JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Shabiki mashuhuri duniani wa klabu ya soka ya Manchester atua Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Shabiki mashuhuri duniani wa klabu ya soka ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent atua Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuanza ziara ya ‘ki-Royal Tour’ hifadhini humo leo tarehe 28. Januari, 2026.

Serikali yakabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya bilioni 23.4 kwa miradi ya umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imekabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya shilingi bilioni 23.4 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji , huku Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) ikipongezwa kwa kazi kubwa inayofanya kuhakikisha sekta ya Umwagiliaji…

Msajili wa Hazina azindua Mpango Mkakati wa NMB 2026–2030

Na Mwandishi wa OMH Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2030 (Agenda 2030). Akizungumza wakati wa uzinduzi huo unaolenga kuboresha utendaji kazi wa benki hiyo,…

Madaktari wafanikiwa kurejesha uume uliokatwa nchini Ethiopia, watumia saa 9 kurejesha

Madaktari katika hospitali ya Alert huko Addis Ababa wamefanikiwa kurudisha uume uliokatwa wa kijana mmoja baada ya upasuaji wa saa saba. Dkt. Abdurrezak Ali, mkuu wa Idara ya Upasuaji na Urekebishaji, aliambia BBC kwamba mgonjwa huyo alijiumiza usiku wa manane…

Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa jela miezi 2

Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini aliyeondolewa madarakani amehukumiwa kifungo cha miezi 20 jela kwa kupokea rushwa kutoka kwa Kanisa la Unification lenye utata. Hata hivyo, mahakama ilimsafisha Kim Keon Hee mwenye umri wa miaka 52 kwa mashtaka…

Mradi wa BOOST waimarisha elimu ya awali na msingi shule ya msingi Mwakidila

Na OWM– TAMISEMI, Tanga Shule ya Msingi Mwakidila, iliyopo Kata ya Tanga, Halmashauri ya Jiji la Tanga, imefanyiwa maboresho makubwa ya miundombinu na ufundishaji kupitia Mradi wa BOOST, hatua iliyoongeza ufanisi wa elimu ya awali na msingi pamoja na kuvutia…