Wauza unga hawa

Waagizaji na wauza dawa za kulevya hapa nchini, wanaendelea kusakwa, kukamatwa na kufungwa kimya kimya, lengo likiwa ni kunusuru kizazi cha Watanzania kinachoangamia kutokana na mihadarati.

Taarifa za ndani ambazo JAMHURI limezipata, zinaonesha kwamba walau asilimia 60 ya waagizaji na wauzaji unga waliokuwa kwenye orodha ndefu aliyokabidhiwa Rais John Magufuli, mwaka jana, tayari wamekamatwa huku waliosalia wakiendelea kutafutwa na vyombo vya dola.

Akizungumza na JAMHURI, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, amesema kazi ya kupambana na dawa za kulevya nchini imekuwa ni endelevu, huku akisisitiza kwamba mtangulizi wake, Charles Kitwanga, aliianzisha kwa mafanikio makubwa.

“Nimekuwa napata shida kidogo kuzungumzia suala la kupambana na wauzaji na waagizaji dawa za kulevya hapa nchini, kuna watu wanasema kuna mtu ameianzisha, ukweli ni kwamba sisi tunaendelea na mapambano hayo na wauzaji wakubwa wengi wamekamatwa na wako magerezani,” amesema Mwigulu.

Waziri huyo, ambaye alimrithi Charles Kitwanga aliyeondolewa katika wizara hiyo na Rais John Magufuli kutokana na kashfa ya ulevi, amesema vita hiyo inaendelea kwa kuvishirikisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

“Mheshimiwa Kitwanga alifanikisha kukamatwa kwa kinara wa mtandao wa dawa za kulevya, Ali Khatib Haji Hassan, maarufu kama Shikuba (47) ambaye baadaye alikamatwa baada ya Marekani kutangaza kutaifisha mali zake.

“Tumekamata mtandao wote wa waagizaji na wauzaji waliokuwa kwenye mtandao wa kuweka rehani Watanzania huko Pakistan, IGP, amekuwa anafukuza askari kama kumi hivi kila mwezi kwa makosa mbalimbali,”amesema Mwigulu.

Waziri Mwigulu ameliambia JAMHURI, Jeshi la Polisi limekuwa linapata ushirikiano wa kutosha kwa Watanzania, taarifa ambazo zimekuwa zikiwezesha kukamatwa kwa watuhumiwa wa dawa za kulevya.

“Kwenye Wizara yetu ya Mambo ya Ndani, si kila habari ni habari…tunayo orodha ndefu hapa, tunamkamata mmoja mmoja, tumepata mchoro wote kuanzia hapa mpaka huko nje, mikakati iko vizuri sana na tumekubaliana kushirikiana na baadhi ya nchi huko nje,” amesema Mwigulu.

Mwigulu amesema mpaka sasa wamekusanya taarifa za kutosha kutoka kwenye soko la dawa za kulevya, huku akikiri kwamba kazi hiyo inahitaji ushirikiano baina ya Tanzania na mataifa mengine huko nje.

“Nimepata fursa ya kuzungumza ana kwa ana na baadhi ya vijana ambao walikuwa wamewekwa rehani, huko kuna mambo mengi ya ajabu. Wanaeleza hata namna ambavyo huko ulinzi umeimarishwa…sisi tunaendelea na mikakati yetu ya ndani, maana jambo hili linahitaji ushirikiano wa pamoja, tunapambana na waagizaji na wasambazaji,” amesema Mwigulu.

Februari mwaka jana, Rais Magufuli alitoa maelekezo mahsusi kupitia kwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, akielekeza kuwa anataka kuiona Tanzania isiyokuwa na wauzaji na watumiaji ‘unga’.

