Year: 2024
UVCCM kuzindua Kampeni Maalum Julai 6, mwaka huu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kampeni maalumu ya vijana itakayo jadili fursa zilizopo kwa vijana katika jamii. Akizungumza…
Hifadhini viumbe na kulinda mazingira ya bahari – Dk Biteko
📌Asema uchumi wa buluu ni shughuli zote za kiuchumi zinazohusiana na Bahari, Maziwa Makuu na rasilimali zake 📌Uchumi wa Buluu mchangiaji mkubwa wa maendeleo 📌Wizara na Taasisi za Serikali zatakiwa kushirikiana na DMI Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na…
Silaa aingilia kati mgogoro wa Mohammed enterprises na wananchi wa Kipange
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZIRI wa ardhi , Nyumba na Makazi, Jerry Silaa aingilia kati mgogoro wa ardhi kati ya Mohammed Enterprises na wananchi wa Kipangege, Msufini kata ya Soga ,Kibaha Vijijini ,Mkoani Pwani ambapo amesitisha shughuli yoyote isiendelezwe…
FCC kutoa elimu Sabasaba kuhusu bidhaa bandia
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Ushindani nchini (FCC) imeendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla kuhusu bidhaa bandia katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba yanayofanyika…
Naibu Waziri Kapinga awahakikishia umeme wa uhakika vijiji vya Manzwagi, Kidunyashi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni…
Serikali yaipa TANROADS Mwanza bil. 58.27/- kujenga daraja la Simiyu na daraja la sukuma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan imetenga jumla ya Shilingi Bilioni 58.288 kwa ajili ya kujenga daraja la Simiyu na daraja la…