JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Moto wazua taharuki jengo la NSSF Posta Dar

engo la gorofa tisa linalomilikiwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa ya Jamii (NSSF), lililopo eneo la Posta jijini Dar es Salaam, limenusurika kuungua baada ya moto kuibuka na kusababisha hataruki kubwa. Taharuki hiyo imetokea leo Januari 16, 2026 majira…

Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siku za karibuni, sauti za vijana waliotaka kuandamana zilisikika kwa nguvu katika mitaa na kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii. Sauti hizi, bila kujali mtu anazipokea kwa hisia zipi, zina ujumbe mmoja…

Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini barani Afrika

●Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uongezaji thamani madini Afrika. ●Yashauri kuhusu ushirikiano wa kikanda na kisekta. Riyadh, Saudi Arabia Tanzania imetambua shughuli za uongezaji thamani madini kama nguzo muhimu ya kuleta maendeleo endelevu ya kiuchumi na kijamii lengo kubwa ikiwa…

‘Ufuatiliaji na tathmini ya miradi ya maendeleo linafanyika kwa ufanisi ‘

Na Mwandishi Wetu, Iringa ‎Imeelezwa kuwa zoezi la uandaaji Utekelezaji wa miongozo ya ufuatiliaji na Tathmini Serikalini kunachangia kuongeza kasi ya Ukamilishaji wa Miradi ya Maendeleo kwa kuzingatia mchango wake katika kurahisisha shughuli za utekelezaji wa miradi mbalimbali na kujiletea…

‎Serikali inathamini ustawi wa watoto nchini

Na Witness Masalu- WMJJWM, Dodoma ‎Serikali inathamini ustawi wa watoto nchini hususan wanaoishi katika mazingira magumu. ‎Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Vijana,Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma Kisuo katika hafla ya ugawaji wa bima za afya…