Latest Posts
‘Dk Samia anastahili kura za ndio’
Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ali, amesema kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anastahili kupigiwa kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025,…
Siku 100 za Bima ya Afya kwa wote
* Kila Mtanzania sasa kupata huduma bora za afya bila ubaguzi *Serikali, TIRA kuhakikisha bima hii inakuwa endelevu kwa wote *Mkakati ni kuona afya za wananchi zinakuwa bora, uchumi unakua *TIRA wazindua jengo lao la makao makuu Ndejengwa jijini Dodoma Na…
Wasira asema Samia ameweka utaratibu Serikali,vyama vya siasa kuteta
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameweka utaratibu mzuri wa Serikali na vyama vya siasa kusikilizana. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wakati wa kuhitimisha mkutano wa…
Kwa nini Watanzania watajitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura?
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati Watanzania wakijiandaa kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika kesho, kuna dalili ya rekodi za nyuma za wapiga kura kuvunjwa katika uchaguzi huu. Kwa…
Nchimbi: Watanzania wameridhika na utendaji wa Rais Samia
Mgombea Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa mgombea urais wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan. Dk Nchimbi ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya wananchi wakati wa…
Kamati ya siasa amani Pwani yaviasa vyama vya siasa visiwe chanzo cha vurugu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani VIONGOZI wa dini kupitia Kamati ya Amani Mkoa wa Pwani wameviasa vyama vyote vya siasa na wagombea kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi, na kuepuka kuwa chanzo cha vurugu wakati wa mchakato wa kupiga kura….





