Latest Posts
Singida waipa kongole RITA kutoa vyeti vya kuzaliwa ndani ya masaa 48
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wananchi mkoani Singida wameipongeza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa uboreshaji wa huduma mbalimbali , ikiwemo ya upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za kazi kwa wale waliokidhi vigezo. Wakizungumza…
Shule zote 18055 za msingi zipo tayari kupokea wanafunzi -Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameridhishwa na maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa darasa la awali na la kwanza katika Shule ya…
Ndejembi alieleza Baraza la IRENA, Tanzania ina fursa kubwa ya kuendeleza nishati ya jotoardhi
📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti 📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali inaendelea kuboresha mifumo ya uwekezaji ikiwemo upatikanaji vibali na lesenii 📌Asema Tanzania ina maeneo 52 ya jotoardhi yenye uwezo wa kuzalisha megawati 5000 Waziri…
Serikali yaonya wataalamu wa ardhi wasio waadilifu
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SERIKALI imewataka watumishi wa sekta ya ardhi nchini kufanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kuhakikisha migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo yao inatatuliwa kwa wakati ili kuepusha malalamiko ya wananchi. Onyo hilo limetolewa na…
Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili mpya za mchepuo wa kiingereza
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha mwaka 2026 imejenga na kufungua shule mpya za awali na msingi za mchepuo wa Kiingereza, hatua inayolenga kukidhi mahitaji ya wananchi waliokuwa wakihitaji huduma hiyo kwa gharama nafuu. Miongoni mwa…





