Latest Posts
Makamu wa Rais akizungumza na mama Janeth Magufuli
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mama Janeth Magufuli ambaye ni mjane wa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati alipomtembelea…
Ulega: Daraja la Mkuyuni limeanza ‘kulipa’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza tayari kumeanza kuonyesha matunda katika siku zake za awali. âAkizungumza na wananchi mara baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo…
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki lamuapisha Balozi Kombo kuwa mbunge
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) limemuapisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) kuwa Mbunge katika Bunge hilo leo tarehe 16 Machi 2026 katika mkutano Maalum wa Bunge la Tano…
Waziri Kairuki : Masuala ya mji na jinsia yashughulikiwe kwa pamoja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Jamii imetakiwa kushughulikia masuala ya maji na jinsia kwa pamoja ili kufungua njia za uwezeshaji, usawa, na maendeleo endelevu katika upangaji na utekelezaji wa miradi na sera ya Sekta ya Maji. Waziri wa Mawasiliano na…
Serikali yajipanga kutatua changamoto za mazingira ya biashara nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) mesema kuwa imejipanga kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika mazingira ya biashara nchini ili kuendelea kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, hatua itakayosaidia kukuza…





