Latest Posts
RC Ruvuma afungua maktaba ya mkoa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas,amefungua Maktaba ya Mkoa wa Ruvuma baada ya kusimama kutoa huduma kwa miaka mitatu mfululizo kutokana na uchakavu wa majengo yake. Akizungumza na wanafunzi,wananchi na wafanyakazi wa…
Wakili Mpanju: Jamii iwalinde, kuwezesha wenye ulemavu
Na WMJJWM- Morogoro ‎NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju ameitaka jamii kuwawezesha watu wenye ulemavu ili waweze kuishi kwa amani na kushiriki katika maendeleo na kuzifikia haki zao za msingi….
Waziri Mavunde, Perseus wajadili maendeleo mradi wa Nyanzaga
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni mama ya Perseus na Mkurugenzi wa Bodi ya Mradi wa Nyanzaga, Bi. Lee-Anne de Bruin ambao ni wawekezaji kwenye mgodi wa uchimbaji wa dhahabu…
TFS yaungana na nchi sita kuboresha ufuatiliaji hewa ukaa kupitia miti iliyo nje ya misitu
Tanzania, kupitia Wakala wa Huduma za Misitu (TFS), imeungana na nchi nyingine za Afrika katika warsha ya kimataifa iliyojadili mbinu mpya za kupima na kufuatilia kiwango cha hewa ukaa kinachofyonzwa na miti inayoota nje ya misitu, maarufu kama Trees Outside…
Dk Nchimbi : Tanzania imedhamiria kulinda afya, maisha ya watu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Tanzania imedhamiria kuhakikisha inalinda afya, maisha ya watu na mazingira kwa kutoa kipaumbele katika uimarishaji wa mfumo wa afya, kuwekeza katika utafiti wa kisayansi, na kuhimiza…
Jumuiya ya Maridhiano na Amani yawaonya wanaoleta mpasuko kwenye jamii
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma JUMUIYA ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) imetoa wito kwa baadhi ya viongozi wa dini wanaotoa kauli zinazoleta mpasuko wa kidini kati ya Waislamu na Wakristo, ikisisitiza kuwa jamii inapaswa kulinda misingi ya amani na maridhiano….





