JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Mwigulu : Serikali kuangalia upya sheria za uhifadhi na mipaka na hifadhi

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Serikali inayowajibika kwa wananchi na ipo tayari kuyafanyia kazi maoni yote yaliyotolewa na Wabunge kuhusu Sekta ya Maliasili na Utalii. Waziri…

TMA, BRAC wajadili mikakati kuimarisha taarifa za hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na BRAC Maendeleo Tanzania walifanya kikao Makao Makuu ya TMA jijini Dodoma, wakijadili mikakati ya kuimarisha usambazaji na matumizi ya taarifa za hali ya hewa nchini. Kikao hicho…

DUCE, Global Education Link waungana kuwaandaa vijana kwa maisha ya baadaye

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) na Wakala wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) wamesaini ya kuwatafutia fursa mbalimbali za kilaaluma wanafunzi a chuo hicho. Makubaliano hayo…

Baraza la Mawaziri la EAC kukutana kwa dharura jijini Arusha

Maandalizi ya Mkutano wa 60 wa Dharura wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), unaotarajiwa kufanyika tarehe 22 Mei 2026, yameanza rasmi kupitia vikao vya ngazi ya wataalamu vinavyoendelea kuanzia tarehe 18 hadi 20 Mei 2026 katika…