Latest Posts
Rais Samia afanye hivi …
Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa kisiwa cha amani katika bahari yenye misukosuko ya migogoro barani Afrika. Tulijenga taifa letu juu ya misingi ya haki, utu, na umoja. Hizi ni tunu ambazo Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliziita nguzo za uhai wa…
Wachimbaji wadogo wa Madini Simiyu wapaza sauti : Tunaweza Tukipewa Umeme na Mikopo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu WACHIMBAJI Wadogo wa Madini wa Mkoa wa Simiyu wameiomba Serikali pamoja na taasisi za kifedha kuwaunga mkono kwa kuwapatia umeme wa kudumu na mikopo yenye masharti nafuu, wakisema changamoto hizo zimekuwa kikwazo kikubwa katika kuongeza…
Mama Tanzania!!
Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mama Tanzania analia. Sauti yake haina maneno, lakini kila anayejua kusikia huzuni anaweza kuisikia kwa undani. Ni kilio cha nchi iliyowahi kuwa mfano wa amani, heshima na utu barani Afrika, sasa ikikabiliwa na…
FTK yaanzisha mpango wa kuelimisha watumishi wa umma kuhusu afya ya akili Moshi
Na Kija Elias, JakhuriMedia, Moshi Shirika lisilo la kiserikali la Foundation for Community Transformation in Kilimanjaro (FTK), linalojihusisha na shughuli za maendeleo ya jamii, limeanzisha mpango maalumu wa kuelimisha watumishi wa umma na wanajamii kuhusu masuala yanayohusiana na afya ya…
Watanzania waonesha uwezo katika kampuni za ubia
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam Kwa muda mrefu, kampuni nyingi za ubia kati ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji wa kimataifa ziliongozwa na wataalamu kutoka nje ya nchi. Lakini sasa, upepo umegeuka, baadhi ya kampuni hizo zinaongozwa na…
Tulinde afya zetu kuleta tija katika utumishi – Wakili Mpanju
Na Witness Masalu WMJJWM-Dodoma. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju amesema Serikali inaendelea kuimarisha mazingira ya utendaji kazi kwa watumishi wa umma ili kuongeza tija katika utumishi wao Akitoa…





