JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, ameonya, binadamu wanakumbwa na janga la joto kali na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua za kupunguza athari za mawimbi ya joto yanayozidishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Guterres amesema kuwa mabilioni…

Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais

Barack Obama amemuunga mkono Makamu wa Rais Kamala Harris kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic, na hivyo kumaliza uvumi kuhusu iwapo angemuunga mkono. Rais wa zamani Obama na aliyekuwa Mama wa Taifa Michelle Obama walisema katika taarifa ya pamoja…

Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini

Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amemshauri Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuwa mipango ya uwezeshaji wakulima inapaswa kujikita vijijini ili kuwawezesha wakulima kuongeza tija katika uzalishaji. Akizungumza na wananchi wa Kata ya Banemhi Jimbo la Bariadi,…

Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani

Maafisa wa usalama wamesema roketi kadhaa zimefyetuliwa kuelekea kambi ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani nchini Iraq. Duru za usalama za Iraq zimeeleza kuwa roketi nne zimeanguka karibu na kambi ya jeshi ya Ain al-Assad iliyoko mkoa wa Anbar….

Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora

Kamishna wa Elimu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Lyabwene Mtahabwa amewataka wazazi na Wadau kote nchini kuwalinda watoto kwani ndio Tanzania ya kesho. Mtahabwa ameyasema hayo wakati akifungua Kongamano la Kitaifa la Utoaji wa Chakula na Lishe Shuleni…

Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu), Zainab Katimba amezielekeza halmashauri zote nchini zinazotekeleza miradi ya ujenzi wa shule mpya maalum za wasichana za mkoa kuhakikisha wanaongeza usimamizi wa mradi hiyo ili kuendana na thamani ya fedha. Ametoa maelekezo hayo Julai…