JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali kuimarisha upatikanaji haki kupitia Kampeni ya Msaada wa kisheria Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imepanga kuanza awamu ya pili ya kampeni ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia itakayofanyika kuanzia Mei 1 hadi 15, 2026 katika Mkoa wa Dodoma, kwa lengo la kuwafikia wananchi wengi zaidi na…

UNESCO, MAIPAC waja na mwongoza kwa wanahabari, watengeneza maudhui jamii za pembezoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia jamii za pembezoni (MAIPAC) na Idara ya Habari Maelezo, wanaandaa mwongozo kwa ajili ya watengeneza maudhui katika…

Serikali yawasilisha mipango 1, 082 ya ushirikishwaji wa Watanzania sekta ya madini

*Ni kipindi cha mwezi Julai 2025 hadi Machi 2026, Watanzania 19,695 waajiriwa katika migodi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Madini imefanikiwa kuwasilisha Mipango 1,082 ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini katika kipindi cha Julai…

Pikipiki, Bajaji zisishikiliwe kwa makosa ya faini – Dk Mwigulu

WAZIRI MKUU Dk. Mwigulu Nchemba amesema vyombo moto vinavyotumika katika kujipatia kipato vikiwemo pikipiki na bajaji visishikiliwe kwa makosa madogo pale mhusika anapotambulika badala yake viachwe kwa wahusika ili wavifanyie kazi na kupata fedha za kulipa faini. Mheshimiwa Waziri Mkuu…

Watoto wachomwa moto kisa wizi wa ndizi, Sh 2,000

Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuwafanyia ukatili wa kinyama watoto kwa kuwachoma moto na kuwasababishia majeraha na maumivu makali. Watuhumiwa hao ni Fortunatus Benezet Mawela (60), mkazi wa kijiji cha Singiwe Wilaya ya…

Tusiwaachie walimu malezi, tujenge desturi ya kuwatembelea watoto shuleni

Shule ni taasisi muhimu kwa watoto kukuzwa kiafya ya akili na mazingira, kila mzazi anapompoleka mtoto shule huwa anajukumu la kuhakikisha mahitaji muhimu ya kujifunzia ikiwemo, sare za shule, daftari karamu na mahitaji mengine mtambuka. Walimu hutimiza majukumu yao kwa…