Rais Magufuli alinukuliwa akisema haiwezekani wauza unga wakawa na nguvu kuliko Serikali. Tayari maofisa wa Serikali wameanza kulifanyia kazi agizo hilo kimyakimya na kwa kasi ya aina yake, ambako sasa wanakwenda nyumba hadi nyumba wakihoji wafanyabiashara wenye ukwasi usioelezeka, na katika kufanya hivyo wamekutana na ‘maajabu’.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Jeshi la Polisi imeanzisha operesheni ya kukamata wafanyabiashara wote wanaohusishwa na dawa za kulevya jijini Dar es Salaam.

Katika operesheni hiyo, polisi wamekamata ‘mapapa’ wawili wanaoelezwa kuwa miongoni mwa ‘mapapa’ wa biashara hiyo haramu nchini. Mapapa hao wanaendelea kutumikia adhabu zao kifungoni.

JAMHURI limethibitishiwa kuwa Hemed Horohoro na Lwitiko Samson Adam, ni kati ya mapapa waliokuwa wakisakwa kwa udi na uvumba na sasa wametiwa nguvuni.

Lwikito ambaye anaelezwa kuwa na makazi nchini Afrika Kusini, alikamatwa nyumbani kwake Magomeni jijini Dar es Salaam. ‘Papa’ huyo, amekutwa kwenye ‘nyumba ya ajabu’.

Wiki iliyopita, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, alijitokeza hadharani na kuwataja baadhi ya maofisa wa Jeshi la Polisi pamoja na wasanii wanaojihusisha na dawa za kulevya.

“Furaha yetu si idadi ya watu wangapi tumewakamata kwa dawa za kulevya, furaha yetu ni Dar es Salaam kutokuwa sehemu ya dawa za kulevya, ikipona Dar es Salaam na dawa mikoani patakuwa salama,” amesema Makonda.

Naye Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi ya Dar es Salaam, Simon Sirro, amesema wameunda timu maalumu ya kushughulika na wanaouza dawa za kulevya, timu itakuwa na vyombo vyote vya dola si polisi peke yake, timu hiyo itakuwa chini ya Mkuu wa Mkoa.

Wakati hayo yakiendelea, tayari Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Ernest Mangu, ametangaza kuwasimamisha kazi askari 12 wa jeshi hilo waliotuhumiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kujihusisha katika biashara ya dawa za kulevya. 

Askari hao ni PF 14473 SACP Christopher Fuime, PF 17041 Inspekta Jacob Hashimu Swai, D 3499 D/SGT Steven Apelesi Ndasha, E8431 D/SGT Mohamed Juma Haima, E.5204 D/SGT Steven John Shaga, E.5860D/CPL Dotto Steven Mwandambo na E.1090D/CPL Tausen Lameck Mwambalangani. Wengine ni E.9652 D/CPL Benatus Simon Luhaza, D. 8278D/CPL James Salala, E.9503 D/CPL Noel Mwalukuta, WP 5103D/C Gloria Massawe, F.5885 Fadhili Mazengo.

Mwaka jana, JAMHURI lilifanikiwa kuiona orodha ya watu karibu 500 ambayo wanaotajwa kuwamo ‘mapapa’, watumiaji wadogo na wasafirishaji wa biashara hiyo haramu nchini.

Katika orodha hiyo, wamo wachungaji, waimba taarab maarufu na wafanyabiashara wenye ukwasi wa ghafla unaotisha wengi. Wapo ambao gazeti hili limefanikiwa kupata makazi yao, lakini wengi wameorodheshwa, na vyombo vya dola vinaendelea kukusanya taarifa zao.

Katika orodha tuliyochapisha hapa chini, baadhi ya mapapa hao ni raia wa kigeni. Majina ya nchi wanazotoka tumezionesha kwenye mabano, kama ilivyo kwa Watanzania ambao sehemu wanakotoka pia tumezionesha kwenye mabano.

Majina kadhaa ya ‘mapapa’ hao hayana majina ya sehemu wanazotoka. Juhudi za kubaini maneno hayo zinaendelea.

Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umefanikiwa kupata orodha ya watuhumiwa hao wakuu ambao baadhi wako rumande wakishikiliwa na vyombo vya dola, na huku wengine wakiwa wamefikishwa mahakamani na ama kuachiwa huru, au kutumikia kifungo cha nje.

