Latest Posts
Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA ni mkakati wa kujenga vijana wenye afya bora -Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA ni sehemu ya mkakati wa taifa wa kujenga vijana wenye…
Ziara ya Rais Samia Urusi imethibitisha hatufungamani upande wowote -Wasira
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema ziara ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan inathibitisha dhamira CCM nchi kutofungamana na upande wowote. Amesema waasisi wa taifa wakiongozwa na Mwalimu Julius Nyerere, waliitaka Tanzania kuwa katikati…
Bandari za Tanzania zashuhudia ukuaji mkubwa wa mizigo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfumo wa bandari za Tanzania umeingia katika hatua mpya ya ukuaji wa biashara baada ya takwimu za hivi karibuni kuonesha ongezeko kubwa la Shehena za magari, makontena na mizigo ya kichele inayopitishwa bandarini….





