JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

EACOP yakabidhi karakana na vifaa vya mafunzo katika chuo cha Don Bosco Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umekabidhi jengo la kisasa la karakana ya uchomeleaji pamoja na vifaa vya mafunzo kwa Chuo cha Ufundi Stadi cha Don Bosco jijini Dar es…

Washiriki Wizara na Taasisi wapigwa msasa kuhusu mfumo wa NLMIS

Na OWM-KAM Dodoma Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano imewapiga msasa washiriki kutoka katika wizara pamoja na Taasisi za Serikali kuhusu Mfumo wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko la Ajira (NLMIS). Aidha, mafunzo hayo yalilenga kuwapatia uwezo katika…

Mwigulu awataka wananchi Same kutunza miundombinu

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi wa Same kutunza miundombinu inayojengwa na Serikali kwa manufaa yao. Amesema hayo alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Same- Ndungu- Mkomazi km 105, sehemu Mkomazi -Ndungu…

Kazi za majumbani kutambulika rasmi kama ajira yenye staa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wafanyakazi wa majumbani wametajwa kuwa nguzo muhimu ya ustawi wa jamii na ukuaji wa uchumi, huku jamii ikihimizwa kuheshimu na kuitambua kazi hiyo kama ajira yenye staha. Wito huo ulitolewa jijini Dar es…

DC Dodoma aridhishwa na maendeeo ujenzi uwanja wa ndege Msalato ‘Ring Road’

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri, akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato pamoja na mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje (Outer…

Wasira ateta na mama Maria Nyerere

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam leo…