Katika kuhakikisha wanakata mzizi wa fitina, orodha inayotajwa kufikishwa ofisini kwa Rais Magufuli, imeorodhesha wote waliofanya biashara ya ‘unga’ kwa kipindi cha miaka 10 kati ya mwaka 2005-2015.

Zaidi ya asilimia 90 ya ‘mapapa’ hao wapo jijini Dar es Salaam, huku maeneo ya Kinondoni, Magomeni na Mbezi yakiongoza kwa kutoa idadi kubwa. Kilo moja ya cocaine inatajwa kuuzwa hadi Sh milioni 50.

Kwenye orodha hii, wamo Watanzania na raia wa mataifa mbalimbali walionaswa kwa nyakati tofauti, wengine wakiwa wamejichimbia kwenye mahekalu katika maeneo ya Mbezi, Oysterbay na Masaki.

Miongoni mwa ‘mapapa’ hao ni Fredy William Chonde (mkazi wa Magomeni), Kambi Zuberi (Temeke), Abdul Ghan na Shahbaz Maliki (Pakistan) ambao wamekamatwa wakiwa na kilo 175 za heroin.

Mapapa wawili – Shahbaz na Maliki ambao ni raia wa Pakistan –  wametoroka nchini baada ya kupewa dhamana katika mazingira tata. Jaji aliyetoa dhamana hiyo kinyume na kifungu cha 27(1)(b) cha Sheria ya Kuzuia Dawa za Kulevya, kwa sasa anasikiliza kesi nyingine ya dawa za kulevya na tayari ametajwa kuwa na mizengwe ya hapa na pale.

Papa mwingine, Ally Mirzai Pirbakhish, ambaye ni Mpakistani, alikamatwa akiwa na waimba taarab maarufu ambao wote ni wakazi wa Kinondoni.

Waimbaji hao ni Aziz Juma Kizingiti, Said Mashaka Mrisho, Abdulahman Mtumwa, na Hamidu Kitwana Karimu. Nao hawa majina yao yametua kwa Rais Magufuli.

Pia kuna watuhumiwa Ismail Shebe Ismail, Rashid Salim na Majed Gholamghader (wote wakazi wa Kinondoni, Dar es Salaam) ambao wamekamatwa wakiwa na kilo 50 za heroin.

Raia wa Afrika Kusini, Jack Vuyo na Anastazia Elizabeth Cloete, wako mbaroni kwa kukutwa na kilo 42 za heroin. Mnigeria aliyetambuliwa kwa jina la Kwako Sarfo amekamatwa akiwa na kilo 11.951 za cocaine.

Mapapa wengine ni wakazi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam, Aziz Juma Kizingiti, Said Mashaka Mrisho, Abdulahman Mtumwa, Hamidu Kitwana Karimu na Mpakistan Ally Mirzai Pirbakhish ambao wamekamatwa wakiwa na kilo 97 za cocaine.

Kwenye orodha hiyo wamo Mwanaidi Ramadhan Mfundo ambaye ameolewa na raia wa Kenya, lakini nyumbani kwa wazazi wake ni Mbezi Beach, Dar es Salaam. Huyu amelipa sifa ya pekee Jeshi la Polisi Tanzania kwa kumkamata kwani anatafutwa na Marekani, Uingereza, Ujerumani na nchini nyingine ambako kote huko alishindikana kukamatwa, lakini polisi wa Tanzania wakamkata akiwa Mbezi, Dar es Salaam.

Wengine ni Sara David Munuo (Kenya), Anthony Karanja (Kenya), Benny Ngare (Kenya), Almas Hamis Said (Kinondoni), Yahaya Haroun Ibrahim (Kinondoni), Aisha Said Kungwi (Mwenge, Dar es Salaam), Rajabu Juma Mzome (Mbezi Luis) na  John William Mwakalasya ambaye ni mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam.

