Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akiongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Jumamosi, tarehe 24 Januari,2026, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.