Year: 2024
Viongozi wa dunia walaani shambulio dhidi ya Trump
Viongozi wa nchi mbalimbali duniani wamelaani shambulio la risasi lililomjeruhi sikioni aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump Msemaji wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani na kuliita tukio hilo kuwa ni vurugu za kisiasa. Kwa upande wake…
Tunaondoka Mbulu DC tukiwa tumeridhika kabisa ya kwamba mmemtendea haki Dkt. Samia na hata sisi pia
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Mbulu Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu chini ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Abubakar Kuul na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Joseph Mandoo na Mbunge…
Polisi wachunguzwa kuhusu miili iliyotupwa Kenya
Mamlaka huru inayosimamia Jeshi la Polisi nchini Kenya IPOA imesema inachunguza polisi waliohusika kwa njia yoyote kufuatia ugunduzi wa miili iliyokatwakatwa na kutupwa kwenye shimo la jalala mjini Nairobi. Awali polisi walisema miili kadhaa iliyokatwakatwa ya wanawake sita iliyofungwa kwenye…
Semfuko awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa ya ufugaji wa wanyamapori
Na Beatus Maganja, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amewahimiza watanzania kuchangamkia fursa za ufugaji wa wanyamapori zinazopatikana katika Taasisi ya TAWA. Ameyasema…





