Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Agnes Meena akimkabidhi Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa nyaraka za utendaji wa ofisi yake Makao makuu ya Wizara hiyo Novemba 18,2025 Mtumba jijini Dodoma.