Ligi ya Bundesliga kubadilishwa
Berlin, Germany Mchezaji wa zamani wa klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani, Stefan Effenberg, amesema kuna haja ya mfumo wa ligi ya nchi hiyo kufanyiwa marekebisho kwa manufaa ya klabu na timu ya taifa ya nchi hiyo. Amesema ligi ya nchi hiyo kuendelea kutawaliwa na klabu ya Bayern Munich ni hatari kwa ustawi wa klabu nyingine na…