JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2018

Rais Magufuli Aomboleza Vifo vya watu 11 Kagera

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu kufuatia watu 11 kupoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea katika Kijiji cha Nyangozi,…

TPA Yanasa Mtandao Wizi wa Mafuta

Serikali wilayani Kigamboni na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) wanasema wamepata taarifa za kuwapo watu wengine wanaoiba mafuta kutoka kwenye bomba kuu katika Bandari ya Dar es Salaam. Hatua hii imekuja baada ya kukamatwa kwa watu watano ambao…

SERIKALI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA NYOTA KATIKA KUVIPIMA VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI NCHINI

Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile (mwenye tisheti ya mistari) akipokea maelekezo ya ramani ya jingo jipya la Mama na Mtoto katika kituo cha Afya Nkomolo, anaemfuatia ni Mganga Mkuu wa Mkoa…

WAZIRI TIZEBA AKAGUA USAFIRISHAJI WA KOROSHO MTWARA

Waziri wa Kilimo Dr.Charles Tizeba ametembelea Bandari ya Mkoa wa Mtwara na kukagua Usafirishaji wa Zao la Korosho Ghafi zinazokwenda Nchi za India na Vietnam. Kufikia January10 mwaka huu Jumla ya Tani Laki 190 za Korosho tayari zimesafirishwa ambapo lengo…

LISSU AANZA MAZOEZI UBELGIJI

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu leo ameanza kufanya mazoezi ya viungo huko Hospital anapotibiwa  inchini Ubelgiji

Hiki Hapa Lowassa Alichozungumza Ikulu na Maguful

Hichi ndicho Lowassa alichozungumza na Rais Magufuli alipokwenda Ikulu Januari 9 mwaka huu 2018