JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi watahadharishwa kutumia vyombo vilivyoidhinishwa kubeba abiria

Na Mwishi Wetu, JamhiluriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limewataarifu wananchi wanaotumia usafiri kwa njia ya maji kutumia vyombo vya usafiri majini vilivyoidhinishwa kubeba abiria na kuepuka kupanda vyombo vya mizigo ambavyo haviruhusiwi kubeba abiria….

Serikali Kuifanya Tanzania kitovu cha biashara – Dk Yonazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amesema Serikali imefanya juhudi mbalimbali za Kisera, Sheria na Kimkakati ili kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki…

Mchehu azitaka kampuni ambazo Serikali ina hisa chache kukumbatia uongozi wa kimkakati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye uongozi wa kimkakati unaotazama…

Bilioni 19.6 za mradi wa TACTIC kuleta mageuzi ya kijamii na kiuchumi Lindi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali imeanza utekelezaji wa mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaolenga kukuza uchumi na kuboresha maisha ya wananchi katika Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. Hayo yameelezwa na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi…

Makamu wa Rais akishiriki Misa Takatifu ya kuombea hayati JPM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiungana na Viongozi pamoja na Wananchi mbalimbali katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri…