Naibu Mwenezi Taifa ACT Wazalendo, amnadi Mpina ambaye ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Maswa
JamhuriComments Off on Naibu Mwenezi Taifa ACT Wazalendo, amnadi Mpina ambaye ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Maswa
Naibu Mwenezi Taifa, Ndugu @ayo_shangwe amemnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Maswa Mashariki kwa tiketi ya ACTwazalendo, Abel Mpina katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Modeco Maswa Mjini. Oktoba #LindaKura MuhuniHasusiwi