Latest Posts
LHRC na PALU waiomba serikali kurejea Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na Watu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeombwa kurejea kuruhusu watu binafsi au Asasi za kiraia kuishitaki katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR) yenye makao makuu yake jijini Arusha,ili kukuza masuala ya haki za binaadamu na…
Nchimbi awasili Songea kuhudhura Tamasha la Kumbukizi ya miaka 120 ya Mashujaa Vita ya Majimaji
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 26 Februari 2026. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha Tamasha la kumbukizi ya Miaka 120 ya Mashujaa…
FCC: TANOGA inarahisisha ukaguzi wa bidhaa
Na Mwandshi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Ushindani (FCC) imeanza kutumia Mfumo wa Ukaguzi wa Bidhaa wa Pamoja (TANOGA) unaofanya kazi kwa ushirikiano na mamlaka nyingine za serikali. Akizungumza hivi karibuni katika semina ya wahariri wa vyombo mbalimbali…
CCM yatoa salamu za rambirambi kifo cha Kadinali Pengo
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi OFMCap, kufuatia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo hilo, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, aliyefariki dunia Februari…
Kunenge: Viongozi Pwani kuweni wabunifu kuendana na kasi ya uchumi wa dunia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa viongozi kuwa wabunifu ili kuendana na kasi ya uchumi wa dunia kwa kuongeza uzalishaji wa mazao na mifugo, kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi na…
Serikali kuimarisha elimu ya malezi kupitia kampasi ya Kisangara
Na Jackline Minja, WMJJWM, Kilimanjaro Serikali imesema itaendelea kuimarisha malezi ya watoto na utoaji wa mafunzo ya ustawi wa jamii kwa wananchi ili kupunguza changamoto za misongo ya mawazo, migogoro ya kifamilia na matatizo ya kisaikolojia, sambamba na kujenga jamii…





