Latest Posts
Wananchi mkoani Pemba wataka sheria ya udhalilishaji iangaliwe upya
Wananchi wa Wilaya ya mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba, wameiomba Baraza la Wawakilishi kuangalia upya sheria zinazohusu makosa ya udhalilishaji wa kijinsia, wakidai kuwa katika baadhi ya mazingira watoto wa kiume hawapati haki sawa na wenzao wa kike. Waliyasema hayo…
Watu milioni 15.6 wahamia nishati safi ya kupikia ndani ya miaka mitano
Watu milioni 15.6 nchini Tanzania wamehama kutoka katika matumizi ya nishati isiyo salama na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ndani ya kipindi cha miaka mitano. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu), Mhandisi…
Serikali yakabidhi pampu 52 za umwagiliaji kwa wakulima Katavi, kuongeza tija na kulinda mazingira
📍NIRC Katavi Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imekabidhi pampu 52 za umwagiliaji zenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 500 kwa vikundi 46 vya wakulima mkoani Katavi, ikiwa ni hatua ya kuongeza tija, kupanua eneo linalolimwa na kuimarisha…
Waziri Mavunde aagiza masoko ya madini kuwa wazi mpaka usiku
*▪️ Lengo ni kurahisisha huduma kwa wateja *▪️ Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kupunguza tozo zinazowaumiza wachimbaji wadogo *▪️ Dhahabu tani 67.8 zenye thamani ya Sh trilioni 18.4 zazalishwa kwenye viwanda vya usafishaji ▪️Waziri Mavunde aeleza mkakati wa kukuza biashara…
Miaka 40 ya COSTECH: Utafiti Unavyobadili Maisha ya Wafugaji
Clement akiwa na ng’ombe/eneo la malisho ******************* MTANANA, KONGWA, DODOMA — Kwa miaka mingi, Clement Alfonce alifuga ng’ombe kwa kutegemea malisho ya asili. Ng’ombe wake walizunguka katika maeneo mbalimbali kutafuta malisho, hali iliyomweka katika migogoro ya mara kwa mara na…





