Latest Posts
Naibu Waziri Nishati aitaka TANESCO kuimarisha huduma kwa wateja kupitia mifumo ya kidigitali
📌 Afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka 2026 wa Maafisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO 📌 Asisitiza utoaji wa taarifa sahihi kwa wateja 📌 Aagiza kuboreshwa kwa maslahi ya watoa huduma kuongeza ufanisi wa utendaji kazi Na Agnes Njaala, Dodoma Naibu Waziri…
Rais Samia aalikwa kufanya ziara nchini Serbia, ujumbe maalum wawasilishwa
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, tarehe 18 Mei 2026 amekutana na kuzungumza na Balozi Mkazi wa Jamhuri ya Serbia nchini, Jovica Topalović, katika…
Tanzania, China kujenga barabara ya njia sita Dodoma, bilioni 241 kutumika
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali Kupitia Wizara ya ujenzi imesaini mkataba wa upanuzi wa barabara ya Dodoma Mjini hadi Chamwino Ikulu yenye urefu wa kilometa 32 kuwa ya njia sita, mradi utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 241 hadi kukamilika kwake…
Serikali kuendelea kuboresha vituo vya maarifa nchini
Na Mwandishi Wetu, Pwani SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuboresha Vituo vya Maarifa nchini, hususan vile vinavyotoa huduma kwa madereva wa malori ya masafa marefu kuhusu masuala ya…
Mpina ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu Kivuli pamoja na Waziri wa Nishati na Madini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, ametangaza baraza jipya la mawaziri kivuli na kumteua Luhaga Mpina kuwa Naibu Waziri Mkuu Kivuli pamoja na Waziri wa Nishati na Madini. Uzinduzi wa baraza hilo umefanyika Mei 18,…