Aidha, yumo Mtanzania mwenye asili ya Kiasia anayeitwa Rashid Ally Mtopea (mkazi wa Magomeni, Dar es Salaam) ambaye pamoja na wenzake wawili – Idd Adam Mwaduga (Tanga) na Nurdin Husein (Ilala) – wamekamatwa wakiwa na kilo 12 za heroin.

1: Steven Gwaza (Upanga, Dar es Salaam).

2: Rebecca Wairimu Mwangi (Kenya)

3: Khatibu Bakari Khatibu (Magomeni)

4: Khalid Salimu Maunga (Uingereza)

5: Dhoulkefly Awadhi (Tabata Kimanga, Dar es Salaam)

6: Abdallah Pashua Kipevu (Kinondoni)

7: Diaka Brama Kaba (Guinea)

8: Ndjane Abdubakar (Liberia)

9: Sylivia Kaaya Namirembe (Uganda)

10: Farid Kisuule (Uganda)

11: Robinson Dumba Teise (Uganda)

12: Ismail Mugabi (Uganda)

13: Rashid Salim Mohamed (Uganda)

14: Mini Thabo Hamza (Afrika Kusini)

15: Kwako Sarfo (Nigeria)

16: Hamis Muhamed Mtou (Magomeni)

17: Mustapha Musa (Kinondoni)

18: Amani Saidfadhil Daruwesh (Kinondoni)

19: Afshin Jalal (Kinondoni)

20: Jack Vuyo (Afrika Kusini)

21: Anastazia Elizabeth Cloete (Afrika Kusini)

22: Simon Eugenio Fadu

23: Assad Azziz (Mikocheni B)

24: Ismail Shebe Ismail (Kinondoni)

25: Rashid Salim (Kinondoni)

26: Majed Gholamghader (Kinondoni)

27: Anna Jamaniste Mboya (Kinondoni)

28: Fredy William Chonde (Magomeni)

29: Kambi Zuberi (Temeke)

30: Abdul Ghan (Pakstani)

31: Shahbaz Malik (Pakstani)

32: Livinus Ajana Chime (Nigeria)

33: Chukuwudu Denis Okechukwu (Nigeria)

34: Pailo Ekechkwu (Nigeria)

35: Hycenth Stan (Afrika Kusini)

36: Shoaib Mohamed (Pakistani)

37: Pedro Alfredo Chongo (Kinondoni)

38: Kadiria Said Kimaro (Kawe)

39: Abdallah Rajab Mwalimu (Magomeni Kagera)

40: Mwiteka Godfrey Mwandemele (Kinondoni)

41: Abbas Kondo Gede (Kinondoni)

42: Mwanaidi Ramadhan Mfundo (Kenya)

43: Sara David Munuo (Kenya)

44: Anthony Karanja (Kenya)

45: Benny Ngare (Kenya)

46: Almas Hamis Said (Kinondoni)

47: Yahaya Haroun Ibrahm (Kinondoni)

48: Aisha Said Kungwi (Mwenge)

49: Rajabu Juma Mzome (Mbezi Luis)

50: John William Mwakalasya (Temeke)

51: Ally Mirzai Pirbakhish (Pakstani)

52: Aziz Juma Kizingiti (Kinondoni)

53: Said Mashaka Mrisho (Kinondoni)

54: Abdulahman Mtumwa (Kinondoni)

55: Hamidu Kitwana Karimu (Kinondoni)

56: Ramadhan Athuman (Tanga)

57: Rashid Mohamed (Tanga)

58: Ally Mohamed Kichaa (Tanga)

59: Issa Abdurahman (Tanga)

60: Rashid ally Mtopea (Magomeni)

61: Idd Adam Mwaduga (Tanga)

62: Nurdin Hussein (Ilala)

63: John Adam Igwenma (Nigeria)

64: Ismail Adam au Athuman Yamvi a.k.a Rasta (Afrika Kusini)

65: Ahmed Said Mohamed (Temeke)

66: Morine Amatus Liyumba (Kinondoni)

