Latest Posts
DC Magoti aipongeza TET kwa maboresho ya mitaala
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania kwa namna ilivyofanya maboresho ya mitaala ya Elimu nchini yenye lengo la kumfanya muhitimu kuweza kujiajiri au kuajiriwa mara anapomaliza masomo yake. Mhe. Magoti ameyasema hayo leo…
Mawaziri wa EAPP waazimia kuharakisha soko la pamoja la umeme
Mawaziri wa Nishati kutoka nchi wanachama wa Soko la Pamoja la Nishati Mashariki mwa Afrika (Eastern Africa Power Pool – EAPP) wameazimia kuharakisha utekelezaji wa soko la pamoja la umeme ili kuimarisha upatikanaji wa nishati, kuongeza biashara ya umeme kati…
Mgalu :Waandaeni vijana Bagamoyo kunufaika na miradi ya kimkakati, wasiwe watazamaji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, CPA Subira Mgalu, ameeleza ipo haja ya kuwaandaa vijana mapema ili waweze kunufaika na fursa za ajira na uwekezaji zitakazotokana na utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayotarajiwa kuibadilisha Bagamoyo…
Mycoely balozi mpya wa mazingira nchini
Msanii wa Mziki wa Bongo fleva nchini Michael Muganda (Mycoely) amesaini hati ya makubaliano na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) ya kuwa Balozi wa Mazingira nchini. Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa Julai 11, 2026 kwenye…
Diamond : Usimamizi sheria ya huduma za habari unaimarisha uwekezaji kwenye sekta ya habari
Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema utekelezaji wa Sheria ya Huduma za Habari unaweka mazingira bora ya kukuza uwekezaji katika sekta ya habari kwa kuhakikisha vyombo vya habari vinaendeshwa kwa kuzingatia sheria, weledi na viwango…
Papa Leo XIV ampa Padre Vincent Mpwaji wadhifa wa askofu Msaidizi wa Dar es Salaam
Papa Leo XIV amemteua Padre Vincent Lawrence Mpwaji, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu DSM. Pia amemteua kuwa Askofu wa heshima (Titular Bishop) wa jimbo la Tacarata huko Algeria. Kwa kawaida Maaskofu wasaidizi (Auxiliary Bishops) hupewa majimbo ya heshima (Titular…





