JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FCC, ZFCC zaendelea kutekeleza MOU kwa vitendo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amefanya ziara ya kikazi katika Tume ya Ushindani Halali wa Biashara Zanzibar (ZFCC) ikiwa ni hatua ya kuimarisha mashirikiano kati ya taasisi hizo mbili…

AQRB yazikabidhi shule zawadi zao za insha 2024/25

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro BODI ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi ( AGRB) imekabidhi zawadi za zaidi ya Sh.milioni 6.8 kwa washindi wa shindano la Insha kwa mwaka 2024/25 huku ikiwataka wanafunzi kusoma zaidi masomo ya sayansi…

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wajipanga kumkabili Trump Davos

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza jukwaani Davos kabla ya Rais wa Marekani Donald Trump, huku vitisho vya ushuru na mgogoro wa Greenland vikizidisha mvutano wa kisiasa na kiuchumi kati ya washirika wa jadi. Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza…

Jeshi la Marekani laikamata meli nyingine ya Venezuela

Kamandi ya Kusini ya Jeshi la Marekani (SOUTHCOM) ilidai kuwa meli hiyo, Sagitta, ilikuwa imekiuka marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump. Kupitia mtandao wa X, kamandi hiyo ilisema: “Marekani imejitolea kuhakikisha kuwa mafuta pekee yanayoondoka Venezuela ni yale yanayopitia njia halali…

Katambi akutana na uongozi wa Kampuni ya Condor kutoka Brazil

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akizungumza na Wawakilishi wa Kampuni ya Condor, kutoka nchini Brazil, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali yanayohusiana na kudhibiti uhalifu, ambapo nchi mbili hizo, Tanzania na Brazil walibadilishana uzoefu katika masuala ya udhibiti…

Halmashauri Wilaya ya Shinyanga yakamilisha ujenzi jengo jipya

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Shinyanga HALMASHAURI ya Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyanga imesema kukamilika kwa jengo lake lililogharimu shilingi bilioni tatu kumeboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wa halmashari hiyo kwa kiwango kikubwa. Halmashauri hiyo imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan…