarejesha barabara zilizoathiriwa na mafuriko
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeendelea kutekeleza kazi kubwa ya kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja iliyoharibiwa na mvua za El-Nino pamoja na Kimbunga Hidaya, hatua iliyosaidia kurejesha mawasiliano na shughuli za kijamii na kiuchumi katika…
Chalamila awahidi Dar City milioni 50/- wakiitoa Petro de Luanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameahidi kutoa kitita cha shilingi milioni 50 kwa timu ya Basketball ya Dar City Club iwapo itaibuka na ushindi katika hatua ya robo fainali…
Waziri Mkuu aagiza mapitio ya mfumo wa mabaraza ya ardhi
▪️Asema migogoro ya ardhi inahitaji suluhisho la kudumu la kitaasisi ▪️Asisitiza mifumo ya utatuzi wa migogoro iimarishwe WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya utatuzi wa migogoro ya ardhi nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa…
Mradi wa njia ya kusafirisha umeme Chalinze –Dodoma kukamilika Agosti 2026 : MD Twange
📌Utekelezaji wa Mradi wafikia asilimia 82.5 📌Shilingi bilioni 514 kutumika ajili utekelezaji wa mradi 📌 Amtaka Mkandarasi kuongeza kasi mradi huo wa kimkakati ukamilike kwa wakati Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme…
Mwanafunzi ajifungulia chooni na kukitupa kichanga, Polisi wamdaka Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Kibindu ,wilayani Chalinze ,mkoani Pwani amejifungua mtoto wa kike kisha kumtupa kwenye shimo la choo cha mabweni ya wanafunzi wa kike, katika tukio lililoibua taharuki shuleni hapo…





