Latest Posts
Wajadili changamoto, mikakati ya kuboresha sekta ya elimu nchini
Na. Farida Ramadhan, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe.Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo Ujumbe kutoka Wizara ya Elimu Sayansi Na Teknolojia ikiongozwa na, Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Prof. Adolf Mkenda (Mb), katika Ofisi za Wizara…
Kamati ya miundombinu yasisitiza kipaumbele kwa makandarasi wazawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeisisitiza Wizara ya Ujenzi kuendelea na mkakati wa kuinua na kuwasaidia Makandarasi wazawa ili kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa miradi ya mbalimbali ya ujenzi nchini. Hayo yameelezwa na…
Watumishi Hospitali ya Benjamin Mkapa wajengewa uwezo matumizi sahihi na usalama katika TEHAMA
Na Jeremia Mwakyoma- BMH Akiwasilisha mada hiyo katika kikao cha mafunzo kwa watumishi hao Afisa Ulinzi wa TEHAMA na Data wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Ndg. Adelhelm Adrehelm Oddo amesema kuwa mafunzo hayo yana umuhimu mkubwa kwa watumishi. ”Mitandao,…
Wapiga kura 38,151 wa kata za Malangali na Mzinga kuwachagua madiwani kesho
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jumla ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa marudio katika Kata za Malangali iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa na Mzinga iliyopo katika…
Ndejembi : Gharama za umeme hazijapanda kwa miaka 10
Lengo ni Wananchi wamudu gharama za matumizi ya umeme Na Mwandishi Wetu, Dodoma Licha ya kuongezeka kwa gharama za vifaa vya umeme ikiwemo nguzo, waya na mita, Serikali imeendelea kuhakikisha gharama za matumizi ya umeme kwa wananchi hazipandi kwa kipindi…





