Latest Posts
Baraza jipya la madiwani Bukoba laapishwa
Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba imefanya kikao cha Baraza la madiwani , kikiambatana na zoezi la kuapisha kwa madiwani pamoja na uchaguzi Makamu Mwenyekiti wa baraza, chini ya Hakimu Gisella Jovinus Mangula. Katika hotuba yake, Katibu Tawala wa Wilaya ya…
Utekelezaji mradi wa ‘BOLD’ wavutia wadau sekta kilimo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Wadau mbalimbali wa maendeleo katika sekta ya kilimo hapa nchini wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ‘Biodiversity for Opportunities, Livelihoods and Development’ (BOLD), unaolenga kuinua sekta ya mbegu kwenye nchi zaidi ya 50 duniani ikiwemo…
RC Ruvuma afungua maktaba ya mkoa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas,amefungua Maktaba ya Mkoa wa Ruvuma baada ya kusimama kutoa huduma kwa miaka mitatu mfululizo kutokana na uchakavu wa majengo yake. Akizungumza na wanafunzi,wananchi na wafanyakazi wa…
Wakili Mpanju: Jamii iwalinde, kuwezesha wenye ulemavu
Na WMJJWM- Morogoro NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju ameitaka jamii kuwawezesha watu wenye ulemavu ili waweze kuishi kwa amani na kushiriki katika maendeleo na kuzifikia haki zao za msingi….
Waziri Mavunde, Perseus wajadili maendeleo mradi wa Nyanzaga
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni mama ya Perseus na Mkurugenzi wa Bodi ya Mradi wa Nyanzaga, Bi. Lee-Anne de Bruin ambao ni wawekezaji kwenye mgodi wa uchimbaji wa dhahabu…
TFS yaungana na nchi sita kuboresha ufuatiliaji hewa ukaa kupitia miti iliyo nje ya misitu
Tanzania, kupitia Wakala wa Huduma za Misitu (TFS), imeungana na nchi nyingine za Afrika katika warsha ya kimataifa iliyojadili mbinu mpya za kupima na kufuatilia kiwango cha hewa ukaa kinachofyonzwa na miti inayoota nje ya misitu, maarufu kama Trees Outside…





