Latest Posts
Gridi ya Taifa ya Maji itachochea maendeleo kwa kasi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Maji ni kimiminika muhimu kwa maisha na uhai wa viumbei. Maji hutumika kuanzia asubuhi, mchana, jioni hadi usiku. Hutumika kwa matumizi ya nyumbani kama kupikia, kufulia na kuogea. Hutumika katika shughuli za kiuchumi kama viwandani,…
Waziri Makonda abainisha madudu ndani ya mashirikisho ya michezo awapa onyo viongozi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema migogoro inayojitokeza katika mashirikisho na vyama vya michezo nchini inaathiri kwa kiasi kikubwa maendeleo ya sekta hiyo na kusababisha vipaji vya vijana kupotea. Makonda…
Rais Samia atoa sh. bilioni 15 maboresho shule ya Polisi Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa wakati wa Kikao cha Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi kilichofanyika mwaka 2024 lengo ikiwa…
Wananchi Duluti waibuka na mkakati wa kupanda miti kulinda barabara
📌Miundombinu mipya imerahisisha usafirishaji wa vikonyo vya mimea na kuchochea maendeleo Arumeru Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arumeru Wananchi wa kijiji cha Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha wameweka mkakati wa kupanda miti kandokando ya barabara mpya ya lami ya Sangisi-Nambala yenye…
Airtel Tanzania yazindua maduka 17 ya Smart Shops Dar, kukuza huduma za kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini, imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam. Maduka haya ni sehemu ya mtandao wa maduka 31 nchini kote, ukiwa na…
Kamati ya Bunge TAMISEMI yataka fedha kuongezwa kukamilisha barabara za Pichandege -SGR na Kongowe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeielekeza Serikali kuongeza fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Pichandege–Sofu–Bokomnemela kutokana na umuhimu wake katika kurahisisha usafiri wa wananchi kuelekea Stesheni ya SGR….





