JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jukwaa la Biashara la Viwango kufanyika Juni 5 Mlimani City

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Viwango Tanzania limeandaa Jukwaa la Biashara la Viwango (Viwango Business Forum) litakalofanyika Juni 5, 2026 katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, likiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 50…

Tanzania yashiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji wa Viwango vya Kazi, Geneva

Na: OWM (KAM) Tanzania imeshiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji wa Viwango vya Kazi kinachoendelea jijini Geneva, Uswisi, ikiwa ni sehemu ya Mkutano Mkuu wa 114 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO). Katika kikao hicho kilichifanyika leo Juni 2, 2026…

Walimu 3,153 washiriki shindano la stadi za ufundishaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetangaza kuwa jumla ya walimu 3,153 wamejisajili kushiriki Shindano la Taifa la Nne la Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Shule za Awali na Msingi pamoja na Shindano la…

WIPO, BRELA na COSTECH Kuzindua Mradi wa Kupunguza Gharama za Mbolea na Chakula cha Mifugo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam Shirika la Dunia la Haki Miliki, WorldIntellectual Property Organization (WIPO) kwa kushirikiana na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) pamoja na Nelson Mandela African…

Wizara ya Fedha yaomba trilioni 21.3 kwa bajeti ya 2026/27

Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Dodoma Dodoma 2 Juni, 2026: Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/27….

Serikali kuimarisha mifumo ya usimamizi ya wa maafa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro SERIKALI imeendelea kuimarisha mifumo ya uratibu, kujiandaa na kukabiliana na maafa ili kuhakikisha misaada ya kibinadamu inayotolewa inawafikia walengwa kwa wakati, ufanisi na kwa kuzingatia viwango vya kimataifa. Hayo yameelezwa leo tarehe 02 Juni, 2026…