Tukatae kuvaa ‘kafa Ulaya’
NA MWANDISHI MAALUMU, DAR ES SALAAM Kwenye gazeti la The Citizen la Ijumaa, Februari 16, 2018 kulikuwa na stori ambayo pengine kutokana na hekaheka za uchaguzi wa marudio wa majimbo ya Kinondoni na Siha, watu wengi hawakuipa uzito unaostahili. Stori inasema, eti Amerika imezitahadharisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwamba zitashikishwa adabu…