JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mpango wa Mkoa wa afya moja waandaliwa Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Korogwe Mpango wa Afya Moja kwa mkoa wa Tanga umeendelea kuandaliwa ukiwa na lengo la kuainisha Afua mbalimbali za kuboresha uratibu wa utekelezaji wa Dhana ya Afya ya Moja. Timu ya wataalam kutoka sekta za afya,…

Wizara ya Fedha kuendelea kuimarisha sekta ya fedha

Na. Asia Singano na Jordan Mbwambo, WF – Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Fedha, inaendelea kutekeleza mageuzi yanayolenga kuimarisha sekta ya fedha, kuboresha upatikanaji wa fedha, na kuendeleza jukumu la ushirikishaji wa sekta binafsi katika ukuaji wa uchumi. Hayo yameelezwa…

Tanzania yaonyesha mageuzi makubwa ya afya Jukwaa la Kimataifa

Na John Mapepele, New York- Marekani   Tanzania imewasilisha kwa uthabiti mafanikio yake katika kuboresha sekta ya afya kupitia mageuzi ya kimkakati, ubunifu wa kidijitali, na uwekezaji wa ndani unaolenga kuokoa maisha.  Akiwasilisha taarifa hiyo katika mkutano unaofanyika 13- 17 Aprili…

Jela miaka mitano kwa kudanganya ameibiwa nyeti zake

JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limefanikiwa kuwakamata jumla ya watuhumiwa 53 wanaodaiwa kuhusika na makosa mbalimbali katika kipindi cha kuanzia Aprili 1, 2026 kufuatia operesheni endelevu za kuimarisha ulinzi na usalama mkoani humo. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi…

Ofisi ya Makamu wa Rais kufungua pazia Mei Mosi na Wizara ya Maji

Timu ya Mpira wa Pete (Netball) ya Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kufungua pazia la Michezo ya Mei Mosi, 2026 kwa kuumana na Timu ya Wizara ya Maji tarehe Aprili 16 mwaka huu. Ratiba iliyotolewa Aprili 15, 2026 na…

CCM Kibaha Mjini yakumbushwa kuimarisha mahusiano

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kongowe MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwajuma Nyamka, amesisitiza Serikali za mitaa pamoja na viongozi wa chama hicho kuimarisha mahusiano katika maeneo yao ili kuongeza ufanisi wa utekelezaji wa majukumu. Amesema baadhi ya…