Year: 2024
Law School itafsiri mabadiliko kama kengele
Na Deodatus Balile ,JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefanya marekebisho katika sheria mbalimbali, ikiwamo Sheria ya Shule ya Sheria Sura ya 425. Yamefanyika mabadiliko kadhaa katika sheria hiyo, ila yaliyoigusa jamii ni…
Mchengerwa: DART fanyeni mchakato haraka kuondoa adha ya usafiri
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam Waziri Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi Mohamed Mchengerwa amewataka Watendaji wa mabasi yaendayo haraka DART kuhakikisha wanafanya mchakato wa haraka kupunguza changamoto ya usafiri inayosababishwa na uhaba wa mabasi hayo . Agizo…
Madagascar yaridhia atakayebaka watoto ahasiwe
Serikali ya Madagascar imeidhinisha sheria ya kuhasiwa kwa atakayekutwa na hatia ya ubakaji dhidi ya watoto. Ni sheria ambayo imezua minongono na mabishano ndani ya Bunge la nchi hiyo. Mwezi wa pili ndipo bunge la Seneti la Madagascar lilipoipitisha sheria…