Rais Samia akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rais wa Namibia
JamhuriComments Off on Rais Samia akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rais wa Namibia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo rasmi na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei, 2025.