Latest Posts
Umeme wa gridi Kigoma umeokoa bilioni 58 za mafuta na matengenezo – Salome
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma na hivyo kuokoa takribani shilingi bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kila mwaka kwa ajili ya ununuzi…
CCM, FRELIMO waweka mikakati, kushirikisha vijana kufahamu uhusiano Tanzania, Msumbiji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Frelimo cha Msumbiji vimekubaliana kuwashirikisha vijana ili wafahamu uhusiano uliopo kati ya vyama hivyo na kuhakikisha wananchi wa mataifa hayo wanakuwa na uhuru wa kiuchumi. Pia, vimekubaliana kutengeneza fursa za ajira, hasa kwa…
Wakulima Liyombo wazalisha kahawa tani 1,674.9 zenye thamani ya bil. 18.7/-
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Wakulima wa zao la kahawa wanaohudumiwa na Chama cha msingi cha Ushirika Liyombo Amcos Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma, katika msimu wa kilimo 2025/2026 wamezalisha kahawa safi zaidi ya tani 1,674.9 sawa na kilo…
Kuelekea Siku ya Wanawake, NSSF yapanda miti 600 katika shule za msingi na sekondari Mwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umepanda miti 600 katika shule mbili za Wilaya ya Ilemela, mkoani Mwanza, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka…





