Latest Posts
Tusiwafiche familia mali zetu
Katika jamii zetu kume kuwa na desturi ya baadhi ya mitazamo kuwa ni vizuri kuwa na mali fiche amabazo hazijurikani na mkee.mume hata muda mwingine Watoto hata ndgu wa damu. Hii desturi imeaanza jengeka hasa kwa wanaume kuficha ama kufanya…
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yapata rais mpya
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yapata Rais mpya. Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imemchagua Jaji Blaise Tchikaya wa Jamhuri ya Kongo (Brazzaville) kuwa Rais mpya wa…
Tanzania kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Singapore
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA imeahidi kuimarisha ushirikiano wa sekta binafsi ya Tanzania na Shirikisho la Biashara la Singapore kama mkakati wa kukuza kiwango cha biashara baina ya mataifa hayo. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa…
Prof. Shemdoe apiga ‘stop’ uhamisho wa watumishi wenye changamoto za kinidhamu
Na OWM – TAMISEMI, Muheza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kutowahamisha au kuwaombea uhamisho watumishi wanaobainika kuwa na changamoto za kinidhamu katika Mamlaka za…
REA yaanza usambazaji majiko banifu 6,692 Singida
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wakala wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya…
MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache (Minority Interests Forum-MIF 2026) utakuwa jukwaa mahususi la kujadili, pamoja na mambo mengine, mikakati…





