Kiungo wa kati wa zamani wa Arsenal na Uhispania Mikel Arteta amekubali kuteuliwa kuwa meneja mpya wa klabu hiyo ya England. (Goal.com)

Iwapo Arteta, ambaye kwa sasa ni mkufunzi msaidizi Manchester City ataondoka Etihad na kwenda Emirates, Pep Guardiola anapanga kumchukua kiungo wa kati wa zamani wa Barcelona na Uhispania Andres Iniesta, 34, kama mchezaji mkufunzi. (Yahoo)

By Jamhuri