Latest Posts
Akofu Mstaafu Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, amefariki
Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, amefariki dunia leo tarehe 19 Februari 2026 majira ya saa 4:00 usiku. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, Kardinali Pengo amefariki akiwa anapatiwa matibabu katika Taasisi ya…
Kamati ya Bunge yaita wawekezaji ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa CNG
📌 Yapongeza kasi ya Serikali ujenzi wa vituo vya CNG Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, kupitia Mwenyekiti wake Mhe. Subira Mgalu, imetoa wito kwa wawekezaji kuunga mkono Serikali katika ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa…
Dk Mwigulu aipa Wizara ya Maji wiki mbili
*Ni kwa ajili ya kukamilisha Mchakato wa kumpata mkandarasi mradi wa maji kutoka ziwa Chala. *Aitaka Wizara ya Fedha kufatuta fedha za malipo ya awali kuanza kwa ujenzi wa barabara Holili(Rotima)-Tarakea(Nayemi) Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameipa Wizara ya Maji…
Umoja wa Mataifa wataka mkataba wa amani Gaza uwe wa kudumu
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeyataka makubaliano ya kusitisha vita Gaza yawe ya kudumu. Baraza hilo vile vile limeikosoa hatua ya Israel ya kutanua udhibiti wake katika Ukingo wa Magharibi kama kitisho kwa juhudi za kupatikana kwa suluhisho…
CCT yapongeza juhudi za Serikali kujenga mahusiano
Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) imepongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kukuza ari ya Mahusiano miongoni mwa jamii ya kitanzania hatua itakayosaidia kuleta utengamano na mshikamano wa kidugu. Hatua hiyo imekuja kupitia kikao kazi cha Waziri wa…





