JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

EWURA Kanda ya kati yatoa wito kuhusu leseni za mafundi umeme maonesho ya Nanenane

Na Mwandishi Wetu Meneja Kanda ya Kati wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Bi. Hawa Lweno, ametoa wito kwa mafundi umeme kutembelea banda la Mamlaka hiyo katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya John…

Vi Agroforestry yasema kilimo misitu ni suluhisho uhaba wa chakula

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SHIRIKA la Vi Agroforestry Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wake akiwemo Tanzania Alliance for Biodiversity (TABIO), limeendelea kutumia Maonesho ya Nanenane kuhamasisha matumizi ya kilimo misitu kama suluhisho la kuongeza uzalishaji wa chakula, kuboresha lishe,…

Mashili ampongeza Rais Samia kwa mapinduzi ya huduma za afya, achangia mil.10.5/- Chuo cha Uuguzi Nzega

📌ACHANGIA KWA AJILI YA KICHOMEA TAKA (INCINERATOR) CHUO CHA UUGUZI NZEGA 📌 ACHANGIA KWA AJILI YA UNUNUZI WA JENERETA CHUO CHA UUGUZI NZEGA Nzega, Tabora Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusogeza huduma za afya karibu na wananchi kupitia ujenzi wa vituo…

Kikwete ataka nchi za Afrika kujiandaa na miundombinu kwa vijana

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Kikwete amesema kwa sasa Africa inatakiwa kujiuliza kama miundo mbinu inayojengwa Leo inaendana na mahitaji ya uchumi wa siku zijazo kwasababu ifikapo mwaka 2030 kutakuwa…

JUBILEE Group Tanzania yazindua ukuta wa Shule ya Msingi Madenge kuimarisha usalama na mazingira ya kujifunzia

JUBILEE Group Tanzania imezindua rasmi ukuta uliojengwa kuzunguka Shule ya Msingi Madenge iliyopo Temeke, Dar es Salaam, kwa lengo la kuimarisha usalama na kuondoa changamoto ya usumbufu uliokuwa ukisababishwa na wapita njia, hali iliyokuwa ikiathiri mazingira bora ya kufundishia na…

Daraja la Bilioni 1.2/- kuondoa kero ya usafiri Kilosa

Na OWM–TAMISEMI, Kilosa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa watanufaika na Shilingi Bilioni 1.2 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya ujenzi wa daraja la kisasa…