Latest Posts
Ubalozi wa Tanzania, Serikali ya Comoro kufanyia kazi ofa ya walimu wa Kiswahili ya Rais Samia
Ubalozi wa Tanzania na Serikali ya Comoro zimekubaliana kuendeleza mazungumzo ya kuanzisha ufundishwaji wa Kiswahili mashuleni kufuatia ahadi ya Rais Samia ya kutoa walimu na vifaa kwa shule za nchi hiyo. Maelezo hayo yametolewa na Balozi wa Tanzania,Saidi Yakubu na…
Serikali yawekeza bilioni 17.8/- kuimarisha huduma uchunguzi wa kisayansi wa kimaabara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imewekeza zaidi ya bilioni 17.8 kutoka bilionin13.6 katika ununuzi wa mitambo ya uchunguzi ili kutoa huduma bora za uchunguzi wa Kisayansi wa…
Mbinu mpya wauza dawa za kulevya kutumia vifungashio vya mbolea vyabainika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanikiwa kukamata kilo 11,031.42 za dawa mpya za kulevya aina ya Mitragyna Speciosa katika kipindi cha…
eGA yatumia Sabasaba kuelimisha umma kuhusu Mfumo wa e-Mrejesho, yajivunia Tuzo ya Kimataifa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Serikali Mtandao (eGA) imeendelea kuonesha namna ambavyo Serikali inavyotekeleza mageuzi ya kidigitali kwa lengo la kuboresha utoaji huduma kwa wananchi kupitia matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Akizungumza katika…
PURA yajivunia mafanikio katika Ajenda ya Nishati Safi na ushiriki wa Watanzania Sekta ya Mafuta na Gesi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema inajivunia utekelezaji wa agenda ya Nishati Safi ya kupikia iliyoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa…
Prof. Kabudi : Uhuru wa vyombo vya habari umeimarika kwa kiasi kikubwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amesema kuwa serikali imekuwa ikitambua mchango wa vyombo vya habari kwa muda mrefu, tangu enzi za Mwalimu Nyerere. Alibainisha kuwa chini ya serikali…