JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Aweso: Bwawa la Farkwa kuwa mwokozi wa changamoto ya maji Dodoma

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesema ujenzi wa Bwawa la Farkwa ni mradi wa kimkakati unaolenga kutoa suluhisho la kudumu la changamoto ya upatikanaji wa maji katika Jiji la Dodoma na maeneo ya jirani. Amesisitiza kuwa Serikali imejipanga…

Mwenge wa Uhuru waridhishwa na miradi ya bilioni 2.159/- Same

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndugu Wazo Mwang’onda, ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi bilioni 2.159 iliyotembelewa katika Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, wakati wa mbio za…

TRA Ruvuma yapanda miti Hospitali ya Wilaya Songea kuelekea maadhimisho miaka 30

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia , Songea Kuelekea maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), yatakayofanyika tarehe 1 Julai 2026, TRA Mkoa wa Ruvuma imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kushiriki katika shughuli za maendeleo ya jamii na utunzaji…

MD Twange afafanua chanzo cha hitilafu Gridi ya Umeme wa Taifa

* Aomba radhi kwa wateja wananchi na kuwahakikishia upatikanaji endelevu wa huduma ya umeme  * Asema uzalishaji wa umeme umefikia megawati 4400 na juhudi za kuimarisha Mfumo wa Gridi zinaendelea Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro…

Waziri Mkuu: Hatupaswi kupuuzia viashiria vya uvunjifu wa amani

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania waendelee kuhimizana kuhusu ulinzi wa Taifa na kamwe wasipuuze viashiria vya uvunjifu wa amani. “Tuendelee kuhimizana kuhusu suala la ulinzi wa Taifa letu. Ulinzi wa Taifa letu ni wa kila Mtanzania na amani…

Ushirikiano wa Tanzania, Urusi kufungua fursa mpya za biashara, elimu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi imeanza kuzaa matunda, huku Serikali ikieleza kuwa makubaliano yaliyofikiwa kati ya mataifa hayo mawili yatafungua ukurasa mpya wa ushirikiano katika sekta za nishati, kilimo, usafiri wa…