JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sangu azitaka kampuni kuzingatia sheria za kazi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu ameagiza kampuni zote nchini kuzingatia kikamilifu sheria za kazi na kuhakikisha wafanyakazi wanalipwa stahiki zao kulingana na viwango vilivyoainishwa katika Sheria za kazi. Aidha, amesisitiza pia…

Dugange azitaka halmashauri kununua magari ya taka, kujenga madampo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Halmashauri nchini zimetakiwa kuzingatia usimamizi wa taka kwa kutenga bajeti kwa ajili ya kununua magari ya kubebea taka na kujenga madampo yatakayotumika kwa ajili ya ukusanyaji wa taka hizo. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…

Uhamiaji Pwani yadhibiti mianya ya njia za panya, wahamiaji 1,479 wakamatwa mwaka 2025

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Uhamiaji Mkoa wa Pwani, imejidhatiti kuimarisha doria na misako, na kuweka maofisa wa uhamiaji katika ngazi ya kata ili kudhibiti raia wanaoingia au kupita mkoani humo bila kuwa na vibali halali. Hatua hiyo inalenga kuongeza…

Ngome ya wanawake ACT Wazalendo Machi 8 kuweka tabasamu kwa makundi mbalimbali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Ikiwa imesalia siku kadhaa ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika Machi 8 kila mwaka Ngome ya Wanawake ya Chama cha ACT-Wazalendo imesema siku hiyo wataifanya kwa kipekee kwa kuweka tabasamu kwa…

Intracom kujenga mitambo mitatu zaidi kuongeza uchakataji wa madini ya Phosphate

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara MGODI wa Itracom Fertilizers Limited unaojihusisha na uchimbaji na uchakataji wa madini ya phosphate uliopo katika eneo la Vilima Vitatu Wilayani Babati Mkoani Manyara umeanza ujenzi wa mtambo mpya mkubwa wa kuchakata madini hayo kwa…

Serikali yajivunia mafanikio sektavya uchukuzi

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar Serikali imesema sekta ya uchukuzi ,imeendelea kukua kwa kuongeza patola taifa kutoka asilimia 7.1 hadi 7.5 kwa mwaka 2024. Taarifa hiyo imetolewa na Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu…