Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wakiwa kwenye Misa takatifu ya kumuombea aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na wenye Ulemavu), Hayati William Vangimembe Lukuvi katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Machi, 2026