Latest Posts
Tanzania kujifunza kutoka China kuhusu mageuzi ya mashirika ya umma
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam Tanzania imeonesha nia ya kutumia uzoefu wa China katika mageuzi ya mashirika ya umma, ikiwa ni sehemu ya mkakati mpana wa serikali wa kuongeza ufanisi, faida na uwajibikaji katika uwekezaji wa umma. Nia…
MAIPAC na THRDC wanoa wanoa waandishi wa Mazingira kanda ya Ziwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza. Taasisi ya Wanahabari ya usaidizi wa jamii za pembezoni(MAIPAC) kwa kushirikiana na Mtandao wa watetezi wa haki za Binaadamu(THRDC) , imezindua mafunzo kwa wanahabari wa mazingira wa Kanda ya Ziwa ili kuwajengea uwezo kuandika vyema…
MCT yatangaza wateule 18 tuzo za EJAT, washindi kujulikana Mei 29 Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Habari Tanzania (MCT) limesema kuwa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) hazilengi umaarufu wala thamani ya fedha, bali zinatambua ubora wa kazi, weledi na mchango wa waandishi wa…
Nyansaho aeleza mafunzo JKT, kilimo kimkakati vinavyoleta tija
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho amesema Serikali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) itaendelea kuimarisha mafunzo kwa vijana pamoja na kuendeleza kilimo cha kimkakati ili kujenga uzalendo, kujitegemea na kuchangia usalama wa chakula nchini….
Waziri Kijaji: Serikali kuboresha Chuo cha Mweka katika Bajeti ya 226/27
Na Kija Elias, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amesema Serikali imejipanga kukiboresha Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori (MWEKA), kupitia bajeti ya mwaka 2026/2027 ili kiweze kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya ufundishaji, utafiti na utoaji…
Uwekezaji mifumo ya TEHAMA serikalini kuongeza uwazi katika utoaji huduma
Na Antonia Mbwambo,Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray amesema uwekezaji wa matumizi ya Mifumo ya Tehama Serikalini utasaidia kwa asilimia kubwa kuongeza ufanisi na Uwazi wa huduma zinazotolewa na…





