JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yawataka wananchi kusubiri ripoti ya Tume Maalum ya kuchunguza maafa ya Oktoba 29

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewataka wananchi kuwa na subira wakisubiri ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa kuchunguza chanzo cha maafa yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu, huku ikisisitiza kuwa uchunguzi huo unapaswa kuachiwa uhuru bila kuingiliwa. Akizungumza na waandishi…

Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa ushindi wa kishindo aliyoupata katika Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2025. Makamu wa…

Rais Samia akiwatunuku kamisheni maafisa wanafunzi kuwa maafisa wa JWTZ

  Maafisa Wanafunzi wakivalishana vyeo mara baada ya kutunukiwa Kamisheni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha tarehe…

JKCL sasa kusogeza huduma za moyo hadi maeneo ya kazi

Na Mwandishi Maalum Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kusogeza huduma za kibingwa za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa jamii kwa kuwalenga wafanyakazi katika maeneo yao ya kazi hatua inayolenga kuwafikia wale ambao mara nyingi hukosa muda wa…

Tanzania yajipanga kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini nchini

Tanzania yaendelea kupiga hatua katika Mpango wa ujenzi wa viwanda vya uongezaji thamani madini kutokana na ujenzi wa kiwanda kipya cha usindikaji na uyeyushaji madini ya Nikeli na Shaba kufikia asilimia 85 ya ujenzi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa…