Latest Posts
Wanasiasa wapewa wito kuwa mabalozi bora wa mahusiano baina ya serikali na jamii
Na Mwandishi Wetu – ORPP, Morogoro Wanasiasa waombwa kuwa mabalozi wazuri wa mahusiano baina ya Serikali na makundi mbalimbali ya kijamii katika kuimarisha mshikamano, amani, haki,upendo na utulivu katika kuendeleza umoja wa kitaifa na ustawi wa jamii. Rai hiyo imetolewa…
Mwigulu awasili Mwanza kuhudhuria kilele cha Maadhimisho Siku ya Ziwa Victoria
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria yatakayofanyika katika viwanja vya Nanenane Nyamhongolo jijini Mwanza. Maadhimisho hayo yanaongozwa na…
Tanzania yatoa wito wa ushirikiano imara na kuvuka mipaka kutokomeza maralia
Na John Mapepele, Geneva, Uswisi Waziri wa Afya wa Tanzania, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, ametoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wa kikanda katika mapambano dhidi ya malaria na Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDs), katika kikao maalum cha ngazi ya juu kilichofanyika…
Mabadiliko ya teknolojia yasiwaache viongozi nyuma
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Viongozi wametakiwa kubadilika kulingana na teknolojia ya sasa na kuacha kuwa kiongozi anayeshangaa mabadiliko ili kuendana na kasi ya ulimwengu kwa kuchochea ubunifu na uvumbuzi. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi, Padri John Kasembo leo…
Miradi ya Chuma Njombe kutikisa uchumi, maelfu ya ajira kunukia Ludewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji na uchakataji wa madini ya chuma inayolenga kufungua maelfu ya ajira, kukuza biashara za ndani na…
Mwigulu atatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 51 Rombo
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametatua mgogoro wa ardhi kati ya Parokia ya Mtimhoo ya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi na Mzee Peter Morisi wa Kijiji cha Msaranga, Wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, uliodumu kwa kipindi cha miaka 51….





