JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Baraza la Ushindani (FCT) limewahimiza wadau na wafanyabiashara mkoani Arusha kutumia kikamilifu mfumo wa usajili wa mashauri kwa njia ya kielektroniki (e-filing), lengo likiwa ni kuongeza ufanisi na kupunguza gharama katika uwasilishaji wa mashauri. Akizungumza…

CTI : Ushirikiano na Serikali umetatua changamoto za wenye viwanda

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limesema ushirikiano mzuri baina ya serikali na shirikisho hilo umechangia kwa kiwango kikubwa kutatua changamoto mbalimbali zzilizokuwa zikiwakabili wenye viwanda. Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho…

Bima ya afya kwa wote yaanza rasmi, serikali yawaondolea wananchi mzigo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Hatimaye wananchi waliokuwa wakihofia gharama kubwa za matibabu wanaanza kuona mwanga, baada ya Serikali kutangaza kuanza kwa awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote, mpango unaolenga kulinda haki ya msingi ya…

Kamati yapongeza juhudi za Serikali uboreshwaji huduma za afya

NaWMwandishi wet, JamhuriMedia,Dodoma  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Dkt. Lembulung Lukumay ameipongeza Serikali kwa kuwekeza fedha katika ujenzi wa miundombinu ya sekta ya afya pamoja na uboreshaji wa upatikanaji vifaa tiba. Dkt. Lukumay…

Mashindano ya Ligi ya Muungano yaimarisha undugu, umoja na mshikamano kwa Watanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) imesema itaendelea kutumia sekta ya michezo ili kujenga mahusiano ya undugu, ujamaa, umoja na mshikamano ili kuenzi misingi ya Muungano. Rai hiyo imetolewa leo Ijumaa (Januari 23, 2026) na Katibu Mkuu wa…

Waziri wa Ajira na uwekezaji Zanzibar aanika mipango ya wizara kujenga uzalendo na uchumi imara

Na Rahma Khamis, Maelezo Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji Mhe, Shaaban Ali Othman amesema kuwa lengo la Kuwepo kwa Wizara hiyo ni kuhakikisha kila kijana anakua mzalendo kwa kujenga Uchumi wake na Taifa kwa ujumla Ameyasema hayo Jang’ombe Wilaya…