67: Rumishael Shoo

68: Abdallah Omary Salum

69: Salama Mashaka

70: Ekene Paul Ndejiobi (Nigeria)

71: Hamis Hemed Issa

72: Lwaretta Chioma Ani (Nigeria)

73: Cosmas Chukwumezie (Nigeria)

74: Ifeanyi Malven Kalu Oko (Nigeria)

75: Sunday Valentine Ugwu (Nigeria)

76: Allan Duller (Ireland)

77: Alberto Mendes (Ghana)

78: Joseph Chukwumeka Nwabunwanne (Nigeria)

79: Kwaku Safo Brobbery (Ghana)

80: Princewill Ejike (Nigeria)

81: Mary Mvula (Zambia)

82: Waziri Shaban Mizongi (Dar es Salam)

83: Santos Joseph Mpondela (Dar es Salaam)

84: Kelven Kelven Mwanzen (Dar es Salaam)

85: Emmanuel Adom (Ghana)

86: Asha Omary Ramadhan

87: Mariam Mohamed Said (Kinondoni)

88: Abdullatif Fundikira

89: Marceline Koivogui (Guinea)

90: Edwin Cheleh Swen (Liberia)

91: Benjamin Obioma Onourah (Nigeria)

92: Sofia Seif Kingazi (Kinondoni)

93: Josephine Mumbi Waithera (Kenya)

94: Idd Juma Mfaume (Dar es Salaam)

95: Amina Kasim Ramadhan(Kinondoni)

96: Vivian Edigin (Nigeria)

97: Hadja Tambwe (Kinondoni)

98: Sasha Farhan Mnyeke (Kinondoni)

99: Mychel Andriand Takahindangeng (Indonesia)

100: Kristina Biskasevskaja (Luthenia)

101: Stephen Basil Ojiofor 28 (Nigeria)

102: Judith Marko Kusekwa (Tabata)

103: Khamis Said Bakari (Kinondoni)

104: Tabia Omary au Neema Omary (Kinondoni)

