Latest Posts
Serikali itaendelea kushirikiana na viongozi wa dini – Mwigulu
*Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na uwajibikaji WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa Kuu Anglikana la Roho Mtakatifu Dodoma na amesisitiza kwamba Serikali itaendelea kushirikiana na…
Mbarawa : Serikali yawekeza trilioni 10.08 katika miradi 22 ya ujenzi, maboresho ya bandari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita imewekeza zaidi ya shilingi trilioni 10.08 katika miradi 22 ya ujenzi, upanuzi na maboresho ya bandari kote nchini, ikiwa ni sehemu ya…
Vijana 5, 746 wachaguliwa kujiunga na mafunzo ya uanagenzi
Na: OWM (KAM) – Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano imetangaza vijana 5,746 kujiunga na mafunzo ya uanagenzi ambayo yatawawezesha kupata ujuzi wa vitendo utakao wasaidia kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi kwa kujiajiri…
Serikali yazindua mradi wa kurejesha rdhi Dodoma, Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WADAU wa Maendeleo wameombwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kubuni na kutekeleza miradi ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini unaochangia upotevu wa misitu. Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu…
Maelfu waandamana kupinga azma ya kuidhibiti Greenland
Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wa Denmark wa Copenhagen hivi leo, kupinga azma ya Rais Donald Trump ya kutaka kuichukua. Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wa Denmark wa Copenhagen hivi leo, kupinga…





