Year: 2024
Vijana shikamaneni kulinda amani ya nchi yetu – Dk Biteko
📌 Asema Amani ya Tanzania na Dunia ipo Mikononi mwa Vijana 📌 Asema Teknolojia Isitumike kama Jukwaa la Uhalifu 📌 Serikali Yaendelea Kushirikisha Vijana katika Masuala ya Maendeleo 📌 Asisitiza kuwa Kijana Bora Hujenga Taifa Bora la Kesho Na Ofisi…
Waziri Ndumbaro awataka wazazi kukemea mmomonyoko wa maadili
Na Cresensia Kapinga, Jamuhuri, Songea. Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Damas Ndumbaro amewataka Watanzania kutunza na kuendeleza urithi wa tamaduni zetu ambapo amewataka wazazi kukemea mmomonyoko wa maadili kwenye jamii na kufuata mila na desturi za kitanzania Agizo hilo…
Tamasha la utamaduni kitaifa lafunguliwa Songea
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amewaasa watanzania kuzingatia miiko, mila na desturi za kitanzania na kuwarithisha watoto na vijana ili kujiepusha na tamaduni za kigeni zisizofaa kwa jamii. Aidha, ameitaka Mamlaka…
Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMISHNA wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, amevitaka vyuo vya umma nchini kutumia sekta binafsi kujenga mabweni na miradi mbalimbali kwa ubia na sekta binafsi bila kutegemea…
Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Kampuni ya Airpay Tanzania kwa kudhamini Tamasha la pili la Fahari ya Zanzibar lililoandaliwa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA)…