BALOZI WA VENEZUELA ATIMULIWA CANADA
Canada imetangaza kumfukuza balozi wa Venezuela Wilmer Barrientos Fernández Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni Chrystia Freeland alisema hatua hiyo ni jibu kwa kufukuzwa kwa mwanadiplomasia wake wa cheo cha juu kutoka Venezuela mwishoni mwa wiki. Venezuela iliilaumu Canada kwa kuingilia masuala yake ya ndani. Cadana ilikuwa imeilaumu serikali ya Rais Nicholas Maduro kwa…