105: Hamisi Abdalah

106: Haji Salum Mintanga

107: Mohamed Ally

108: Pendo Stanley Msaki

109: Ramadhani shabani

110: Nickson Jackson

111: Mussa Lazaro

112: Joseph Msami au Kombe

113: Tile Godfrey

114: Upendo Samweli

115: Joseph Loiruku Manina

116: Karim Benajira na Mwanaisha Ally

117: Prosper Charles

118: Fraiaza Benjamin au Babu

119: Richard Godfrey au Loisor

120: Iddi Rajabu

121: Ally Mohamed na Juma Salum

122: Sophia Rashid na Latifa Ally

123: Khalifa Said

124: Estomi Joel au Sangi

125: Abdala Hamza au Haule

126: Haji Bakari

127: Jasmine Tesha

128: Evance Sebastian

129: Goodluck Anael Mtui

130: Estomih Peter Msuya

131: Laitness Kiando

132: Juma Said

133: John Alex

134: Said Maruku

135: Mohamed Rajabu

136: Simon Sebastian

137: Joyce Francis

138: Hussein Hassan

139: Simon John

140: George Matowo

141: Fred Maloli

142: Rashid Abdallah au Buriburi

143: Paulo Baton,

144: Kashinje Seleli,

145: Sheha Kapaya

146: Moshi Joseph

147: Said Mshana

148: Elias Matelema

149: Pascal John

150: Ramadhan Mohamedi

151: James Samwel

152: Adamu Glehamu au Muhomba

Mrisho Simba

153: Juma Kassim au Malila

154: Sadal Jamal

155: Deogratius Ndasi

156: Saada Ally Kilongo

157: Obiesie Gabriel Chibueze – Nigeria

158: Kennedy Elias Shayo

159: Athumani Musa

160: Abdallah Hamza au Haule, Andrew

161: Mkandilo

162: Abass Abubakar Swai

163: Haji Ibrahim

164: Mwenye gari T 526 BWK

165: Venance Sebastian

166: Hussein Mohamed

167: Bahati Joseph

168: Sadiki Diwani Mhindi

169: Shabani Selemani

170: Yusuph Alawi

171: Kurwa Mbwana

172: Amina Ahmed

173: Joachim Ikechu – Nigeria

174: Said Ally

175: Ally Juma

176: Miraji Salim

177: Hassan Amri

178: Liviston Bathoromeo,

179: CPL Edward

180: PC George

181: Levila Mollel

182: Levava Londondawa,

183: Saiburu Khuresoi Lukumay,

184: Laskari Lenye Mollel,

185: Kunini Lenye Mollel

186: Saning’o Keuya Mollel

187: Livingstone Matholomeo Urasa

188: Mikidadi Hussein au Athuman

189: Masesa au Habaiba Andrew Joseph

190: Allen Habib

191: Harrison Chigozia Ubah (Nigeria)

192: Njani Hassan Kapaya

193: Adamu Rashid Jalal

194: Idd Hassan Chomu

195: Karim Renajira

196: Khadija Hussein Lukanga

197: Fraizer Benjamin au Babu

198: Bahati Joseph

199: Abdul Mohamed

200: Raheli Yona

201: Simon John

202: Juma Ramadhani

203: Zephania Laizer

204: Adoloph Thobias Mushi

205: Mrisho Simba

206: Danie Kumuo

207: Ally Ramadhani

208: Anna Samweli

209: Felista Kalembo

210: Hussein Hassan

211: Mussa Bwana Mrisho

212: Hakuna

213: Iddi Jumanne

214: Hussein Rashid

215: Joyce Francis

216: Musa Murigo

217: Mohamed Said

218: Oddoi Onesmo

219: Benard Reginald

220: Felista William

221: Allykad Alfonce

222: Selemani Rashid

223: Adam Gleham Mhomba

224: Pius Laurence

225: Jasmin Tesha

226: Juma Ramadhani

227: Soloka Ally na Wenzake 2

228: Madege Pakasi

229: Joseph Polikapi

230: Emmanuel Absolom

231: Ally Ramadhani

232: Petro Simon

233: Said Mohamed Mollel

234: Raphael John

235: Abdul Ayubu

236: Samweli Loshilari

237: William Matei

238: James Wilison

239: Godfrey Fanuel

240: Rebeka Abdallah

241: Rukia Ally

242: John James

243: Agustino Julius

244: Joseph Lucas

245: Praygod Maliki

246: Khamis Mbwana Suya

247: Mussa Ramadhani Mgonja

248: Abdulraazizi Makuka

249: Hadija Tambwe

250: John Adams Igwenma (Nigeria)

251: Salama Omary Mzara (Kinondoni)

252: Abdulrhaman Rubeya Fuad Salim

253: Ayoub Hoot Mohamed

254: Mwanaisha Salim Seif

255: Rebecca Vicent Maganga

256: Mwaija Hussein

257: Ally Omar Issa

258: Huruma Elnaja

259: Michael Stanley

260: Mabunduki Mapunda

261: Dunia Seleman

262: Justine Theophil

263: Abdallah Mfundo

264: Mashaka Bakari

265: Subira Bakari

266: Islama Rashid

267: Dickson Anthony

268: Gati Maginga Kilanga

269: Munira Khamis

270: Maul Said Kaikai

271: Athuman Moshi Kassimu

272: Mwajuma Mrisho

273: Maison John Mateso

274: Minyori Ramadhan Mohamed Kungulo

275: Khamis Kassim Juma

276: Simon Philipo Milanzi

277: Juma Khamis (a.k.a. Wakupotezea)

