Latest Posts
Waziri Kairuki : Masuala ya mji na jinsia yashughulikiwe kwa pamoja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Jamii imetakiwa kushughulikia masuala ya maji na jinsia kwa pamoja ili kufungua njia za uwezeshaji, usawa, na maendeleo endelevu katika upangaji na utekelezaji wa miradi na sera ya Sekta ya Maji. Waziri wa Mawasiliano na…
Serikali yajipanga kutatua changamoto za mazingira ya biashara nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) mesema kuwa imejipanga kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika mazingira ya biashara nchini ili kuendelea kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, hatua itakayosaidia kukuza…
Waziri Shariff : Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeweka mazingira rafiki katika sekta binafsi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeweka mazingira rafiki katika sekta binafsi kwa lengo la kuimarisha vivutio vya uwekezaji, kukuza ushirikiano kupitia ubia wa sekta ya umma na binafsi (PPP) katika miradi ya kimkakati. Akizungumza na…
Dk Nchimbi mgeni rasmi kumbukizi miaka mitano ya hayati John Magufuli
Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, itakayofanyika kesho tarehe…
Safari za ndege Dubai zarejea
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dubai umerejesha huduma zake leo baada ya kufungwa kwa muda kufuatia moto uliotokea katika tanki la mafuta uliosababishwa na shambulizi la droni. Tukio la kuwaka moto kwa tanki la mafuta, ambalo halikusababisha majeruhi, ni…




