JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Simbachawane ateta na Jakaya Kikwete

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene leo amemtembelea na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya M. Kikwete nyumbani kwake Kawe Jijini Dar es…

Watoto 23 wafanyiwa upasuaji wa moyo JKCI

Na Stela Gama – JKCI Watoto 23 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo katika kambi maalumu ya matibabu ya moyo kwa watoto inayofanyika katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Kambi hiyo maalumu…

Ugonjwa wa miguu na midomo unaoshambulia mifugo kutovuka mipaka ya nchi za EAC na SADC

Mwakilishi kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) nchini Tanzania, Bi. Nyabenyi Tipo akielezea takwimu ya Mwaka 2013 ambapo ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo umekuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kusababisha hasara…

Dk Biteko amfariji Angelah Kairuki

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Septemba 10, 2024, amesaini Kitabu cha Maombolezo kwenye msiba wa Mzee Peter Orgones Mkwizu, Baba wa Mhe. Angelah Kairuki, Mbunge wa Viti Maalum na Mshauri wa Rais. Dkt….

Dk Biteko :Rais Samia ameelekeza rasilimali zinazochimbwa nchini ziwanufaishe Watanzania

📌 Asisitiza Ushuru wa Huduma Kutatua Changamoto za Wananchi 📌 Uchimbaji wa Gesi Asili Kuchochea Uchumi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Watanzania…

Utafiti waonyesha ushiriki wa vijana kwenye masuala ya demokrasia ni hafifu

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Haki Elimu nchini umebaini kuwa asilimia 44.4 ya vijana katika shule za sekondari hawana uelewewa wa mambo gani yanayounda demokrasia huku asilimia 3.8 hawajui chochote kuhusu demokrasia. Utafiti huo ulilenga…