278: Ally Abdallah

279: Happy Zacharia

280: Iddy Athuman

281: Mohamed

282: Julius Paschal

283: Evod John

284: Haji Maneno

285: Omary Ally Bweka

286: Mohamed Omary Khatibu

287: Hashim Mohamed Pongwa

288: Hery Jaffar

289: Ahmed Shebe Ameran

290: Iddi Maulid Shaweji

291: Khamis Omary

292: Ramadhan Omary

293: Ismael Yusuf

294: Juma Rashid

295: Kuruthum Hamad

296: Zakaria Mohamed Sasamalo

297: Abdallah Mussa Mshindo

298: Mohamed Abdul Tindwa

299: Mohamed Hashim Masheli

300: Akida Ernest

301: Hassan Athuman Naheka

302: Salehe Mohamed Abdallah

303: Stumai Chande

304: Batuli Adam

305: Raymond Gilbert Jungulu

306: Adam Godwin

307: Zidi Mselem

308: Kassim Ally Juma

309: Dyamwale Chizenga

310: Abdallah Juma Reani

311: Habibu Waziri Kipawa

312: Abdul Mohamed Mwaurwe

313: Amanzi Said Amanzi

314: Salum Zarafi

315:Billy Sohal

316:Shukuru Peter

317: Omary Mfundo

318: Salehe Hemed

319: Said Ismail

320: Monica Kulanga

321: Charles Mrisho

322:Mwanaid Athuman

323: Bruno Msuya

324:Kassim Said

325 enis Charles

326:Hassan Mhando

327:Aclesy Haule

328: Salum Yusuf Kimwaga

329:Abedi Mfundo

330:Tunu Said

331:Fatuma Salehe

332: Mwajuma Salehe

333: Salum Khamis

334: Mbwana Mbaraka Mkanga

335 aud Ally Chambuso

336:Ibrahim Ramadhan Mniga

337: Rozi Lukasi

338: Udugu Jumbe

339: Mohamed Kalota

340: Godwin Vitus Chacha

341: Eliasa Athuman

342: Mvano Ova Hussein

343: Mood Dudufued

344: Issa Dachi

345: Filbert Swai

346:Hussein Francis

347: Mirambo Hassan

348: Nasibu Abdallah

349:Tariq Salim Abass

350: Omary Said Mumomo

351: Zuberi Mwamba Mabruki

352:Abdallah Haji Mrisho

353: Khamis Athuman Khamis

354: Vodika Roosevelt

355 otto Shabani Mohamed

356:Twaef Mohamed Ghanim

357: Salum Hamis Ramadhan

358: James Benezeti Munishi

359: Rahim Abdul

360: Juma Stumai

361: Luti Elias

362: James John

363: Hussein Mbwana

364: George Renatus Masalu

365: Jamal Rashid

366: Asha Thabiti

367: Zaituni Abdallah – Mama Sued

368: Fatuma Juma – Mama Simba

369: Salama Juma

370: Juma Jamali

371: Juma Mussa

372: Abdulrahman Mbaraka

373: Maneno Said Kitungi

374: Mussa Salum

375: Hashim Ashirafu

376: Nyambuya Joel

377: Rashid Burhani Milanzi

378: Ally Mikidadi Ngunde

379: Mwijuma Ibrahim Kondo

380: Halifa Said

381: Shaban Said Makuka

382: Khamis Ramadhani Mgomba

383: Ruzuna Mwakasha

384: Rajabu Mohamed (Roger)

385: Athuman Chande

386: Shamin Azizi

387: Hashim Hashid Mashaka

388: Hussein Hamis

389: Ibrahim Rajabu

390: Mohamed Rajabu Mkali

391: Hatim Cheucheu Hungu

392: Hamis Uyoro (Kikoti)

393: Seif Hassan

394: Mnyamisi Mungia Khamis

395: Said Kisoka Said

396: Bakari Suleiman

397: Mwaita Mohamed

398: Asubisye Mwasumbi

399: Dalmat Jovin

400: Ally Rashid Dilunga

401: Mwinyi Seleman Mwachuo

402: Zinduna Ramadhan

403: Sanky Seleman (a.k.a Nzowa)

404: Karume Ngoi (a.k.a Karume)

405: Issa Thabit

406: Victor Patrick

407: Kiteguo Seif Ndumbikwa

408: Mbwana Mohamed (Liyobo)

