JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ofisi ya Waziri Mkuu yaomba trilioni 12.5 kwa Bajeti 2026/202

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk.Mwigulu Lameck Nchemba, amewasilisha Bungeni mpango wa mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2026/2027, akiomba zaidi ya shilingi trilioni…

Zaidi ya bilioni 517 kuboresha miundombinu ya barabara Dar es Salaam kupitia DMDP II

‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam‎‎Zaid ya Bilioni 517 zimeelekezwa kuboresha miundombinu ya barabara Mkoa wa Dar es Salaam kupitia Mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili (DMDP II) hatua inayolenga kuondoa changamoto ya usafiri…

Bei ya mafuta yapanda kutoka sh 2, 864 hadi 3,820 nchini

Bei ya mafuta ya petroli imepanda kwa kiwango kikubwa ambapo kwa Jiji la Dar es Salaam imepanda toka shilingi 2,864 kwa lita mwezi Machi hadi kufikia shilingi 3,820 kwa lita mwezi Aprili 2026, kulingana na taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya…

Uzinduzi mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2026 kufanyika Kusini Pemba

Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 unafanyika Mkoa wa Kusini Pemba, ukiwa ni mwanzo wa safari ya kuhamasisha maendeleo, uzalendo na mshikamano wa kitaifa. Uzinduzi huo utafanyika uwanja wa Gombani, Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba kuanzia…

Shemdoe awasilisha randama ya makadirio ya mapato na matumizi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewasilisha randama ya makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2026/27. Mhe. Prof. Shemdoe…

Athari za vita Iran zaongeza bei ya petroli duniani

Tangu vita vilipoanza, bei ya pipa moja la mafuta ghafi imepanda kutoka dola 73 hadi takribani dola 117 kwa sasa. Kwa kawaida, kupanda kwa bei ya jumla ya nishati huonekana kwanza kwenye vituo vya mafuta, na hali hii inaonekana kote…