Year: 2024
Wakili Mbedule apiga ‘Jeki’ Halmashauri ya Iringa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepata msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Wakili wa kujitegemea na mdau wa maendeleo, Jimbo la Kalenga, Sosten Mbedule ambaye ametoa seti sita za vifaa vya michezo na mipira…
WHO: Mpox sio aina mpya ya UVIKO
Shirika la Afya Duniani WHO limetoa tamko rasmi leo Jumanne la kusisitiza kwamba ugonjwa wa homa ya nyani unaosababishwa na virusi vya mpox, sio ugonjwa mpya wa UVIKO unaosababishwa na virusi vya corona. Tamko hilo limetolewa baada ya kuibuka kwa…
Rais mstaafu Kikwete akutana na Makamu wa Rais Nigeria jiini Abuja
ABUJA, Nigeria – Agosti 21, 2024 – Makamu wa Rais wa Nigeria Mhe. Kashim Shettima ametoa wito wa kuimarisha ushirikiano kati ya Nigeria na Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ujumuishaji wa kikanda na juhudi za pamoja ili kufanikisha ukuaji na umoja…
TLS yaitaka Polisi kumfikisha mahakamani afande aliyeagiza binti Yombo abakwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), kimelitaka Jeshi la Polisi kuhakikisha mtuhumiwa mkuu aliyesababisha tukio la kubakwa na kulawitiwa kwa binti wa Yombo anafikishwa mahakamani upesi ili haki ipatikane. Akizungumza na vyombo vya habari…
Waziri Mhagama akabidhi ofisi kwa Waziri Lukuvi
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya Jenista Mhagama ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi katika maeneo ambayo atahitaji kupata taarifa za ziada wakati wa kuratibu…
Ridhiwani Kikwete anogesha bonanza la NMB Day Kizimkazi Festival 2024
Na. Andrew Chale, JamhuriMesia, Zanzibar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwan Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi ameweza kunogesha Bonanza la NMB DAY katika Tamasha la Kizimkazi 2024, linaloendelea katika maeneo ya…