409: Bonifasi Kulanga

410: Kidunda Omary

411: Amani Mavula

412: Mchola Bakari Majomba

413: Mohamed Simba Kassim

414: Asha Yusufu (Rasta)

415: Mshamu Njanga Abdallah

416: Zena Selemani Mwanaisha Abdallah

417: Ally Abdallah Pashua

418: Mbaruku Rashid Rajabu

419: Mohamed Jumbe Mohamed

420: Seleman Mohamed Masoud

421: Kabote Mfaume Kiboko

422: Selehe Hemed Lugongo

423: Muharami Mohamed Abdallah

424: Hatibu Nyamisi Nyangasa

425: Juma Alfan Hussein

426: Khariri Mohamed Khariri

427: Alfreda Anjelo Kulanga

428: Elly Hamis Mrisho

429: Iddi Haji Fumo

430: Ras Juma Ally

431: Ally Khatibu Haji

432: Hemed Juma Mrisho

433: Abdallah Hamza Said

434: Mohamed Noor Sheikh

435: Selemani Omary Zuberi

436: Hassan Masoud Ally

437: Akida Ayubu Akida

438: Bakari Abdurahman Bakari

439: Bashiri Mohamed Shallie

440: Jamal Rashid Ismail Mkoko

441: Ally Juma Said

442: Pili Ramadhani

443: Mosses Lwama

444: Mbaraka Shaban Muba

445: Richard Mbunda

446: Ayubu Mfaume Kiboko

447: Abbas Mohamed Hussein

448: Juma Hemed Tumbo

449: Sophia Joseph Ntembo

500: Said Hilal Abdallah

501: Thabit Juma Khamis

502: Suleman Bakari

503: Salum Abasi

504: Mustafa Omary Mwinyi

505: Alim Iddi Said Mwinyi

505: Othman Juma Othman

506: Shaban Kibwana Seif

507: Raymond Swift Mwakatwila

508: Abas Bachu Kasu

509: Jumanne Ramadhan Chambala

510: Irene Godfrey Mhina

511: Abdallah Abdurahman (Kidagaa)

512: Uwesu Ally Hussein

513: Zuberi Ally Mohamed

514: Khamis Seleman Khamis

515: Said Seleman Khamis

516: Mwarabu Bakari Mwarabu

517: Rajabu Shaban Juma

518: Ally Mohamed Seif

519: Mohamed Hassan Mkachika

520: Ally Bakari Mloli

521: Kelvin Daud Mchikinyi

522: Ally Mohamed Nyundo

523: Fatuma Juma (Mama Simba)

524: Shukuru Thabit Mtetwa

525: Mshamu Mjanga Abdallah

526: Zena Seleman (Mwanaisha Abdallah)

527: Ally Abdallah Pashua

528: Mbaruku Rashid Rajabu

529: Eliud Juma Mbwambo

530: James Patrick Mwangi

531: Hemed Abdallah Mwinyimvua

532: Juma Said Hussein

533: Haidery Mohamed

534: John Kauta

535: Mohamed Salehe

536: Doreen Josephat Urio

537: Richard Barnabas Mfundo

538: Soud Awadhi Mzee

539: Maneno Rajabu

540: Mdanzi Mjaja

541: Khalid Ramadhan

542: Soud Rasheed Soud

543: Issa Mangara Seid

544: Omary Salehe

545: Omary Ramadhan Yusuf

546: Mfaume Said Mugulo

547: Ramadhan Miraji Mkangata

548: Abdallah Nassoro Kimoko

549: 0mary Juma Mohamed

550: Ally Said Omary

551: Abdallah Nassoro (Kibwetere)

552: Mariam Yona M’ngata

553: Hussein Mohamed Hariri

554: Tom Juma Masoud

556: Frank Obed Shoo

557: Jaffar Kassim Jaffar

558: Karume Ngoi

559: Adamu Mohamed Monde

560: Liliani Kime