JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaelimisha wananchi biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha elimu ya upandaji miti inatolewa kwa wanachi hususan wale wa vijijini ili waweze kushiriki vizuri katika biashara…

DC Mpogolo atoa onyo kali kwa wakandarasi Ilala

Na Mwandishi Wetu, JamhurMedia, Ilala Mkuu wa Wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, Edward Mpogolo, ametoa onyo kali kwa wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara wilayani humo, akiwataka kuzingatia mikataba na kukamilisha kazi kwa wakati. Onyo hilo…

Tanzania yakamilisha taratibu za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelite – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Tanzania imekamilisha taratibu zote za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelaiti ndogo aina ya CUBESAT kupitia mradi wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Anga za Juu…

Rais Samia ametekeleza alichoahidi wakati wa kampeni kuhusu vijana katika TEHAMA – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Serikali imeanza kutekeleza kikamilifu ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu kuwawezesha vijana katika sekta ya teknolojia ya habari na…

Waziri Kairuki : Watumiaji wa intaneti nchini waongezeka na kufikia milioni 58.9

Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeendelea kukua kwa kasi nchini, huku takwimu zikionesha ongezeko kubwa la watumiaji wa huduma mbalimbali za kidijitali Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi…

Trump : Vizuizi dhidi ya Iran huenda vikadumu kwa muda

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vizuizi dhidi ya Iran vinaweza kudumu kwa miezi kadhaa, hatua iliyosababisha bei za mafuta kupanda kwa kiwango cha juu hapo jana katika kipindi cha miaka minne. Katika mkutano wake na wakuu wa sekta…